Thursday , 25 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi yakubali kushiriki mkutano TCD na Rais

  CHAMA cha NCCR-Mageuzi, kimetengua azimio lake la kutoshiriki mkutano wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) na Rais Samia Suluhu Hassan, baada ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

453 wajitokeza kuhama Ngorongoro

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amepokea orodha ya majina ya awali ya kaya 86 zenye watu 453 ambao wamekubali kuondoka kwenye hifadhi...

Tangulizi

Vijana ACT-Wazalendo watoa mapendekezo sita upatikanaji tume huru ya uchaguzi

  NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, imetoa mapendekezo sita yatakayowezesha upatikanaji wa tume huru ya uchaguzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la kina Mdee:Chadema yasema haitapeleka barua nyingine bungeni

  CHAMA cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitapeleka barua nyingine kwenda kwenye uongozi wa Bunge, kulitaarifu msimamo wake wa kufukuza uanachama wabunge...

Habari MchanganyikoTangulizi

Video ya mahojiano Mke wa Bilionea Msuya, Polisi zakataliwa

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekataa kupokea kielelezo cha Tape iliyofikishwa mahakamani hapo na shahidi wa sita wa Jamhuri, Inspekta...

Tangulizi

Dk. Bisimba apewa tuzo ya maisha, atoa ujumbe

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umempa tuzo ya maisha ya mtetezi wa haki zabinadamu, Mkurugenzi Mstaafu wa Kituo cha...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe atumia dakika 76 kutema nyongo, amshukuru Rais Samia

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe ametumia takribani dakika 76, kulihutubia Taifa ikiwa ni siku nne baada ya kutoka mahabusu ya Gereza la Ukonga,...

Tangulizi

Mwanaye Rais Museveni atangaza kustaafu jeshi Uganda

KAMANDA wa jeshi la ardhini nchini Uganda (UPDF), Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba ametangaza kustaafu katika jeshi hilo baada ya kuhudumu kwa miaka 28....

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe ataja chanzo cha kukamatwa, kufunguliwa kesi ya ugaidi

  MWENYEKITI wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, amedai chanzo cha yeye kukamatwa na kufunguliwa mashtaka ya ugaidi, ni hotuba yake ya uchambuzi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atoa tahadhari mfumuko wa bei

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametahadharisha uwepo wa mfumuko mkubwa wa bei nchini unaosababishwa na kupanda kwa bei...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza aeleza kwa nini CCM itakufa

  ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe, ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Benson Bagonza, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitakufa...

Habari za SiasaTangulizi

BAWACHA yatangaza ziara nchi nzima

  BARAZA la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), limesema litafanya ziara katika kanda za nchi, kwa ajili ya kuhamasisha ufufuaji...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Sikutaka kesi ifutwe ili dunia ijue ukweli

MWENYEKITI wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia, Freeman Mbowe amesema licha ya kuwa ugaidi ni kosa linaloweza kumfungisha mtu maisha lakini alimuomba Mungu...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Nguvu ya umma imenitoa gerezani

KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, kilichomfanya akafutiwa mashtaka ya ugaidi yaliyokuwa yanamkabili ni “nguvu ya...

HabariTangulizi

Serikali yatenga Tril. 1/- kukopesha mabenki kwa riba ndogo

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imetenga Shilingi trilioni moja katika mpango mahususi wa kuwezesha mabenki kukopesha kwa riba ndogo isiyozidi asilimia 10....

Habari za SiasaTangulizi

Walichoteta Rais Samia, Mbowe Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman Mbowe. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Kuachiwa Mbowe: Shangwe zaibuka mahakamani, Kibatala afunguka

  SHANGWE zimeibuka katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, baada ya mahakama hiyo kufuta...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe ahitimisha siku 226 mahabusu

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Aikaeli Mbowe leo Ijumaa, tarehe 4 Machi 2022 amehitimisha siku 226...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wafutiwa mashtaka

  MKURUGENZI wa Mashtaka (DPP) leo Ijumaa tarehe 4 Machi 2022, amewasilisha hati ya kutokuwa na nia ya kuendelea na kesi inayomkabili Mwenyekiti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jamaa aoa pacha watatu wanaofanana “Nawapenda wote

MWANAUME kutoka Jamhiri ya Kidemokrasia ya Congo ameingia kwenye rekodi ya mfalme Solomoni baada ya kufunga pingu za maisha na mapacha watatu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Viongozi wa dini wamwomba Rais Samia kuwaachia kina Mbowe

  VIONGOZI wa dini nchini Tanzania, wamemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan kutumia mamlaka aliyonayo kumaliza kesi ya ugaidi inayomkabili, kiongozi...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda atinga makahamani, apewa siku 21

  ALIYEKUWA mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam impe muda...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu Katoliki Tanzania watoa waraka wa Kwaresima, wagusia upatanisho

  BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa waraka wa Kwaresima wa mwaka 2022 ambao kwa sehemu kubwa umejikita kuzungumzia umuhimu wa upatanisho....

Habari za SiasaTangulizi

Makonda kizimbani leo

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam nchini Tanzania leo Jumatano tarehe 2 Machi 2022, itasikiliza maombi ya kufungua kesi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia mgeni rasmi Siku ya Maridhiano

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Maridhiano day yatakayofanyika...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa azungumzia kesi ya Mbowe

  ALIYEKUWA Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Dk Wilbrod Slaa amesema, anamwombea kwa Mwenyezi Mungu, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ili haki iweze...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yazindua ‘Join the Chain,’ Lissu aeleza malengo

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimezindua program maalum iitwayo ‘Join the Chain’ yenye lengo la kukusanya fedha za ujenzi...

Tangulizi

Balozi Mbarouk amuaga balozi wa Vatican

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amekutana na kumuaga Balozi wa Vatican nchini, Askofu...

Tangulizi

Kigogo Chadema afutiwa kesi, akamatwa tena

  MWENYEKITI wa Baraza la Wazee la chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Hashim Issa Juma, amekamatwa na Jeshi la Polisi,...

Tangulizi

Ajira ni janga la kidunia, nini kifanyike?

  NI dhahiri sasa kuwa ajira ni tatizo la kidunia. Hakuna ubishi sasa hili ni janga. Nchi zote ulimwenguni zinajaribu kukabiliana na janga...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Niwemugizi ampa mitihani sita Rais Samia, alia na mauaji

  ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara mkoani Kagera, Severine Niwemugizi amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kushughulikia changamoto sita zinazoikabili wilaya hiyo hususani...

Habari za SiasaTangulizi

Niwemugizi: Rais Samia usikubali kulinganishwa na Mungu, ‘kazi yetu kukosoa, kuonya

  ASKOFU wa Jimbo Katoliki la Rulenge-Ngara mkoani Kagera, Severine Niwemugizi amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan asikubali kamwe kulinganishwa na Mungu kwa namna...

Habari za SiasaTangulizi

Balozi Kagasheki ampa heko Rais Samia, amtaja Magufuli

KADA mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii, Balozi Khamis Kagasheki amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan...

Habari za SiasaTangulizi

Shaka amfagilia Rais Samia kuitangaza Tanzania

  KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi, Shaka Hamdu Shaka amesema chama hicho kinaridhishwa na juhudi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tumekwamua miradi iliyokwama

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika ziara na mikutano aliyoifanya Barani Ulaya imeifanikisha Tanzania kukwamua miradi iliyokuwa imekwama. Amesema miradi hiyo ilikwama katikati...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wakutwa na kesi ya kujibu

  MAHAKAMA KUU, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, imemkuta na kesi ya kujibu, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mamia wafurika, wazuiwa getini

  MAMIA ya wanachama wa Chadema, wamefika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, kusikiliza uamuzi...

HabariTangulizi

Rais Samia afunguka kesi ya Mbowe “tuiachie mahakama”

  KWA mara nyingine tena, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watu wanaokosoa hatua ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kufunguliwa mashtaka...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aifikisha kesi ya Mbowe kwa Rais Samia

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kushughulikia kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa chama...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia, Lissu wateta Ubelgiji

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassa amekutana na kuzungumza na Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo- Chadema, Tundu Lissu....

Tangulizi

Mwili wa Dk. Mwele kuwasili Ijumaa, kuagwa Dar, kuzikwa Dodoma J3

MWILI wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), anayeshughulikia magonjwa yasiyopewa kipaumbele (NTDs), Dk. Mwele Malecela (58), utawasili nchini Tanzania usiku...

HabariTangulizi

Tanzania kujenga kiwanda chanjo UVIKO-19

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, Serikali anayoiongoza ina mpango wa kuanzisha kiwanda cha kuzalisha chanjo ya korona (UVIKO-19) na maradhi...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Jamhuri yafunga ushahidi

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imefunga kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi: Mbowe alikuwa na nia ovu, hakumtafuta mlinzi wake Polisi

  MPELELEZI wa kesi ya uhujumu uchumi namba 16/2021, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, Inspekta Tumaini Swila, amedai mwanasiasa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wanyimwa chakula miezi 5

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe ameibuka malalamiko mahakamani ya kunyimwa chakula kwa zaidi ya miezi mitano kila...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe waandika barua hospitali aliyotibiwa shahidi, wajibiwa

  PETER Kibatala, Kiongozi wa Jopo la Mawakili wa Utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu,...

Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: Spika Tulia anazungumza na waandishi

  LEO Jumatatu, tarehe 14 Februari 2022, Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson anazungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe atoa salamu za Valentine

  LEO Jumatatu tarehe 14 Februari 2022 ni siku ya wapendao ‘Valentine Day’ na ndani ya chumba cha Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa atoa maagizo mazito TARURA

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wahandisi wa Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA) kusimamia miradi kwa weledi, uadilifu na uaminifu huku wakizingatia ubunifu...

error: Content is protected !!