HALI ya usalama leo katika Kata mpya ya nyegezi Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza, iligubikwa na hofu kubwa baada ya jeshi la Polisi na watu watatu wanaodaiwa majambazi kurushiana risasi ...
Read More »WB: Tanzania haina ubunifu
KUKOSEKANA kwa ubunifu wa kuendeleza miundo mbinu katika sekta ya elimu, maji, afya, nishati na reli na sekta nyingine kumesababisha umaskini kuendelea kuitafuna Tanzania. Anaandika Sarafina Lidwino … (endelea). Ili ...
Read More »Bunge ngumi mkononi
WAKATI watanzania hawajaanza kufaidika na gesi iliyogundulika mkoani Mtwara, rasilimali hiyo imeendelea kuibua mzozo na mgogoro mkubwa Bungeni kiasi cha Spika Anna Makinda kuamua kuahirisha tena ghafla kikao cha 42 ...
Read More »Machali amuumbua Mlata Bungeni
SIKU chache baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini, (Chadema) Joseph Mbilinyi, kumshambulia Mbunge wa Viti Maalum, Martha Mlata (CCM) kwamba amevunja ndoa yake, Mbunge wa Kasulu Mjini, Moses Machali amemuumbua ...
Read More »Chai, viazi almanusura vivunje semina ya walimu
WALIMU wakuu wa Shule za msingi na Waratibu kata mkoani Mwanza, `alimanusura` wavunje semina ya mafunzo ya uongozi wa elimu baada ya kunywa chai na kiazi kimoja. Anaandika Moses Mseti, ...
Read More »Silinde ainanga serikali bungeni
MBUNGE wa Mbozi Magharibi, David Silinde, (Chadema), ameishambulia serikali kwa kukwamisha miradi ya maji katika Wilaya ya Momba, Mbozi Magharibi kutokana na kushindwa kupata fedha za wahisani kutoka Ubeligiji. Anaandika ...
Read More »Chamwino watakiwa kuitosa CCM
WANANCHI wa kijiji cha Chilangali Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ,wametakiwa kutoichagua CCM katika uchaguzi mkuu ujao kwani kwa kufanya hivyo ni sawa na kufuga nyoka katika gunia la unga. Anaandika ...
Read More »Urais CCM kumekucha, wanne waingia mitini na fomu
PAZIA la uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuomba kuteuliwa kuwania nafasi ya urais ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM), limefungwa rasmi jana jioni. Anaandika Dany Tibason … (endelea). Mpaka ...
Read More »Bunge lavunjika
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amelazimika kuahirisha Bunge baada ya mbunge wa Ubungo (Chadema), John Mnyika, kudai kuwa kumeingizwa bungeni, miswada mitatu mipya, kabla muswada wa kulinda watoa taarifa za ...
Read More »Nyalandu: Matumizi mabaya ardhi ni tishio
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu amesema kuwa matumizi mabaya ya ardhi yasiyozingatia mpango bora yamekua tishio kwa maeneo uhifadhi. Anaandika Ferdinand Shayo, Arusha … (endelea) Aidha, imepelekea uvamizi wa ...
Read More »Serikali yatakiwa kueleza athari za minara
MBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Mariam Kisangi ameitaka serikali ieleze athari zitakazotokea kwa watu wanaoishi karibu na minara ya simu. Anaandika Dany Tibason … (endelea). Kisanga alitoa kauli hiyo leo ...
Read More »Wenje amchachafia waziri Majaliwa
SERIKALI imetakiwa kueleza kama ni halali mtu kufungiwa gari lake sehemu aliyoegesha gari wakati hakuna kibao chochote kilichoonyesha kibao cha maegesho. Anaandika Dany Tibason … (endelea). Kauli hiyo ilitolewa leo ...
Read More »Waziri Majaliwa awekwa kitimoto Bungeni
OFISI ya Waziri Mkuu imetakiwa kueleza ni lini itaacha kuwalinda wahalifu kwenye halmashauri mbalimbali nchini. Anaandika Dany Tibason … (endelea). Kauli hiyo ilitolewa leo bungeni na Mbunge wa Ubungo (Chadema), ...
Read More »Vitambulisho vya taifa kutafuna bil 160
JUMLA ya Sh. Bilioni 160 zimetengwa kwa ajili ya mradi vitambulisho vya Taifa nchini. Anaandika Dany Tibason … (endelea). Aidha, hadi Machi mwaka huu Sh. 56.8 bilioni zilikwishatolewa huku kiasi ...
Read More »ACT: Hakuna mgombea atayepita bila kupingwa
CHAMA cha ACT- Wazalendo kimesema hakuna mgombea atakayepita bila kupingwa katika uchaguzi mkuu mwaka huu. Anaandika Pendo Omary … (endelea). Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Uchaguzi mkuu ...
Read More »Kifo cha Kamukara utata mtupu, Mengi, Mbowe, Kafulila wamlilia
UTATA umeghubika kifo cha mhariri, Edson Kamukara. Mazingira alimofia yamekosa maelezo dhahiri juu ya kilichotendeka. Taarifa za awali zilisema alikufa kwa kuungua moto uliotokana na kulipuka kwa jiko la gesi; ...
Read More »Masheikh, Maaskofu waonya CCM
BAADHI ya viongozi wa madhehebu ya kidini nchini, wameapa kutomuunga mkono mgombea yeyote wa urais anayetafuta urais kwa hongo, hata kama anang’aa kama jua wakati wa mchana na mwezi nyakati za usiku. Anaandika ...
Read More »Viti Maalum waibana serikali
MBUNGE wa Viti Maalum (CUF), Amina Abdallah Amour, ameitaka kueleza umma, ni lini itatenga bajeti ya asilimia 30 kwa ajili ya miradi ya maendeleo ambayo imekuwa ikikwama kila mwaka. Anaandika ...
Read More »Dk. Migiro awekwa kitimoto bungeni
WAZIRI wa Katiba na Sheria na Katiba, Dk. Asha Rose Migiro, jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya wabunge wa upinzani kuhoji juu ya Muswada wa Sheria ya kulinda watoa ...
Read More »‘Vijana tumieni mitandao kwa tija’
VIJANA nchini wameshauriwa kujituma na kuwa wabunifu katika matumizi ya mitandao ya kijamii ili kuisaidia jamii badala ya kupoteza muda kwa kufanya mambo mabaya yasiyokuwa na tija. Anaandika Sarafina Lidwino ...
Read More »Serikali yajikanyaga umeme vijijini
SERIKALI imejigamba itaendelea kutekeleza ahadi yake ya kupeleka nishati ya umeme vijijini. Charles Mwaijage, naibu waziri wa nishati na madini, ameliambia bunge mjini Dodoma, kuwa serikali inaendelea kukarabati njia za ...
Read More »Mnyika alianzisha bungeni
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (Chadema) leo ametibua upya mgogoro wa upatikanaji wa mafuta katika vituo vya kuuza mafuta nchini. Anaandika Dany Tibason … (endelea). Mnyika aliibua suala hilo ikiwa ...
Read More »Mramba, Yona kiporo
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Jijini Dar es Salaam leo imeweka kiporo hukumu ya mawaziri waandamizi wa zamani, Basil Mramba, Daniel Yona na aliyekuwa Katibu Mkuu Hazina, Gray Mgonja mpaka ...
Read More »Mbunge CUF aichokonoa serikali
MBUNGE wa Mji Mkongwe, Muhammad Ibrahim Sanya (CUF), ameitaka serikali kupiga marufuku unywaji wa pombe za kienyeji na za viwandani ili kuepuka ulevi uliopindikia nchini. Anaandika Dany Tibason … (endelea). ...
Read More »Serikali yaonya vituo vya malezi ya watoto
SERIKALI imesema kuwa, itaendelea kuvifungia vituo vyote vya kulelea watoto waishio katika mazingira magumu ambavyo vinaendeshwa kwa kukwepa taratibu na kanuni za uanzishwaji wake. Anaandika Dany Tibason … (endelea). Kauli ...
Read More »Wabunge 37 wapitisha muswada bungeni
KATIKA hali inayoonesha wabunge wengi kuwa na homa ya uchaguzi, jana ni wabunge 37 pekee kati ya 354 ndio waliopitisha Mswada wa Sheria ya Masoko ya Bidhaa ya Mwaka 2015. ...
Read More »Kamukara azikwa kifalme Muleba
HATIMAYE mwili wa Mhariri wa MwanaHALISI Online, Marehemu Edson Kamukara umezikwa leo nyumbani kwao katika kijiji cha Ihangiro, Muleba Kusini, mkoani Kagera. Anaandika Deusdedit Kahangwa, Muleba … (endelea). Katika mazishi ...
Read More »Muswada Benki ya Posta wapita
KWA pamoja bunge limeridhia Muswada wa Sheria ya Benki ya Posta Tanzania (TPB) kwa mwaka 2015 uliolenga kufuta sheria iliyosajili benki hiyo ili sasa isajiliwe chini ya Sheria ya Makampuni. ...
Read More »Soko Mawasiliano kufunguliwa Julai
MENEJA wa Vituo vya Mabasi katika maeneo ya Mawasiliano, Makumbusho na Tegeta, Elichilia Hamis amesema, Soko Kuu la Mawasiliano linatarajiwa kuanza kutumika mwishoni mwa Julai mwaka huu. Anaandika Sarafina Lidwino ...
Read More »Bil 3.91 kusambaza umeme vijiji 13 Meatu
SERIKALI imesema, kiasi cha Sh. 3.91 bilioni zinatarajia kutumika kwa ajili ya kupeleka umeme kwenye vijiji 13 vilivyopo katika Jimbo la Meatu. Anaandika Dany Tibason … (endelea). Vijiji vitakavyonufaika na mradi ...
Read More »Wabunge waumbuana bungeni
MBUNGE wa Msoma Mjini, Vicent Nyerere (Chadema) amempa wakati mgumu Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Janeti Mbene kwa kumtaka kuthibitisha kauli yake bungeni kuwa, Serikali ya CCM imewadhulumu waliokuwa ...
Read More »Mwelekeo Z’bar unatisha
KAMBI Rasmi ya Upinzani Bungeni imesema, hali ya kisiasa Zanzibar inatisha baada ya vikosi vya ulinzi visiwani humo kupewa silaha kisha kuwapiga wananchi wakati wa kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu ...
Read More »Rais Karume ahofia vurugu Z’bar
RAIS Mstaafu wa Zanzibar Dk. Amani Abeid Karume amesisitiza haja ya kulinda na kuendeleza amani iliyopo visiwani humo. Anaandika Mwandishi Wetu … (endelea). Amesema, suala la amani si jambo la ...
Read More »Wasaka Urais CCM wafika 42
ZIKIWA zimebaki siku nne kabla ya kufungwa kwa pazia la kuchukua fomu na kurejesha kwa ajili ya kutafuta wadhamini katika harakati za kugombea nafasi ya kuteuliwa kuiwakilisha CCM kwenye Urais Oktoba ...
Read More »Wafanyabiashara magogo walia na serikali
WAFANYABIASHARA wa mbao na magogo mkoani Lindi na Tanga wameiomba serikali kupunguza utitiri wa kodi. Anaandika Jimmy Mfuru, aliyekuwa Kilwa … (endelea). Ni kutokana na usumbufu unaochochea baadhi ya wafanyabiashara hao kufilisika ...
Read More »Green guard wafunga ofisi UVCCM
HALI si shwari ndani ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wilayani Magu, Mwanza (Green guard) baada ya umoja huo kufunga ofisi hizo kwa kufuli kuzuia katibu wake ...
Read More »Kamukara afikishwa salama Muleba, kuzikwa kesho
MWILI wa aliyekuwa mhariri mwanzishi wa gazeti hili – MwanaHALISI Online – Edson Kamukara, umefikishwa salama kijijini kwao, Ihangiro, Muleba, mkoani Kagera. Anaripoti Desus Kahangwa, kutoka Muleba … (endelea). Mwili ...
Read More »Kafulila achukuliwa fomu ya Ubunge
DAVID Kafulila, Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi) anatarajiwa kupewa zawadi Sh. 5 milioni na Mtandao wa kampeni ya ” IPTL – Bring Back Our Money”. Anaandika Pendo Omary … (endelea). ...
Read More »Vigogo wamuaga Edson Kamukara
VILIO vimetawala katika viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam, wakati wa kuaga mwili wa Edson Kamukara, Mhariri mwanzilishi wa MwanaHALISI Online. Anaripoti Sarafina Lidwino … (endelea). Kila ...
Read More »Kubenea ammlilia Edson Kamukara
MKURUGENZI mtendaji wa Hali Halisi Publishers Limited (HHPL), Saed Kubenea, ametaka waaandishi wa habari kuchunguza kifo cha Edson Kamukara, aliyekuwa mhariri mwanzishi wa gazeti hili. Akizungumza wakati wa kutoa heshima ...
Read More »Wabunge, waandishi wamlilia Kamukara
WAANDISHI pamoja na wabunge kwa ujumla wao wamesikitihwa na kifo cha mwandishi wa habari Edson Kamukara kilichotokea jana nyumbani kwake Mabibo jijini Dar Es Salaam. Wabunge wameonesha hisia zao juu ...
Read More »Mhariri wa MwanaHALISI, Kamukara kuagwa kesho Leaders
MHARIRI mwanzilishi wa gazeti la hili, Edson Kamukara, anatarajia kuagwa kesho kwenye viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es Salaam kuanzia saa nne asubuhi. Marehemu Kamukara ambaye alifariki dunia ...
Read More »Mhariri MwanaHALISI Online afariki dunia
MHARIRI mwanzilishi wa gazeti la hili, Edson Kamukara, amefariki dunia leo Alhamisi, majira ya saa 12 jioni, nyumbani kwake, Mabibo jijini Dar es Salaam. Msiba wa marehemu Kamukara uko nyumbani kwa ...
Read More »BVR yageuzwa biashara
UANDIKISHAJI wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mfumo wa kielektroniki (BVR), umechukua sura mpya kutokana na baadhi ya watu kuwauzia nafasi wengine katika vituo vya kujiandikishia. Anaandika Ferdinand Shayo ...
Read More »Kasulumbayi: Serikali imeishiwa mbinu
MBUNGE wa Maswa Mashariki, Slyvester Kasulumbayi (Chadema) amesema, serikali imeishiwa mbinu katika kubuni vyanzo vipya vya mapato. Anaandika Mwandishi Wetu … (endelea). Ametoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na MwanaHALISIonline baada ...
Read More »JK mgeni rasmi vita dawa za kulevya
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasm katika siku ya maadhimisho ya kupiga vita dawa za kulevya duniani. Anaandika Dany Tibason … (endelea). Maadhimisho hayo ambayo kilele chake kitakuwa Juni ...
Read More »Kamati za maafa zakumbushwa wajibu wao
KAMATI za kuratibu maafa katika ngazi ya Serikali za Mitaa zimetakiwa kutekeleza majukumu yao kikamilifu ya menejimenti ya maafa ili kuweza kujenga jamii yenye uwezo wa kuzuia na kukabili maafa ...
Read More »Simanjiro wachangia maji na wanyama
WAFUGAJI kutoka Kata za Narakawo na Lobosiret zilizopo wilayani Simanjiro, wamelalamikia tatizo la uhaba wa maji hivyo kulazimika kuchangia maji na mifugo katika Bwawa la Narakawo. Anaandika Ferdinand Shayo … (endelea). ...
Read More »Profesa Ngowi: Bajeti ya Serikali haitekelezeki
MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Mzumbe Profesa Honest Ngowi amesema anawasiwasi kuwa, bajeti ya serikali 2015/16 iliyopitishwa kwa kishindo bungeni haitatekelezeka. Anaandika Jimmy Mfuru … (endelea). Aidha, Ngowi amesema itakuwa ngumu ...
Read More »Nape azomewa, Kinana amshusha jukwaani
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye ameanza vibaya ziara yake wilayani Sengrema, Mwanza baada ya wananchi kumzomea. Anaandika Moses Mseti … (endelea). Hata hivyo, ...
Read More »