Wednesday , 17 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Tangulizi

Waziri Ummy aagiza halmashauri zibuni vyanzo vya mapato

  HALMASHAURI nchini Tanzania, zimetakiwa kubuni vyanzo vipya vya mapato ya ndani, ili zipate fedha za kutoa huduma kwa wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Mbowe latua Marekani, Tume ya AU yatoa tamko

  BARAZA la Wanawake la Chadema (Bawacha), limeiandikia barua Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania, likiitaka uingilie kati tukio la kushikiliwa kwa Mwenyekiti wa...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Rais Samia afungua dimba chanjo ya Korona

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezindua zoezi la utoaji chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), kwa kuchanjwa aina ya Johnson &...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Rais Samia awapa ujumbe wapinga chanjo ya Korona

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watu wanaopinga chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), wakajifunze katika mikoa iliyoathirika na janga hilo....

AfyaTangulizi

Tanzania kuingiza aina tano chanjo za Korona

  SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kuingiza aina tano za chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), ili kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa huo kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Mabalozi msikae kimya Tanzania ikichafuliwa

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka mabalozi wasikae kimya taswira ya Tanzania inapochafuliwa kimataifa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Rais...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Mwamakula aitisha maombi kumuombea Mbowe

  MKUU wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania na Afrika Mashariki, Askofu Emmaus Mwamakula, ameitisha maombi maalumu ya siku saba, kwa ajili...

AfyaTangulizi

Tanzania kupigwa jeki upimaji Korona, kujenga viwanda vya chanjo

  SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kujenga viwanda vya kuzalisha chanjo za magonjwa ya mlipuko. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe adaiwa kufikishwa mahakamani kimyakimya, asomewa shitaka la ugaidi

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Mpango awaamsha wananchi Mtwara dhidi ya ugaidi Msumbiji

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amewataka wananchi wa Mkoa wa Mtwara, kuwa makini dhidi ya wanamgambo wa kundi la...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe apata ugonjwa akiwa rumande

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema mwenyekiti wake Taifa, Freeman Mbowe, anayeshikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es...

AfyaTangulizi

Tanzania yakaza masharti kukabili ugonjwa wa Korona

  SERIKALI ya Tanzania, imetoa mwongozo mpya wa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa korona (UVIKO-19). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam, … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe kumrudisha Lissu Tanzania

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Tanzania Bara, Tundu Lissu amesema, anashauriana na viongozi wa chama hicho, namna ya...

AfyaTangulizi

Corona yaua 29 Tanzania, Dk. Gwajima “tuchukue tahadhari”

  SERIKALI ya Tanzania imesema, mpaka sasa wagonjwa 29 walioambukizwa virusi vya corona (COVID-19), wamefariki dunia. Anaripoti Hamis Mguta, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

Rufaa za kina Mdee hatihati kusikilizwa Chadema

  HATIMA ya kufanyika au kutofanyika kwa kikoa cha Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), utajulikana kesho Jumamosi, tarehe 24...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu azungumzia kukamatwa, tuhuma za Mbowe

  MAKAMU mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani Tanania cha Chadema, Tundu Lissu amesema, tukio la kukamatwa kwa mwenyekiti wa chama hicho, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Marekani yajitosa sakata la Mbowe, Tanzania yajibu

  KAMATI Ndogo ya Mambo ya Nje ya Afrika ya Baraza la Wawakilishi nchini Marekani, imeiomba Serikali ya Tanzania, imuache huru Kiongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo, NCCR-Mageuzi walaani kushikiliwa Mbowe na wenzake, wasema…

  VYAMA vya siasa vya upinzani nchini Tanzania vya NCCR-Mageuzi na ACT-Wazalendo, vimeiomba Serikali nchini humo kukaa pamoja na vyama vya siasa, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mtoto wa Mbowe amlilia baba yake, amtaja Rais Samia

  DUDLEY, mtoto wa Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania- Chadema, Freeman Mbowe ameshangazwa na tuhuma zinazomkabili baba yake. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

AfyaTangulizi

Wagonjwa wa Covid-19 waongezeka Tanzania

  WAGONJWA wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19), nchini Tanzania, imeongezeka kutoka 408 hadi kufikia 682....

Habari za SiasaTangulizi

Polisi Tanzania: Mbowe anatuhumiwa kupanga njama za ugaidi, kuua viongozi wa serikali

  JESHI la Polisi nchini Tanzania limesema, linamshikiliwa kiongozi wa chama cha kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman Mbowe kwa tuhuma...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Mghwira ameacha historia

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemlilia aliyekuwa mwenyekiti wake wa kwanza, Anna Mghwira, kikisema kwamba kifo chake kimeacha pigo katika medani za kisiasa nchini...

Habari za SiasaTangulizi

Kongamano kudai katiba lamponza Mbowe, Polisi wafukua makosa yake

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, aliyekamatwa jijini Mwanza alfajiri ya jana, anahojiwa na Jeshi la Polisi Kanda...

Habari za SiasaTangulizi

Anna Mghwira afariki dunia

  ANNA Elisha Mghwira, Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, amefariki dunia leo Alhamisi, tarehe 22 Julai 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha …...

MichezoTangulizi

Yanga yaiwahi Simba Kigoma, yapokelewa kwa shangwe

  KIKOSI cha klabu ya Yanga kimetua rasmi mkoani Kigoma, kwa ajili ya mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (FA) dhidi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kukutana kwa dharura kumtafuta Mbowe, yamwomba Rais Samia…

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, kimeitisha kikao cha dharura cha kamati kuu, kwa ajili ya kumtafuta mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, ambaye...

MichezoTangulizi

Haji Manara atangaza kung’atuka Simba

  HAJI Manara, Msemaji wa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2020/21, Simba ya Dar es Salaam, ametangaza kung’atuka katika nafasi hiyo. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Kongamano la Chadema kudai katiba  laota mbawa, Polisi wazingira ukumbi

  JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limezingira Ukumbi wa Tourist Hotel, ambao Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema), kilipanga kufanya kongamano lake...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wakamatwa Mwanza

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe na wenzake zaidi ya 10, wanadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa...

Habari za SiasaTangulizi

Kongamano la Chadema kudai katiba mpya njia panda

  KONGAMANO la kudai katiba mpya, lililoandaliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), liko njia panda baada ya Mkuu wa Mkoa wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee, wenzake wanaswa mtegoni

  MIKAKATI mipya ya Halima Mdee na wenzake 18, kutaka kuendelea kuwa bungeni kinyume cha sheria na kukivuruga Chama cha Demokrasia na Maendekeo...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe atoa msimamo makongamano ya Katiba

  FREEMAN Mbowe amesema, watafanya kongamano la Katiba jijini Mwanza keshokutwa Jumatano, tarehe 21 Julai 2021 na mikoa mingine yataendelea “hadi Katiba mpya...

Habari za SiasaTangulizi

Covid-19: Mbowe ataka vigogo wizara ya afya Tanzania wajiuzulu

  MWENYEKITI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Chadema, Freeman Mbowe, amemtaka Waziri wa Afya, Dk. Dorothy Gwajima na wasaidizi wake, wajiuzulu...

Habari za SiasaTangulizi

Malalamiko tozo miamala ya simu yamuibua Rais Samia, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango, itafute suluhu ya malalamiko ya wananchi kuhusu viwango vya tozo...

Habari za SiasaTangulizi

Mrithi wa Khatib katika Jimbo la Konde kupatikana leo

  WANANCHI wa Jimbo la Konde, Visiwani Zanzibar, leo Jumapili tarehe 18 Julai 2021, wanachagua mbunge wao, ili kuziba nafasi iliyoachwa wazi na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwanamke anayetuhumiwa kumchomea ndani kwa petroli mpenzi wake akamatwa

  POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Grace Janes Mushi (25), kwa tuhuma za kumchoma moto ndani ya nyumba aliyekua mpenzi...

MichezoTangulizi

TFF kicheko Mahakamani, zuio la uchaguzi laondolewa

  MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam, imeiweka pembeni kesi ndogo namba 305, ya zuio la shughuli za uchaguzi TFF, na kutaka...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awasili Burundi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekwisha kuwasili nchini Burundi kuanzia ziara ya siku mbili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kabla ya...

Habari za SiasaTangulizi

Ukata wakwamisha rufaa za Mdee, wenzake Chadema

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema, kimeshindwa kuitisha kikao cha baraza lake kuu, kwa ajili ya kusikiliza rufaa ya Halima Mdee...

MichezoTangulizi

Fei Toto ampa zawadi ya mabao Niyonzima

  KIUNGO wa klabu ya Yanga, Feisal Salum ambaye ndiye mfunga wa mabao yote mawili kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, dhidi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kodi ya mitandao ya simu ‘Mshikamano’ yazua mjadala

  KODI ya mitandao ya simu imeibua mjadala, baada ya kupingwa kila kona na baadhi ya watu, kwa maelezo kwamba itaumiza wananchi hasa...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba akosoa viongozi kuingilia mikutano ya Rais Samia

  JOSEPH Sinde Warioba, Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania, amewataka viongozi kujenga utamaduni wa kusikiliza kero za wananchi wanapokwenda kwenye mikutano mbalimbali. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mabilionea walioanza maisha kwa kazi za kawaida

  INAELEZWA kila mtu anazaliwa tajiri, pia masikini. Utajiri au umasikini wake unategemea na mazingira anayokulia, lakini inategemea zaidi na yeye mwenyewe. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Rasmi Yanga kuweka kambi nchini Morocco

  KLABU ya Soka ya Yanga imepenga kwenda kufanya maandalizi  (Pre Season) kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano nchini Morroco, siku chache...

MichezoTangulizi

Mashabiki elfu 10, kutazama fainali Simba na Yanga Kigoma 

  KUELEKEA mchezo wa fainali wa kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup), idadi ya mashabiki watakaoruhusiwa kutazama mchezo huo ni elfu 10...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee na wenzake wajisalimisha kwa msajili

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, wametinga katika Ofisi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kikwete ataja mfupa uliomshinda akiwa madarakani

  RAIS wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amesema changamoto kubwa aliyomsumbua wakati wa uongozi wake, ni watumishi wa afya kugoma...

Habari za SiasaTangulizi

Msajili ajitosa sakata la Mdee na wenzake, aitwanga barua Chadema

  OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, inadaiwa kuingilia kati maamuzi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ya kuwavua...

Habari MchanganyikoTangulizi

“Mkapa alidhibiti Ukimwi, aligusa maisha ya Watanzania Mil. 20”

ALIYEKUWA Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin Mkapa, ametajwa kuwa na mchango mkubwa katika kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa Upungufu...

ElimuTangulizi

Mtaka akaidi agizo la Prof. Ndalichako hadharani

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka, amekaidi kutii agizo la Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako, la kuzuia...

error: Content is protected !!