Thursday , 18 April 2024

Makala & Uchambuzi

KimataifaMakala & Uchambuzi

SANKARA: Rais aliyetendwa vibaya na swahiba, alipinduliwa na kuuawa

  NI takribani miaka 34 imepita tangu kuuawa kwa aliyekuwa Rais wa Burkina Faso, Thomas Sankara. Lakini kesi juu ya mauaji yake imeanza...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Zitto achokonoa upya sheria za madini

  MAJUZI, Waziri wa Madini nchini Tanzania, Dotto Biteko ameainisha uwekezaji wa miradi mipya mikubwa mitatu inayoanza kufanyiwa uwekezaji nchini. Anaandika Zitto Kabwe,...

Makala & Uchambuzi

LSF ulivyopunguza msongamano magerezani, 35,000 wapata msaada wa kisheria

  UPATIKANAJI wa haki kwa wote ni jambo linalotarajiwa na kila mtu bila kujali mazingira aliyopo kwa wakati huo. Ndio maana hakuna mtu...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

BIBI TITI MOHAMMED; Mwanamke wa nguvu aliyedaiwa kutaka kumpindua Nyerere

  MIAKA ya hivi karibuni kumeibuka mtindo wa wanawake kujiita au hata kuitwa ‘mwanamke wa nguvu’ lakini wengi wamemsahau Bibi Titi Mohammed, ambaye...

Makala & Uchambuzi

Rais mtata wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, tangaza kujiuzulu siasa

RAIS wa Ufilipino, Rodrigo Duterte amesema, tofauti na ambavyo alieleza huko nyuma, ameamua kujiuzulu siasa na hivyo, hatajitosa katika kinyang’anyiro cha urais katika...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Taasisi ya Mwalimu Nyerere yapewa zigo kuponya Taifa, wanasiasa watoa nyongo

  TAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) nchini Tanzania, imeombwa kuandaa kikao cha mariadhiano ambacho kitawakutananisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa nchini ili...

Makala & Uchambuzi

GGML mkombozi wa wahandisi wa kike katika sekta ya madini

  SI jambo rahisi kwa vijana wa kike kupenya na kufaulu vizuri katika taaluma mbalimbali ambazo zinashikwa na wanaume wengi zaidi hapa nchini...

Makala & UchambuziMichezo

Mgomo wa madaktari ulivyomweka kwenye koma miaka 39 Jean Pierre, dunia yamlilia

  TAREHE 6 Septemba 2021, mwaka huu ulimwengu wa soka ulikumbwa na simanzi baada ya mchezaji wa zamani wa Ufaransa, Jean Pierre Adams...

Makala & Uchambuzi

Kesi ya Mbowe ni ya kubumba?

  HATI ya mashitaka – Charge Sheet – yaweza kukosa uhalali wa kisheria, ikiwa Mkurugenzi wa Mashitaka ya Jinai nchini (DPP), atashidwa kuandaa...

KimataifaMakala & UchambuziTangulizi

Hakainde Hichilem; tajiri anayetinga Ikulu Zambia, alidaiwa Freemason

  ZAMBIA wameamua! Usiku wa tarehe 15 Agosti 2021. Zambia wameandika historia ya kipekeee baada ya Hakainde Hichilem, Mgombea wa chama cha upinzani...

Makala & Uchambuzi

Malipo vipimo Covid-19 Tanzania, iwe huduma na siyo fursa

  NI takribani mwaka na nusu sasa, dunia inateseka kutokana na ugonjwa wa Covid-19, ambao historia inaonesha ulianzia katika mji wa Wuhan nchini...

Makala & Uchambuzi

Tunajadili bila hatua, tunaangamia

MOJA ya nchi yenye mfumo bora katika elimu ni Indonesia. Kila mwaka hutenga zaidi ya asilimia 21 katika elimu peke yake. Anaandika Yusuph...

Makala & Uchambuzi

Balozi Seif Ali Idi ana hali gani?

  MNIJUZE wakazi wa Zanzibar, taswira halisi ya Balozi Seif Ali Idi, Makamu wa Pili Mstaafu visiwani humo ilivyo kwa sasa, je ni...

Makala & Uchambuzi

TFF: Ni uchaguzi huru usio na haki

  KIPYENGA cha uchaguzi mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kimepulizwa rasmi. Anaandika Mwandishi Maalum … (endelea). Kwa mujibu wa...

Makala & Uchambuzi

Makunga: Tangulia Mzindakaya, shuhuda mwenza wa Kifo cha Sokoine

  ILIKUWA siku ya Alhamisi tarehe 12 Aprili 1984, mimi nikiwa na Mwandishi mwanafunzi mwenzangu aitwaye Mosoeu Magalefa raia wa Afrika Kusini tuliyekuwa...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Lissu atia mguu Chato

  ALIYEKUWA mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania, Tundu Lissu amejitosa kwenye mjadala wa kuundwa kwa mkoa mpya...

Makala & UchambuziTangulizi

Vigogo wachambua vigezo Chato kuwa mkoa

  MAPENDEKEZO ya kuundwa kwa mkoa mpya wa Chato, yametibua hali ya hewa na kuibua mjadala mzito. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Makala & Uchambuzi

Mlinzi wa Rais Obote aliyedhaniwa kufa arejea baada ya miaka 50

  MKUU wa zamani wa usalama wa Rais wa Uganda, marehemu Milton Obote, ambaye alidhaniwa amekufa, amerejea nyumbani kwao Uganda baada ya miaka...

Makala & Uchambuzi

Askofu Dk. Bagonza: TLS imara ni Hoseah

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza, amekitaka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS),...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Uholanzi, Uturuki ‘waingia’ vitani

  BUNGE nchini Uholanzi, limepitisha muswaada unaoelekeza serikali ya nchi hiyo, kuyatambua mauaji ya Waarmenia, yaliyofanyika wakati wa Vita vya Kwanza vya Dunia,...

Makala & Uchambuzi

Kuvunjwa kwa Jiji la Dar giza nene latanda

  RAIS John Magufuli, ametangaza kuivunja halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, kuanzia Jumatano iliyopita, tarehe 24 Februari mwaka huu. Amesema, hatua...

Makala & Uchambuzi

Ukomo wa urais uheshimiwe

MJADALA juu ya nyongeza ya muda wa Rais John Magufuli, kuendelea kubaki madarakani, baada ya kipindi chake cha urais kumalizika, umepamba moto. Ndani...

Makala & UchambuziTangulizi

Katiba Mpya: Tuanzie pale alipoishia Jaji Warioba

  PROFESA Ibrahim Haruma Lipumba, mwenyekiti wa taifa wa Chama cha Wananchi (CUF), ametonesha kidonda kilichoanza kusahauliwa na pengine kutotaka kuguswa. Anaandika Mwandishi...

Makala & UchambuziTangulizi

Matatizo sekta ya afya ni zaidi ya hili

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la magonjwa ya dharura...

Makala & UchambuziMichezoTangulizi

Taifa Stars imeshindwa kuendelea, ilipoishia

  MARA baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN) kwenye hatua ya makundi, timu ya...

Makala & UchambuziMichezo

Namungo wametushangaza, ila Manyama ameshangaza zaidi

DIRISHA dogo la usajili kwa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara na ligi daraja la kwanza, limefungwa tarehe 15 Januari 2021, huku baadhi...

Makala & Uchambuzi

Amani Karume: Asimulia Mapinduzi ya Zanzibar na kusema: Mzee Karume alikuwepo Zanzibar usiku wa Mapinduzi 

MTOTO wa kwanza wa mwasisi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Sheikh Abeid Aman Karume amesema, baba yake, alikuwapo Zanzibar, usiku wa kuamkia...

Makala & Uchambuzi

Kifo cha Baloch, Canada katikati ya shinikizo zito

JUSTIN Trudeau, Waziri Mkuu wa Canada anatakiwa kuchunguza kifo tatanishi cha mwanaharakati Karima Baloch. Anaandika Mwandishi Wetu … (endelea). Ni kutokana na shinikizo...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Maumivu ya wapinzani, vigogo 2020

SAFARI ya kuhitimisha siku 365 za mwaka 2020 inaelekea ukingoni huku ikiwa imeshuhudia machozi na damu kwa wanasiasa hususan wa upinzani, wanaharakati pamoja...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Makamu wa Kwanza wa Rais Z’bar, ‘mweupeee’

MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seiff Sharif Hamad, hana mamlaka ya “kutumbua, kuteua; na au kushika kiti cha urais, ikiwa...

Makala & UchambuziTangulizi

Halima James Mdee: Kutoka U-kamanda hadi Yuda Iskarioti

HATIMAYE safari ya kisiasa ya aliyekuwa mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la taifa (BAWACHA), katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima James...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Wanawake wanavyotishia Uchaguzi Mkuu 2020

KWA mara ya kwanza, Tanzania itafanya Uchaguzi Mkuu katikati ya wiki, Jumatano tarehe 28 Oktoba 2020 tangu mfumo wa vyama vingi uliporejea tena...

Makala & Uchambuzi

Uchaguzi mkuu 2020: Wanawake wajitokeza, rasimu ya Warioba yakumbukwa

JUMATANO ya tarehe 28 Oktoba 2020, Watanzania wenye sifa za kupiga kura, watakuwa na fursa ya kujitokeza kuwachagua madiwani, wabunge na Rais. Anaripoti...

Makala & Uchambuzi

Zitto ataja kosa la Chadema kwa Lowassa, Sumaye

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema, chama hicho kimechukua tahadhari kubwa ili kisiingie kwenye makosa yaliyofanywa mwaka 2015. Anaandika Mwandishi Wetu,...

Makala & Uchambuzi

Prof. Lipumba ageukwa na Swahiba wake, Abas Mhunzi

ABAS Juma Mhunzi, makamu mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Tanzania Zanzibar, “ameliamsha dude.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Amemtuhumu mwenyekiti wake,...

Makala & Uchambuzi

‘Matundu’ uchaguzi serikali za mitaa yasirejeshwe 2020

JOTO la Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, linapamba moto ndani ya vyama mbalimbali vya siasa nchini Tanzania. Anaandika Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Tayari...

Makala & Uchambuzi

Wanawake wanapenyaje uchaguzi mkuu 2020?

JOTO la uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020 limeanza kufukuta, vyama mbalimbali vya siasa vimeanza kuweka mikakati yake ya kupata wagombea. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea). Mwenyekiti...

AfyaMakala & Uchambuzi

Ufahamu ulemavu wa miguu kifundo na madhara yake

SIKU ya miguu kifundo au nyayo za kupinda ulimwenguni huadhimishwa kila mwaka tarehe 3 Juni. Tarehe hii ilitokana na maadhimisho ya siku ya kuzaliwa...

Makala & Uchambuzi

Alibakwa, akaambukizwa Ukimwi, sasa shujaa

NI binti anayetimiza miaka 28 mwaka huu. Alibakwa akiwa na miaka 10 na kuwa chanzo cha kuambukizwa ugonjwa wa ukimwi. Ameishi na virusi...

Makala & Uchambuzi

Fili Karashani, Mtoto wa Tasnia ya Habari Barani Africa

SAA sita na dakika ishirini na moja mchana wa Jumapili terehe 10 Mei 2020 nilizungumza na Kagina Karashani kuhusu maendeleo ya matibabu ya...

Makala & Uchambuzi

Mkasa wa kusisimua wa Dk. Lamwai usioujua

KIFO cha Dk. Masumbuko Roman Lamwai, kilichokea usiku wa Jumatatu tarehe 4 Mei 2020, kimewatoa machozi Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Anaandika Regina Mkonde,...

Makala & Uchambuzi

Buriani Kaka Evod Herman Mmanda

EVOD Mmanda, naomba uamke kaka yangu. Umeondoka mapema mno kaka. Kwa nini lakini? Anaandika Moses Machali … (endelea) Kwangu hukuwa rafiki tu, bali...

Makala & Uchambuzi

Huu ndiyo mpango mkakati wa miaka mitano ya EWURA

ILI UWEZE kufanikisha jambo ni lazima uweke mipango mikakati ya jambo ambalo unataka kulifanya kwa maana ya mpango wa mrefu wa kati na...

Makala & Uchambuzi

Maalim Seif jabali kuu ACT-Wazalendo 

HAIKUWA rahisi hivyo kwa wafuasi wa mwanasiasa gwiji nchini na mtetezi mkuu wa Zanzibar yenye mamlaka kamili, Maalim Seif Shariff Hamad, kuamini kuwa...

Makala & Uchambuzi

Tendai kama Lwaitama wapamba ACT-Wazalendo

KUJA kwa kiongozi wa upinzani wa Zimbabwe na mwingine kutoka Afrika Kusini kushuhudiwa akihutubia kwa njia ya video kwenye jukwaa la kielektroniki, kulichangia...

AfyaMakala & Uchambuzi

Corona inavyoitoa machozi dunia

DUNIA inatikisika, virusi vya ugonjwa wa Corona vimeendelea kusamba na kusababisha hofu kubwa sambamba na vifo. Anaandika Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Shughuli za uzalishaji...

AfyaMakala & Uchambuzi

Tahadhari ya Corona (COVID-19) Tanzania

VIRUSI vya Corona vinaendeleo kuitesa dunia, tayai imesababisha madhara makubwa katika nchi mbalimbali duniani. Anaandika James Iyambogo, Mwanza … (endelea). Ugonjwa huo husambaa...

Makala & UchambuziTangulizi

Kosa la Mbatia ni lipi?

MIJADALA kwenye mitandao ya kijamii, imekoleza tuhumadhidi ya Mwenyekiti wa taifa wa chama cha NCCR- Mageuzi, James Francis Mbatia, kwamba anatumika na Chama...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Lissu aichomea tena Serikali ya JPM

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameandika wakala wake kwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu...

Makala & Uchambuzi

Bavicha na UV-CCM, ni pipa na mfuniko

BARAZA la taifa la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo ((BAVICHA), jana Alhamisi, tarehe 13 Februari 2020, liliitisha mkutano na waandishi wa...

error: Content is protected !!