Friday , 29 March 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari MchanganyikoTangulizi

Maumivu mapya 17 ya tozo

  WAKATI wananchi wakiendelea kuugulia juu ya tozo za miamala ya simu, majengo na mafuta, Serikali inakuja na maumivu mengine ya tozo 17...

Habari za SiasaTangulizi

Tume ya uchaguzi yasusiwa na vyama vya siasa Tanzania

VYAMA vitatu vikubwa vya siasa nchini Tanzania – Chama cha Demekrasia na Maendeleo (Chadema), NCCR- Mageuzi naa ACT-Wazalendo – vimegoma kushiriki hafla ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwakabibi, wenzake wapandishwa kizimbani kwa uhujumu uchumi

  ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, mkoani Dar es Salaam, Lusubilo Mwakabibi, amefunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

Habari za SiasaTangulizi

Bil 68 tozo ya miamala ya simu, mafuta zakusanywa, punguzo bado

  SERIKALI ya Tanzania, imekusanya zaidi ya Sh.68 bilioni, kupitia tozo ya miamala ya simu na mafuta. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe apata pigo jingine, ampoteza mama mkwe

  FREEMAN Mbowe, kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania cha Chadema ameendelea kuandamwa na majanga baada ya kumpoteza mama mkwe wake, Johara...

MichezoTangulizi

Majaliwa awaonya waamuzi mpira wa Miguu

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka waamuzi watakaochezesha mashindano ya mpira wa miguu ya jimbo la Ruangwa wawe...

Habari za SiasaTangulizi

19 Chadema wapata dhamana

  Wanachama 19 wa Chadema mkoani Mwanza, akiwemo Katibu Mkuu wa chama hicho, Kanda ya Victoria, Zacharia Obad, wameachiwa kwa dhamana leo Alhamisi,...

MichezoTangulizi

Poulsen aita 28 Stars, Kabwili ndani

  Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa stars) Kim poulsen ametangaza majina ya wachezaji 28 watakaoingia kambini kujiandaa na mashinadano ya...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Hatujitoi Serikali ya Umoja wa Kitaifa, tunarudi Konde

KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amesema chama hicho hakina mpango wa kujitoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar...

AfyaTangulizi

Baada ya chanjo ya Corona, sasa VVU

  Kampuni ya Bayoteknolojia Moderna leo Jumatano Agosti 18, 2021 inaanza kufanya majaribio ya chanjo za Virusi Vya Ukimwi (VVU) kwa binadamu. Anaripoti...

Tangulizi

Majembe mapya Yanga yaanza mazoezi Morocco

  KIKOSI cha klabu ya Yanga kimeanza rasmi mazoezi yake kujiandaa na msimu mpya wa mashindano jijini Marrakesh nchini Morocco, mara baada ya...

Tangulizi

Rais Samia ateua viongozi akiwa Malawi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali leo Jumanne, tarehe 17 Agosti 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Taarifa iliyotolewa...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, akamatwe

  DAKTARI Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto nchini Tanzania, ameagiza Jeshi la Polisi na Taasisi ya...

Tangulizi

Kikwete, Koroma wamaliza ubishi Zambia

RAIS mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete kwa kushirikiana na Rais mstaafu wa Sierra Leone, Ernest Bai Koroma, wamefanikiwa kumaliza utata ulijitokeza katika uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Sugu ampa ujumbe Kikwete

  ALIYEKUWA Mbunge wa Mbeya Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu ‘Sugu’, amemuomba Rais wa awamu ya nne...

Habari MchanganyikoTangulizi

Basil Mramba afariki dunia

  MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Basil Pesambili Mramba (81) , amefariki dunia katika Hospitali ya Regency, jijini Dar es Salaam, alikokuwa anapatiwa matibabu....

KimataifaTangulizi

Uchaguzi Zambia wawaibua wanasiasa, wanaharakati Tanzania

  USHINDI wa aliyekuwa mgombea urais wa upinzani nchini Zambia, Hakainde Hichilema, katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 12 Agosti 2021, umeacha fundisho kwa...

KimataifaMakala & UchambuziTangulizi

Hakainde Hichilem; tajiri anayetinga Ikulu Zambia, alidaiwa Freemason

  ZAMBIA wameamua! Usiku wa tarehe 15 Agosti 2021. Zambia wameandika historia ya kipekeee baada ya Hakainde Hichilem, Mgombea wa chama cha upinzani...

KimataifaTangulizi

Upinzani washinda urais Zambia

  HAKAINDE Hichilem, Mgombea wa chama cha upinzani cha United Party for National Development (UPND) nchini Zambia, ametangazwa mshindi wa urais akimuangusha Edger...

Habari MchanganyikoTangulizi

Pombe yazua balaa Z’bar

  BODI ya Wadhamini wa Jumuiya ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA), imesema imeamua kufungua kesi upya dhidi ya bodi ya vileo Zanzibar na Mwanasheria...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yalia na DPP kesi ya Mbowe

  CHAMA Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania-Chadema, kimemuomba Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu, aache kupiga dana dana katika kesi ya kula...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya azidi kung’ang’aniwa

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imeelezwa upelelezi kesi ya jinai ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe waigeuzia kibao Serikali, Hakimu atoa agizo

  KIONGOZI wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya kina Mbowe kusikilizwa kimtandao

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo Ijumaa tarehe 13 Agosti 2021, inasikiliza kesi ya kiongozi wa chama kikuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya Sabaya na wenzake yaiva, kuanza kujitetea kesho

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili, wamekutwa na kesi ya kujibu katika mshtaka ya unyang’anyi wa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yawanyooshea kidole Polepole, Askofu Gwajima “subirini matokeo”

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kimeanza taratibu za kuwachukulia hatua makada wake wanaokwenda kinyume na misimamo ya chama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Gazeti la Uhuru lasimamisha uzalishaji, vigogo 3

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza kulifungia kwa siku saba Gazeti lake la Uhuru kuanzia leo Jumatano, tarehe 11...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaonya gazeti lake Uhuru kisa uchaguzi 2025

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema, kitachukua hatua kali dhidi ya watumishi wa gazeti la Uhuru kwa kuandika habari...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Sabaya: Shahidi amng’akia Wakili wa Sabaya

  MAHAKAMA ya Arusha imeelezwa jinsi mshitakiwa wa tatu, Daniel Bura kwenye kesi ya unyang’anyi inayomkabili, pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: NCCR-Mageuzi wamshangaa Rais Samia

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi kimeshangazwa na kauli ya Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan kuhusu mashtaka...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumlalamikia Rais Samia mahakamani

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimedai kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan, dhidi ya mashtaka ya kula njama za...

Tangulizi

Wadau wataja muarobaini ukatili wa kingono vyumba vya habari

  VYOMBO vya Habari nchini Tanzania, vimetakiwa kufuata miongozo na sera zilizowekwa na Serikali na taasisi binafsi, kwa ajili ya kudhibiti vitendo vya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ajitosa sakata la Mbowe ‘mahakama itaamua’

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaomba Watanzania na ulimwengu kwa ujumla, kusubiri maamuzi ya mahakama dhidi ya mashtaka yanayomkabili kiongozi wa...

MichezoTangulizi

Mnata, Shikalo watemwa Yanga, Haucho atambulishwa

  MABINGWA wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya Dar es Salaam, imeendelea kujiimalisha kwa msimu wa 2021/22 kwa kumsajili kiungo mkabaji, Kharid Haucho....

Tangulizi

Sengerema yazidiwa wagonjwa Korona, mbunge aiangukia Serikali

  MBUNGE wa Sengerema mkoani Mwanza (CCM), Hamis Tabasam, ameiomba Serikali iipatie msaada wa dharura wa vifaa tiba vya kutibu Ugonjwa wa Korona...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole, Askofu Gwajima njiapanda CCM

  WAKATI chanjo ya kinga ya ugonjwa wa korona (Uviko-19) ikiendelea kutolewa nchini Tanzanioa, wabunge wawili wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

MichezoTangulizi

Messi atokwa machozi, akiaga Barcelona

  MARA baada ya kucheza kwa miaka 21, hatimaye mchezaji hatari kwa sasa Duniani, Lionel Messi ameiaga rasmi klabu yake ya Barcelona, Uwanjani...

MichezoTangulizi

Yanga yampata mrithi wa Shikalo

  KLABU ya soka ya Yanga, imekamilisha usajili wa mlinda mlango Djigui Diarra, kutoka nchini Mali ambaye ameingia mkataba wa miaka miwili na...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yaonyesha njia mapambano dhidi ya Korona

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeishauri Serikali ya Tanzania, iwasilishe  bungeni mpango maalumu wa kunusuru sekta zilizoathirika kiuchumi, kutokana na janga la Ugonjwa wa Korona...

Tangulizi

Zitto: Hamumkomoi Mbowe, Rais Samia usiingie kwenye mtego

  KIONGOZI wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema mashtaka ya kula njama za kufanya ugaidi, aliyofunguliwa Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na wenzake...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuwafikisha kortini OCD Dodoma, Kigoma

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimepanga kiwafikisha mahakamani kwa majina yao, Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) wa Dodoma...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wananchi watakiwa kujiandaa wimbi la nne Korona, wasisahau tiba asili

  WATANZANIA wametakiwa kuendelea kuchukua hatua za kujikinga na mlipuko wa Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), ili kudhibiti athari zake. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Tangulizi

Tozo miamala ya simu yapingwa mahakamani

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), kimefungua kesi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam,...

Tangulizi

Chanjo ya corona yawaponza 2 Arusha, wasimamishwa

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu, ameagiza kuchukuliwa hatua watumishi wawili wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wasomewa mashtaka upya, DPP hajakamilisha taratibu

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzania nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamesomewa upya mashtaka katika kesi ya ugaidi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe afikishwa Kisutu, ulinzi waimalishwa

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini...

Habari za SiasaTangulizi

EU, Marekani, Canada, Uswisi zajitosa kesi ya Mbowe

  JUMUIYA za Kimataifa zimejitosa katika kesi ya ugaidi, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi yawakamata wafuasi wa Chadema Kisutu

  BAADHI ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekamatwa na Polisi Tanzania nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Mtandao wakwamisha kesi ya Mbowe, Hakimu atoa maagizo

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imetoa amri ya kufikishwa mahakamani hapo kesho Ijumaa tarehe 6 Agosti 2021, saa...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe kusikilizwa kimtandao akiwa gerezani

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, inasikiliza kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema,...

error: Content is protected !!