Thursday , 25 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Mdee, wenzake 18 wamtesa Ndugai

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai analazimika kutoa maelezo ya mara kwa mara kutokana na ‘mashambulizi’ yanayoelekezwa katika kiti chake, kuhusu kushindwa kuwatimua...

MichezoTangulizi

Kocha Yanga: Siwaogopi Simba, awaita mashabiki uwanjani

  WAKATI joto la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21 kati ya watani wa jadi, Simba dhidi ya Yanga likipamba moto, Kocha...

Habari za SiasaTangulizi

Wenyeviti wa Bunge Tanzania, giza nene

  LICHA ya Kanuni za Bunge la Tanzania, kutaka kuwepo kwa Wenyeviti wa Bunge, mpaka sasa wenyeviti hao hawapo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge Tanzania laweka historia mpya

  KWA mara ya kwanza, kipindi cha maswali kwa waziri mkuu bungeni nchini Tanzania, kimekosa maswali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Dk....

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe azungumzia ziara Rais Samia Kenya “Tanzania tunakusubiri”

  FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania- Chadema, amempongeza Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kwa kauli zenye upatanishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe akumbuka wema wa Mdee, Zitto Chadema

  FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema, Halima Mdee, Zitto Kabwe na Shaibu Akwilombe ni miongoni mwa watu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Kenya kuna Uhuru, Tanzania kuna Suluhu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia mazingira mazuri wafanyabiashara wa Kenya na Tanzania, akisema upande mmoja kuna uhuru wa kufanyabiashara na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Tunakuja kwa miguu yote Kenya

  TANZANIA imeahidi kuingia kwa miguu miwili katika uwekezaji nchini Kenya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kauli hiyo imetolewa na Rais Samia Suluhu...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Kenyatta amwambia Samia ‘safari hii tutafika mbali’

  RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema, ana matumaini kwa taifa lake na Tanzania kufika mbali kutokana na kuimarika ushirikiano. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari za SiasaTangulizi

Mkakati wasukwa kuwang’oa Mdee, wenzake

  MAKAKATI umeanza kusukwa ili kuhakikisha Halima Mdee na wenzake 18, wanang’olewa bungeni. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Mkakati huo...

HabariMichezoTangulizi

Sakata la rushwa Yanga dhidi ya Prisons latua Bungeni

NAIBU waziri wa utumishi na utawala bora Deogratius Ndenjembi amesema kuwa kuna baadhi ya viongozi wa timu mbalimbali hapa nchini wakifungwa na Yanga...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai awakumbatia Mdee, wenzake 18, ananga Chadema

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameendelea kuwakingia kifua waliokuwa wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ateta na Rais mstaafu Obasanjo Ikulu Dodoma

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria, Olusegun Obasanjo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee wamponza Nape bungeni

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amemwonya Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye kuacha kuwasema vibaya, Halima Mdee na wenzake 18,...

MichezoTangulizi

Liverpool dhidi ya Manchester United kuamua ubingwa wa Man city

  MCHEZO wa Ligi Kuu nchini England kati ya Liverpool dhidi ya Manchester United utamua hatma ya ubingwa wa Manchester City kwa msimu...

Habari za SiasaTangulizi

Vyeti feki: Zitto apongeza uamuzi wa Rais Samia

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amepongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuagiza watumishi waliostaafishwa kazi ikiwemo walioghushi vyeti, kulipwa...

MichezoTangulizi

Chama mchezaji bora mwezi Aprili

  KIUNGO wa timu ya Simba Clatous Chama amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mashabiki wa klabu hiyo wa mwezi Aprili mara baada ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mei Mosi: Mambo 11 aliyosema Rais Samia

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewahutubia kwa mara ya kwanza, wafanyakazi na kutoa ahadi mbalimbali zenye kurejesha tabasamu miongoni mwao. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Nitaongeza mishahara mwakani, 90,000 kupandishwa vyeo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewapa pole wafanyakazi waliokuwa na matarajio ya nyongeza ya mishahara na kuwaahidi kufanya hivyo Mei Mosi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tucta: Mishahara haijaongezwa miaka nane, ianzie Sh. 970,000

  SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), limemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aongese mishahara ya watumishi wa umma huku ikipendekeza kima cha...

MichezoTangulizi

Simba dhidi ya Kaizer Chiefs, robo fainali Ligi ya Mabingwa CAF

  KLABU ya Simba imepangwa kucheza na Kaizer Chiefs kwenye hatua ya robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya...

Habari za SiasaTangulizi

CCM kufumuliwa upya

  SAMIA Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, amesema atashirikiana na viongozi wa chama hicho, kupitia upya sera na miongozo...

Habari za SiasaTangulizi

Nyalandu, Mathew wajiunga CCM, Rais Samia asema…

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimepata pigo baada ya kuondokewa na wenyeviti wawili wa kanda na kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Samia aweka rekodi mpya CCM

  WAJUMBE wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamemchagua kwa asilimia 100, Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa Mwenyekiti wa chama...

Habari za SiasaTangulizi

Samia kupenya uenyekiti CCM? Mangula apambana

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Mzee Phillip Mangula, amewaomba wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa chama hicho, kumchagua Rais...

Habari za SiasaTangulizi

CCM: JPM amekiacha chama pazuri

  KAIMU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rodrick Mpogolo, amesema aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Hayati Dk. John Magufuli, amekiwezesha chama...

Habari za SiasaTangulizi

Samia apitishwa 100% kugombea uenyekiti CCM

  HALMASHAURI Kuu ya chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), nchini Tanzania, imempitisha kwa asilimia 100, mjumbe wa kamati kuu ambaye ni Rais,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Kigwangalla atiwa matatani tena

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro, ametengua uamuzi wa mtangulizi wake, Dk. Hamis Kigwangalla, wa kufuta umiliki wa kitalu cha...

MichezoTangulizi

Bocco nae asalia Simba, asaini mkataba mpya

  UONGOZI wa klabu ya Simba umemalizana na nahodha wa kikosi hiko John Bocco kwa kumsainisha mkataba mpya mara baada yaw a awali...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Kabudi avunja ukimya sakata Masheikh wa Uamsho

  PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Katiba na Sheria, amewataka Watanzania kutoingilia kati sakata la Masheikh 23 wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaanza safari kumpata mrithi wa Magufuli

  SAFARI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumpata mwenyekiti mpya wa chama hicho, imeanza rasmi jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

MichezoTangulizi

Kimeumana: Yanga wamtengea Tshabalala Mil 150, mshahara Mil 7

  IKIWA imebakia miezi miwili kumaliza kwa mkataba wake ndani ya klabu ya Simba, beki wa kushoto na nahodha msaidizi wa kikosi hiko,...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba: Tunapima uvumilivu wa Rais Samia

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kitampima Rais Samia Suluhu Hassan, kuhusu ustahimilivu wake katika masuala ya kisiasa, kwa kufanya mikutano ya hadhara....

Habari MchanganyikoTangulizi

40 Magufuli, Pengo ampa zawadi Mama Janeth

  JOHN Pombe Magufuli, aliyekuwa Rais wa Tanzania, leo Jumanne, tarehe 27 Aprili 2021, amefikisha siku 40, tangu alipofariki dunia 17 Machi 2021....

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Sitovumilia atayebeza Muungano

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amewaonya watu wanaobeza muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ulioasisiwa tarehe 26 Aprili 1964. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Yanga hoi mbele ya Azam FC

BAO la dakika ya 86 lililofungwa na Prince Dube lilitosha kuifanya Azam FC kutoka kifua mbele kwenye mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu kurejea nchini muda si mrefu

  ALIYEKUWA mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ametaka kuhakikishiwa usalama wake na serikali, ili aweze kurejea nchini....

Habari za SiasaTangulizi

DED Temeke, Sumbawanga wasimamishwa kazi

  LUSUBILO Mwakabibi, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke na Nyangi Msemakweli, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga, wamesimamishwa kazi. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika: Rais Samia amejibu barua ya Mbowe

  JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania- Chadema amesema, Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, amekubali wito wa...

Habari za SiasaTangulizi

Nape ashauri Mdee na wenzake wafukuzwe bungeni

  MBUNGE wa Mtama (CCM), Nape Nnauye, ameshauri wabunge viti maalum 19, waliovuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waondolewe bungeni....

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aichambua hotuba ya Rais Samia, aibua hoja

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, amesema alitarajia kuona Rais Samia Suluhu Hassan, anatumia muda mrefu kuzungumzia...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la kufukuzwa Chadema: Kishoa ajichanganya bungeni

  JESCA Kishoa, mbunge wa Viti Maalumu (asiyekuwa na chama), ameuthibitishia ulimwengu, kuwa kuwako kwake bungeni, ni kinyume na amefutwa uanachama katika Chama...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ataka sheria kandamizi zirejeshwe bungeni kufanyiwa marekebisho

MBUNGE wa Mahonda, Unguja, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdullah Mwinyi, ameshauri sheria zinazokandamizi misingi ya demokrasia na utawala bora, zirudishwe bungeni kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Katiba mpya: Askofu Shoo, Dk. Lwaitama wamkingia kifua Rais Samia

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo na Dk. Azaveli Lwaitama, wamewaomba Watanzania wampe muda Rais Samia...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi 6

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi sita wa taasisi mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uteuzi huo umetangazwa leo Jumatano,...

MichezoTangulizi

Simba bado pointi mbili kuishusha Yanga

  USHINDI wa mabao 2-0, ulitosha kuifanya Simba kuondoka na pointi tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Kagera Sugar....

Habari za SiasaTangulizi

‘Kikwete, Kinana, Ndugai wamewakosea nini?’

  TABIA ya kusemwa vibaya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete; Spika wa Bunge, Job Ndugai; Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama kumemkera...

MichezoTangulizi

Yanga yaipiga Gwambina, yazidi kuikimbia Simba

  MABINGWA wa kihistoria Tanzania Bara, Yanga ya Dar es Salaam, imeendeleza vipigo kwenye ligi kuu nchini humo, kwa kuifunga 3-1, Gwambina FC...

MichezoTangulizi

Nchimbi amefunga tena baada ya mwaka na siku 52

  BAADA ya kupita mwaka mmoja na siku 52, hatimaye mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Ditram Nchimbi amefanikiwa kupachika bao kwenye mchezo wa...

Habari za SiasaTangulizi

Natamani kurudi nyumbani – Lema

  GODBLESS Lema, aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) ambaye kwa sasa anaishi uhamishoni Canada amesema, anatamani kurejea nyumbani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

error: Content is protected !!