MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).
WAKATI wananchi wakiendelea kuugulia juu ya tozo za miamala ya simu, majengo na mafuta, Serikali inakuja na maumivu mengine ya tozo 17...
By Masalu ErastoAugust 21, 2021VYAMA vitatu vikubwa vya siasa nchini Tanzania – Chama cha Demekrasia na Maendeleo (Chadema), NCCR- Mageuzi naa ACT-Wazalendo – vimegoma kushiriki hafla ya...
By Masalu ErastoAugust 20, 2021ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, mkoani Dar es Salaam, Lusubilo Mwakabibi, amefunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
By Regina MkondeAugust 20, 2021SERIKALI ya Tanzania, imekusanya zaidi ya Sh.68 bilioni, kupitia tozo ya miamala ya simu na mafuta. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....
By Regina MkondeAugust 20, 2021FREEMAN Mbowe, kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania cha Chadema ameendelea kuandamwa na majanga baada ya kumpoteza mama mkwe wake, Johara...
By Mwandishi WetuAugust 20, 2021WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka waamuzi watakaochezesha mashindano ya mpira wa miguu ya jimbo la Ruangwa wawe...
By Kelvin MwaipunguAugust 19, 2021Wanachama 19 wa Chadema mkoani Mwanza, akiwemo Katibu Mkuu wa chama hicho, Kanda ya Victoria, Zacharia Obad, wameachiwa kwa dhamana leo Alhamisi,...
By Mwandishi WetuAugust 19, 2021Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa stars) Kim poulsen ametangaza majina ya wachezaji 28 watakaoingia kambini kujiandaa na mashinadano ya...
By Masalu ErastoAugust 19, 2021KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema chama hicho hakina mpango wa kujitoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar...
By Mwandishi WetuAugust 19, 2021Kampuni ya Bayoteknolojia Moderna leo Jumatano Agosti 18, 2021 inaanza kufanya majaribio ya chanjo za Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa binadamu. Anaripoti...
By Masalu ErastoAugust 18, 2021KIKOSI cha klabu ya Yanga kimeanza rasmi mazoezi yake kujiandaa na msimu mpya wa mashindano jijini Marrakesh nchini Morocco, mara baada ya...
By Mwandishi WetuAugust 17, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali leo Jumanne, tarehe 17 Agosti 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa iliyotolewa...
By Masalu ErastoAugust 17, 2021DAKTARI Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania, ameagiza Jeshi la Polisi na Taasisi ya...
By Mwandishi WetuAugust 17, 2021RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa kushirikiana na Rais mstaafu wa Sierra Leone, Ernest Bai Koroma, wamefanikiwa kumaliza utata ulijitokeza katika uchaguzi...
By Masalu ErastoAugust 17, 2021ALIYEKUWA Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu ‘Sugu’, amemuomba Rais wa awamu ya nne...
By Mwandishi WetuAugust 17, 2021MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Basil Pesambili Mramba (81) , amefariki dunia katika Hospitali ya Regency, jijini Dar es Salaam, alikokuwa anapatiwa matibabu....
By Mwandishi WetuAugust 17, 2021USHINDI wa aliyekuwa mgombea urais wa upinzani nchini Zambia, Hakainde Hichilema, katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 12 Agosti 2021, umeacha fundisho kwa...
By Masalu ErastoAugust 16, 2021ZAMBIA wameamua! Usiku wa tarehe 15 Agosti 2021. Zambia wameandika historia ya kipekeee baada ya Hakainde Hichilem, Mgombea wa chama cha upinzani...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2021HAKAINDE Hichilem, Mgombea wa chama cha upinzani cha United Party for National Development (UPND) nchini Zambia, ametangazwa mshindi wa urais akimuangusha Edger...
By Mwandishi WetuAugust 16, 2021BODI ya Wadhamini wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA), imesema imeamua kufungua kesi upya dhidi ya bodi ya vileo Zanzibar na Mwanasheria...
By Mwandishi WetuAugust 15, 2021CHAMA Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania-Chadema, kimemuomba Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu, aache kupiga dana dana katika kesi ya kula...
By Mwandishi WetuAugust 14, 2021MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imeelezwa upelelezi kesi ya jinai ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole...
By Mwandishi WetuAugust 13, 2021KIONGOZI wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam,...
By Regina MkondeAugust 13, 2021MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo Ijumaa tarehe 13 Agosti 2021, inasikiliza kesi ya kiongozi wa chama kikuu...
By Regina MkondeAugust 13, 2021ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili, wamekutwa na kesi ya kujibu katika mshtaka ya unyang’anyi wa...
By Mwandishi WetuAugust 12, 2021CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kimeanza taratibu za kuwachukulia hatua makada wake wanaokwenda kinyume na misimamo ya chama...
By Regina MkondeAugust 11, 2021CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza kulifungia kwa siku saba Gazeti lake la Uhuru kuanzia leo Jumatano, tarehe 11...
By Regina MkondeAugust 11, 2021CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema, kitachukua hatua kali dhidi ya watumishi wa gazeti la Uhuru kwa kuandika habari...
By Regina MkondeAugust 11, 2021MAHAKAMA ya Arusha imeelezwa jinsi mshitakiwa wa tatu, Daniel Bura kwenye kesi ya unyang’anyi inayomkabili, pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya...
By Mwandishi WetuAugust 11, 2021CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi kimeshangazwa na kauli ya Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan kuhusu mashtaka...
By Kelvin MwaipunguAugust 10, 2021CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimedai kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan, dhidi ya mashtaka ya kula njama za...
By Mwandishi WetuAugust 10, 2021VYOMBO vya Habari nchini Tanzania, vimetakiwa kufuata miongozo na sera zilizowekwa na Serikali na taasisi binafsi, kwa ajili ya kudhibiti vitendo vya...
By Regina MkondeAugust 10, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaomba Watanzania na ulimwengu kwa ujumla, kusubiri maamuzi ya mahakama dhidi ya mashtaka yanayomkabili kiongozi wa...
By Regina MkondeAugust 9, 2021MABINGWA wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam, imeendelea kujiimalisha kwa msimu wa 2021/22 kwa kumsajili kiungo mkabaji, Kharid Haucho....
By Kelvin MwaipunguAugust 9, 2021MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza (CCM), Hamis Tabasam, ameiomba Serikali iipatie msaada wa dharura wa vifaa tiba vya kutibu Ugonjwa wa Korona...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2021WAKATI chanjo ya kinga ya ugonjwa wa korona (Uviko-19) ikiendelea kutolewa nchini Tanzanioa, wabunge wawili wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM),...
By Mwandishi WetuAugust 9, 2021MARA baada ya kucheza kwa miaka 21, hatimaye mchezaji hatari kwa sasa Duniani, Lionel Messi ameiaga rasmi klabu yake ya Barcelona, Uwanjani...
By Kelvin MwaipunguAugust 8, 2021KLABU ya soka ya Yanga, imekamilisha usajili wa mlinda mlango Djigui Diarra, kutoka nchini Mali ambaye ameingia mkataba wa miaka miwili na...
By Kelvin MwaipunguAugust 8, 2021CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeishauri Serikali ya Tanzania, iwasilishe bungeni mpango maalumu wa kunusuru sekta zilizoathirika kiuchumi, kutokana na janga la Ugonjwa wa Korona...
By Masalu ErastoAugust 8, 2021KIONGOZI wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema mashtaka ya kula njama za kufanya ugaidi, aliyofunguliwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na wenzake...
By Masalu ErastoAugust 8, 2021CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimepanga kiwafikisha mahakamani kwa majina yao, Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) wa Dodoma...
By Mwandishi WetuAugust 7, 2021WATANZANIA wametakiwa kuendelea kuchukua hatua za kujikinga na mlipuko wa Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), ili kudhibiti athari zake. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...
By Regina MkondeAugust 7, 2021KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), kimefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam,...
By Mwandishi WetuAugust 6, 2021WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu, ameagiza kuchukuliwa hatua watumishi wawili wa...
By Mwandishi WetuAugust 6, 2021KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzania nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamesomewa upya mashtaka katika kesi ya ugaidi...
By Regina MkondeAugust 6, 2021KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini...
By Regina MkondeAugust 6, 2021JUMUIYA za Kimataifa zimejitosa katika kesi ya ugaidi, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na...
By Mwandishi WetuAugust 5, 2021BAADHI ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekamatwa na Polisi Tanzania nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini...
By Kelvin MwaipunguAugust 5, 2021MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imetoa amri ya kufikishwa mahakamani hapo kesho Ijumaa tarehe 6 Agosti 2021, saa...
By Kelvin MwaipunguAugust 5, 2021MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, inasikiliza kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema,...
By Kelvin MwaipunguAugust 5, 2021