Friday , 29 March 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yawapa nafuu ya wiki Mdee na wenzake

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imesema wabunge 19 wa Chadema (Covid 19) waliovuliwa uanachama wa chama hicho hivi karibuni wataendelea...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Sakata la kina Mdee: Lissu ampinga Spika Tulia “ni uamuzi wa kisiasa”

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara nchini Tanzania, Tundu Lissu ameukosoa vikali uamuzi wa Spika Tulia Ackson kuwabakisha bungeni Halima...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Bunge lagoma kuwang’oa Mdee, wenzake, lasubiri uamuzi wa mahakama

BUNGE la Tanzania limesema wabunge 19 wa viti maalumu waliofukuzwa uanachama wa Chadema, wataendelea kutumikia mhimili huo hadi pale Mahakama Kuu, itakapotoa uamuzi...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waendelea kuchapa kazi bungeni

  LICHA ya Halima Mdee na wenzake 18 kufukuzwa uanachama ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo Jumatatu tarehe 16 Mei...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaongeza kima cha chini mshahara asilimia 23.3

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameridhia mapendekezo ya nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma, ambapo kima cha chini kimeongezwa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yaita watetezi haki za binadamu mapambano katiba mpya

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimetoa wito kwa watetezi wa haki za binadamu Tanzania kuungana na vyama vya siasa vya upinzani katika harakati za...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia awapa makavu wanaharakati “kwangu mimi hakuna kupambana”

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watetezi wa haki za binadamu waache harakati zenye lengo la kupambana na Serikali bali wafanye...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge waliofukzwa Chadema watinga bungeni

  BAADHI ya Wabunge wa Viti Maalum waliofukuzwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wametinga bungeni siku moja baada ya Baraza...

Habari za SiasaTangulizi

Barua kuwang’oa kina Mdee yatua bungeni, Chadema yasema…

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema kimesema, kimewasilisha barua kwa Spika wa Bunge kumweleza kuhusu hatima ya rufaa za waliokuwa...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Rufaa za kina Mdee zatupwa, Mbowe asema…

  RUFAA za Halima Mdee na wenzake 18 za kupingwa kufukuzwa uanachama na kamati kuu ya Chadema zimetupiliwa mbali na wajumbe wa Baraza...

Habari za SiasaTangulizi

Rufaa za kina Mdee zilivyosikilizwa

  BARAZA Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania limemaliza kusikiliza rufaa za Halima Mdee na wenzake 18 . Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Bobi Wine asema alishinda Urais kwa asilimia 53

KIONGOZI wa Harakati za nguvu za umma na Rais wa chama cha National Unit Platform (NUP), Robert Kyagulanyi Ssentamu amesema alishinda urais katika...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Babu Duni: Tukishirikiana tutaiondoa CCM 2025

MWENYEKITI wa chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji, amesema upinzani ukishirikiana uchaguzi ujao 2025 utaweza kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee: Tuko tayari kwa lolote

  HALIMA Mdee na wenzake 18 wamesema wamefika kusikiliza rufaa zao wakisema “tuko tayari kwa lolote.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

LIVE: Baraza Kuu Chadema, kina Mdee

  MKUTANO wa Baraza Kuu la chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema unafanyika leo Jumatano tarehe 11 Mei 2022, katika ukumbi...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Sakata la gongo lamuweka mbunge kitanzini, Spika aomba radhi

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amemuonya Mbunge Sengerema, Hamisi Tabasamu (CCM) baada ya kudaiwa kutweza mchango wa Mbunge wa Momba, Condester Sichwale...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yatoa ruzuku ya Bil. 100/- kushusha bei mafuta

  SERIKALI imetopa ruzuku ya Sh 100 bilioni kwa kipindi cha mwezi mmoja kwaajili ya kuleta ahueni katika bei ya nishati ya mafuta....

Habari MchanganyikoTangulizi

Kisena, wenzake 3 wafikishwa kizimbani na kusomewa mashtaka 33

ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo kasi (UDART), Robert Kisena na wenzake watatu wamesomewa mashataka 15 kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia, Mbowe wakutana tena Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana kwa mara nyingine na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima ashangaa ujenzi wa reli badala ya uchimbaji chuma

  MBUNGE wa Kawe, Askofu Dk. Josephat Gwajima (CCM) leo Jumatatu amesema licha ya kwamba ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) lilikuwa wazo...

Habari za SiasaTangulizi

Nchemba, Shigongo wavutana nchi kurudi uchumi wa chini

  MVUTANO umeibuka bungeni baina ya Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo na Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba kuhusu nchi kuporomoka kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

Bei ya mafuta: Rais Samia aongoza kikao usiku Ikulu, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaagiza viongozi akiwemo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo la...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai: Sitagombea ubunge 2025

  MWANASIASA mkongwe na Spika mstaafu nchini Tanzania, Job Ndugai ametangaza kutogombea tena nafasi ya ubunge wa Kongwa mkoani Dodoma katika uchaguzi mkuu...

ElimuHabariTangulizi

Mitihani kidato cha sita, ualimu kuanza kesho

JUMLA ya watahiniwa 95,955 kutoka shule za sekondari 841 na vituo vya watahiniwa wa kujitegemea 250 wanatarajia kuanza mitihani ya kumaliza kidato ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

RPC Tanga ataja chanzo ajali DC Korogwe

KAIMU Kamanda Polisi Mkoa wa Tanga, David Mwasimbo amesema chanzo cha ajali ya gari aliyopata Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, Basila Mwanukuzi jana...

Habari MchanganyikoTangulizi

Majaliwa aagiza Uhamiaji kuzuia Paspoti za wakandarasi MV Mwanza

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Mwanza kuzishikilia paspoti za wafanyakazi wa Kampuni ya Gas Entec Ship-building Engineering ya...

ElimuHabariTangulizi

Wabunge wacharuka kiingereza kitumike kufundishia ‘tutapigwa goli’

MJADALA kuhusu lugha gani itumike kufundishia kati ya kiingereza au Kiswahili umeendelea kutikisa baada ya asilimia kubwa ya wabunge kushauri kuwa kiingereza kitumike...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya, wenzake waachiwa huru

MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Arusha imemuachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili waliokuwa wamekata rufaa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yatangaza nafasi za kazi makarani, wasimamizi sensa

SERIKALI imetangaza nafasi za kazi za muda za makarani na wasimamizi wa Sensa ya mwaka 2022 itakayofanyika Agosti 23 mwaka huu. Anaripoti Mwandishi...

HabariMichezoTangulizi

Kombe la Dunia FIFA kutua Tanzania

Kampuni ya vinjwaji Baridi ya Coca Cola kwa kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Dunia (FIFA), linatarajia kulileta nchini kombe la Dunia...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wataka ruzuku iwekwe, tozo ziondolewe kuhimili bei ya mafuta

  WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameishauri Serikali kuondoa tozo zisizo na athari katika miradi muhimu kwa wananchi pamoja...

Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: Bunge lasimamisha shughuli, lajadili upandaji bei ya mafuta

  MKUTANO wa saba kikao cha 16 cha Bunge la Tanzania leo Alhamisi kumesimamisha shughuli zake za kawaida na kuanza kujadili kupanda kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kupanda kwa mafuta: Majaliwa aitisha kikao usiku cha mawaziri na….

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali inaendelea kutafuta njia mbadala zitakazopunguza gharama ya maisha kwa Watanzania kutokana na kupanda kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Wanaoguswa ripoti ya CAG wanachukuliwa hatua

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inawachukulia hatua watu wanaotajwa kufanya ubadhirifu katika ripoti za ukaguzi za Mdhibiti na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia akanusha taarifa kwamba alikuwa haelewani na Magufuli

RAIS Samia amesema alinukuliwa vibaya na vyombo vya Habari vilivyosema kwamba alisema hakuwa na maelewano mazuri na Rais John Magufuli kipindi yeye akiwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata Panya Road: Masauni ampa siku saba IGP Sirro, mwenyewe ajitetea

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amempa siku saba Inspekta Jenerali wa Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, adhibiti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aeleza Kamala alivyopata Corona, “mimi mzima”

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefafanua kuwa baada ya kukutana Makamu wa Rais wa Marekani, Kamala Harris, alipokuwa kwenye ziara nchini humo,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Ukinikuna vizuri nitakukuna na kukupapasa

RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka waandishi wa habari nchini kuzingatia sheria na kufanya kazi kwa uungwana kwani wakimkorofisha hatowaacha. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari MchanganyikoTangulizi

NAPE: MSINITIE MAJARIBUNI

WAZIRI wa Habari Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amewaonya wanahabari wanaokiuka Sheria zilizopo katika utendaji kazi wao. Anaripoti mwandishi Wetu …...

Habari MchanganyikoTangulizi

TEF yaziomba Serikali Afrika kuziondolea karatasi tozo

MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, ameziomba Serikali barani Afrika kuziondolea tozo karatasi za kuchapisha magazeti. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea)...

Habari MchanganyikoTangulizi

Misa-Tanzania yabainisha changamoto 5

  TAASISI ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (Misa-Tanzania) limebainisha changamoto tano zinazokwaza tasnia ya habari nchini humo. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa salamu za Eid

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewatakia kheri ya Eid El Fitri Waislamu na Watanzania wote huku akiwataka kusherekea kwa amani na...

Habari MchanganyikoTangulizi

TUCTA wapendekeza kima cha chini cha mishahara kuwa Sh milioni 1

SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) limesema baada ya kufanya tafiti linapendekeza kiwango cha chini cha kumwezesha mfanyakazi kuishi kiwe Sh milioni...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa matumaini nyongeza ya mishahara

RAIS Samia Suluhu Hassan ameendelea kutoa matumaini ya nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi nchini baada ya kuwadhibitishia kuwa atapandisha kima cha chini cha...

Habari za SiasaTangulizi

#LIVE: MEI MOSI, Rais Samia kupandisha mishahara?

  LEO ni Mei Mosi, sikuu ya wafanyakazi duniani ambayo kitaifa nchini Tanzania inafanyikia Uwanja wa Jamhuri Dodoma na mgeni rasmi ni Rais...

KimataifaTangulizi

Mbunge adakwa akitazama video za ngono bungeni

CHAMA cha Conservative kutoka nchini Uingereza kimemsimamisha uanachama Mbunge wa Jimbo la Tiverton na Honiton, Neil Parish baada ya kubambwa akitazama video za...

Habari MchanganyikoTangulizi

LATRA yatangaza nauli mpya, daladala, mikoani

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza viwango vya nauli mpya za daladala na mabasi ya kwenda mikoani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Viwango...

Habari za SiasaTangulizi

Soko la madini Mererani lawagawa wabunge

  UHAMISHAJI soko la madini ya Tanzanite kutoka Arusha kwenda Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, limewagawa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

Habari za SiasaTangulizi

CCM yahakiki madeni ya kampeni 2020

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kinafanyia uhakiki madeni ya wafanyabiashara saba waliosema wanakidai, kutokana na kazi kiliyowapa wakati...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ataka sheria Vyama vya Siasa irekebishwe kumpa makali msajili

  MBUNGE Viti Maalumu (CCM), Neema Lugangira, ameshauri Sheria ya Vyama vya Siasa irekebishwe ili kumpa meno Msajili wa Vyama vya Siasa katika...

error: Content is protected !!