Thursday , 18 April 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

BREAKING NEWS: Zitto ahukumiwa, apewa masharti magumu

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu Zitto Kabwe Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, kutotoa na kuandika maneno ya uchochezi kwa muda wa mwaka...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yawaonya wanaokibeza, kudhoofisha upinzani

TUHUMA za kutumika katika kudhoofisha vyama vya upinzani nchini Tanzania, hususan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020, zimekiibua Chama cha NCCR-Mageuzi. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Faini mpya wagombea udiwani, ubunge na urais hizi hapa

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imeongeza viwango vya faini kwa wagombea watakaofanya makosa ya kimaadili, katika kampeni na Uchaguzi Mkuu...

Habari za Siasa

Mahakama: Mdee ana kesi ya kujibu, mashahidi watano kumtetea

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imesema Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee  anayekabiliwa na kesi ya uchochezi kwa kutoa...

Habari za Siasa

Madiwani Chadema, CUF Dar watimkia NCCR- Mageuzi

VIGOGO wawili wa upinzani jijini Dar es Salaam, Mustafa Muro (Chadema) na Maalim Amir Mbuju (CUF), wamekimbia vyama vyao na kujiunga na NCCR-...

Habari za Siasa

Uhaba walimu wa sayansi, hesabu watua bungeni

MBUNGE wa Mafinga Mjini (CCM), Cosato Chumi, ameitaka Ofisi ya Rais, Tawaza za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Tanzania kueleza ni lini...

Habari za Siasa

Mbunge ahoji wanafunzi Veta kukosa mikopo, waziri amjibu

MBUNGE wa Viti Maalum (Chadema), Zubeda Sakuru, ametaka kujua kwa nini wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya ufundi stadi (Veta) kukosa mikopo. Anaripoti Danson...

Habari za SiasaTangulizi

Hatma ya Zitto Kabwe kesho

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, kesho Ijumaa, tarehe 29 Mei, inatarajia kusoma hukumu ya kesi inayomkabili Mbunge wa Kigoma...

Habari za SiasaTangulizi

Takukuru yaanza kuichunguza Chadema, vigogo wahojiwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imeanza kuchunguza tuhuma za matumizi mabaya ya fedha, inazokikabili Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari za Siasa

Serikali ya Tanzania yamwita kumhoji Balozi wa Marekani

SERIKALI ya Tanzania, imemwita Kaimu Balozi wa Marekani nchini humo, Dk. Imni Patterson ili kumhoji juu ya masuala mbalimbali ambayo ubalozi huo umekuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Lugola: Kiza kinene chatawala, DPP aliweka kiporo

KIZA kinene kimetawala katika ufujaji wa mabilioni ya shilingi yaliyotaka kutumika katika mkataba tata wa ununuzi wa vifaa vya Jeshi la Zimamoto na...

Habari za Siasa

Ongezeko matumizi mabaya ya mitandao yatua bungeni

MBUNGE wa Ulanga kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Goodluck Mlinga ameihoji Serikali ya Tanzania jinsi ilivyojipanga kudhibiti matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii....

Habari za Siasa

Kilichotarajiwa Burundi chatimia, wapinzani wang’aka

UCHAGUZI Mkuu nchini Burundi umefikia tamati, malalamiko yanayotolewa na vyama vya upinzani baada ya Jenerali mstaafu Evariste Ndayishimiye wa chama tawala – CNDD-FDD...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Mkuu 2020: Takukuru yamtia mbaroni Aden Rage

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Tabora nchini Tanzania, inamshikilia Ismail Aden Rage kwa tuhuma za rushwa na kuanza...

AfyaHabari za Siasa

Majaliwa azungumzia hali ya corona Tanzania

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa COVID-19 ambao umeanza kupungua nchini humo. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yawageukia wanaohoji matumizi ya fedha

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewataka wabunge wenye ushahidi juu ya tuhuma za matumizi mabaya ya fedha, kuuweka hadharani. Anaripoti Kelvin Mwaipungu,...

Habari za Siasa

Uhaba wa sukari wamuibua Dk. Bashiru, awataja mawaziri

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, kimeielekeza Serikali kuweka mikakati itakayomaliza changamoto ya uhaba wa sukari nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pwani … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Bashiru ataja mambo 3 kuimaliza corona, ataka Kigogo apuuzwe

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally ametaja mambo makubwa matatu yanayowezesha Tanzania kushinda vita ya mapambano ya maambukizi ya...

Habari za Siasa

Zitto aunda timu uandishi ilani ya ACT-Wazalendo

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, ameunda timu ya watu kumi ili kuandaa Ilani ya Uchaguzi Mkuu 2020/2025. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

TRA yashindwa kukusanya Sh. 712 bilioni

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) nchini Tanzania, imebaini hadi kufikia tarehe 30 Aprili, 2020 zaidi ya Sh. 712.4...

Habari za Siasa

#live: Kinachoendelea Bungeni muda huu

Tazama LIVE Mkutano wa Bunge, Mkutano wa 19 kikao cha 35 tarehe 22 May 2020

Habari za Siasa

CAG aichunguza TPA, Bunge latoa maagizo

OFISI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania, imeanza ukaguzi maalumu kwa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA). Anaripoti...

Habari za Siasa

PAC yabaini ‘madudu’ NIDA, Bil 1 za Tamasha la Utalii

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) nchini Tanzania, imebaini upungufu katika maeneo mawili ndani ya Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)...

Habari za Siasa

Wabunge wa Viti Maalum Chadema, waanza kuondoka 

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimepata pigo jingine, kufuatia hatua ya wabunge wake wawili, Suzana Maselle (Mwanza) na Joyce Sokombi (Mara), kutangaza...

Habari za Siasa

Kauli ya Mbowe, Zitto iliyomchefua Polepole, ataka wanyimwe kura

HATUA ya Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutaka wananchi wafungiwe...

Habari za Siasa

#VIDEO: Humphrey Polepole akizungumza na waandishi wa habari

Tazama LIVE Mkutano wa Katibu Muenezi wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Humphrey Polepole akizungumza na waandishi wa habari muda huu kuhusu mambo mbalimbali...

Habari za SiasaTangulizi

CCM kuwafyeka ‘wateule wa Rais’ walioanza kampeni mapema

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania amewatangazia kiama, watumishi wa umma, wakiwemo wateule wa Rais John Magufuli walioanza kampeni mapema za uchaguzi mkuu...

Habari za SiasaMichezo

‘Kuidhikahi picha ya Rais’ kwaendelea kumsotesha Idris Sultan

IDRIS Sultani, Msanii wa Vichekesho nchini Tanzania, leo Ijumaa tarehe 22 Mei 2020, anaweza kufikishwa mahakamani, kwa kosa la kuidhihaki picha ya Rais...

Habari za Siasa

Zitto ahoji matokeo uchunguzi maabara ya Corona 

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amehoji matokeo ya kamati iliyoundwa kuchunguza sakata la vipimo vya ugonjwa wa homa kali ya mapafu,...

Habari za Siasa

Tanzania kupokea mabilioni ya wafadhili

SERIKALI ya Tanzania inatarajia kupokea fedha za msaada, kwa ajili ya kukabiliana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli aonya pokeapokea vifaa ya corona, watakaobainika

JOHN Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, amewaonya watu watakaopokea misaada ya vifaa vya kupambana na janga la virusi vya...

AfyaHabari za SiasaMichezoTangulizi

Vyuo vikuu, michezo, ‘Form six’ kufunguliwa Juni 1

RAIS wa Tanzania, John Magufuli ametangaza kufunguliwa kwa vyuo vyote nchini, michezo ya aina yote pamoja na wanafunzi wa kidato cha sita kuanzia...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Kuna wakati Waziri Ummy alitengwa

UMMY Mwalimu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto amewashangaa wale wote waliokuwa wakihoji alipo Rais wa Tanzania, John Magufuli...

Habari za Siasa

Rais Magufuli awaapisha viongozi sita Dodoma

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli leo Alhamisi tarehe 21 Mei 2020 amewaapisha viongozi sita aliowateua hivi karibuni. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamtunishia misuli Jaji Mutungi

SAKATA la wabunge wanne wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuvuliwa uanachama wa chama hicho, sasa limechukua sura mpya. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za SiasaTangulizi

Mwambe amponza Spika Ndugai, washtakiwa

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri na Cecil Mwambe, Mbunge wa Ndanda aliyejiengua Chadema, wameshtakiwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania. Anaripoti Faki Sosi,...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Uchaguzi mkuu 2020: Vyombo vya habari Tanzania vyapewa somo

VYOMBO vya habari nchini Tanzania, vimetakiwa kutoa uwiano sawa kwa wanawake na wanaume wakati wa kuhabarisha umma hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi...

Habari za Siasa

Mpango kuimarisha huduma watu wenye ulemavu uko mbioni

SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na wadau wa sekta binafsi, inaandaa mpango wa taifa wa kuimarisha huduma kwa watu wenye ulemavu nchini. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mbunge: Wageni hawaingii Tanzania kuhofia usalama wao

MBUNGE wa Tunduma, Frank Mwakajoka (Chadema) amesema, Serikali imeshindwa kutatua tatizo la upatikanaji wa umeme katika mpaka wa Tunduma mkoani Songwe kwa muda...

Habari za Siasa

Gambo: Kenya inataka kuua utalii wa Tanzania

MKUU wa Mkoa wa Arusha (RC), Mrisho Gambo amesema, Serikali ya Kenya inakata kutumia ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) kuua utalii...

Habari za Siasa

Mil. 780 zawaponza watatu Temesa, Majaliwa atoa maagizo mazito

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi watumishi watatu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa tuhuma za kuhusika na upotevu...

Habari za Siasa

Kisa corona: Makonda atangaza siku ya shangwe Dar

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, amewaagiza wananchi wa jiji hilo kurejea kwenye shughuli zao kama ilivyokuwa awali....

Habari za SiasaTangulizi

Chadema ilivyopoteza wabunge 17

MBUNGE wa Kilombero, Kusini Mashariki mwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Peter Ambrose Lijualikali (35),  amekuwa mbunge wa 17 kutoka Chama cha Demokrasia...

Habari za Siasa

Mchungaji Msigwa amwomba msahama Kinana

MCHUNGAJI Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), amemuomba radhi Abdulrahman Kinana, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa kumhusisha na...

Habari za Siasa

THRDC ‘yalilia’ vibali kushiriki uchaguzi mkuu, NEC yawajibu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) nchini Tanzania, imetoa sababu za kuchelewa kutoa vibali vya utoaji elimu ya mpiga kura na uangalizi wa...

Habari za Siasa

Tanzania yaruhusu ndege zote kutua, hakutakuwa na karantini

SERIKALI ya Tanzania imerejesha huduma ya safari  za ndege za abira za kimataifa, zilizositishwa mwezi mmoja uliopita. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Lijualikali aondoka Chadema, amwaga chozi kwa kunyanyaswa

MBUNGE wa Kilombero (Chadema), Peter Lijualikali, amejiondoa katika chama hicho. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Akizungumza bungeni Mjini Dodoma jioni ya leo,...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai: Mbowe usijipime ubavu na rais

JOB Ndugai, Spika wa Bunge ameonesha kukerwa na kitendo cha Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Deemokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, kuzungumza na...

Habari za Siasa

Mabadiliko ya sheria inayowahusu mawakili wasomwa bungeni

SERIKALI ya Tanzania, imewasilisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali wa Mwaka 2020 bungeni ambao pamoja na mambo mengine, unapendekeza mawakili wanaoteuliwa...

Habari za Siasa

Serikali: Wachimbaji Mbogwe watapatiwa leseni

SERIKALI imeeleza kwamba, pindi taratibu zitakapokamilika, wachimbaji katika Wilaya ya Mbogwe, Geita watapatiwa leseni za uchimbaji. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Kauli...

error: Content is protected !!