Saturday , 20 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za SiasaTangulizi

Msajili aikamia ACT- Wazalendo, atishia kuifuta

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, inakusudia kukipa adhabu Chama cha siasa cha upinzani ACT-Wazalendo, kutokana na kukiuka Sheria ya...

Habari za Siasa

Muuguzi ajitosa ubunge Singida

UKENDE William Shalla, amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kugombea ubunge Viti Maalum mkoani Singida. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

‘Meya’ Chadema ashinda kura za maoni Moshi Mjini

ALIYEKUWA Meya wa Manispaa ya Moshi Mkoa wa Kilimanjaro, Raymond Mboya ameshinda kura za maoni za kuwania nafasi ya ubunge  kupitia Cham cha...

Habari za Siasa

Ubunge CCM: 247 wajitosa majimbo saba Iringa

WANACHAMA 247 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa wamejitosa kuwania kupitishwa na chama hicho kuwania ubunge katika majimbo saba mkoani humo....

Habari za Siasa

Maalim Seif: Membe unaogopwa, gombea urais Tanzania

MAALIM Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema, Bernard Membe anaogopwa. Anaandika Yusuph Katimba..(endelea). Membe amejiunga na chama hicho akitokea Chama...

Habari za Siasa

Wagombea urais CUF kujulikana Julai 27

WAGOMBEA Urais wa Tanzania na Zanzibar wa Chama cha Wananchi (CUF), katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, kujulikana Jumatatu ya tarehe 27 Julai...

Habari za Siasa

Membe akumbusha ‘machungu’ ya Lowassa, Sumaye

BERNARD Membe, mwanachama mpya wa Chama cha ACT-Wazalendo, amesema hatofuata nyayo za makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), waliohamia upinzani kisha kurejea katika...

Habari za Siasa

Membe akoleza moto urais Tanzania, atoa ombi Chadema

BERNARD Kamilius Membe, mwanachama mpya wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema, kama vyama vya upinzani vitaweka ubinafsi pembeni na kushirikiana katika Uchaguzi Mkuu wa...

Habari za Siasa

Barua ya Membe yasomwa ukumbini

BARUA iliyoandikwa na BERNARD Kamillius Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Tanzania kwenda kwa Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif Sharif...

Habari za SiasaTangulizi

JPM: Sijamtuma mtu akagombee, awapa ujumbe wanaCCM

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewatahadharisha wajumbe wa Chama cha Mapinduzi (CCM), wanaohusika na uteuzi wa wagombea wa uchaguzi mkuu wa Oktoba...

Habari za Siasa

Ubunge CCM: ‘Wateule wa Rais’ wachongewa, CDF na Samia watoa neno

ALBERT Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC) amewachongea wateule wa Rais John Pombe Magufuli waliokimbilia kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika kinyang’anyiro...

HabariHabari MchanganyikoTangulizi

Rais Magufuli awaapisha warithi wa Makonda, Mnyeti

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua wakiwemo wakuu wa mikoa ya Dar es Salaam na Manyara. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

JPM atengua Ma-DC, RAS, DED na RC akiwemo Makonda

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wakiwemo wakuu wa mikoa (RC), Wakuu wa Wilaya (DC), Katibu Tawala wa...

Habari za Siasa

Mahakama ya Afrika: Matokeo urais Tanzania yapingwe mahakamani

SERIKALI ya Tanzania imetakiwa kufanyia marekebisho Ibara ya 41 (7) ya Katiba yake, inayopinga matokeo ya rais kupingwa mahakamani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Amri hiyo...

Habari za Siasa

Mama Salma Kikwete ajitosa ubunge Mchinga

MAMA Salma, Mke wa Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwania ubunge Mchinga...

Habari za Siasa

Arusha Mjini jimbo gumu CCM

MIONGONI mwa majimbo magumu katika uteuzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ni Jimbo la Arusha Mjini. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea). ‘Vyuma vinne’ vimekutana kwenye...

Habari za Siasa

Zitto avuna M/kiti, 120 Chadema Ubungo

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimevuna zaidi ya wanachama 120 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akiwemo aliyekuwa mwenyekiti wa Wilaya ya Ubungo, Renatus...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu Tanzania achukua, arejesha fomu Ruangwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa leo Jumatano tarehe 15 Julai 2020 amechukua fomu ya kuwania tena ubunge wa jimbo la Ruangwa, wilayani...

Habari za Siasa

Mwandishi Azam TV ajitosa ubunge Kigoma Mjini

MWANDISHI wa habari wa AZAM TV, Baruan Muhuza amechukua fomu kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimpitishe kuwania ubunge Kigoma Mjini katika...

Habari za Siasa

Makonda kujitosa ubunge, mjadala waibuka

HATUA ya Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kugombea ubunge...

Habari za Siasa

Ubunge CCM: Angellah Akilimani ajitosa Ukonga

ANGELLAH Akilimali, Mkuu wa Idara ya siasa na habari wa vyombo vya habari vya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amejitosa kuwania ubunge Ukonga. Anaripoti...

Habari za Siasa

Fukuto Chadema Ubungo: Katibu ‘walikiuka mwongozo’

FUKUTO la kutimuana katika Jimbo la Ubungo, linashika kasi huku Katibu wa Kanda ya Pwani akisema, viongozi Wilaya ya Ubungo walikiuka mwongozo. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Ubunge CCM: 2020 Shuguli pevu

NDANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuna shughuli pevu katika hatua ya upigaji kura za maoni ili kupata wateule wa ubunge kwenye majimbo...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika: Nilisema sitagombea, nijenge chama

JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, ametaja sababu zilizomsukuma kutogombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba, katika...

Habari za Siasa

Ubunge CCM: 241 wajitosa majimbo tisa K’njaro

WANACHAMA 241 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, wamejitokeza kuchukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea ubunge katika majimbo tisa mkoani...

Habari za Siasa

Grace Kiwelu aongoza kura za maoni Vunjo

WAJUMBE wa mkutano mkuu wa jimbo la Vunjo Mkoa wa Kilimanjaro wamempendekeza, mbunge wa viti maalum (Chadema), Grace Kiwelu kupeperusha bendera ya ubunge...

Habari za Siasa

Profesa Mkumbo atoa sababu kuwania ubunge Ubungo

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maji, Profesa Kitila Mkumbo amechukua fomu ya kuomba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimpitishe kuwania ubunge Ubungo jijini Dar...

Habari za SiasaTangulizi

John Mnyika akimbia ubunge Kibamba

KATIBU mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John John Myika, “ameutema rasmi” ubunge wake, katika jimbo la Kibamba jijini Dar es...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi ajibu mapigo ya Timu Maalim Seif

WAKATI Timu ya Maalim Seif Sharif Hamad ‘ikishangilia’ uteuzi wa Dk. Hussein Mwinyi, kuwania urais Zanzibar, mwenye amesema ‘atateleza.’ Anaripoti Regina Mgonde, Dar es...

Habari za Siasa

Sirudi nyuma – Maalim Seif

MAALIM Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, visa vinavyofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ni sawa na ‘kumpiga teke...

Habari za Siasa

CCM wafurika kuchukua fomu za Ubunge Moshi Mjini

MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jimbo la Moshi Mjini wamefurika kwenye ofisi ya chama hicho wilaya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea...

Habari za Siasa

Kura za maoni: Chadema Ubungo kwapasuka

KURA za maoni ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Jimbo la Ubungo, zimeacha mpasuko. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Baadhi...

Habari za Siasa

Silinde achukua fomu Tunduma, atuma salamu Chadema

ALIYEKUWA mbunge wa Momba kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), DAVID Silinde amechukua fomu ya kugombea ubunge Tunduma Mkoa wa Songwe kupitia...

Habari za Siasa

Fomu za urais, matokeo kutangaziwa Dodoma

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania imehamia rasmi katika ofisi zake mpya zilizopo Njedengwa jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea) Kuhamia...

Habari za SiasaTangulizi

Mhadhiri UDSM ajitosa ubunge Segerea

MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Dk James Jesse amechukua fomu kuwania ubunge jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

Habari za Siasa

Mwandishi wa habari ajitosa ubunge Iringa

MWANDISHI wa habari nchini Tanzania, Tumain Msowoya amechukua fomu ya kuwania ubunge viti maalum kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi...

Habari za Siasa

Mtoto wa Lowassa ajitosa ubunge Monduli

FREDRICK, mtoto wa waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amechukua fomu ya kugombea ubunge Monduli, mkoani Arusha kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika...

Habari za Siasa

Gambo ajitosa Ubunge Arusha Mjini, Nanai aenda Kawe

MRISHO Gambo, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, amechukua fomu kuwania Ubunge Arusha Mjini ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Lema: Hata mkiniletea CCM wote Arusha, nitashinda

GODBLESS Lema, Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa Arusha Mjini anayemaliza muda wake, amesema sheria ingeruhusu, angetaka wagombea wote wa CCM...

Habari za Siasa

Hiki ni kiburi au dharau Chadema kwa waandishi wa habari?

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiwakumbatia waandishi wa habari, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Pwani kinawapuuza. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea). Jana Jumatatu...

Habari za Siasa

Ubunge CCM: Askofu Gwajima, Abbas Tarimba wachukua fomu

MAKADA zaidi ya 10 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwemo Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, wamechukua fomu ya kuomba...

Habari za Siasa

Agnesta awaongoza wanaume Segerea

AGNESTA Lambert, Mratibu wa Uhamasishaji wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) ameshinda kura za maoni za mgombea ubunge...

Habari za Siasa

Chadema Pwani: Ni zamu ya CCM kudondosha chozi

CHAMA cha Demokraia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani kimesema, ni zamu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kudondosha chozi. Anaripoti Hamisi Mguta, Dar...

Habari za Siasa

Susan Lyimo aibuka mshindi Kinondoni

SUSAN Lyimo, Mbunge Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameshinda kura za maoni za kuwania kupitishwa kugombea Ubunge Kinondoni jijini...

Habari za Siasa

Polepole: Mikutano kura za maoni iwe wazi, waandishi wa habari…

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humprey Polepole ameitaka mikutano ya majimbo na wilaya ya kura za maoni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yapiga ‘stop’ michango holela fomu za ubunge, udiwani

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kimesema, mwanachama wa chama hicho anayetaka kuwania udiwani, ubunge au uwakilishi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2020 asilazimishwe...

Habari za Siasa

Wanne Chadema wachuana ubunge Kinondoni

WANACHAMA wanne wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitosa katika kinyang’anyiro cha kugombea Ubunge Kinondoni jijini Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

Wahariri Tanzania wataka uwazi wa CCM uhamie NEC, Mahakama na Bunge

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limetoa pongezi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuruhusu kurushwa moja kwa moja (live) kwenye vyombo vya habari,...

Habari za Siasa

Timu Maalim Seif ‘wafurahia’ uteuzi wa Dk. Mwinyi Z’bar

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeeleza ‘kufurahishwa’ na wepesi uliofanya na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ngazi ya urais Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza na MwanaHALISI...

Tangulizi

Hivi ndivyo Sheikh Ponda alivyokamatwa msikitini

SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini, amekamatwa na polisi. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea). Tukio la kukamatwa...

error: Content is protected !!