NI takribani miaka 34 imepita tangu kuuawa kwa aliyekuwa Rais wa Burkina Faso, Thomas Sankara. Lakini kesi juu ya mauaji yake imeanza...
By Masalu ErastoNovember 11, 2021MAJUZI, Waziri wa Madini nchini Tanzania, Dotto Biteko ameainisha uwekezaji wa miradi mipya mikubwa mitatu inayoanza kufanyiwa uwekezaji nchini. Anaandika Zitto Kabwe,...
By Mwandishi MaalumNovember 8, 2021UPATIKANAJI wa haki kwa wote ni jambo linalotarajiwa na kila mtu bila kujali mazingira aliyopo kwa wakati huo. Ndio maana hakuna mtu...
By Kelvin MwaipunguNovember 3, 2021MIAKA ya hivi karibuni kumeibuka mtindo wa wanawake kujiita au hata kuitwa ‘mwanamke wa nguvu’ lakini wengi wamemsahau Bibi Titi Mohammed, ambaye...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2021RAIS wa Ufilipino, Rodrigo Duterte amesema, tofauti na ambavyo alieleza huko nyuma, ameamua kujiuzulu siasa na hivyo, hatajitosa katika kinyang’anyiro cha urais katika...
By Masalu ErastoOctober 3, 2021TAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) nchini Tanzania, imeombwa kuandaa kikao cha mariadhiano ambacho kitawakutananisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa nchini ili...
By Mwandishi WetuOctober 1, 2021SI jambo rahisi kwa vijana wa kike kupenya na kufaulu vizuri katika taaluma mbalimbali ambazo zinashikwa na wanaume wengi zaidi hapa nchini...
By Mwandishi WetuSeptember 8, 2021TAREHE 6 Septemba 2021, mwaka huu ulimwengu wa soka ulikumbwa na simanzi baada ya mchezaji wa zamani wa Ufaransa, Jean Pierre Adams...
By Gabriel MushiSeptember 7, 2021HATI ya mashitaka – Charge Sheet – yaweza kukosa uhalali wa kisheria, ikiwa Mkurugenzi wa Mashitaka ya Jinai nchini (DPP), atashidwa kuandaa...
By Mwandishi MaalumSeptember 1, 2021ZAMBIA wameamua! Usiku wa tarehe 15 Agosti 2021. Zambia wameandika historia ya kipekeee baada ya Hakainde Hichilem, Mgombea wa chama cha upinzani...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2021NI takribani mwaka na nusu sasa, dunia inateseka kutokana na ugonjwa wa Covid-19, ambao historia inaonesha ulianzia katika mji wa Wuhan nchini...
By Mwandishi WetuJuly 5, 2021MOJA ya nchi yenye mfumo bora katika elimu ni Indonesia. Kila mwaka hutenga zaidi ya asilimia 21 katika elimu peke yake. Anaandika Yusuph...
By Yusuph KatimbaJune 24, 2021MNIJUZE wakazi wa Zanzibar, taswira halisi ya Balozi Seif Ali Idi, Makamu wa Pili Mstaafu visiwani humo ilivyo kwa sasa, je ni...
By Yusuph KatimbaJune 22, 2021KIPYENGA cha uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kimepulizwa rasmi. Anaandika Mwandishi Maalum … (endelea). Kwa mujibu wa...
By Mwandishi MaalumJune 13, 2021ILIKUWA siku ya Alhamisi tarehe 12 Aprili 1984, mimi nikiwa na Mwandishi mwanafunzi mwenzangu aitwaye Mosoeu Magalefa raia wa Afrika Kusini tuliyekuwa...
By Mwandishi MaalumJune 13, 2021ALIYEKUWA mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Tundu Lissu amejitosa kwenye mjadala wa kuundwa kwa mkoa mpya...
By Mwandishi WetuJune 3, 2021MAPENDEKEZO ya kuundwa kwa mkoa mpya wa Chato, yametibua hali ya hewa na kuibua mjadala mzito. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuJune 1, 2021MKUU wa zamani wa usalama wa Rais wa Uganda, marehemu Milton Obote, ambaye alidhaniwa amekufa, amerejea nyumbani kwao Uganda baada ya miaka...
By Saed KubeneaMay 12, 2021ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza, amekitaka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS),...
By Masalu ErastoApril 14, 2021BUNGE nchini Uholanzi, limepitisha muswaada unaoelekeza serikali ya nchi hiyo, kuyatambua mauaji ya Waarmenia, yaliyofanyika wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia,...
By Masalu ErastoFebruary 27, 2021RAIS John Magufuli, ametangaza kuivunja halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, kuanzia Jumatano iliyopita, tarehe 24 Februari mwaka huu. Amesema, hatua...
By Kelvin MwaipunguFebruary 25, 2021MJADALA juu ya nyongeza ya muda wa Rais John Magufuli, kuendelea kubaki madarakani, baada ya kipindi chake cha urais kumalizika, umepamba moto. Ndani...
By Mwandishi WetuFebruary 10, 2021PROFESA Ibrahim Haruma Lipumba, mwenyekiti wa taifa wa Chama cha Wananchi (CUF), ametonesha kidonda kilichoanza kusahauliwa na pengine kutotaka kuguswa. Anaandika Mwandishi...
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2021RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la magonjwa ya dharura...
By Mwandishi MaalumJanuary 30, 2021MARA baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) kwenye hatua ya makundi, timu ya...
By Kelvin MwaipunguJanuary 30, 2021DIRISHA dogo la usajili kwa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara na ligi daraja la kwanza, limefungwa tarehe 15 Januari 2021, huku baadhi...
By Kelvin MwaipunguJanuary 19, 2021MTOTO wa kwanza wa mwasisi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Sheikh Abeid Aman Karume amesema, baba yake, alikuwapo Zanzibar, usiku wa kuamkia...
By Mwandishi WetuJanuary 17, 2021JUSTIN Trudeau, Waziri Mkuu wa Canada anatakiwa kuchunguza kifo tatanishi cha mwanaharakati Karima Baloch. Anaandika Mwandishi Wetu … (endelea). Ni kutokana na shinikizo...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2020SAFARI ya kuhitimisha siku 365 za mwaka 2020 inaelekea ukingoni huku ikiwa imeshuhudia machozi na damu kwa wanasiasa hususan wa upinzani, wanaharakati pamoja...
By Faki SosiDecember 15, 2020MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seiff Sharif Hamad, hana mamlaka ya “kutumbua, kuteua; na au kushika kiti cha urais, ikiwa...
By Masalu ErastoDecember 11, 2020HATIMAYE safari ya kisiasa ya aliyekuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la taifa (BAWACHA), katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima James...
By Mwandishi WetuDecember 2, 2020KWA mara ya kwanza, Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu katikati ya wiki, Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 tangu mfumo wa vyama vingi uliporejea tena...
By Masalu ErastoAugust 15, 2020JUMATANO ya tarehe 28 Oktoba 2020, Watanzania wenye sifa za kupiga kura, watakuwa na fursa ya kujitokeza kuwachagua madiwani, wabunge na Rais. Anaripoti...
By Mwandishi WetuAugust 5, 2020ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema, chama hicho kimechukua tahadhari kubwa ili kisiingie kwenye makosa yaliyofanywa mwaka 2015. Anaandika Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuJuly 20, 2020ABAS Juma Mhunzi, makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Tanzania Zanzibar, “ameliamsha dude.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Amemtuhumu mwenyekiti wake,...
By Mwandishi WetuJune 29, 2020JOTO la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, linapamba moto ndani ya vyama mbalimbali vya siasa nchini Tanzania. Anaandika Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Tayari...
By Mwandishi WetuJune 19, 2020JOTO la uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020 limeanza kufukuta, vyama mbalimbali vya siasa vimeanza kuweka mikakati yake ya kupata wagombea. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea). Mwenyekiti...
By Mwandishi WetuJune 4, 2020SIKU ya miguu kifundo au nyayo za kupinda ulimwenguni huadhimishwa kila mwaka tarehe 3 Juni. Tarehe hii ilitokana na maadhimisho ya siku ya kuzaliwa...
By Mwandishi WetuJune 3, 2020NI binti anayetimiza miaka 28 mwaka huu. Alibakwa akiwa na miaka 10 na kuwa chanzo cha kuambukizwa ugonjwa wa ukimwi. Ameishi na virusi...
By Mwandishi MaalumJune 1, 2020SAA sita na dakika ishirini na moja mchana wa Jumapili terehe 10 Mei 2020 nilizungumza na Kagina Karashani kuhusu maendeleo ya matibabu ya...
By Mwandishi MaalumMay 12, 2020KIFO cha Dk. Masumbuko Roman Lamwai, kilichokea usiku wa Jumatatu tarehe 4 Mei 2020, kimewatoa machozi Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Anaandika Regina Mkonde,...
By Regina MkondeMay 8, 2020EVOD Mmanda, naomba uamke kaka yangu. Umeondoka mapema mno kaka. Kwa nini lakini? Anaandika Moses Machali … (endelea) Kwangu hukuwa rafiki tu, bali...
By Mwandishi MaalumApril 27, 2020ILI UWEZE kufanikisha jambo ni lazima uweke mipango mikakati ya jambo ambalo unataka kulifanya kwa maana ya mpango wa mrefu wa kati na...
By Danson KaijageApril 10, 2020HAIKUWA rahisi hivyo kwa wafuasi wa mwanasiasa gwiji nchini na mtetezi mkuu wa Zanzibar yenye mamlaka kamili, Maalim Seif Shariff Hamad, kuamini kuwa...
By Jabir IdrissaMarch 16, 2020KUJA kwa kiongozi wa upinzani wa Zimbabwe na mwingine kutoka Afrika Kusini kushuhudiwa akihutubia kwa njia ya video kwenye jukwaa la kielektroniki, kulichangia...
By Jabir IdrissaMarch 16, 2020DUNIA inatikisika, virusi vya ugonjwa wa Corona vimeendelea kusamba na kusababisha hofu kubwa sambamba na vifo. Anaandika Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Shughuli za uzalishaji...
By Regina MkondeMarch 13, 2020VIRUSI vya Corona vinaendeleo kuitesa dunia, tayai imesababisha madhara makubwa katika nchi mbalimbali duniani. Anaandika James Iyambogo, Mwanza … (endelea). Ugonjwa huo husambaa...
By Masalu ErastoMarch 11, 2020MIJADALA kwenye mitandao ya kijamii, imekoleza tuhumadhidi ya Mwenyekiti wa taifa wa chama cha NCCR- Mageuzi, James Francis Mbatia, kwamba anatumika na Chama...
By Yusuph KatimbaMarch 6, 2020TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameandika wakala wake kwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu...
By Mwandishi MaalumFebruary 28, 2020BARAZA la taifa la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo ((BAVICHA), jana Alhamisi, tarehe 13 Februari 2020, liliitisha mkutano na waandishi wa...
By Mwandishi MaalumFebruary 14, 2020