Friday , 29 March 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Naibu Skipa aonya wabunge nidhamu uchangiaji bajeti kuu

  NAIBU Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azan Zungu, ameonya wabunge wanaokiuka kanuni za utoaji taarifa bungeni na...

Tangulizi

Wanafunzi HKMU watia fora kwa tafiti za afya

  WANAFUNZI  wa udaktari wa Chuo cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU), wamepongezwa na kuzawadiwa kutokana na kufanikiwa kufanya tafiti mbalimbali kwenye masuala ya...

HabariTangulizi

LHRC yalaani mauaji Ngorongoro, yataka zoezi la mipaka kusitishwa

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu kuishi na kutoa wito kwa serikali...

Tangulizi

Fahamu mambo yaliyopo kwenye mkataba LNG uliosaniwa

  MWENYEKITI wa Timu ya majadiliano ya Serikali ya Tanzania katika mkataba hodhi wa mradi wa kusindika Gesi Asilia (LNG), Charles Sangwene, ameweka...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atoboa siri machungu aliyopitia kufufua mradi wa gesi Mtwara

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema alipokuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alijaribu kutia mkono kwa lengo la kusukuma...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata Ngorongoro, askari auawa kwa mshale Loliondo

  MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongela leo tarehe 11 Juni, 2022 amethibisha kutokea kwa mapigano katika wilayani Ngorongoro tarafa ya Loliondo...

HabariTangulizi

Serikali yaonya watu, NGO’s zinazochochea mgogoro Ngorongoro

  SERIKALI ya Tanzania, imetangaza kusudio la kuwachukulia hatua watu pamoja na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), yanayochochea mgogoro wa ardhi katika Hifadhi...

HabariTangulizi

Sabaya kusuka ama kunyoa leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania leo Ijumaa tarehe 10 Juni 2022 Itatoa hukumu ya kesi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya...

HabariTangulizi

Waziri Makamba: Bei ya umeme Tanzania haijapanda

  WAZIRI wa Nishati nchini Tanzania, January Makamba amesema, Serikali haijapandisha bei ya umeme huku akiagiza mamlaka kuwachukulia hatua wale wote wanaoneza uvumi...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge Waitara, Mulugo wakwama, Spika Tulia atoa siku 90

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson ametoa siku 90 kwa Serikali kuchunguza malalamiko yaliyotolewa na wabunge dhidi ya mauaji, majeruhi...

Habari za SiasaTangulizi

Tutatoa ruzuku hadi bei mafuta ikae sawa duniani-Samia

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kukata matumizi yake kila mwezi na kutoa ruzuku ya mafuta hadi pale bei...

Habari za SiasaTangulizi

Waziri: Hakuna sababu ya Lema, Lissu kutorejea nchini

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, ametengeneza mazingira mazuri ya kisiasa na kuifanya...

Tangulizi

Mbunge: Dk. Mwigulu unafeli wapi? futa leseni hizi

MBUNGE wa Mbogwe, Nicodemas Maganga (CCM) leo Jumanne amemtaka Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba kutumia mamlaka aliyonayo kuzifutia leseni benki...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkuu wa Majeshi Tanzania kustaafu

MKUU wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo, anatarajia kumaliza utumishi wake ndani ya jeshi hilo, mwishoni mwa Juni, 2022. Anaripoti Mwandishi...

Tangulizi

COSOTA kukusanya, kugawa mirabaha ya Bil. 1.3/- mwaka 2022/23

  TAASISI ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) inatarajia kukusanya mirabaha yenye thamani ya Sh.1.3 bilioni na kuigawa kwa wabunifu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Adhabu mbadala, utaratibu watuhumiwa kujidhamini waja

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro, amesema wizara yake inakwenda kuufumua mfumo wa jinai, ili kuangalia namna ya kupunguza msongamano wa...

Tangulizi

Kauli ya Nape yamuibua Membe

WIKI moja baada ya mwanasiasa nguli nchini, Benard Membe kurejea rasmi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) tangu alipofukuzwa mwaka 2020, hatimaye ameeleza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ukatili: Mke adaiwa kuuawa na mumewe, kiwiliwili chatenganishwa, viungo vyatawanywa

  KATIKA hali ya kushangaza na kusikitisha, mkazi wa kitongoji cha Lubela, mtaa wa Nyashimbi kata ya Mhongolo wilayani Kahama, Mkoa wa Shinyanga,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwaikali avuliwa hadhi ya Uaskofu

  KANISA la Kiinjili la Kulutheli Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde imetangaza kumwondolea wakfu wa Uaskofu, Dk. Edward Mwaikali aliyekuwa askofu wa Dayosisi...

Habari MchanganyikoTangulizi

‘Tattoo’ zazua mtafaruku sh Dar

  HOFU imetanda kwa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mtongani, kata ya Kunduchi, Kinondoni, Dar es Salaam nchini Tanzania baada ya wanafunzi wake...

Habari MchanganyikoTangulizi

Uamuzi Askofu mteule KKKT Konde kusimikwa kujulikana leo

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya leo Ijumaa tarehe 3 Juni 2022, inatarajia kutoa uamuzi wa kupinga Askofu mteule, Geofrey Mwakihaba...

Tangulizi

Utalii wa faru weupe kuanzishwa hifadhi za Burigi-Chato, Mikumi

WAZIRI wa Mali Asili na Utalii, Dk. Pindi Chana amesema katika kupanua wigo wa utalii na mapato, Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania...

Tangulizi

TANAPA kutumia teknolojia kuimarisha ulinzi, usimamizi wa hifadhi

  SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) linatarajia kuimarisha ulinzi na usimamizi wa hifadhi kwa kuboresha matumizi ya sayansi na teknolojia. Anaripoti...

Tangulizi

Wananchi Ngara waonywa kutouza ardhi kiholela

  WANANCHI wa Wilayani Ngara Mkoa wa Kagera nchini Tanzania wametakiwa kuacha kuuza ardhi kiholela na kuepuka kulima kwenye vyanzo vya maji. Anaripoti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mashtaka mapya 7 ya Sabaya na wezake, mvutano waibuka

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia akemea magari ya Serikali kubeba mikaa, ‘sombasomba’

  RAIS Samia ameuagiza Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kushirikiana na TAMISEMI kuhakikisha magari 123 yaliyogawiwa kwa mfuko huo na Halmashauri, hayatumiki...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya apandishwa tena kortini

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya leo Jumatano tarehe 1 Juni 2022, amepandishwa katika...

MichezoTangulizi

Simba yaachana na Pablo

  MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara, klabu ya soka ya Simba imeachana rasmi na kocha wake Pablo Franco Martni mara...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hukumu ya Sabaya yapigwa kalenda, sababu yatajwa

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania imeahirisha kutoa hukumu ya kesi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hii hapa mikoa mitano kinara kwa ukeketaji

SERIKALI ya Tanzania, imesema inaendelea kutoa afua za kutokomeza ukeketaji katika mikoa mitano yenye takwimu za juu, ikiongozwa na Manyara yenye asilimia 58...

Habari za SiasaTangulizi

Katibu Mkuu NCCR Mageuzi amvaa Mbatia, ashusha shutuma nzito

MGOGORO ndani ya Chama cha NCCR Mageuzi umeendelea kufukuta baada ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Martha Chiomba kuibua na kudai maisha yake...

Habari MchanganyikoTangulizi

#LIVE: Tuzo za EJAT2021, Majaliwa atoa ujumbe kwa MCT

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amelitaka Baraza la Habari Tanzania (MCT), kusimamia vyema vyombo vya habari ili vitekeleze majukumu yake kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ni Profesa Hoseah tena TLS

  PROFESA Edward Hoseah kwa mara nyingine amechaguliwa kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea) Ni...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima: Viongozi wa Serikali wanamchonganisha Rais

  MBUNGE wa Kawe, Askofu Dk. Josephat Gwajima amesema baadhi ya viongozi wa serikali badala ya kutatua migogoro ya ardhi wanachochea migogoro hiyo...

Tangulizi

Naibu Spika awapongeza wabunge Mwambe, Rose kuoana, awapa darasa

  NAIBU Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu leo tarehe 27 Mei, 2022 amewapongeza wabunge Cecil Mwamba na Rose Tweve wote kutoka Chama...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge upinzani, CCM waungana kumpongeza Rais Samia

  BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 26 Mei, 2022 limeazimia kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutajwa kuwa miongoni...

Habari za SiasaTangulizi

Msajili wa vyama ampiga ‘Stop’ Mbatia NCCR-Mageuzi

  NAIBU Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza, amemtaka aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi na wajumbe wa sekretarieti yake iliyovunjwa,...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yawakaribisha Mdee na wenzake

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimewafungua milango na kuwakaribisha Halima Mdee na wenzake 18 waliotimuliwa katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), watakapowiwa kujiunga na...

HabariHabari MchanganyikoTangulizi

Walimu Sekondari ya Aga Khan wagoma kisa ubaguzi wa rangi

ZAIDI ya walimu 50 wenye asili ya Kiafrika kwenye shule ya Sekondari ya The Agha Khan Mzizima wamegoma kuingia darasani kufundisha wanafunzi kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Aeshi awaonya mawaziri, ‘alilia’ meli Ziwa Tanganyika

  MBUNGE wa Sumbawanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Aeshi Hilaly amewaomba mawaziri kutokutumia kinga ya Rais kukweka kuelezwa udhaifu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Diwani CCM aliyetoweka akutwa kwa mwanamke akiwa amelewa

  DIWANI wa Kata ya Kawe, Mutta Rwakatare (CCM), aliyetoweka tangu Februari 2022, amepatikana akiwa katika hali ya ulevi kwenye nyumba ya rafiki...

Habari za SiasaTangulizi

Hizi hapa hoja 10 zinazobeba maridhiano Chadema, CCM

  CHAMA cha Chadema, kimewasilisha kwa Rais Samia Suluhu Hassan, mapendekezo 10 yatakayosaidia kutibu madhila yaliyotokea miaka sita iliyopita. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

CCM kuanika mazungumzo Rais Samia, Mbowe

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania kuwa wavumilivu na wastahimilivu katika kusubiri kuelezwa kile alichozungumza Rais Samia Suluhu Hassan na viongozi mbalimbali...

Habari za SiasaTangulizi

Kizaazaa mbunge akiangua kilio, mwingine kupiga sarakasi kisa barabara

BAJETI ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeibua kizaazaa bungeni baada ya wabunge waliokuwa wakichangia kufanya matukio yasiyo ya kawaida kuonesha kusikitishwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Hizi hapa sababu za Mbatia kung’olewa NCCR-Mageuzi, Msajili abariki

  HALMASHAURI Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi, imemsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, James Mbatia na Makamu Mwenyekiti wake Bara, Angelina Mtaigwa, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

James Mbatia: Mimi bado mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi

  MWENYEKITI    wa NCCR- Mageuzi, James Francis Mbatia, amedai kuwa unaoitwa, “mkutano wa Halmashauri Kuu (NEC) ya chama chake” uliomsimamisha wadhifa wake,...

HabariTangulizi

Wizara ya Habari yapokea asilimia 53 fedha za maendeleo

  HADI kufikia tarehe 30 Aprili, 2022 Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (Fungu 68) imepokea jumla ya Sh. bilioni 129.7...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Asad: Katiba mpya muhimu, nchi imefunguka

ALIYEKUWA Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini-CAG, Profesa Mussa Assad amesema licha ya kuwa kuna umuhimu wa kuwa na Katiba...

MichezoTangulizi

Simba, Azam FC hakuna mbabe, Yanga ubingwa njia nyeupe

  KLABU za Simba na Azam FC zimetoshana nguvu kwa sare ya mabao 1-1, kwenye mchezo wa mzunguko wa 24 wa Ligi Kuu...

HabariHabari MchanganyikoTangulizi

Mazungumzo KKKT Konde yaahirisha kesi hadi 31 Mei

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imeahirisha kesi namba 3/2022 na kesi namba 14/2022 inayohusu mgogoro wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri...

error: Content is protected !!