Friday , 29 March 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Tangulizi

Spika Ndugai: Waiteni NIDA… kuna hela zimeliwa

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano nwa Tanzania, Job Ndugai ameiagiza Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje kuwaita viongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kampuni ya Tigo yaelezea miamala aliyoifanya Mbowe

FREDY KAPARA (38), shahidi wa tano upande wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

‘Babu Duni’ ajitosa kumrithi Maalim Seif -ACT- Wazalendo

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazaendo – Zanzibar, Juma Duni Haji maarufu kama ‘Babu Duni’ amejiuzulu wadhifa wake ndani ya chama...

Habari za SiasaTangulizi

Saini ya shahidi yaibua mvutano kesi ya Mbowe, yaahairishwa

  USAHIHI wa saini ya shahidi wa nne wa Jamhuri, Anita Varelian Mtaro (45), mfanyabiashara wa kuuza mbege, katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Jamhuri asimulia wenzie Mbowe walivyokamatwa 

  SHAHIDI wa nne wa Jumhuri, Anita Varelian Mtaro (45), mfanyabiashara wa kuuza mbege, Rau Madukani mkoani Kilimanjaro ameelezea jinsi Adam Kasekwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Kisa Mbowe: Zitto aweka sharti kikao vyama vya siasa, Rais Samia

  KIONGOZI wa chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, Zitto Kabwe amesema, kikao baina ya Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan na viongozi...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto akambushia maumivu ya uchaguzi mkuu 2020

  KIONGOZI wa chama cha siasa cha upinzani cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amekumbushia machungu ya uchaguzi mkuu uliopita wa Oktoba 2020 akisema, chama...

ElimuTangulizi

Ufaulu darasa la saba waongezeka kwa 6.69% , Kiswahili chang’ara

  BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limesema asilimia 81.97 ya wanafunzi 1,107,460, waliotunukiwa matokeo ya mtihani wa darasa la saba, uliofanyika tarehe 8...

ElimuTangulizi

Haya hapa matokeo ya mtihani wa Darasa la Saba 2021

  BARAZA la Mitihani la Taifa Tanzania (NECTA), leo limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (Darasa la Saba) mwaka 2021....

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi aeleza uchunguzi bastola ulivyofanyika

  SHAHIDI wa tatu wa Jamhuri, Koplo Hafidhi Abdllah Mohammed, katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa chama...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Fuatilia mtaalamu wa silaha akitoa ushahidi, milipuko  

  KOPLO Hafidh Abdallah Mohamed, mwenye namba F 5914 D ambaye ni shahidi wa tatu upande wa Jamhuri, ameanza kutoa ushahidi katika kesi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ampigania Mbowe

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amewaangukia viongozi wa dini, kisiasa na Watanzania kwa ujumla, akiwaomba wapaze sauti zao ili mamlaka zimuache huru...

Habari za SiasaTangulizi

Msaidizi wa Sabaya aibua utata kesi ya Mbowe

  SHAHIDI wa pili wa Jamhuri, Justine Elia Kaaya leo Alhamisi tarehe 28 Oktoba 2021, ameendelea kutoa shahidi katika kesi inayomkabili kiongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Membe ambwaga Cyprian Musiba, kulipwa bilioni 6

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imemuamuru Mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba kumlipa aliyekuwa Waziri mambo ya nje, Bernard Membe kiasi cha...

Tangulizi

GGML yakabidhi vifaa, zana za thamani ya milioni 132 kwa VETA Moshi

  KAMPUNI ya uchimbaji wa madini ya dhahabu Geita (GGML) imekabidhi rasmi zana/vifaa mbalimbali kwa Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi VETA Moshi...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa Mbowe wambana shahidi

  MAWAKILI wa utetezi, Jeremiah Mtobesya na John Mallya wamembana shahidi wa pili wa Jamhuri, Justin Elia Kaaya kuhusu maelezo aliyoyatoa kuhusu kesi...

Tangulizi

Rais Samia atoa mtihani mpya kwa Bashungwa, Gekul

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema atawapima Waziri wa Sanaa, Michezo na Utamaduni, Inocent Bashungwa pamoja na naibu wake, Pauline Gekul kwa kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi aeleza mikakati ya Mbowe kumdhuru Sabaya

  JUSTIN Elia Kaaya, shahidi wa pili wa Jamhuri ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Msaidizi wa Sabaya aanza kutoa ushahidi kesi ya Mbowe

  JUSTIN Elia Kaaya, aliyekuwa mfanyakazi wa Lengai Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Kilimanjaro, ameanza kutoa ushahidi wake katika kesi...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Kigogo mzito kutinga kortini

  KIONGOZI mwandamizi katika mhimili mmoja wa Dola nchini Tanzania, anaweza kuitwa mahakamani kuwa shahidi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Fuatilia RPC Kingai alivyohitimisha ushahidi wake

  KAMANDA wa Polisi Kinondoni, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Ramadhan Kingai amehitimisha kutoa ushahidi wake katika kesi ya uhujumu uchumi yenye...

Habari za SiasaTangulizi

Mahojiano Rais Samia, BBC yaibua mvutano kesi ya Mbowe

  MAHOJIANO aliyoyafanya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) na kugusia kesi inayomkabili kiongozi wa chama...

HabariMichezoTangulizi

Simba yamtimua Gomes, Hitimana arithi mikoba yake

  KLABU ya Soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam, imevunja mkataba na aliyekuwa kocha wake Mkuu, Didier Gomes Da Rosa, mara...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya Mbowe: Jaji mpya ajitambulisha, RPC Kingai aanza kutoa ushahidi

  KESI inayomkabili Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, imeanza kusikilizwa tena katika Mahakama...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji mwingine apangiwa kesi ya Mbowe, kuanza kusikiliza

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, kesho Jumanne tarehe 26 Oktoba 2021, itaendelea kusikiliza kesi inayomkabili kiongozi wa...

MichezoTangulizi

Simba yatolewa kimataifa kwa aibu, kuhamia Kombe la Shirikisho

  SIMBA ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania imetolewa katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika kwa kipigo cha 3-1, katika Uwanja wake...

Tangulizi

Viongozi, watumishi washiriki kulima bangi Morogoro

  BAADHI ya viongozi, watumishi wa umma wa vijiji, vitongoji na kata zinazozunguka msitu wa Mkwiva uliopo wilayani Kilosa mkoani Morogoro, nchini Tanzania...

MichezoTangulizi

Geita waishiwa uvumilivu, wamtimua Ndayilagije

  Klabu ya Geita Gold inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba na aliyekuwa kocha wa kikosi hiko Ettiene Ndayilagije,...

Tangulizi

Bilioni 2 kuboresha pori la Swagaswaga Dodoma, Dk. Ndumbaro atoa neno

  SERIKALI ya Tanzania imetenga Sh.2 bilioni kwa ajili ya kutengeneza bango na geti la kuingilia kwenye Pori la Akiba la Swagaswa lililoko...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awapa kibarua wanawake wa CCM

  MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameuagiza Umoja Wanawake ya chama hicho (UWT), umpatie ripoti inayoonesha maendeleo ya mwanamke...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Burundi zakubaliana mambo 10

  NCHI za Tanzania na Burundi, zimekubaliana kuongeza ushirikiano katika mambo 10 muhimu ili kuimarisha uchumi wa pande zote mbili. Anaripoti Regina Mkonde,...

MichezoTangulizi

Simba yazisomba tuzo za TFF, Yanga kiduchu

TIMU ya Simba ya jijini Dar es Salaam imejizoelea tuzo kibao za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) huku watani zao wakiambulia...

MichezoTangulizi

Bocco mchezaji bora ligi kuu, Fei Toto shirikisho, Chama…

JOHN Raphael Bocco, Nahodha wa Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba, ametwaa tuzo ya mchezaji bora (MVP) wa msimu 2020/21. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaibua kasoro 10 uamuzi kesi ya Mbowe, wenzake

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibua hoja zaidi ya kumi, kuhusu kasoro zilizojitokeza kwenye uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu, Divisheni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema watuma salamu kwa Rais Samia, Jaji Mkuu, DPP 

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeomba kuzungumza na Rais Samia Suluhu Hassan, ili kupata suluhu ya sintofahamu zinazojitokeza nchini kwenye masuala...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuja kivingine kesi ya Mbowe, wenzake

  CHAMA kikuu cha upinzania nchini Tanzania cha Chadema, kimesema hakijaridhishwa na uamuzi wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji mwingine kesi ya kina Mbowe ajitoa, asema…

  JAJI Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapha Siyani amejitoa kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kupanga njama za ugaidi...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi Mbowe, wenzake: Mahakama yapangua pingamizi yao

  MAHAKAMA KUU, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, nchini Tanzania imeyatupa mapingamizi mawili ya upande wa utetezi katika kesi inayomkabili kiongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe amtaja Mwalimu Nyerere mahakamani

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, kiongozi wa mwisho wa Taifa hilo ni Hayati Baba...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Mwamakula aendesha maombi mahakamani kesi ya Mbowe

  ASKOFU wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Emmaus Mwamakula, ameendesha maombi maalum katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe na wenzake kortini kesho, Jaji anayesikiliza kesi hiyo kitendawili

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, kesho Jumatano, tarehe 20 Oktoba 2021, inatarajia kutoa uamuzi wa...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi wamgomea Jaji Mutungi

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi kimesema, hakitashiriki kikao kilichoitishwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya ‘apigwa’ upara

  SIKU tatu baada ya kuhukumiwa kwenda jela miaka 30, yeye na wenzake wawili kwa makosa ya unyang’anyi wa kutumia silaha, aliyekuwa Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

Wenyeviti Chadema watoa ya moyoni kesi ya Mbowe, Sabaya

  WENYEVITI wa mikoa ya chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Chadema wamesema, kilichomtokea Lengai Ole Sabaya, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai,...

Habari za SiasaTangulizi

Vick Kamata afichua mateso ubunge miaka mitano iliyopita

  ALIYEKUWA mbunge wa Viti Maalum, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Vick Kamata Servacius Likwelile, ameibuka na kueleza mambo mazito ambayo yeye na...

Tangulizi

Rais Samia ampa siku 90 DED Karatu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempa miezi mitatu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani Arusha (DED), Karia Rajabu,...

Habari za SiasaTangulizi

Kada Chadema arudi CCM mbele ya Rais Samia, aomba kazi

  ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Sombetini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ally Bananga, ametangaza kurejea katika chama tawala cha Mapinduzi (CCM),...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania yazungumzia uchunguzi kupotea Azory Gwanda

  MSEMAJI Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa, amesema Jeshi la Polisi nchini humo, linaendelea kufanya uchunguzi kuhusu tukio la kupotea kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Dk. Shoo: Walah Rais Samia Mungu amekuweka kwa kusudi, kubali kuponya majeraha

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aendelee kusimama katika yale...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya, wenzake wapigwa miaka 30 jela

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai...

error: Content is protected !!