Thursday , 28 March 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Ufisadi watikisa Bunge, wabunge wataka sheria kuwanyonga wezi

KITENDO cha baadhi ya wezi wa fedha za umma kutochukuliwa hatua za kisheria, kimewachefua baadhi ya wabunge ambao wametaka sheria mahususi itungwe itakayoweka...

ElimuTangulizi

Sera mpya ya elimu yafuta darasa la saba, vigezo kusomea ualimu form VI

SERIKALI imekamilisha kazi ya mapitio ya mitaala ya elimu kuanzia ngazi ya msingi, sekondari hadi ualimu, huku ikiendelea na mapitio ya mitaala na...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda ampa miezi sita Majaliwa, awarushia dongo kina Mbowe

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amempa miezi sita Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, atatue migogoro ya ardhi inayowakabili wananchi.Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yamng’ang’ania Sabaya, yamrudisha mahakamani

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya amefika mbele ya Mahakama ya Rufani jijini Arusha, kusikiliza rufaa iliyofunguliwa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Muswada bima ya afya wasomwa bungeni, wasiojiunga kupewa adhabu

MUSWADA wa Bima ya Afya kwa Wote wa 2022, umewasilishwa bungeni jijini Dodoma na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu na kusomwa kwa mara...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei za petroli, dizeli yashuka Dar, mafuta ya taa yapaa

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei mpya za nishati ya mafuta nchini ambazo zimeanza kutumika leo Novemba...

Habari za SiasaTangulizi

Ujerumani kuwalipa fidia wahanga wa ukoloni Tanzania, kurejesha mabaki

RAIS wa Shirikisho la Ujerumani, Dk. Frank Walter Steinmeier, ameahidi kufanya mazungumzo na watu walioathiriwa na ukoloni uliofanywa na taifa hilo, juu ya...

MichezoTangulizi

Messi ashinda Ballon d’Or ya 8, Man City klabu bora duniani

HAFLA ya 67 ya Ballon d’Or ilifanyika usiku wa Jumatatu tarehe 30 Oktoba 2023 kwenye ukumbi wa Théâtre du Châtelet jijini Paris, Ufaransa...

Habari za SiasaTangulizi

Zungu ataja siri Spika Tulia kushinda Urais wa IPU

NAIBU Spika wa Bunge, Azzan Zungu, amesema kilichofanya Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, achaguliwe kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yamkabidhi majukumu Spika Tulia kuhusu IPU

SERIKALI imemtaka Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dk. Tulia Ackson, kutumia nafasi hiyo kuhakikisha analinda maslahi ya Tanzania katika jumuiya za...

Habari za SiasaTangulizi

ACT Wazalendo walinda kiti Mtambwe

  CHAMA cha ACT Wazalendo kimelinda kiti cha uwakilishi jimboni Mtambwe lakini kimelalamikia mbinu chafu za makada wa Chama Cha Mapinduzi zilizolenga kulazimisha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Matumizj ya risiti, stempu feki yaitikisa TRA

MAMLAKA ya Mapato Tanzania imetoa wito kwa Watanzania kujiepusha na matumizi ya risiti na stempu feki ambazo zinaikosesha serikali mapato. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Makamu Othman: Hatutaki uongozi fisadi, wa uongo

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Zanzibar, Othman Masoud Othman amesema uchaguzi mdogo wa uwakilishi jimboni Mtambwe, unaooigwa kesho, ni alama...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenyekiti CCM Arusha afariki dunia, Chongolo, Silaa wamlilia

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Zelote Stephen amefariki dunia jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Watanzania wawili ni miongoni mwa mateka wa Hamas

  RAIA wawili wa Tanzania na mmoja wa Afrika Kusini, ni miongoni mwa mateka 224, wanaoshikiliwa na wanamgambo wa Hamas, baada ya mashambulizi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Migodi 350 yaunganishwa na umeme wa gridi ya Taifa

Naibu Wazirj Mkuu, Dk. Doto Biteko amesema migodi zaidi ya 350 ya wachimbaji wadogo imeunganishwa na umeme wa gridi ya Taifa na hivyo...

Habari za SiasaTangulizi

Mjane wa Mrema aonja urithi, utata wa ndoa wamalizwa

Mahakama Kuu ya Tanzania Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki Temeke kimetoa uamuzi juu ya urithi wa mali za marehemu Augustino Lyatonga Mrema ambapo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aipigia debe bandari Dar kwa wafanyabiashara Zambia, awapa hekta 20

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amewataka wafanyabiashara wa Zambia, kuitumia Bandari ya Dar es Salaam, kwa kuwa sasa inafanyiwa maboresho ili...

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi kesi ya akina Mdee Disemba 14

MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, imepanga tarehe 14 Disemba 2023 kutoa uamuzi wa kesi iliyofunguliwa na wabunge viti Maalum 19...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda awagawa Watanzania, Karume aishangaa CCM

UTEUZI wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, katika nafasi ya ukatibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

BiasharaTangulizi

TPA: TRA itakusanya trilioni 26.7 bandarini

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema kwa kawaida Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hukusanya tozo...

BiasharaTangulizi

TZ kupata 60% ya mapato DP World

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usimamizi Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa leo Jumapili amesema katika mikataba hiyo mitatu, serikali itakuwa inapata ada na tozo...

Habari za SiasaTangulizi

Mikataba 3 DP World yasainiwa, haihusu bandari zote

Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema katika kutekeleza mkakati wa Serikali wa kuimarisha shughuli za bandari Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda amrithi Mjema uenezi CCM

HATIMAYE aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameteuliwa na Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa Katibu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mjema ‘out’ CCM, Makonda atajwa

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Sophia Mjema kuwa Mshauri wa Rais masuala ya Wanawake na Makundi Maalum. Kabla ya uteuzi huu Sophia alikuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aonya wachimbaji kuacha kutorosha madini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaasa wachimbaji wadogo kuachana na vitendo vya utoroshaji madini. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea)....

BiasharaTangulizi

 Rostam awekeza bilioni 250 kuzalisha umeme Zambia

Mfanyabishara maarufu nchini, Rostam Aziz, kupitia kampuni yake ya Taifa Group, ameingia nchini Zambia ambako ameanza kuwekeza kwenye sekta ya uzalishaji umeme kwa...

KimataifaTangulizi

Viongozi wa Hamas wauawa, vifo vyafikia 3,785.

TANGU vita baina ya taifa la Israel na wanamgambo wa Hamas kutoka Ukanda wa Gaza nchini Palestina viibuke tarehe 7 Okotoba 2023, kumeripotiwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

RC Dar: Chanzo ajali ya moto Kariakoo ni hujuma

CHANZO cha ajali ya moto ulioteketekeza Soko la Kariako eneo la Mnadani na kusababisha hasara kubwa kwa wafanyabiashara zaidi ya 550, kimetajwa kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yawatoa hofu wananchi kuhusu upatikanaji wa mafuta

Naibu waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema kuwa hali ya utoshelevu wa mafuta nchini kwa kipindi cha  mwezi Julai...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mhagama: Hakuna Tsunami

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama amewataka wananchi kupuuza taarifa iliyosambaa  katika mitandao mbalimbali ya kijamii...

KimataifaTangulizi

500 wauawa katika shambulio la hospitali Gaza

ZAIDI ya watu 500 wameripotiwa kuuawa usiku wa leo Jumanne kwenye shambulizi ambalo limetokea hospitalini Ahli Arab katika Ukanda wa Gaza. Inaripoti Mitandao...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mikesha makanisani, mahubiri barabarani kutozwa kodi 334,600

BAADHI ya wahubiri na makasisi wamesema hatua ya serikali ya Kaunti ya Kisii nchini Kenya kuanza kutoza ushuru makanisa na wahubiri itarudisha nyuma...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mume mbaroni kwa kumteka nyara mkewe

MUME anayedaiwa kumteka nyara mkewe na kumficha katika Kaunti ya Meru nchini Kenya, amefikishwa kortini. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa …(endelea). Abdullahi Mohammed Gullei...

Habari MchanganyikoTangulizi

Madadapoa kutoka TZ wafurika Rift Valley kuwakamua wakulima

KAMA ulidhani madadapoa hufurika mikoa ya Kanda ya Ziwa pekee pindi wakulima wanapovuna na kuuza pamba, umekosea kwani hali kama hiyo pia imetokea...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataka wizara zibane matumizi

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amezitaka wizara nchini zibane matumizi katika fedha za miradi ya maendeleo ili zilete matokeo yenye tija. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe awaangukia viongozi wa dini

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewaomba viongozi wa dini wasimamie haki kwa kuwa inainua taifa.Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Samia aonya chuki, makundi Uchaguzi Serikali za mitaa

RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka watanzania wadumishe amani na upendo kuelekea kipindi cha uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2024. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za SiasaTangulizi

Watanzania waliopo Israel watakiwa kujiandikisha kabla ya saa 6 usiku

KUFUATIA kuendelea kuzorota kwa hali ya usalama nchini Israel na maeneo mengine ya jirani, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeandaa mpango...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataka ripoti miradi ya bilioni 1.9 yenye dosari

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameagiza apewe ripoti ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya watumishi wa umma waliohusika katika usimamizi wa miradi saba yenye...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ashiriki misa kumuomba Mwalimu Nyerere

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki misa ya kumuombea Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, aliyefariki dunia tarehe 14 Oktoba 1999. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukitumia VPN faini mil. 5, kifungo mwaka 1

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka wananchi kwa ujumla na kampuni ambazo kwa asili ya majukumu na kazi zao, matumizi ya mtandao binafsi...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Wanaoharibu kazi serikalini hawatoteuliwa…

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan amesema viongozi wa umma wanaofanya vibaya katika utekelezaji wa majukumu yao, hawatapewa nafasi nyingine serikalini. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bweni la Wasichana Hasnuu Makame Sekondari Z’bar lateketea kwa moto

  JENGO la Dakhalia la Skuli ya Sekondari ya Hasnuu Makame ilioko Kibuteni Wilaya ya Kusini Unguja, limeungua moto sehemu ya juu, imeripotiwa....

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi wamhoji Wakili Dk. Nshala kwa kuzua taharuki

ALIYEKUWA Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika, Dk. Rugemeleza Nshala leo Alhamisi amehojiwa na katika Kituo cha Polisi Kanda Maalumu Dar Es Salaam...

BiasharaTangulizi

Kilo 4.3 za dhahabu zadakwa zikitoroshwa

Katika kuhakikisha Tanzania inalinda rasilimali madini ili zichangie maendeleo ya nchi na kuinua uchumi wa watanzania, Serikali imesimamisha leseni zote nchini za Kampuni...

Habari za SiasaTangulizi

Wakili Mwabukusi ahojiwa Polisi kisa Chadema

WAKILI Boniface Mwabukusi amedai Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limemhoji kuhusu tuhuma za kutumia wimbo wa chama kingine ambacho kinatajwa kuwa ni Chadema...

KimataifaTangulizi

Hali mbaya Gaza, hospitali zaelemewa

  HALI za wapalestina waishio ukanda wa Gaza, imezidi kuwa mbaya kufuatia mashambulizi ya anga na mabomu yanayoendelea kufanywa na Israel, ambayo yamesababisha...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atunukiwa shahada nyingine ya heshima India

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa (Doctorate Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru,...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi wamwachia Wakili Mwabukusi

  JESHI la Polisi mkoani Mbeya, limemwachia Wakili Boniface Mwabukusi, baada ya kumshikilia kwa saa kadhaa tangu alivyoitikia wito wa kuripoti ili kuhojiwa...

error: Content is protected !!