Thursday , 25 April 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi aeleza sababu kumwangukia Maalim Seif

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amesema, aliamua kufanya mazungumzo na Chama cha ACT-Wazalendo kinachoongozwa na Maalim Seif Shariff Hamad ili kuunda Serikali ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Gavana Sonko ang’olewa rasmi madarakani

BUNGE la Seneti nchini Kenya, limepiga kura kumuondoa malakani aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Mike Mubuvi Sonko, kufutia kupatikana na matumizi mabaya ya ofisi. Anaripoti...

Habari za Siasa

Walionunua magari ya kifahari serikalini matumbo joto

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa siku saba kwa katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu, maofisa wanaochambua maombi ya ununuzi wa magari...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi: Sitofukua makaburi, lakini…

RAIS wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUK), Dk. Hussein Mwinyi amesema, hatojali mtoto wa mtu katika maamuzi magumu atakayochukua ingawa hatofukua...

Habari za Siasa

Museveni ajiimarisha Ikulu, amteua mwanaye kumlinda

RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amemteuwa mwanaye Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba. kuwa mkuu wa kikosi cha ulinzi wa Rais (SFC). Inaripoti mitandao...

Habari za SiasaTangulizi

Mwaka 2020 mchungu kwa Mangula

  PHILIP Japhet Mangula, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), alichungulia kaburi katika mwaka huu wa 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Jafo atangaza waliochaguliwa kidato cha kwanza 2021

SERIKALI ya Tanzania imesema, wanafunzi 759,706 sawa na asilimia 91.1 ya wanafunzi waliofaulu mtihani wa darasa la saba 2020, wamechaguliwa kujiunga na masomo ya...

Habari za Siasa

Mdee, wenzake 18 wapigwa ‘kitanzi’

BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), limemtaka aliyekuwa mwenyekiti wake, Halima James Mdee na wenzake 18, “kuacha kutumia jina...

Habari za Siasa

Rais Magufuli asifu baraza lake

SIKU saba baada ya mawaziri na manaibu waziri kuapishwa kutumikia nafasi hizo, Rais John Magufuli amewasifu kwamba wameanza kazi vizuri. Anaripoti Regina Mkonde,...

ElimuHabari MchanganyikoTangulizi

WhatsApp yatumika udanganyifu wa mitihani, 65 mbaroni

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kagera, inawashikilia wanafunzi 38 wa Chuo cha Ufundi (VETA) Wilaya ya Bukoba mkoani...

Habari za Siasa

Rais wa China alivyompigia simu Magufuli

RAIS wa China, Xi Jinping amempigia simu Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano...

Habari za Siasa

Wabunge ACT-Wazalendo waapishwa, Spika Ndugai asema…

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amewaapisha wabunge wanne wa chama cha ACT-Wazalendo huku akisema, akidi ya muhimili...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi aivunja bodi ya shirika la meli na uwakala

RAIS wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amevunja Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Meli na Uwakala, Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Spika Ndugai kuwaapisha wabunge ACT-Wazalendo

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai leo Jumanne tarehe 15 Desemba 2020, atawaapisha wabunge wanne wa ACT-Wazalendo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Maumivu ya wapinzani, vigogo 2020

SAFARI ya kuhitimisha siku 365 za mwaka 2020 inaelekea ukingoni huku ikiwa imeshuhudia machozi na damu kwa wanasiasa hususan wa upinzani, wanaharakati pamoja...

Habari za Siasa

Waziri Aweso awasimamisha watatu DDCA, atoa maagizo Dawasa

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Wakala wa Uchimbani Visima (DDCA) kutokana na tuhuma za ubadhilifu na kuagiza uchunguzi...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi amtumbua aliyemwapisha siku 37 zilizopita

Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ametengua uteuzi wa Katibu wake, Suleiman Ahmed Saleh. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Taarifa iliyotolewa leo Jumatatu tarehe 14...

Habari za Siasa

RC Chalamila: Tulipashwa kujipeleka polisi kufungwa

ALBART Chalamila, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC) nchini Tanzania amesema, viongozi wa mkoa huo wamedhalilika kutokana na kumea kwa wizi wa dhahabu....

Habari za SiasaTangulizi

Madiwani ACT-Wazalendo waapishwa, wabunge wamfuata Ndugai

MADIWANI wa Chama cha ACT-Wazalendo, wameanza kuapishwa leo Jumatatu tarehe 14 Desemba 2020 huku wabunge wateule wakiwa kwenye maandalizi ya kuelekea Dodoma kwa...

Habari za Siasa

Agizo la Magufuli lamng’oa kigogo wa madini

DOTTO Biteko, Waziri wa Madini nchini amemvua madaraka Paul Gagala, Mwenyekiti wa Soko la Madini Wilaya ya Chunya sambamba na kuwasimamisha kazi watumishi watatu...

Habari za Siasa

Membe atikisa, ACT-Wazalendo ‘wajigamba’

TAARIFA za Bernard Membe, aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, ‘kukimwaga’ chama hicho, zinavuruga wengi. Anaandika Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari

Dk. Kalemani aipa maagizo TANESCO

WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani ameliagiza Shirika la Umeme wa Ugavi nchini (TANESCO), kuhakikisha umeme haukatiki. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Pia amelitaka shirika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Bagonza: Niko salama, nitawashtaki kwa Mungu

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera amesema, “mimi niko salama, naendelea na majukumu yangu kama...

Habari za Siasa

Diwani wa Chadema aliyeuwawa atunukiwa tuzo

ALIYEKUWA Diwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Kata ya Namwawala, jimbo la Mlimba, mkoani Morogoro, Godfrey Luena, ametunukiwa “Tuzo ya...

Habari

Magufuli aagiza mishahara ‘watumishi’ TMAA ipunguzwe

RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameagiza waliokuwa watumishi wa Wakala wa Ukauzi wa Madini Tanzania (TMAA) kisha kuhamishiwa Tume ya Madini wapunguziwe mishahara...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyeshindwa kuapa, aombewa kazi kwa JPM

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewaomba Watanzania kumwombea Mbunge wa Kilwa Kaskazini Mkoa wa Lindi, Francis Ndulane aliyeshindwa kuapa kuwa Naibu Waziri...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Makamu wa Kwanza wa Rais Z’bar, ‘mweupeee’

MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seiff Sharif Hamad, hana mamlaka ya “kutumbua, kuteua; na au kushika kiti cha urais, ikiwa...

Habari za Siasa

Magufuli amwapisha mrithi aliyeshindwa kuapa

PROFESA Shukrani Manya, leo Ijumaa tarehe 11 Desemba 2020, inaweza kuwa siku ya historia katika maisha yake, baada ya kula viapo viwili tofauti...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru ateta na Balozi wa Ufaransa

UBALOZI wa Ufaransa nchini Tanzania, umefanya makubaliano na Serikali ya Tanzania kuanzisha ushirikiano wa maendeleo ya vijana hususan utoaji wa ajira. Anaripoti Danson...

Habari za Siasa

THDRC yakumbusha machungu uchaguzi mkuu, yasisitiza mazungumzo

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeishauri Serikali nchini humo kufanya mazungumzo na vyama vya upinzani ili kupata suluhu ya...

Habari za Siasa

Spika Ndugai awaita wabunge ACT-Wazalendo awaapishe, wao wamjibu

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amewataka wabunge wanne wa ACT-Wazalendo, kwenda bungeni kuapishwa ili waanze kuwatumikia wananchi...

Habari za Siasa

Ndugai amwapisha anayekwenda kumrithi aliyeshindwa kuapa

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amemwapisha, Profesa Shukrani Manya kuwa Mbunge wa kuteuliwa na Rais. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari za Siasa

Magufuli ateua mrithi wa aliyeshindwa kuapa

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemteua Profesa Shukrani Manya kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anaripoti Brightnes Boaz, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamshangaa Ndugai, wahoji ‘tunakwendaje mahakamani?’ 

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeshangazwa na kauli ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuwa hana mamlaka ya kuwafukuza bungeni, Halima Mdee...

Habari

Aweso amtumbua bosi Duwasa

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amemtumbua Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (Duwasa), Mhandisi David Pallangyo akitaka apangiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Lema apata hifadhi ya ukimbizi Canada

ALIYEKUWA Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amepata hifadhi ya ukimbizi ya kisiasa nchini Canada. Anaripoti Mwandishi Wetu, Nairobi … (endelea). Lema...

Habari za Siasa

Magufuli alivyowachambua mawaziri, wapa maagizo

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amewachambua mawaziri wake 21 na manaibu waziri 22, aliowateua tarehe 5 Desemba 2020 na kuwataka kwenda kufanya kazi...

Habari za Siasa

Dk. Kigwangalla aomba radhi ‘mimi ni binadamu dhaifu’

MBUNGE wa Nzega Vijijini (CCM), Dk. Hamis Kigwangalla amewaomba radhi watumishi na wananchi aliowakosea enzi akiwa waziri wa Serikali ya Tanzania. Anaripoti Brightness...

Habari za Siasa

Magufuli aonya wanaovujisha siri za Serikali, kujipiga ‘selfie’

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewaagiza wateule wake kutotumia mitandao ya kijamii katika utekelezaji wa majukumu yao, ili kudhibiti uvujaji wa siri...

Habari za Siasa

Magufuli akataa kunyonga 256, wafungwe maisha

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewapunguzia adhabu wafungwa 256  waliohukumiwa kunyongwa na kuagiza wapewe kifungo cha maisha gerezani. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Magufuli kumng’oa naibu waziri aliyeshindwa kuapa

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amesema atafanya uteuzi mpya wa Naibu Waziri wa Madini baada ya aliyemteua, Francis Ndulane kushindwa kuapa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli aapisha timu yake ya mawaziri 

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewaapisha mawaziri na manaibu waziri aliowateua tarehe 5 Desemba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Uapisho...

AndroidHabari za Siasa

Bwege anena mazito baada ya kushindwa ubunge

ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kusini kupitia Chama Cha Wananchi (CUF), Selemani Bungara maarufu ‘Bwege’ ametoa msimamo wake wa kisiasa mara baada ya kushindwa...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai awapiga ‘stop’ Chadema ‘nendeni NEC au mahakamani’              

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwenda Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) au mahakamani,...

Habari za Siasa

Fuatana na Maalim kutoka Ikulu ya Zanzibar

MAALIM Seif Sharif Hamad, ameapishwa kuwa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar. Kuapishwa kwake, kumetokana na matakwa ya Katiba ya Zanzibar ya...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi aonyesha njia ya maridhiano Zanzibar

RAIS wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUKI), Visiwani Zanzibar, Dk. Hussein Alli Mwinyi, amewaomba wananchi visiwani humo, kuweka kando tofauti zao za...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif akubali yaishe, akumbusha machungu ya uchaguzi 

HATIMAYE Maalim Seif Hamad, mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo, amekubali yaishe. Ameapishwa kuwa Makamo wa Rais wa Kwanza, katika serikali ya Umoja...

Habari za SiasaTangulizi

Maalim Seif kurejea tena Ikulu leo

RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi leo Jumanne tarehe 8 Desemba 2020, atamwapisha Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais...

Habari za Siasa

Majaliwa afuta likizo za watendaji Krismas, mwaka mpya kisa… 

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewaagiza Makatibu Tawala wa Mikoa (RAS) yote nchini humo wahakikishe watendaji wote wa Mikoa, Wilaya, Halmashauri wasiende...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi ateua tena vigogo ACT-Wazalendo

RAIS wa Zanzibar, Hussein Ali Mwinyi, amefanya uteuzi wa wanachama wawili wa ACT-Wazalendo kuwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

error: Content is protected !!