MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).
RAIS wa Zanzibar,Dk. Hussein Mwinyi ameagiza watu waliohusika katika ubadhirifu wa fedha za umma, uliofichuliwa kwenye Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu...
By Hamisi MgutaMay 23, 2021KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema aliyekuwa Mbunge wa Konde kupitia chama hicho, Hayati Khatib Haji, ameondoka duniani na...
By Mwandishi WetuMay 23, 2021PAMOJA na ushindi wa bao 3-0 walioupata kkabu ya Simba dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, lakini mabingwa hao wa Ligi Kuu...
By Kelvin MwaipunguMay 22, 2021KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amewaonya wanachama wa chama hicho, walioanza kupanga safu za...
By Masalu ErastoMay 22, 2021RAIS Mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, amewashauri Watanzania wasikubali kutumika katika kutengeneza migogoro. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....
By Regina MkondeMay 21, 2021MEYA wa Manispaa ya Kinondoni (CCM), Songoro Mnyonge pamoja na Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Sipora Liana, wamemaliza mgogoro wao uliobuka hivi karibuni,...
By Mwandishi WetuMay 21, 2021BAADA ya kuibuka mivutano baina ya madiwani na watendaji, katika Manispaa za Ubungo na Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, Chama Cha Mapinduzi...
By Regina MkondeMay 20, 2021Wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika klabu ya Kazier Chiefs wamewasili jana...
By Kelvin MwaipunguMay 20, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kasim Majaliwa, ameombwa kusaidi Idara ya Habari Maelezo kuhakikisha inatenda haki kwa Magazeti yaliyofungiwa ikiwemo Mawio na MwanaHALISI....
By Mwandishi WetuMay 20, 2021KIKAO cha Baraza la Madiwani la Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, kilichofanyika jana Jumatano, tarehe 19 Mei 2021, kiliingia dosari,...
By Regina MkondeMay 20, 2021WAZIRI wa Nishati nchini Tanzania, Dk. Medard Kalemani, amesema takribani Sh. 28 bilioni, zimetengwa kwa ajili ya kulipa fidia wananchi 3,832, ambao...
By Kelvin MwaipunguMay 20, 2021MWILI wa mbunge wa Konde (ACT -Wazalendo), Khatib Said Haji (58), utazikwa leo Alhamisi, tarehe 20 Mei 2021, saa 10:00 jioni, Kisiwani...
By Mwandishi WetuMay 20, 2021KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amemuandikia barua, Rais wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan, kumwelezea changamoto zilizojitokeza katika chaguzi ndogo za Ubunge...
By Regina MkondeMay 20, 2021MBUNGE wa Konde (ACT -Wazalendo), Khatib Said Haji, amefariki dunia katika hispitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alikokuwa akihudhuria mkutano wa...
By Mwandishi WetuMay 20, 2021MADIWANI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mkoani Dar es salaam, Kisare Makore wameingia katika ‘mnyukano’ unaohatarisha...
By Mwandishi WetuMay 19, 2021MAHAKAMA ya Rufaa nchini Tanzania, imetupilia mbali rufaa ya Serikali dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kufuta...
By Mwandishi WetuMay 19, 2021JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amemshauri Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Sylvester Mwakitalu, aanze majukumu yake mapya kwa kuyapatia ufumbuzi malalamiko...
By Regina MkondeMay 19, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshauri wakuu wa mikoa (RC), wawajibishwe mikoa yao inapofanya vibaya katika usimamizi wa masuala ya...
By Regina MkondeMay 19, 2021WAZIRI wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo innocent Bashungwa amewataka watanzania kwa pamoja kuinga mkono klabu ya Simba kwenye mchezo wa marudiano...
By Kelvin MwaipunguMay 19, 2021BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), nchini Tanzania, limepewa jukumu la kupigania upatikanaji wa katiba mpya na tume...
By Masalu ErastoMay 18, 2021LICHA ya kelele kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani na wanaharakati nchini Tanzania, kupinga uteuzi wa Biswalo Mganga, kuwa Jaji wa...
By Mwandishi WetuMay 17, 2021SUSAN Kiwanga na wenzake wawili, wameshindwa kurithi nafasi ya Halima Mdee ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na...
By Regina MkondeMay 17, 2021MBUNGE wa Konde, Zanzibar (ACT-Wazalendo), Khatibu Said Haji, amehoji Serikali inachukua hatua gani, kuwadhibiti manabii wa uongo na waganga wapiga ramli chonganishi...
By Regina MkondeMay 17, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kutetea majimbo ya Buhigwe na Muhambwe mkoani Kigoma, baada ya kushinda kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana Jumapili,...
By Mwandishi WetuMay 17, 2021LICHA ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kutotangaza matokeo rasmi ya chaguzi mdogo wa Ubunge wa Buhigwe na Muhambwe, mkoani Kigoma,...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021WATANI wa jadi nchini Tanzania, Simba na Yanga, watakutana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, tarehe 3 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021CHAMA Kikuu cha Upizania nchini Tanzania cha Chadema, kimemshauri Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kutomwapisha Biswalo Mganga, kuwa Jaji wa...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021PETER Madeleka, Wakili wa Mahakama Kuu na mmoja wa watu walioshitakiwa kwa ‘utakasishaji fedha’, ameapa kumfikisha mahakamani, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DDP),...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021MARA baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-0, dhidi ya Kaizer Chiefs kocha mkuu wa kikosi cha Simba Didier Gomes ameonekana kutofurahishwa...
By Kelvin MwaipunguMay 16, 2021ANNA Elisha Mghwira, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (RC),nchini Tanzania, amewashukuru wananchi wa mkoa huo akisema “nitawakumbuka daima.” Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na Bunge...
By Regina MkondeMay 15, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Jumamosi, tarehe 15 Mei 2021, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na watendaji wakuu wa...
By Mwandishi WetuMay 15, 2021KATIBU Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameungana na Baraza la Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA),...
By Regina MkondeMay 15, 2021BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limemuomba, Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, awasamehe masheikh walioko mahabusu na gerezani, wakikabiliwa na...
By Mwandishi WetuMay 14, 2021KUELEKEA mchezo wa kesho wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs, Simba inapewa nafasi kubwa ya...
By Kelvin MwaipunguMay 14, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatakoa Watanzania wote sherehe njema ya Eid El Fitri. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuMay 14, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa...
By Mwandishi WetuMay 13, 2021MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewaachia huru, aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu na Mkurugenzi...
By Mwandishi WetuMay 13, 2021RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), amesema sababu za kiusalama ndiyo zilipelekea kuarishwa kwa mchezo kati ya Simba na...
By Kelvin MwaipunguMay 13, 2021MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani, Tanzania- Chadema-Bara, Tundu Lissu, amekosoa uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kumteua...
By Mwandishi WetuMay 13, 2021SHABIKI wa Yanga, Mansur Hussen aliyetembea kwa miguu kutoka Kigoma hadi Dar es Salaam kwa ajili ya kutazama mchezo wa Simba na...
By Kelvin MwaipunguMay 12, 2021KLABU ya Manchester City imetangzwa kuwa bingwa mpya wa Ligi Kuu nchini England mara baada ya Manchester United kukubali kichapo cha mabao...
By Kelvin MwaipunguMay 11, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani saba, amemuongezea muda Jaji wa Mahakama ya Rufani...
By Mwandishi WetuMay 11, 2021RATIBA ya michuano ya Kombe la Azam Federation CUP (ASFC) nchini Tanzania, hatua ya robo fainali, itashuhudia Yanga ikisafiri kwenda Shinyanga kuwavaa Mwadui...
By Kelvin MwaipunguMay 11, 2021MARA baada ya kuahirisha mchezo dhidi ya Yanga bodi ya Ligi Kuu imeahirisha tena mchezo wa Simba dhidi ya Coastal union kutoka...
By Kelvin MwaipunguMay 10, 2021BARAZA la Habari Tanzania (MCT) na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limeiomba Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, iondoe sheria zote...
By Regina MkondeMay 10, 2021PROFSA Abdallah Safari, mmoja wa wananasheria mahiri nchini Tanzania, amesema, hatua ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuendelea kuwakingia kifua wabunge 19,...
By Kelvin MwaipunguMay 10, 2021WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo kutoa tamko kuhusiana na...
By Kelvin MwaipunguMay 10, 2021ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amewataka wakazi wa Jimbo la Buhigwe, Kigoma wasitishike na watu wanaowashinikiza kuchagua mgombea wa Chama Cha...
By Mwandishi WetuMay 10, 2021SERIKALI imetangaza nafasi za ajira kwa walimu wa shule za msingi na sekondari pamoja na watumishi wa kada mbalimbali za sekta ya afya....
By Regina MkondeMay 9, 2021