MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).
KIONGOZI wa Harakati za nguvu za umma na Rais wa chama cha National Unit Platform (NUP), Robert Kyagulanyi Ssentamu amesema alishinda urais katika...
By Mwandishi WetuMay 11, 2022MWENYEKITI wa chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji, amesema upinzani ukishirikiana uchaguzi ujao 2025 utaweza kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi...
By Gabriel MushiMay 11, 2022HALIMA Mdee na wenzake 18 wamesema wamefika kusikiliza rufaa zao wakisema “tuko tayari kwa lolote.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...
By Mwandishi WetuMay 11, 2022MKUTANO wa Baraza Kuu la chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema unafanyika leo Jumatano tarehe 11 Mei 2022, katika ukumbi...
By Mwandishi WetuMay 11, 2022SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amemuonya Mbunge Sengerema, Hamisi Tabasamu (CCM) baada ya kudaiwa kutweza mchango wa Mbunge wa Momba, Condester Sichwale...
By Gabriel MushiMay 10, 2022SERIKALI imetopa ruzuku ya Sh 100 bilioni kwa kipindi cha mwezi mmoja kwaajili ya kuleta ahueni katika bei ya nishati ya mafuta....
By Mwandishi WetuMay 10, 2022ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (UDART), Robert Kisena na wenzake watatu wamesomewa mashataka 15 kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...
By Faki SosiMay 9, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana kwa mara nyingine na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman...
By Mwandishi WetuMay 9, 2022MBUNGE wa Kawe, Askofu Dk. Josephat Gwajima (CCM) leo Jumatatu amesema licha ya kwamba ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) lilikuwa wazo...
By Mwandishi WetuMay 9, 2022MVUTANO umeibuka bungeni baina ya Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo na Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba kuhusu nchi kuporomoka kutoka...
By Mwandishi WetuMay 9, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaagiza viongozi akiwemo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo la...
By Mwandishi WetuMay 9, 2022MWANASIASA mkongwe na Spika mstaafu nchini Tanzania, Job Ndugai ametangaza kutogombea tena nafasi ya ubunge wa Kongwa mkoani Dodoma katika uchaguzi mkuu...
By Danson KaijageMay 8, 2022JUMLA ya watahiniwa 95,955 kutoka shule za sekondari 841 na vituo vya watahiniwa wa kujitegemea 250 wanatarajia kuanza mitihani ya kumaliza kidato ya...
By Gabriel MushiMay 8, 2022KAIMU Kamanda Polisi Mkoa wa Tanga, David Mwasimbo amesema chanzo cha ajali ya gari aliyopata Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basila Mwanukuzi jana...
By Gabriel MushiMay 8, 2022WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mwanza kuzishikilia paspoti za wafanyakazi wa Kampuni ya Gas Entec Ship-building Engineering ya...
By Gabriel MushiMay 7, 2022MJADALA kuhusu lugha gani itumike kufundishia kati ya kiingereza au Kiswahili umeendelea kutikisa baada ya asilimia kubwa ya wabunge kushauri kuwa kiingereza kitumike...
By Gabriel MushiMay 7, 2022MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamekata rufaa...
By Mwandishi WetuMay 6, 2022SERIKALI imetangaza nafasi za kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa ya mwaka 2022 itakayofanyika Agosti 23 mwaka huu. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMay 5, 2022Kampuni ya vinjwaji Baridi ya Coca Cola kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Dunia (FIFA), linatarajia kulileta nchini kombe la Dunia...
By Mwandishi WetuMay 5, 2022WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameishauri Serikali kuondoa tozo zisizo na athari katika miradi muhimu kwa wananchi pamoja...
By Mwandishi WetuMay 5, 2022MKUTANO wa saba kikao cha 16 cha Bunge la Tanzania leo Alhamisi kumesimamisha shughuli zake za kawaida na kuanza kujadili kupanda kwa...
By Mwandishi WetuMay 5, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutafuta njia mbadala zitakazopunguza gharama ya maisha kwa Watanzania kutokana na kupanda kwa...
By Mwandishi WetuMay 5, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inawachukulia hatua watu wanaotajwa kufanya ubadhirifu katika ripoti za ukaguzi za Mdhibiti na...
By Mwandishi WetuMay 4, 2022RAIS Samia amesema alinukuliwa vibaya na vyombo vya Habari vilivyosema kwamba alisema hakuwa na maelewano mazuri na Rais John Magufuli kipindi yeye akiwa...
By Mwandishi WetuMay 4, 2022WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amempa siku saba Inspekta Jenerali wa Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, adhibiti...
By Regina MkondeMay 4, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefafanua kuwa baada ya kukutana Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, alipokuwa kwenye ziara nchini humo,...
By Gabriel MushiMay 3, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka waandishi wa habari nchini kuzingatia sheria na kufanya kazi kwa uungwana kwani wakimkorofisha hatowaacha. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Gabriel MushiMay 3, 2022WAZIRI wa Habari Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amewaonya wanahabari wanaokiuka Sheria zilizopo katika utendaji kazi wao. Anaripoti mwandishi Wetu …...
By Gabriel MushiMay 3, 2022MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, ameziomba Serikali barani Afrika kuziondolea tozo karatasi za kuchapisha magazeti. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea)...
By Gabriel MushiMay 3, 2022TAASISI ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (Misa-Tanzania) limebainisha changamoto tano zinazokwaza tasnia ya habari nchini humo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 3, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewatakia kheri ya Eid El Fitri Waislamu na Watanzania wote huku akiwataka kusherekea kwa amani na...
By Mwandishi WetuMay 3, 2022SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) limesema baada ya kufanya tafiti linapendekeza kiwango cha chini cha kumwezesha mfanyakazi kuishi kiwe Sh milioni...
By Gabriel MushiMay 1, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ameendelea kutoa matumaini ya nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi nchini baada ya kuwadhibitishia kuwa atapandisha kima cha chini cha...
By Gabriel MushiMay 1, 2022LEO ni Mei Mosi, sikuu ya wafanyakazi duniani ambayo kitaifa nchini Tanzania inafanyikia Uwanja wa Jamhuri Dodoma na mgeni rasmi ni Rais...
By Mwandishi WetuMay 1, 2022CHAMA cha Conservative kutoka nchini Uingereza kimemsimamisha uanachama Mbunge wa Jimbo la Tiverton na Honiton, Neil Parish baada ya kubambwa akitazama video za...
By Gabriel MushiApril 30, 2022MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza viwango vya nauli mpya za daladala na mabasi ya kwenda mikoani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Viwango...
By Gabriel MushiApril 30, 2022UHAMISHAJI soko la madini ya Tanzanite kutoka Arusha kwenda Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, limewagawa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)....
By Mwandishi WetuApril 29, 2022CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kinafanyia uhakiki madeni ya wafanyabiashara saba waliosema wanakidai, kutokana na kazi kiliyowapa wakati...
By Mwandishi WetuApril 29, 2022MBUNGE Viti Maalumu (CCM), Neema Lugangira, ameshauri Sheria ya Vyama vya Siasa irekebishwe ili kumpa meno Msajili wa Vyama vya Siasa katika...
By Mwandishi WetuApril 28, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema ziara yake ya kikazi nchini Marekani, imesaidia kuitangaza Tanzania kwa watu ambao walikuwa hawafahamu rasilimali na fursa...
By Mwandishi WetuApril 28, 2022CHANGAMOTO ya upungufu wa fedha inayokikumba Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), imeteka mdahalo wa wagombea urais wa chama hicho, uliofanyika leo...
By Mwandishi WetuApril 27, 2022MHADHIRI Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Issa Shivji, amewahoji wagombea urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika...
By Mwandishi WetuApril 27, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa chama tawala Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ameishauri Serikali inayoongozwa na chama hicho kuchukua hatua za kinidhamu...
By Mwandishi WetuApril 27, 2022MAKAMU Mwenyekiti CCM Bara, Abdulrahman Kinana amewataka wanachama na viongozi wa CCM kuwa tayari kwa maridhiano ya kisiasa aliyoyaanzisha Rais Samia Suluhu Hassan....
By Gabriel MushiApril 27, 2022MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira, David Kihenzile amesema siku moja kabla ya Mbunge Irene Ndyamkama kufikwa na umauti,...
By Gabriel MushiApril 27, 2022SPIKA wa Bunge mstaafu, Pius Msekwa, amesema Hayati Mwalimu Julius Nyerere na Hayati Abeid Amani Karume, waliendesha makubaliano ya Muungano wa Tanganyika na...
By Gabriel MushiApril 26, 2022MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango, amesema ushirikiano na mwingiliano wa wananchi wa pande zote za muungano unadhihirisha kuwa Muungano wa Tanganyika...
By Mwandishi WetuApril 26, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka wizara ya maliasili na utalii kuendelea kusimamia kwa ukaribu na kuhakikisha shughuli za ujenzi katika...
By Mwandishi WetuApril 25, 2022MWILI wa aliyekuwa Mbunge Viti Maalumu (CCM), Mkoa wa Rukwa nchini Tanzania, Irene Ndyamkama, utazikwa mkoani Rukwa, Ijumaa ya tarehe 29 Aprili...
By Mwandishi WetuApril 25, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi-Bara nchini Tanzania, Abdulrahman Kinana amesema wanachama wanaotafuta uongozi ndani ya chama hicho kwa kutumia fedha, hawana nafasi...
By Gabriel MushiApril 24, 2022