Thursday , 25 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Ma-DC tutaanza kutimuana tena

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hivi karibuni wakuu wa wilaya wataanza kutimuana tena kwa ajili ya usimamizi wa ujenzi wa madarasa 8000 ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hatma mkataba TICTS Septemba

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema hatma ya mkataba Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makasha (TICTS)  itajulikana mwezi Septemba mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

Makada 6 Chadema waliokaa mahabusu miaka 3 waachiwa huru

HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, imemuachia huru aliyekuwa diwani wa Chadema katika Kata ya Isengule wilaya ya Tanganyika mkoa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bwege aalikwa kumpigia kampeni Raila Odinga

MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Selemani Said Bungara (Bwege) amealikwa nchini Kenya kumpigia kampeni mgombea wa Azimio la Umoja, Raila...

Habari za SiasaTangulizi

Marekani yaiasa Z’bar

MAREKANI imeipa nasaha Zanzibar kuendeleza moyo wa maridhiano ya kisiasa kwa kuamini kuwa ni fursa nzuri ya kuimarisha umoja na mshikamano ambao ni...

MichezoTangulizi

Simba, Yanga kukutana Oktoba 23 Ligi Kuu

  MECHI inayo vikutanisha vigogo wa soka la Tanzania Simba na Yanga (Kariakoo Derby) katika Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2022/23, inatarajiwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei ya mafuta yazidi kupaa tena

BEI ya mafuta imepanda tena mwezi huu na kuivuka ile ya Julai licha ya Serikali kuendelea kutoa ruzuku ya Sh bilioni 100 kwa...

HabariMichezoTangulizi

Simba wazindua rasmi wiki yao, majibu ya jezi yapatikana

  KLABU ya Soka ya Simba hii leo tarehe 31 Julai 2022, imezindua rasmi wiki yao kuelekea kwenye tamasha kubwa la Siku ya...

HabariTangulizi

Senzo atimka Yanga, Simon Patric achukua mikoba yake

  KAMATI tendaji ya klabu ya Yanga imebadiliki ombi la kutoongeza mkataba ambalo liliwasilishwa na mtendaji Mkuu wa klabu hiyo Senzo Mbatha. Anaripoti...

HabariSiasaTangulizi

Mdee wenzake saba waitwa mahakamani kuhojiwa

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa amri ya wito kwa Halima Mdee na wenzake saba kufika mahakamani hapo Tarehe 26...

HabariTangulizi

Serikali: Nyongeza mishahara imelenga wengi wenye mishahara ya chini

SERIKALI imesema nyongeza ya kima cha chini cha asilimia 23.3 kinanuafaisha asilimia 75 hadi 78 ya watumishi ambao wana mihahara midogo. Anaripoti Mwandishi...

ElimuTangulizi

Vinara sayansi watengewa Sh bilioni 3

SERIKALI kupitia wizara ya elimu, sayansi na teknolojia imetenga kiasi cha Sh bilioni tatu katika mwaka huu wa fedha 2022/2023 kufadhili wanafunzi ambao...

HabariTangulizi

Serikali kutoa tamko leo nyongeza mishahara

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa anatarajia kutoa tamko la Serikali kuhusu nyongeza ya mishahara ya watumishi wa umma iliyoanza Julai mwaka...

HabariTangulizi

Sabaya afanyiwa upasuaji atinga mahakamani na bandeji, kesi yaahirishwa

MSHITAKIWA namba moja katika kesi namba mbili yam waka 2022 ya uhujumu uchumi na matumizi mabaya ya ofisi, Lengai Ole Sabaya, ametinga mahakama...

HabariTangulizi

Wizara ya afya yafunga utoaji taarifa za homa ya mgunda

Wizara ya Afya nchini Tanzania imetangaza kuisha kwa visa vya homa ya mgunda baada ya wagonjwa 17 kupona kabisa huku kukiwa hakuna kisa...

AfyaTangulizi

MOI wakana kufyeka kiholela miguu majeruhi bodaboda

MKURUGENZI wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dk. Respicious Boniface amesema si kweli kwamba majeruhi wa ajali za bodaboda hukatwa miguu...

Tangulizi

TEF wakomalia mabadiliko sheria ya habari

  MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile amesema kusudio la maboresho ya sheria za habari nchini, yanalenga kuwaondoa wanahabari na...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Halima Mdee na Wenzake kuanza kusikilizwa kesho

KESI ya waliokuwa wanachama na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na wenzake 18, ya kupinga kuvuliwa uanachama wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awaibua Chegeni, Serukamba, Chalamila, Hapi atupwa nje

RAIS Samia Suluhu Hassan, amewateuwa Raphael Chegeni, aliyekuwa Mbunge wa Busega na Peter Serukamba, aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Mjini, kwenye wadhifa wa ukuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yapiga ‘stop’ Vumbi la Mkongo linalodaiwa kuongeza nguvu za kiume

WIZARA ya Afya kupitia Baraza la Tiba asili na Tiba mbadala limeifungia dawa ya Hensha ambayo ni maarufu kwa jina la Mkongo yenye...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya Kisena, wenzake yatua Mahakama ya Mafisadi

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoa wa Dar es Salaam – Kisutu imefunga jalada la kesi mbili kati ya tatu za uhujumu uchumi...

Habari MchanganyikoTangulizi

TUCTA: Kumwongezea mtu Sh. 8,000 ni dhihaka kwa mfanyakazi

RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, amesema kitendo cha kumwongezea mtu Sh. 8,000 licha ya kutoongezewa mshahara...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Dodoma ni makao makuu, hakuna kurudi nyuma

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuwa Serikali imedhamiria kwa dhati kuendeleza maono ya shujaa Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwamba makao makuu ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Nyongeza mishahara kuikutanisha Serikali, TUCTA

SERIKALI inatarajia kukutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) kwa lengo la kuwasikiliza na kutoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: CCM ikileta Katiba pendekezwa tutahamasisha wananchi waikatae

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema endapo Chama Cha Mapinduzi (CCM), kitatumia Rasimu ya Katiba Pendekezwa katika mchakato wa upatikanaji Katiba mpya, watahamasisha wananchi waikatae...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi kuchunguza utata vifo vya mapacha Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeanza uchunguzi wa vifo vya vijana mapacha waliofahamika kwa jina la Khalifu na Khalifa,...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee, wenzake wafungua kesi rasmi kupinga uamuzi wa Chadema

  HALIMA Mdee na wenzake 18, wamefungua kesi katika Mahakama Kuu Masijala Kuu ya Dar es Salaam kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema, baada...

Tangulizi

Pape Sakho amkosha Mo Dewji, ampongeza

  RAIS wa heshima wa Klabu ya Simba SC, Mohamed Dewji ‘Mo’ leo taerehe 22 Julai, 2022 amempongeza kiungo mshambuliaji wa timu hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Kenyatta: Dunia itatuheshimu EAC tukipata maendeleo kwa umoja wetu

  RAIS wa Jamhuri ya Kenya na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Uhuru Kenyatta amesema wananchi wa Jumuiya hiyo wakiungana na kushirikiana...

Habari za SiasaTangulizi

Wakuu wa EAC wataka miundombinu bora kuwezesha soko huru

  WAKUU wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamesema ili mataifa hayo yaendelee inatakiwa kuwe na miundombinu bora ya usafirishaji pamoja...

Habari za SiasaTangulizi

Wadau wataka ushirikishwaji kamati kufumua vyombo vya dola

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ameshauriwa kushirikisha wadau katika uundaji wa kamati ya kushauri namna bora ya ufumuaji wa vyombo vya haki jinai...

Habari za SiasaTangulizi

Waziri Ndumbaro: Katiba iliyopo ina mapungufu

  WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk. Damas Ndumbaro amesema  licha ya kuwa Katiba iliyopo inafaa lakini ina mapungufu yake ndio maana Serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aunda Kamati kufumua vyombo vya haki jinai

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati ya watu 12 na sekretarieti ya watu watano kwaajili ya kuchunguza na kumshauri muundo mzuri wa...

Habari za SiasaTangulizi

Waziri Ndumbaro: Katiba iliyopo ina mapungufu

WAZIRI wa Sheria na Katiba, Dk. Damas Ndumbaro amesema  licha ya kuwa Katiba iliyopo inafaa lakini ina mapungufu yake ndio maana Serikali imetoa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wambura, Kingai mabosi wapya Polisi, Sirro apelekwa Ubalozi

  RAIS wa Jamhuri, Samia Suluhu Hassan, amemteuwa Camillus Mongoso Wambura, kuwa mkuu mpya wa jeshi la polisi nchini (IGP). Anachukua nafasi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Msuya: Mjadala wa Katiba uishe

WAZIRI Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya amesema ingependeza iwapo mchakato wa Katiba mpya ungefikia mwisho, ili kuruhusu Watanzania kufanya kazi, huku akisisitiza elimu ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wakili akina Mdee: Tupo hatua za mwisho kufungua kesi

WAKILI wa Halima Mdee na wenzake, Edson Kilatu, amesema wako katika hatua za mwisho za kufungua kesi ya wabunge hao viti maalum, kupinga...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kigogo Z’bar ataka mchakato Katiba mpya uendelee ulipoishia

NI Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi tu. Hivyo ndivyo unaweza kusema kutokana na walivyosema watoa maoni wengi waliofika mbele ya Kikosi Kazi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Waziri Ummy: Ugonjwa wa homa ya mgunda unatibika

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema ugonjwa wa homa ya Mgunda uliogundulika huko Ruagwa mkoani Lindi unaweza kuzuilika na unatibika. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Ugonjwa wa ajabu Lindi ni homa ya Mgunda

WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kuwa upimaji wa sampuli za wagonjwa waliokuwa wakiugua Ugonjwa Usiojulikana katika Wilaya ya Ruangwa katika Mkoa wa...

Habari za SiasaTangulizi

Lipumba amchambua Rais Samia, ampa 75%

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amechambua uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassana ambapo amesema kwa kipindi cha mwaka mmoja...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi kuvishtaki vyombo vya habari

CHAMA cha NCCR-Mageuzi upande unaongozwa Haji Ambar Khamis umesema chombo cha habari kinachomtambua James Mbatia kama Mwenyekiti, watakishtaki. Anaripoti Faki Ubwa… ( endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata la Loliondo – Amnesty International wamuandikia barua nzito Samia

SHIRIKA la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limemuandikia barua Rais Samia Suluhu Hassan, kutaka kusitishwa kwa oparesheni ya kuweka alama za...

MichezoTangulizi

Nandy angua kilio ndoa na Billnass

  ‘COUPLE’ maarufu wa Bongofleva, William Lyimo ‘Billnass’ na Faustina Mfinanga ‘Nandy’ leo tarehe 16 Julai, 2022 wamefunga ndoa takatifu katika Kanisa la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jaji Mkuu awataka mahakimu wajitenge na siasa

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amewataka mahakimu wasijihusishe na masuala ya siasa, kwani yamepigwa marufuku na Ibara ya 113 A...

Habari za SiasaTangulizi

Chenge aunga mkono Rasimu ya Katiba kuhusu Tume Huru

  MWANASHERIA Mkuu mstaafu wa Tanzania(AG), Andrew Chenge, amesema mapendekezo ya mfumo na muundo uliopendekezwa kwenye rasimu ya Katiba mpya kupata wajumbe wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenyekiti Jumuiya Wazazi CCM asema kipindi cha nyuma walikalia msumari

  MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Dk. Edmund Mndolwa, meupiga madogo uongozi uliopita kwa kile alichoeleza kuwa ni kupitia kipindi kigumu...

Tangulizi

Tanzania yapokea dozi milioni 3 za Sinopharm- chanjo ya Uviko – 19

  TANZANIA imepokea chanjo ya UVIKO-19 aina ya Sinopharm dozi milioni tatu ambazo zitasaidia kuwakinga wananchi milioni 1.5 dhidi ya maambukizi ya ugonjwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mrema ataka Tume Huru, “Katiba mpya sio mwarobaini”

  MWENYEKITI wa Chama cha (TLP), Augustine Mrema amesema ili kuhakikisha uchaguzi unakuwa huru na haki ni lazima kuwepo tume huru ya uchaguzi,...

Tangulizi

Heche awashangaa Januari, Nape kufanya ziara zisizo za lazima

  MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chadema, John Heche, ameonesha kushangazwa na matumizi ya Serikali yasiyo na tija huku ikiwaeleza wananchi kuwa hali...

error: Content is protected !!