Friday , 29 March 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Membe: Mwaka huu nitagombea urais

BERNARD Membe, aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, atagombea urais. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba: JPM kugombea pekee, kuna sharti

JAJI Mstaafu Joseph Warioba, amsema ni utamaduni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuruhusu rais aliyepo madarakani kutetea kiti chake iwapo hajakiangusha chama. Anaripoti...

Habari za Siasa

Majaliwa: Milioni 700 kujenga shule ya wasichana Ruangwa  

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu kwa watoto wa kike nchini kote ikiwemo wilaya ya Ruangwa ambayo imepewa...

Habari za Siasa

Mwanamichezo ajitosa Urais Zanzibar

HASHIM Salum Hashim, Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA), amejitosa katika kinyang’anyiro cha Urais wa Zanzibar, kupitia...

Habari za Siasa

Mrisho Gambo alivyompongeza mrithi wake Arusha

MRISHO Gambo, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ametoa pongezi kwa mrithi wake, Iddy Kimanta katika nafasi hiyo na kumwomba Mungu akamsimamie kwenye...

Habari za Siasa

Zitto aeleza walivyojipanga uchaguzi mkuu, kugombea ubunge

ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha siasa cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, ameweka wazi msimamo wa chama hicho kuwa hakitasusia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...

Habari za Siasa

Uchaguzi 2020: Kamati Kuu ACT-Wazalendo yaweka msimamo 

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetangaza kwamba, kitalinda ushindi wake kwa gharama zozote katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es...

Habari za Siasa

Wasaka urais CCM Z’bar wafika 22 

MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaosaka kuteuliwa kugombea urasi visiwani Zanzibar, tangu chama hicho kifungue zoezi hilo tarehe 15 Juni 2020, wamefika...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Kupitisha jina ‘inategemea nimeamkaje?’

RAIS John Magufuli amewataka wateule wake walio na majukumu kutokimbilia majimboni kugombea, na kwamba kupitishwa kwa majina yao kunategemea ‘siku hiyo ataamkaje.’ Anaripoti Faki...

Habari za Siasa

Waziri Masauni kada wa 17 kuchukua fomu CCM Z’bar

HAMAD Masauni, Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi leo tarehe 22 Juni 2020, amejitokeza kuchukua fomu kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi...

Habari za Siasa

Hawa nusura niwatumbue leo – Rais Magufuli

RAIS John Magufuli amesema, Jonathan Shana ambaye ni Kamanda wa Polisi Arusha na Frida Wikesi, Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani humo,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli ataja kilichomng’oa Gambo

RAIS John Magufuli amesema, amemfukuza kazi Mrisho Gambo, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na wenzake wawili, kutokana na kutotekeleza maagizo yake. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Urais Z’bar: Refa avaajezi, aingia uwanjani

HATUA ya Jecha Salum Jecha, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), kuchukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM imeibua maswali. Anaripoti Hamis...

Habari za Siasa

Nafasi ya Gambo Arusha yajazwa

MKUU wa Mkoa wa Arusha sasa ni Idd Kimanta, ambaye awali alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli jijini Arusha. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za Siasa

Uchaguzi Mkuu 2020: Majaliwa atoa maagizo kwa Takukuru

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imewaagiza Makamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) nchini wahakikishe wanawakamata na...

Habari za Siasa

Mkutano wa Trump wadoda Oklahoma

MATARAJIO ya timu ya kampeni ya Donald Trump, Rais wa Marekani katika kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu, yanawavunja moyo. Inaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Membe aitega CCM kugombea urais

WAZIRI wa zamani wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Bernard Membe amesema, anatamani kujipima ubavu na Rais John Pombe Magufuli katika kinyang’anyiro cha...

Habari za Siasa

Jecha ‘Hasimu’ wa Maalim Seif,  ajitosa mbio za urais Zanzibar

JECHA Salum Jecha, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), amechukua fomu ya kugombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)....

Habari za Siasa

Rais Shein ataja matukio yaliyotikisa utawala wake

DAKTARI Ali Shein, Rais wa Awamu ya Saba wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), ametaja misukosuko aliyokumbana nayo katika utawala wake. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Wakazi ajitosa kugombea ubunge Ukonga

MSANII wa ‘Hip Hop’ Webiro Wakazi Wasira, maarufu kama Wakazi, ametangaza nia ya Kugombea Ubunge katika Jimbo la Ukonga, kupitia chama cha ACT-Wazalendo,...

Habari za Siasa

Rais Shein avunja Baraza la Wawakilishi

DAKTARI Ali Shein, Rais wa Serikali za Mapinduzi Zanzibar (SMZ), leo Jumamosi tarehe 20 Juni 2020 amelivunja Baraza la tisa la Wawawakilishi la...

Habari za Siasa

JPM awatumbua RC Gambo, DC na DED Arusha

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa viongozi watatu wa Mkoa wa Arusha na kufanya uteuzi wa viongozi watakaoshika nyadhifa hizo....

Habari za Siasa

Rais Magufuli atua Dar, achangisha harambee Ubungo

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewasili Jijini Dar es Salaam akitokea Makao Makuu Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Taarifa iliyotolewa...

Habari za Siasa

Spika Ndugai awachongea wabunge kwa wananchi, avikosoa vyombo vya habari

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshauri wananchi kutowachagua wabunge walopokaji na watovu wa nidhamu. Anaripoti Mwandishi Wetu. …(endelea). Spika Ndugai ametoa...

Habari za Siasa

Mwanamke wa kwanza ajitosa urais Zanzibar

MWANTUM Mussa Sultan, amekuwa mwanamke wa kwanza kujitosa katika mchakato wa kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kugombea Urais wa Zanzibar. Anaripoti...

Habari za Siasa

Urais Chadema: Mtia nia alivyojigamba kurudisha uhusiano wa kimataifa

WAKILI Simba Neo, aliyejitosa katika kinyang’anyiro cha Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari za SiasaTangulizi

Profesa Mbarawa kada wa 10 kujitosa urais Z’bar

PROFESA Makame Mbarawa, Waziri wa Maji amekuwa mwanachama wa kumi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyejitosa kuchukua fomu kuwania Urais wa Zanzibar kupitia...

Habari za Siasa

CCM Ubungo wamdhamini Magufuli, wasema anatosha

CHAMA cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wamesema, mgombea wa chama hicho wa nafasi ya Urais, Dk. John Pombe...

Habari za Siasa

Chadema ‘yavuna’ kutoka NCCR-Mageuzi

FELIX Mkosamali, aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, ametangaza kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti...

Habari za Siasa

Shamsi Nahodha ataka urais Z’bar

SHAMSI Vuai Nahodha, Waziri Kiongozi Mstaafu wa Zanzibar, amejitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) visiwani humo. Anaripoti...

Habari za Siasa

CUF yasaka watia nia ya urais

MWISHO wa kuchukua fomu kwa ajili ya watia nia ya urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), sasa ni tarehe 30 Juni 2020. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge limevunjwa: Wabunge, mawaziri bado ‘wanachapa kazi’

WABUNGE wa  Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wataendelea kutumikia na kutambulika katika nafasi zao za ubunge hadi tangazo rasmi la kuvunjwa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

‘Meya’ Ubungo atimkia ACT-Wazalendo

RAMADHANI Kwangaya, aliyekuwa Kaimu Meya wa Manispaa ya Ubungo jijini Dar es Salaam amejiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za Siasa

‘Mtaalam wa uchumi’ Z’bar achukua fomu ya urais CCM

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), anayejitambulisha kuwa mtaalamu wa uchumu, Omary Sheha Mussa amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais wa Zanzibar....

Habari za Siasa

Dk. Hussein Mwinyi ajitosa Urais Zanzibar

WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk. Hussein Mwinyi amejitosa katika kinyang’anyiro cha Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi...

Habari za SiasaTangulizi

11 wajitosa Urais Chadema

WANACHAMA 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitokeza kutia nia ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia chama hicho katika Uchaguzi Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli achukua fomu ya Urais CCM

RAIS John Magufuli amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Uchaguzi...

Habari za Siasa

Urais Chadema: Mchungaji ajitosa kuwavaa Lissu, Mbowe na Nyalandu

JOTO la mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) linazidi kupamba moto, baada ya mwanachama wa chama hicho, Leonard...

Habari za Siasa

JPM: Asante sana Dk. Shein

RAIS John Magufuli amemshukuru Dk. Ali Shein, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), anayemaliza muda wake kwa ushirikiano aliompa katika utekelezaji wa...

Habari za Siasa

JPM apiga kijembe Chadema

RAIS John Magufuli na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), ‘amerusha dongo’ kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akisema, ‘kukimbia changamoto ni...

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Uchaguzi utakuwa huru kwa vyama vyote lakini…

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amesema, Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 utafanyika kwa amani, huru na haki huku akionya yeyote atakayethubutu kuuvuruga...

Habari za SiasaTangulizi

Shule zote Tanzania kufunguliwa Juni 29

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameagiza shule zote nchini humo zifunguliwe tarehe 29 Juni 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea), Rais...

Habari za Siasa

Awamu ya Tano: Watumishi 32,555 ‘waisoma namba’

JUMLA ya watumishi 32,555 wamechukuliwa hatua mbalimbali za kinidhamu ikiwemo kufukuzwa kazi, kushushwa vyeo na kushushwa mishahara katika serikali inayoongozwa na Rais John...

Habari za Siasa

Zanzibar imepumua – Rais Magufuli

MIONGONI mwa mambo ambayo Rais John Magufuli anayojivunia katika uongozi wake wa miaka mitano, ni amani visiwani Zanzibar. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Habari za Siasa

Rais Magufuli: Tumefanikiwa

TANZANIA imetajwa kuwa nchi ya kwanza kwa utulivu na amani katika Ukanda wa Afrika Mashariki, pia imeshika nafasi ya saba katika nchi zilizo...

Habari za Siasa

Spika Ndugai: Rais amesaini miswada sita

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amesaini miswada sita iliyopitishwa na Bunge la 11. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Miswada hiyo ni Muswada wa...

Habari za Siasa

Vigogo wamiminika bungeni, JPM kulifunga Bunge

RAIS wa Tanzania, John Magufuli leo Jumanne tarehe 16 Juni 2020 analihutubia Bunge la 11 na kulivunja jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea),...

Habari za Siasa

Rais Magufuli kuhitimisha Bunge leo

SAFARI ya Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyoanza siku 1670 zilizopita inahitimishwa leo Jumanne tarehe 16 Juni 2020. Anaripoti...

Habari za Siasa

Urais Chadema: Mbowe ‘kuwavaa’ Lissu, Nyalandu na Dk.Maryrose

FREEMAN Mbowe, amejitosa katika kinyang’anyiro cha kutia nia kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokarsia na Maendeleo (Chadema)....

Habari za Siasa

Majaliwa ahitimisha mkutano wa Bunge kwa kueleza mafanikio makubwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais John Pombe Magufuli katika kipindi cha miaka mitano...

error: Content is protected !!