Friday , 29 March 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari MchanganyikoTangulizi

CAG Zanzibar abaini madudu, Rais Mwinyi atoa maagizo

  RAIS wa Zanzibar,Dk. Hussein Mwinyi ameagiza watu waliohusika katika ubadhirifu wa fedha za umma, uliofichuliwa kwenye Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

Ado: Khatib amekufa na kilio cha Masheikh Uamsho

  KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema aliyekuwa Mbunge wa Konde kupitia chama hicho, Hayati Khatib Haji, ameondoka duniani na...

MichezoTangulizi

Simba yaipiga Kaizer Chiefs 3, yaaga mashindano

PAMOJA na ushindi wa bao 3-0 walioupata kkabu ya Simba dhidi ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini, lakini mabingwa hao wa Ligi Kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo aonya wanaopanga uongozi CCM 2022

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amewaonya wanachama wa chama hicho, walioanza kupanga safu za...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Kikwete: Msikubali kutumika

  RAIS Mstaafu wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete, amewashauri Watanzania wasikubali kutumika katika kutengeneza migogoro. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Meya Kinondoni, Mkurugenzi wakwepa rungu la CCM

  MEYA wa Manispaa ya Kinondoni (CCM), Songoro Mnyonge pamoja na Mkurugenzi wa manispaa hiyo, Sipora Liana, wamemaliza mgogoro wao uliobuka hivi karibuni,...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo akunjua makucha migogoro madiwani, wakurugenzi

  BAADA ya kuibuka mivutano baina ya madiwani na watendaji, katika Manispaa za Ubungo na Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, Chama Cha Mapinduzi...

MichezoTangulizi

Kazier Chiefs kutua Dar na Ndege binafsi

  Wapinzani wa Simba kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika klabu ya Kazier Chiefs wamewasili jana...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata kufungiwa Mawio, MwanaHALISI lafika kwa waziri mkuu, yeye ajibu

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kasim Majaliwa, ameombwa kusaidi Idara ya Habari Maelezo kuhakikisha inatenda haki kwa Magazeti yaliyofungiwa ikiwemo Mawio na MwanaHALISI....

Habari za SiasaTangulizi

Chanzo Meya, DED Kinondoni kuvutana mkutanoni

  KIKAO cha Baraza la Madiwani la Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, kilichofanyika jana Jumatano, tarehe 19 Mei 2021, kiliingia dosari,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ujenzi bomba la mfuta: Watanzania 3,832 kulipwa bilioni 28

  WAZIRI wa Nishati nchini Tanzania, Dk. Medard Kalemani, amesema takribani Sh. 28 bilioni, zimetengwa kwa ajili ya kulipa fidia wananchi 3,832, ambao...

Habari za SiasaTangulizi

Mwili wa mbunge Khatibu kuzikwa Pemba leo

  MWILI wa mbunge wa Konde (ACT -Wazalendo), Khatib Said Haji (58), utazikwa leo Alhamisi, tarehe 20 Mei 2021, saa 10:00 jioni, Kisiwani...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto amwandikia barua Rais Samia, apendekeza mambo matano

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amemuandikia barua, Rais wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan, kumwelezea changamoto zilizojitokeza katika chaguzi ndogo za Ubunge...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge ACT-Wazalendo afariki dunia

  MBUNGE wa Konde (ACT -Wazalendo), Khatib Said Haji, amefariki dunia katika hispitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, alikokuwa akihudhuria mkutano wa...

Habari za SiasaTangulizi

DC, madiwani Dar nusura wasichape

  MADIWANI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Mkoani Dar es salaam, Kisare Makore wameingia katika ‘mnyukano’ unaohatarisha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mashtaka 14: Masheikh Uamsho waibwaga Serikali

  MAHAKAMA ya Rufaa nchini Tanzania, imetupilia mbali rufaa ya Serikali dhidi ya uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kufuta...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Mkuu, Spika Ndugai wataka DPP, Takukuru watende haki

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amemshauri Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), Sylvester Mwakitalu, aanze majukumu yake mapya kwa kuyapatia ufumbuzi malalamiko...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai ataka Ma-RC wabanwe

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshauri wakuu wa mikoa (RC), wawajibishwe mikoa yao inapofanya vibaya katika usimamizi wa masuala ya...

MichezoTangulizi

Waziri Bashungwa: Simba ni Timu ya Taifa

  WAZIRI wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo innocent Bashungwa amewataka watanzania kwa pamoja kuinga mkono klabu ya Simba kwenye mchezo wa marudiano...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika awakabidhi Bawacha zigo la katiba mpya, tume huru

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), nchini Tanzania, limepewa jukumu la kupigania upatikanaji wa katiba mpya na tume...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awaapisha majaji 28, Biswalo…

  LICHA ya kelele kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani na wanaharakati nchini Tanzania, kupinga uteuzi wa Biswalo Mganga, kuwa Jaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kiwanga ashindwa kumrithi Mdee, Sharifa achukua mikoba

  SUSAN Kiwanga na wenzake wawili, wameshindwa kurithi nafasi ya Halima Mdee ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na...

Habari za SiasaTangulizi

Manabii wa uongo wachongewa bungeni, Naibu Spika aingilia kati

  MBUNGE wa Konde, Zanzibar (ACT-Wazalendo), Khatibu Said Haji, amehoji Serikali inachukua hatua gani, kuwadhibiti manabii wa uongo na waganga wapiga ramli chonganishi...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yatetea majimbo Buhigwe, Mubambwe

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kutetea majimbo ya Buhigwe na Muhambwe mkoani Kigoma, baada ya kushinda kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana Jumapili,...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Buhigwe, Muhambwe: ACT-Wazalendo yakubali kushindwa

  LICHA ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kutotangaza matokeo rasmi ya chaguzi mdogo wa Ubunge wa Buhigwe na Muhambwe, mkoani Kigoma,...

MichezoTangulizi

Simba Vs Yanga kukutana Julai 3

  WATANI wa jadi nchini Tanzania, Simba na Yanga, watakutana kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, tarehe 3 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema: Biswalo asiapishwe na achunguzwe, yeye asema…

  CHAMA Kikuu cha Upizania nchini Tanzania cha Chadema, kimemshauri Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kutomwapisha Biswalo Mganga, kuwa Jaji wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wakili kumfikisha mahakamani DPP Biswalo

  PETER Madeleka, Wakili wa Mahakama Kuu na mmoja wa watu walioshitakiwa kwa ‘utakasishaji fedha’, ameapa kumfikisha mahakamani, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashitaka (DDP),...

MichezoTangulizi

Kocha Simba: Tunahitaji kuwa bora ili tupate matokeo

  MARA baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-0, dhidi ya Kaizer Chiefs kocha mkuu wa kikosi cha Simba Didier Gomes ameonekana kutofurahishwa...

Habari za SiasaTangulizi

RC Mghwira: Asanteni sana K’njaro, nao wampongeza

  ANNA Elisha Mghwira, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (RC),nchini Tanzania, amewashukuru wananchi wa mkoa huo akisema “nitawakumbuka daima.” Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awang’oa mabosi Takukuru, Bunge

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na Bunge...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua Ma RC, wakuu wa taasisi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Jumamosi, tarehe 15 Mei 2021, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na watendaji wakuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata kesi za Masheikh: Sheikh Ponda, BAKWATA waungana

  KATIBU Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameungana na Baraza la Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA),...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bakwata: Rais Samia wasamehe masheikh walioko gerezani

  BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limemuomba, Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, awasamehe masheikh walioko mahabusu na gerezani, wakikabiliwa na...

MichezoTangulizi

Rekodi kuipa Simba kiburi dhidi ya Kaizer Chiefs

  KUELEKEA mchezo wa kesho wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Kaizer Chiefs, Simba inapewa nafasi kubwa ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa salamu Eid El Fitri

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatakoa Watanzania wote sherehe njema ya Eid El Fitri. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amsimamisha DC Sabaya, ateua

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baada ya siku 342 gerezani, DPP awafutia mashtaka bosi MSD, mwenzake

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, imewaachia huru, aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu na Mkurugenzi...

MichezoTangulizi

Karia afunguka sababu za kuarishwa mechi ya Simba na Yanga

  RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), amesema sababu za kiusalama ndiyo zilipelekea kuarishwa kwa mchezo kati ya Simba na...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu achambua uteuzi DPP Mganga kuwa Jaji

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani, Tanzania- Chadema-Bara, Tundu Lissu, amekosoa uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kumteua...

MichezoTangulizi

Shabiki wa Yanga awekwa Makumbusho ya Taifa

  SHABIKI wa Yanga, Mansur Hussen aliyetembea kwa miguu kutoka Kigoma hadi Dar es Salaam kwa ajili ya kutazama mchezo wa Simba na...

MichezoTangulizi

Man City bingwa mpya EPL

  KLABU ya Manchester City imetangzwa kuwa bingwa mpya wa Ligi Kuu nchini England mara baada ya Manchester United kukubali kichapo cha mabao...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua majaji 28, DPP Biswalo nje, ndani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani saba, amemuongezea muda Jaji wa Mahakama ya Rufani...

MichezoTangulizi

Yanga na Mwadui, Simba na Dodoma Jiji, robo fainali Kombe la Shirikisho

RATIBA ya michuano ya Kombe la Azam Federation CUP (ASFC) nchini Tanzania, hatua ya robo fainali, itashuhudia Yanga ikisafiri kwenda Shinyanga kuwavaa Mwadui...

MichezoTangulizi

Bodi ya Ligi yahairisha tena mechi ya Simba

  MARA baada ya kuahirisha mchezo dhidi ya Yanga bodi ya Ligi Kuu imeahirisha tena mchezo wa Simba dhidi ya Coastal union kutoka...

Habari MchanganyikoTangulizi

MCT, TEF yamwangukia Rais Samia

  BARAZA la Habari Tanzania (MCT) na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limeiomba Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, iondoe sheria zote...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Safari: Ndugai anatumia Katiba ipi?

  PROFSA Abdallah Safari, mmoja wa wananasheria mahiri nchini Tanzania, amesema, hatua ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuendelea kuwakingia kifua wabunge 19,...

MichezoTangulizi

Waziri Mkuu ataka wizara itoe taarifa kuahirishwa mchezo Simba na Yanga

  WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassim Majaliwa ameitaka Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo kutoa tamko kuhusiana na...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Zitto: Buhigwe msitishwe

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amewataka wakazi wa Jimbo la Buhigwe, Kigoma wasitishike na watu wanaowashinikiza kuchagua mgombea wa Chama Cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali kuajiri walimu 6,949, wataalamu afya 2,726

SERIKALI imetangaza nafasi za ajira kwa walimu wa shule za msingi na sekondari pamoja na watumishi wa kada mbalimbali za sekta ya afya....

error: Content is protected !!