Thursday , 18 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Mgombea wa 17 achukua fomu ya urais Tanzania

MGOMBEA urais wa Tanzania kupitia Chama Cha NLD, Maisha Mapya Muchunguzi amekabidhiwa fomu za uteuzi wa urais na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa...

KimataifaTangulizi

Maandamano yamng’oa Rais wa Mali

RAIS wa Mali, Ibrahim Boubacar Keita ametangaza kujiuzulu pamoja na Waziri Mkuu wake, Boubou Cissé muda mfupi baada ya wanajeshi waasi kuwakamata na...

Habari za SiasaTangulizi

‘Mafaili’ wagombea ubunge mikononi mwa Magufuli

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Magufuli ameongoza kikao cha kamati kuu ya chama hicho Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Ni hofu, woga THRDC?

MTANDAO wa Utetezi wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini Tanzania (Tanzania Human Rights Defenders Coalition -THRDC), hatimaye umetangaza kusitisha shughuli zake kwa...

Habari za Siasa

Mzee Moyo hatunaye

VISIWA vya Zanzibar na Pemba vimepata pigo, Mzee Hassan Nassoro Moyo ambaye ni miongoni mwa waasisi wa Mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964, amefariki...

Habari za Siasa

Lema: Nimechuku fomu niendelee kuwa mbunge

GODBLESS Lema, amechukua fomu ya kuwania Ubunge Arusha Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...

Habari za Siasa

169 udiwani CCM wapeta Kilimanjaro

WAGOMBEA udiwani 169 kati ya 1145 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), walioomba kuteuliwa kugombea udiwani kupitia chama hicho mkoani Kilimanjaro, wamepitishwa. Anaripoti...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru aongeza kiwewe CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimerudishwa nyuma tarehe ya kutaja majina ya waliopitishwa kugombea ubunge, udiwani na uwakilishi visiwani Zanzibar. Anaripoti Brightness Boaz, Dar...

Habari MchanganyikoTangulizi

THRDC yasitisha shughuli zake

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) imetangaza kusitisha shughuli zake nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea) Taarifa...

Habari za SiasaTangulizi

Wiki ya vilio, vicheko CCM

SAFARI ya kuwania ubunge, uwakilishi (Zanzibar) na udiwani ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwenye uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020, itahitimishwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli aelezea mafanikio, changamoto uenyekiti SADC

DAKTARI John Magufuli, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Rais wa Tanzania amesema, katika miaka 40 tangu kuanzishwa kwa...

Habari za Siasa

Viongozi wa dini wakemea vurugu, kejeli na matusi uchaguzi mkuu 2020

VIONGOZI wa dini nchini Tanzania, wamekemea vitendo vya vurugu kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

Tutashinda uchaguzi, tukiwa wamoja – Mnyika

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewataka viongozi na wanachama wake kuanza mikakati ya chini kwa chini, ili kumsaidia Tundu Lissu, aliyepitishwa na...

Habari za Siasa

Takukuru yamshikilia Mfanyabiashara Dodoma

TAALIB Karim Mbowe, mfanyabiashara na mmiliki wa Kampuni ya White Star Investiment jijini Dodoma anashikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

Habari za SiasaTangulizi

Orodha ya wagombea ACT- Wazalendo, hii hapa

CHAMA cha ACT-Wazalendo. kimetangaza orodha ya wagombea 198 wa ubunge na uwakilishi, Tanzania Bara na Zanzibar.  Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea). Akitangaza...

Habari za Siasa

Kuchomwa ofisi za Chadema: Polisi waingia mtaani

WATU waliohusika na tukio la kuchoma Ofisi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Kaskazini, sasa wanasakwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha…(endelea). Jeshi...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu atashinda?

HARAKATI za kisiasa kuelekea uchaguzi mkuu wa tarehe 28 Oktoba 2020 zinashika kasi. Tayari wagombea ngazi ya urais bara na visiwani wanajulikana. Anaandika Mwandishi...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Wanawake wanavyotishia Uchaguzi Mkuu 2020

KWA mara ya kwanza, Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu katikati ya wiki, Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 tangu mfumo wa vyama vingi uliporejea tena...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Mkuu TAG ataka kura uchaguzi mkuu zihesabiwa hadharani

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Dk. Barnabas Mtokambali ameiomba Serikali nchini humo kuhakikisha Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe...

Habari za Siasa

Tanzania yatumia trilioni 1.1 kumaliza mgawo wa umeme

SERIKALI ya Tanzania imetumia Sh.1.1trilioni kumaliza tatizo la mgawo wa umeme. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Hayo amesema na Dk. Hassan Abbasi,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli kukabidhi uenyekiti SADC J’tatu

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli anakabidhi rasmi kijiti cha Uenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), kwa Rais wa Msumbiji,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Msichague wenye kuhubiri chuki

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewataka Watanzania kutochagua wanasiasa wanaohubiri chuki na k6utoa maneno ya vitisho. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Kiongozi huyo...

Habari MchanganyikoTangulizi

A-Z uamuzi wa TCRA kwa vyombo vya habari

KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa uamuzi katika malalamiko tisa ya watoa huduma ya utangazaji kwa makosa mbalimbali ya...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: TAG jiengeni viwanda

RAIS John Magufuli ameshauri Kanisa la Assembly of God (TAG), kuelekenza nguvu katika ujenzi wa viwanda. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Ametoa...

Habari za Siasa

JPM apewa tunzo ‘udhibiti corona’

RAIS John Magufuli amekabidhiwa tuzo ya ‘hongera’ kutokana na namna alivyokabiliana na ugonjwa wa Homa ya Mapafu inayosababishwa na virusi vya corona (COVID-19)....

Habari za Siasa

Lissu ajigamba ‘sipoi’

TUNDU Lissu, mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema licha ya Ofisi ya Kanda ya Kaskazini kuchomwa moto, ratiba yake...

Habari za SiasaTangulizi

Mdhamini abanwa ampeleke Lissu mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imempatia muda zaidi mdhamini wa Tundu Lissu ili amtafute na kumfikisha mahakamani baada ya...

Habari za Siasa

Prof.Lipumba: Njia ya Ikulu nyeupe

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amesema njia ya kuingia Ikulu ipo wazi. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Chadema yateua wagombea ubunge, uwakilishi Z’bar

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) visiwani Zanzibar, kimeteua wagombea 30 kati ya 50 wa ubunge katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...

Habari

Mhadhiri UDOM kizimbani kwa rushwa ya ngono

JACOB Paul Nyangusi, Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) nchini Tanzania, itamfunguliwa kesi ya Uhujumu Uchumi na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

Habari za Siasa

Wagombea ubunge, uwakilishi CCM Agosti 22

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kitateua wagombea ubunge, uwakilishi na viti maalum tarehe 22 Agosti 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)...

Habari za SiasaTangulizi

Masheikh, Maaskofu wataka haki uchaguzi mkuu 2020

TAASISI za dini nchini Tanzania- Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT)...

Habari za Siasa

Majaliwa akerwa wanaotafuta uongozi kwa rushwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) ihakikishe Watanzania hawarubuniwi ili watumie vizuri utashi wao...

Habari za SiasaTangulizi

Wagombea ubunge 200 Chadema hawa hapa

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, kimetoa orodha ya pili ya walioteuliwa kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 28 Oktoba...

Habari za Siasa

Mch. Msigwa ‘alianzisha’ Iringa Mjini

MCHUNGAJI Peter Msigwa, aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini amesema, hana imani na baadhi ya watendaji wa uchaguzi kuelekea uchaguzi mkuu wa tarehe 28...

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu 2020: NEC, vyombo vya usalama viwabane wanaodhalilisha wanawake

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na vyombo vya dola nchini Tanzania, vimetakiwa kuchukua hatua kali dhidi ya wanasiasa na watu wanaotoa lugha...

Habari za Siasa

Shibuda atumia samaki kuzungumzia utawala bora

JOHN Shibuda, mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha Ada- Tadea amesema, iwapo Watanzania watamchagua katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba...

Habari za SiasaTangulizi

Wagombea ubunge CCM, presha inapanda, presha inashuka

TAKRIBANI wanachama 8,000 kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), walioshiriki mbio za ubunge kupitia chama hicho, sasa wako matumbo joto, kufuatia kuibuka kwa taarifa,...

Habari za SiasaTangulizi

Pazia la ubunge, udiwani kufunguliwa leo NEC

FOMU za kuwania ubunge na udiwani katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 202 zinaanza kutolewa leo Jumatano. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Lissu kuboresha sekta ya afya, nyongeza ya mishahara

MGOMBEA Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amesema, iwapo atapewa ridhaa ya kuwa rais jambo la kwanza...

Habari za Siasa

Ashikiliwa Takukuru kutorejesha milioni 44 kwa miaka kumi za Saccos

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Manyara, inamshikilia mkazi wa Mjini Babati, Yuda Sendeu akidaiwa kuzuia Sh. 44.7 milioni...

Habari za SiasaTangulizi

Wagombea 10 waliochukua fomu urais Tanzania 

WAGOMBEA kumi wa urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 wamechukua fomu Tume ya Taifa ya Uchaguzi  (NEC)....

Habari za Siasa

Prof. Lipumba achagiwa milioni 1 ya fomu za urais

WANAWAKE wa Chama Cha Wananchi (CUF), wamemkabidhi Prof. Ibrahim Lipumba, Mgombea wa chama hicho wa Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...

Habari za Siasa

421 kuchuana kuwania nafasi 10 ubunge viti maalum UVCCM

BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), leo Jumamosi tarehe 8 Agosti 2020 unafanya kura za maoni kwa wagombea...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu achukua fomu urais Tanzania, asindikizwa kwa msafara NEC

TUNDU Antiphas Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chadema amekabidhiwa fomu za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano 28 Oktoba 2020 na...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi yamteua Maganja kugombea urais, Z’bar wakosa

YEREMIA Kurwa Maganja ameteuliwa na Mkutano Mkuu wa chama cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi kugombea urais wa nchi hiyo katika Uchaguzi Mkuu...

Habari za Siasa

Majaliwa akagua ujenzi SGR, atoa maagizo kwa RC Pwani

WAZIRI Mkuu wa Tanznaia, Kassim Majaliwa, amekagua ujenzi wa mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) akiridhishwa na kiwango na kasi ya maendeleo ya...

Habari za Siasa

Maslahi ya chama yawaengua wagombea urais NCCR-Mageuzi, wajumbe waduwaa

WANACHAMA watatu wa chama cha NCCR-Mageuzi, wamejitoa kuwania urais urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa...

Habari za Siasa

Membe achukua fomu kuwania urais Tanzania

BERNARD Kamilius Membe, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha ACT-Wazalendo, amechukua fomu ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumatano tarehe 28...

Habari za Siasa

Babu Duni, Selasini watofautiana NCCR-Mageuzi kushirikiana na Chadema, ACT-Wazalendo

MAKAMU Mwenyekiti wa chama cha ACT-Wazalendo-Zanzibar, Juma Duni Haji maarufu ‘Babu Duni’ amekitaka Chama cha NCCR-Mageuzi kukubali kushirikiana na vyama vingine vya upinzani...

error: Content is protected !!