Tuesday , 19 March 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

CDF Mabeyo: Magufuli alijua anakufa

  ALIYEKUWA Mkuu wa Majeshi nchini (CDF), Jenerali Venance Mabeyo, amesema Hayati Dk. John Magufuli, alijua kama siku zake za kuishi duniani zimekisha....

AfyaTangulizi

Serikali yafafanua kuondolewa dawa 178 kitita cha NHIF

SERIKALI imesema imeondoa dawa 178 katika kitita cha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF), ili kupisha dawa bora zaidi zinazoendana na wakati wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua, amtumbua Kamishna Ngorongoro

  RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali ikiwamo utenguzi Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo...

Tangulizi

5 mbaroni madai ya Makamba kumng’oa Samia 2025

WATU watano wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuandika uchochezi dhidi ya viongozi wakuu serikalini,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ampa kibarua kizito Chongolo

  MKUU wa Mkoa mpya wa Songwe, Daniel Chongolo, amekabidhiwa jukumu la kudhibiti uhalifu wa kiuchumi unaotokea ndani ya mkoa huo hususan mpaka...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awavaa wakuu wa mikoa “msisubiri Makonda apite”

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameonesha kutoridhishwa na baadhi ya wakuu wa mikoa na wilaya ambao wanashindwa kutatua changamoto za wananchi zilizokuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa amgomea Mbowe

MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amekataa ombi la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kurejea katika chama...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, waandishi wa habari ngoma nzito

Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi kesho inatarajia kutoa uamuzi wa kukubali ama kuyakataa maombi ya Freeman Mbowe ya kutaka waandishi wa habari wanaodai...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua viongozi 12, kigogo CCM ateuliwa RC Shinyanga

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kuwahamisha viongozi 12, ikiwa ni siku chache tangu alivyofanya mabadiliko ya baadhi ya viongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia apangua wakuu wa mikoa, wilaya

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kuwahamisha vituo wakuu wa mikoa na wilaya, wakurugenzi pamoja na makatibu tawala. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za SiasaTangulizi

Chongolo ateuliwa mkuu wa mkoa Songwe

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu mkuu wa CCM, Daniel Godfrey Chongolo kuwa mkuu wa mkoa wa Songwe. Chongolo amechukua nafasi ya...

Habari za SiasaTangulizi

ACT -Wazalendo watishia kujitoa serikali Zanzibar

CHAMA  cha ACT Wazalendo kimetangaza nia ya kujitoa kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam …...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtuhumiwa wa utapeli, kudhulumu viwanja aburuzwa mahakamani

Mtuhumiwa wa kutapeli na kudhulumu viwanja vya watu na kujimilikisha kinyume na utaratibu jijini Dar es salaam ajulikanae kama Paul Mushi leo Ijumaa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Anayeidai TRA Mil.986 adaiwa kujiua, msongo wa mawazo watajwa

Mfanyabiashara Ramadhani Ntuzwe ‘Babu Rama’ aliyekuwa akipaza sauti katika vyombo mbalimbali vya habari kwa takribani miaka saba  kwamba anaidai fidia ya Sh 987...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Dk. Mwinyi: Baba hakuacha wosia azikwe Mkuranga

RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amesema baba yake hayati Ali Hassan Mwinyi, hakuacha wosia kwamba akifa azikwe Mkuranga mkoani Pwani na kwamba...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda amvaa Lissu

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema kuna shuthuma nyingi zinaelekezwa kwake, lakini ameamua kukaa kimya kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Hofu chanzo viongozi vyama upinzani kugoma kung’atuka

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo anayemaliza muda wake, Zitto Kabwe amesema hofu ndizo zinazowafanya baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani...

Habari za SiasaTangulizi

Mtoto wa Mzee Mwinyi amwaga machozi

Mtoto wa Hayati mzee Mwinyi, Abdullah Ali Hassan Mwinyi ameshindwa kujizuia na kumwaga machozi mbele ya waombolezaji wakati akitoa shukrani katika uwanja wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee mwinyi alikuwa mwanademokrasia wa kweli

Mtoto wa Hayati Ali Hassan Mwinyi, Abdullah Ali Hassan Mwinyi amesema baba yao alikuwa mwanademokrasia wa kweli lakini pia hakuwa akitishika na mawazo...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Mwinyi alikuwa maktaba inayotembea

Rais Samia Suluhu hassan amesema Hayati rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi alikuwa ni maktaba inayotembea na iliyosheheni vitabu vyenye mafunzo ya uadilifu, uzalendo,...

Habari za SiasaTangulizi

Kikwete: Mwinyi alinianzishia safari yangu ya kisiasa

RAIS Mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete amesema atamkumbuka na kumshukuru Hayati Ali Hassan Mwinyi kwakuwa ndiye aliyemuanzishia safari yake ya kisiasa...

Habari za SiasaTangulizi

Mzee Warioba aeleza Mwinyi alivyoivusha nchi katika magumu

WAZIRI Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba, amesema Hayati Mzee Ali Hassan Mwinyi, aliikuta nchi katika kipindi kigumu cha kiuchumi na kisiasa, lakini alifanikiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Mwinyi chanzo cha mageuzi

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia, Freeman Mbowe amesema huwezi kuliacha jina la Ally Hassan Mwinyi unapotaja mageuzi nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Kikwete afunguka kifo cha Mzee Mwinyi

RAIS Mstaafu, Dk. Jakaya Kikwete, amesema amepokea kwa mshtuko kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kwa kuwa alikuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mwili wa Hayati Mwinyi kuagwa leo saa 8 Uwanja wa Uhuru

MWILI wa Rais Mstaafu, Ali Hassan Mwinyi unatarajiwa kuagwa kuanza leo Ijumaa saa nane katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi kuzikwa Machi 2 visiwani Unguja

MWILI wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi, unatarajiwa kuzikwa tarehe 2 Machi 2024, mjini Unguja. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Rais mstaafu Mwinyi afariki dunia

Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, Ally Hassan Mwinyi amefariki dunia leo tarehe 29 Februri 2024 saa 11 jioni katika Hospitali...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Hatutazuia watu kuingia barabarani

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali itaendelea kuruhusu vyama vya siasa vya upinzani kufanya shughuli zake kwa uhuru, ikiwemo kuandamana na kufanya...

AfyaTangulizi

Kitita cha NHIF kuanza Ijumaa, kuwapa wanachama nafuu zaidi

  MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umetangaza kuanza kutumika kwa maboresho mapya ya Kitita cha Mafao kwa wanachama ambapo yatataanza...

Habari za SiasaTangulizi

Mhasibu Serengeti aswekwa rumande kwa madai ya kutafuna mil. 214

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwagiza Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara, ACP Salum Morcase amkamate Mkuu wa Kitengo cha Fedha na Uhasibu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mambo 3 yateka mdahalo wagombea ngome vijana ACT-Wazalendo

WAGOMBEA Uenyekiti wa Ngome ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, wamenadi sera zao katika mdahalo wa uchaguzi, wakiwaomba wajumbe wawachague kwenye uchaguzi utakaofanyika...

Habari za SiasaTangulizi

Waliofariki ajalini Arusha kuagwa siku ya maandamano Chadema

MIILI ya watu 25 waliofariki dunia katika ajali iliyohusisha lori la mizigo na magari matatu, iliyotokea katika Barabara Kuu ya Arusha-Namanga Ngaramtoni Kibaoni,...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali kuiburuzwa mahakamani ajali iliyoua 25 Arusha

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), imeitaka Serikali kupiga marufuku malori ya mizigo kutembea barabarani wakati wa mchana ili kulinda...

Habari za SiasaTangulizi

Samia atoa pole ajali iliyoua 25, kujeruhi 21 Arusha

Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, John Mongella kufuatia vifo vya watu 25 na majeruhi 21...

Habari MchanganyikoTangulizi

25 wafariki dunia katika ajali Arusha

Watu 25 wamefariki dunia papo hapo mkoani Arusha katika ajali ya barabarani iliyohusisha magari matatu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kwa mujibu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Biteko afuta likizo watumishi Tanesco, bosi Morogoro yamkuta

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dk. Doto Biteko amekataza watendaji wa TANESCO kwenda likizo kipindi hiki cha changamoto za umeme...

Habari za SiasaTangulizi

‘Asiyeamini sanamu ya Nyerere amuulize Madaraka’

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Mussa Shaib amesema sanamu ya Baba wa Taifa...

Habari za SiasaTangulizi

Mramba: Mgawo wa umeme kuisha muda wowote

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba amesema tatizo kubwa la mgawo wa umeme unaondelea sasa halitokani na udhaifu katika miundombinu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Wazawa kubebwa sasa basi, muswada kutua bungeni

WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema hadi kufikia Juni mwaka huu amepanga kupeleka muswada wa sheria ili kuruhusu kampuni binafsi kutoka nje kuingiza...

Habari za SiasaTangulizi

Wahariri wamkaanga bosi bodi ya sukari kwa ububu

Mkurugenzi Mkuu, Bodi ya Sukari Tanzania Prof. Kenneth Bengesi ameonja joto la jiwe kutoka kwa wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari baada ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mvua yakatisha mkutano wa Chadema Mbeya

MKUTANO wa hadhara wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uliokuwa unafanyika kwenye Viwanja vya Ruanda Nzovwe, umeahirishwa baada ya mvua kubwa kunyesha....

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la DP World na bandari lafufuka upya

SAKATA la mkataba wa kiserikali kati ya Tanzania na Imarati ya Dubai, juu ya ushirikiano wa uwekezaji kwenye baadhi ya maeneo ya Bandari...

Habari za SiasaTangulizi

Maelfu waitikia maandamano ya Chadema Mbeya

MAELFU ya wafuasi na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitokeza katika maandamano ya amani ya kudai katiba mpya na  tume...

Habari za SiasaTangulizi

Uvumilivu wamshinda Mbowe, aivaa familia ya Lowassa

  MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe ameeleza kusikitishwa na hatua ya familia ya Hayati Edward Lowassa kuandika historia ya waziri mkuu huyo mstaafu...

Habari za SiasaTangulizi

Mgawo wa umeme kuisha Machi, Bunge laongezea muda

  MGAWO wa umeme nchini unatarajiwa kumalizika Machi 2024, baada ya mtambo namba tisa wa Bwawa la Kuzalisha Umeme la Mwalimu Julius Nyerere,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe awakaribisha Dk. Slaa, Mwabukusi Chadema

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe, amemkaribisha aliyekuwa katibu mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa, arejee...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Sina doa na Lowassa

  MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, ambaye alikuwa kinara kumtuhumu kwa ufisadi aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, amesema hana doa...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yaamuru nyumba ya Mbowe ipigwe mnada

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Divisheni ya Kazi imetoa amri na kumteua dalali wa kukamata nyumba ya mtoto wa Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Chegeni adai ajali za kisiasa zimefupisha maisha ya Lowassa

Mbunge wa zamani wa Busega na rafiki wa karibu aliyekuwa Waziri Mkuu mstaafu, Hayati Edward Lowassa, Dk. Raphael Chegeni (CCM) amesema huenda mwanasiasa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe kumuenzi Lowassa kwa maandamano

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema ataongoza maandamano ya amani ya kudai katiba mpya, ili kumuenzi aliyekuwa mgombea...

error: Content is protected !!