Wednesday , 24 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari MchanganyikoTangulizi

Wanaohama Ngorongoro: Majaliwa atoa maagizo wizara 4

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka wizara ya maliasili na utalii kuendelea kusimamia kwa ukaribu na kuhakikisha shughuli za ujenzi katika...

HabariTangulizi

Mbuge aliyefariki kuagwa bungeni J5, kuzikwa Ijumaa Rukwa

  MWILI wa aliyekuwa Mbunge Viti Maalumu (CCM), Mkoa wa Rukwa nchini Tanzania, Irene Ndyamkama, utazikwa mkoani Rukwa, Ijumaa ya tarehe 29 Aprili...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana awaonya wanaosaka uongozi kwa fedha CCM

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi-Bara nchini Tanzania, Abdulrahman Kinana amesema wanachama wanaotafuta uongozi ndani ya chama hicho kwa kutumia fedha, hawana nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba ataja mambo 7 yaliyompa heshima Nyerere

JAJI Mstaafu Joseph Warioba ametaja mambo saba yaliyompa heshima Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na kusisitiza kuwa kiongozi huyo alikataa kuitwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watetezi haki za binadamu wafungua kesi ya dhamana kwa Madeleka

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), wamefungua kesi ya kuomba...

Habari MchanganyikoTangulizi

MGOGORO KKKT: Siri zaidi zafichuka, Askofu Shoo, Malasula …

  KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Konde, limemtaka Msajili wa Jumuiya za Kiraia nchini, kuacha “kuingilia mambo ya ndani...

HabariTangulizi

Kina Mdee wabakiza siku 20 bungeni

  HATIMA ya Halima Mdee na wenzake 18 kuendelea kuwa wabunge wa viti maalumu itajulikana tarehe 11 Mei 2022, wajumbe wa Baraza Kuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mchina ahukumiwa miaka 20 jela kwa kuwachapa wafanyakazi viboko

MAHAKAMA nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wa China kwa mashtaka ya mateso aliyowafanyia wanaume wanne aliokuwa akiwachapa huku wakiwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Ruwa’ichi: Uchunguzi unaendelea kifo cha Padri Dar

ASKOFU Mkuu Yuda Thaddeus Ruwa’ichi, wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, amesema uchunguzi dhidi ya chanzo cha kifo cha aliyekuwa Mkuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bashungwa amuagiza Makala kusitisha zuio la bajaji, bodaboda Dar

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es...

Habari MchanganyikoTangulizi

CAG abaini ‘madudu’ kwenye majeshi

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) nchini Tanzania katika ukaguzi wake kwa mwaka 2020/21 amebaini udhaifu wa usimamizi, ufuatiliaji na ukiukwaji...

Makala & UchambuziTangulizi

Ushauri mzito kwa Makonda, atakiwa kuomba radhi

  ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda, ameshauriwa kuwaomba radhi hadharani viongozi wa Serikali, vyama vya siasa,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kifo cha Padri Dar; Polisi wasema kuna dalili amejiua

SAKATA la kifo cha Padri Francis Kangwa (49) raia wa Zambia aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Yohanne Paul II, iliyoko Mbezi Mshikamano...

HabariTangulizi

Chama ‘Magufuli’ moto, mawaziri nawabunge wahusishwa kujiunga

  CHAMA kipya cha siasa nchini Tanzania kinachojinasibisha na ‘Rais wa Wanyonge’, John Magufuli, kimeanza kuleta sintofahamu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Tangulizi

Mbunge atishia kukwamisha bajeti TAMISEMI kisa walemavu

  MBUNGE Viti Maalumu, Stella Ikupa, ametishia kushika shilingi katika makadirio ya bajeti ya Wizara Ofisi ya Rais-TAMISEMI kwa mwaka wa fedha wa...

HabariTangulizi

Kifo cha Paroko chaibua utata Dar

  UTATA umeibuka juu ya kifo cha Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Yohanne Paul II, iliyoko Mbezi Mshikamano, Dar es Salaam, Padri Francis...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yashindwa kulipa deni Mil. 38.3- CAG

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere amesema, ukaguzi alioufanya kwa mwaka 2020/21 amebaini chama kikuu...

Habari za SiasaTangulizi

CAG ahofia CCM kupoteza bilioni 3, kesi 108 kortini

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere ameonesha hofu kwa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: CCM yakosa gawio milioni 480

  RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka 2020/21 nchini Tanzania, amebaini kampuni zinazomilikiwa na Chama Cha...

Habari za SiasaTangulizi

Mambo yaliyotawala mazungumzo ya Rais Samia, Kamala Harris

  MAKAMU wa Rais wa Marekani, Kamala Harris ameeleza mambo mahususi watakayogusia katika mazungumzo yake na Rais Samia Suluhu Hassan ambaye yupo nchini...

HabariTangulizi

Rais Samia aeleza sababu ya kuzindulia Royal Tour Marekani

  RAIS Samia haikuwa bahati mbaya kuzindulia filamu ya kutangaza utalii wa Tanzania duniani, Royal Tour nchini Marekani bali ni kutokana na nchi...

HabariTangulizi

Zitto alitega Bunge, CAG na Takukuru

  KIONGOZI wa chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe ametaja mambo mawili yanayoweza kufanyika ili kupunguza wizi ama...

HabariTangulizi

Mabadiliko tabianchi yabadili mvua za masika, TMA yatoa mapendekezo 5

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema, mvua za masika Machi- Mei mwaka 2022 zinatarajiwa kuwa chini ya wastani hadi wastani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkandarasi aliyepewa kazi TPA ‘apiga cha juu’ bilioni 64

OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini mkandarasi aliyepewa kazi ya kuongeza kina cha lango na sehemu ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

CAG aanika mabilioni yalivyochotwa TPA na kutafunwa Mwanza, ataka yarejeshwe

OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali imebaini kiasi cha Sh bilioni 22.64 kilichohamishwa kutoka makao makuu ya Mamlaka ya...

HabariTangulizi

Ndugai atinga Bungeni mara ya kwanza tangu ajiuzulu uspika

  Mbunge wa Kongwa na Spika Mstaafu wa Bungela Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai kwa mara ya kwanza amehudhuria vikao vya...

Tangulizi

Balozi nne zakiuka taratibu, zalipa milioni 239

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, Charles Kichere amebaini balozi nne zilifanya malipo yenye thamani ya Sh.239.56...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watano mbaroni kwa kukutwa na dawa za kulevya Uwanja wa Ndege Dar

WATU watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kikosi cha Viwanja vya Ndege Tanzania, kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Kisa chopa, ziara ya Nape yaibua mjadala

  ZIARA ya Waziri Habari, Mawasiliano na Teknolojia, Nape Nnauye anayoifanya mikoa yote nchini kwa kutumia Helicopter ‘chopa’ kwa lengo la kukagua utekelezaji...

BiasharaTangulizi

Serikali yasema bei ya bidhaa Tanzania zipo chini

LICHA ya kuwepo kwa mfumuko wa bei za bidhaa duniani Serikali ya Tanzania imesema bei za bidhaa nchini mwake zipo chini ikilinganishwa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Madiwani wamng’oa Meya Moshi, yeye aondoka kwa bodaboda

  HATIMAYE Bazara la Madiwani Manispaa ya Moshi Mjini Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania limemng’oa Meya wao, Juma Raibu kwa kumpigia kura ya...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima: Ipo siku tutapata Rais wa ajabu

  MBUNGE wa Kawe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Askofu Joseph Gwajima ameshauri kuanzishwa kwa Dira ya Taifa ili kuwezesha kiongozi...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana aonya viongozi wanaopenda kutukuzwa “acheni mbwembwe”

  MAKAMU wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana ameonya viongozi wanaopata nafasi mbalimbali za kuteuliwa au kuchaguliwa kuacha tabia ya kutaka kutukuzwa kwani nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana atangaza ziara mikoa 11

  MAKAMU Mwenyekiti wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM)-Bara, Abdulrahman Kinana ametangaza ziara ya kichama ya mikoa minne atakayoifanya hivi...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo: Acheni kupanga safu uchaguzi CCM

  KATBU Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo amewaonya wanachama wa chama hicho kuacha kupanga safu katika nafasi mbalimbali za uchaguzi wa chama hicho...

Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: CCM Dar wakimpokea Kinana

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, leo Jumapili tarehe 10 Aprili 2022, wanampokea Makamu Mwenyekiti...

HabariTangulizi

Majaliwa atembelea bandarini, aipa maagizo TICTS

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makontena Tanzania (TICTS) kuimarisha utendaji kazi wake ikiwemo kuacha kuchelewesha...

Habari za SiasaTangulizi

Bulembo ataka CCM imshughulikie Mpina

  MWENYEKITI mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo amekiomba chama hicho kumchukulia hatua mbunge wake wa Kisesa,...

Habari za SiasaTangulizi

Shabiby atoa mwarobaini kupanda bei mafuta

MBUNGE wa Gairo Mohammed Shabib ameitaka Serikali kuruhusu kampuni binafsi kuagiza mafuta wenyewe bila kutumia uagizaji wa pamoja. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Tangulizi

Majaliwa aonya wapandishaji bidhaa, atoa maagizo

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara kuunda jopo la wataalamu ili kufuatilia upandaji wa bei...

HabariTangulizi

Tanzania kufikisha ndege 16, ATCL yajitanua

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, hadi kufikia Februari 2022 Serikali imekwisha kulipa malipo ya awali ya ununuzi wa ndege mpya...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba aonya wanasiasa kutumia madhabahu

  WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba ameonya vitendo vya viongozi wa kisiasa kukaribishwa katika madhabahu ya nyumba za ibada, kutoa salamu za...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana atuma ujumbe kwa Chadema, NCCR-Mageuzi

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amevitaka vyama vya siasa vikubali kushiriki mikutano inayoitishwa kwa ajili ya kujadili masuala ya demokrasia,...

Habari za SiasaTangulizi

TCD yaomba mabadiliko Sheria Vyama vya Siasa kufikia Julai

  MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Zitto Kabwe ameiomba Serikali kuhakikisha mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa yanafanyika kufikia Julai...

Habari za SiasaTangulizi

Mkituletea mazito hatutayatekeleza: Samia aionya TCD

RAIS Samia Suluhu Hassan amekitaka kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kujadili na kutoa kwa Serikali mapendekezo yanayotekelezeka. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi yaungana na Chadema kususia kongamano la TCD

CHAMA cha siasa cha upinzani cha NCCR-Mageuzi, kimesema hakitashiriki kongamano la haki, amani na maridhiano, lililoandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kikidai...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia asema utumishi ulijengewa heshima ya woga

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema heshima ya utumishi wa umma iliyokuzwa katika awamu ya tano ilikuwa ya woga. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana: Nitaimarisha demokrasia, haki kwenye chama

  MAKAMU mpya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema katika uongozi wake atahakikisha haki na demokrasia inaimarika ndani na nje...

Habari za SiasaTangulizi

Kinana akemea ukanda, ukabila CCM

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, amekemea vitendo vya ukabila, udini na ukanda, ndani ya chama hicho,...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee Makamba amsafishia njia Samia Uchaguzi 2025

  KATIBU Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mzee Yusuph Makamba, amevitaka vyama vya upinzani nchini, vijitayarishe kuchuana na Rais Samia Suluhu...

error: Content is protected !!