Tuesday , 23 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Serikali yatakiwa kuondoa miswada ya uchaguzi bungeni

WANASIASA wa upinzani wameishauri Serikali iondoe miswada ya marekebisho ya sheria za uchaguzi bungeni jijini Dodoma, ili iboreshwe kisha irudishwe upya, kwa madai...

Habari za Siasa

Serikali yaijibu EU sakata la Ngorongoro

SERIKALI ya Tanzania, imesema haitumii nguvu katika kuwaondoa wananchi jamii ya kimasai wanaoishi Hifadhi ya Ngorongoro, bali inawaondoa kwa hiari ili kuilinda hifadhi...

Habari za Siasa

Mashirika, taasisi 16 za Serikali zaunganishwa, 4 zafutwa

Serikali imeridhia mapendekezo ya timu ya wataalam katika awamu ya kwanza na kuelekeza kuunganishwa kwa mashirika na taasisi 16 na kufuta mashirika na...

Habari za Siasa

Bunge la Ulaya lataka uchunguzi huru sakata la Ngorongoro

BUNGE la Umoja wa Ulaya (EU), limetaka uchunguzi huru ufanyike dhidi ya mgogoro wa ardhi kati ya wananchi wa Wilaya za Ngorongoro na...

Habari za Siasa

Masheikh Sita wahukumiwa kunyongwa kosa la kulipua kanisa

MASHEIKH sita wamehukuwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama Kuu, Kanda ya Arusha, baada ya kukutwa na hatia katika kesi ya ugaidi iliyokuwa inawakabili...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yamng’ang’ania Spika Tulia kesi ya akina Mdee

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), kimesema kinawasiliana na mawakili wake ili kuangalia namna ya kufanyia kazi hukumu iliyotolewa na Mahakama Kuu, Masjala Kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Mtanzania Joshua aliuawa na Hamas

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema wamejulishwa na Serikali ya Israel kwamba Joshua Mollel, kijana wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yabatilisha uamuzi wa Baraza Kuu Chadema kesi ya akina Mdee

MAHAKAMA Kuu Tanzania  Masjala ya Dar es Salaam imebatilisha uamuzi wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) lililobariki uamuzi wa...

Habari za Siasa

Macha: Rais Samia mfano wa kuigwa Afrika

Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kuwa Mwenyekiti wake ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ni mfano...

Habari za Siasa

Kinana azindua ofisi za kisasa CCM Bukombe, ampa 5 Biteko

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana amezindua Ofisi za kisasa za Chama cha Mapinduzi  Wilaya ya Bukombe mkoani...

Habari za Siasa

Daktari atoa ushahidi alivyomtibu majeruhi aliyeshambuliwa na mfanyakazi wa CRDB

JOEL Mwinza (44), Daktari Bingwa wa Mifupa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Mifupa (MOI), Joel Mwinza ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi...

Habari za Siasa

Kliniki ya ardhi yaingiza mil.600 ikitoa hati 3,156

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kushirikiana na jiji la Dodoma imetoa Hati Miliki za ardhi 3,156 na kuwahudumia wananchi...

Habari za Siasa

Samia apangua wakuu wa wilaya, RAS, DAS, DED

Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumatano amefanya uteuzi na uhamisho wa viongozi kama ifuatavyo: Uteuzi wa Katibu Tawala wa Mkoa Amemteua Maryam Ahmed...

Habari za Siasa

Kinana: Dira ya maendeleo itaboresha pato la mtu mmoja mmoja

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Abdulurhaman Kinana amesema mkakati wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia...

ElimuHabari za Siasa

Mwalimu mkuu aomba kuhamishwa kisa uchakavu wa shule

MKUU wa shule ya sekondari Udinde iliyopo kijiji na kata ya Udinde katika Halmashauri ya wilaya Songwe mkoani Songwe, Mwalimu Amani Kilagoa amemuomba...

Habari za Siasa

CUF yalia Polisi kuzuia mikutano ya hadhara

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimelaani hatua ya Jeshi la Polisi kukizuia kufanya mikutano ya hadhara katika baadhi ya maeneo, bila sababu za msingi....

Habari za SiasaTangulizi

Faili la mzabuni aliyelizwa latua kwa Waziri Mkuu

SAKATA la mzabuni, Maarifa Nampela ‘aliyelizwa’ Sh milioni 25 na Halmashauri ya wilaya ya Liwale, mkoani Lindi, limetua mikononi mwa Waziri Mkuu, Kassim...

Habari za Siasa

Jaji Kiongozi akerwa wananchi kukosa imani na mahakama

WATENDAJI wa Mahakama ya Tanzania, wametakiwa kuweka mikakati itakayosaidia kurejesha imani ya wananchi kwa mahakama, ili kuimarisha utoaji haki nchini. Anaripoti Regina Mkonde,...

BurudikaHabari za Siasa

Samia amchangia Professa Jay mil. 50, Chadema, wasanii wamwaga manoti

RAIS Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh 50 milioni katika uzinduzi wa taasisi ya Professa Jay Foundation pamoja na kuahidi kumgharamia matibabu...

Habari za Siasa

Biteko: Samia ni muumini wa maridhiano sio kwa kuigiza

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amesema Rais Samia Suluhu Hassan amekuwa ni muumini namba moja wa maridhiano nchini...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Sitakufa bali nitaishi

MAKAMU  wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Philip Mpango amejitokeza leo Jumapili jijini Dodoma na kuwaelezea waumini wa Katoliki Parokia...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe: Miaka 62 ya uhuru tujenge upya mioyo yetu

WAKATI Tanganyika ikiadhimisha miaka 62 tangu kupata uhuru, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewataka watanzania kuongeza jitihada za...

Habari za Siasa

Rais Samia asamehe wafungwa 2,244

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewasamehe wafungwa 2,244, huku akiwabadilishia hukumu wafungwa wawili kutoka adhabu ya kifo na kuwa kifungo cha maisha jela....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataka jamii inayohoji mafisadi

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo juu ya uboreshaji dira mpya ya taifa ya maendeleo (2025 hadi 2050), huku akitaka iweke masuala yatakayosaidia...

Habari za SiasaTangulizi

Kapinga: Kukatika kwa umeme siyo hujuma

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema Serikali ipo kazini kuhakikisha suala la kukatika kwa umeme linashughulikiwa kikamilifu na hakuna hujuma yeyote kama...

Habari za Siasa

Balozi Mwamweta awasilisha hati za utambulisho kwa Rais Ujerumani

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani, Hassan Iddi Mwamweta amewasilisha hati za utambulisho kwa Rais wa...

Habari za SiasaTangulizi

Samia akagua Hanang, awataka wananchi kuondoka maeneo hatarishi

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa mji mdogo wa Katesh, wilayani Hanang, Mkoa wa Manyara, waliokumbwa na maafa ya maporomoko ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wazuiwa kutembelea waathirika maafa Hanang

UJUMBE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), unaoongozwa na mwenyikiti wake Taifa, Freeman Mbowe, umedai kuzuiwa na Jeshi la Polisi kutembelea wahanga...

Habari za Siasa

Msimamo Chadema kuhusu uchaguzi kutolewa Januari

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kinajiandaa kushiriki chaguzi zijazo, huku kikiweka wazi kuwa, kitatoa msimamo mzito ifikapo Januari 2024, iwapo Serikali...

Habari za Siasa

Katesh wapewa lita 14,500 za petroli, dizeli

Naibu Waziri wa Nishati,Judith Kapinga, kwa Niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amesema Wizara ya Nishati imetoa mafuta...

Habari za Siasa

Bashungwa: Katesh kutafanyiwa usafi wa hali ya juu

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kazi ya kuondoa tope inaendelea na shughuli kubwa inayofanyika kwa sasa ni kufungua mitaa yote ya mji...

AfyaHabari za Siasa

RAS Songwe: Tumepigwa… mkurugenzi nakupa siku 21

KATIBU tawala mkoani Songwe, Happines Seneda ametoa siku 21 kwa Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Ileje, Nuru Kindamba kumpatia majina ya...

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Viongozi tuache alama nzuri katika utendaji wetu

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ametoa wito kwa viongozi mbalimbali Serikalini kuhakikisha kazi walizonazo wanazifanya kwa bidii na...

Habari za SiasaTangulizi

Chanzo maporomoko yaliyoua 65 Hanang, chatajwa

SERIKALI imesema kumeguka kwa sehemu ya Mlima Hanang ambao ilikuwa una miamba dhoofu iliyonyonya maji ndio chanzo cha maporomoko yaliyoleta maafa katika eneo...

Habari za Siasa

Baba yake Ole Sabaya ashinda Uenyekiti CCM – Arusha

Loy Thomas Sabaya ambaye ni Baba wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ameshinda nafasi ya Uenyekiti wa...

Habari za Siasa

Serikali yaagiza uchunguzi chanzo maporomoko Hanang

SERIKALI imeagiza uchunguzi ufanyike ili kubaini chanzo cha maporomoko ya udongo ya Mlima Hanang mkoani Manyara, yaliyosababisha mauji ya watu zaidi ya 50...

Habari za SiasaTangulizi

Maafa Manyara: Rais Samia akatisha ziara yake Dubai

RAIS wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, amekatisha ziara yake za kikazi jijini Dubai kwa ajili ya kurejea nchini kushughulikia maafa yaliyotokana na...

Habari za SiasaTangulizi

Wataalaam wa miamba watua Hanang

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama amesema kuwa Serikali imepeleka wataalamu wa miamba ambao watatoa taarifa...

Habari za Siasa

Mambo mawili yampeleka Mnyika Marekani

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika, yuko nchini Marekani katika ziara ya kikazi ya siku nne, itakayoanza tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

ACT Wazalendo washtushwa vifo 47 mafuriko Hanang

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeelezza kupokea kwa mshtuko na simanzi kubwa taarifa za vifo vya watu 47 na majeruhi 85 vilivyotokea wilayani Hanang...

Habari za Siasa

Dk. Biteko aagiza wakurugenzi TANESCO kukemea rushwa kwenye maeneo yao

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amefanya kikao kazi na Wakurugenzi wa Kanda na Mameneja wa Mikoa wa Shirika...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Uongozi wa Samia kuendelea hadi 2030

KWETU sisi tuliowahi kusoma sekondari, iwe O levo au A levo, nani aliwahi kusikia tangazo la wavuta bangi kujumuika pamoja au tangazo la...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Bado askari wastaafu wanaonewa

RAIS wangu Samia Suluhu Hassan tunaendelea kumshukuru Mungu kwamba wote hatujambo na kwamba Yeye anazidi kutujalia afya ya roho na mwili mpaka dakika...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Tunastawisha ufisadi na kuchukia matunda yake

BUNGE la Jamhuri linaloendelea mjini Dodoma, kwa wiki nzima limetawaliwa na mjadala juu ya ripoti ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Wamesahau aliyofanya Magufuli

JUMATATU ya tarehe 16 Oktoba 2023 itabaki kuwa siku ya kumbukumbu kwa wananchi wa kizazi hiki wakazi wa mkoa wa Singida. Hiyo ndiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aanika matobo miswada sheria za uchaguzi

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amekosoa miswada ya mabadiliko ya sheria za uchaguzi, akidai mapendekezo yake hayalengi...

Habari za Siasa

Rais Samia kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia kwa wanawake Afrika

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua programu ya nishati safi ya kupikia itakayosaidia wanawake barani Afrika (AWCCSP) kesho Jumamosi katika Umoja...

Habari za Siasa

AG aiagiza kamati ya maadili kuwashughulikia mawakili wanaokiuka maadili

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), Dk. Eliezer Feleshi, ameagiza Kamati ya Maadili ya Mawakili, kuwachukulia hatua mawakili wanaokiuka maadili yao pamoja na kuipotosha...

Habari za Siasa

Jaji avunja ukimya sakata la Mpoki kusimamishwa uwakili

JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amekitaka Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kuwafikisha mbele ya kamati ya maadili wanachama wake watakaobainika...

Habari za Siasa

Sheikh Ponda ataka mwarobaini changamoto uchaguzi 2020

KATIBU Mkuu wa Shura ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema changamoto zilizojitokeza katika Uchaguzi Mkuu wa 2020, kama hazitajadiliwa kwa uzito...

error: Content is protected !!