Wednesday , 24 April 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Mhadhiri UDSM ajitosa ubunge Segerea

MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Dk James Jesse amechukua fomu kuwania ubunge jimbo la Segerea kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)....

Habari za Siasa

Mwandishi wa habari ajitosa ubunge Iringa

MWANDISHI wa habari nchini Tanzania, Tumain Msowoya amechukua fomu ya kuwania ubunge viti maalum kupitia Umoja wa Wanawake Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi...

Habari za Siasa

Mtoto wa Lowassa ajitosa ubunge Monduli

FREDRICK, mtoto wa waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amechukua fomu ya kugombea ubunge Monduli, mkoani Arusha kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika...

Habari za Siasa

Gambo ajitosa Ubunge Arusha Mjini, Nanai aenda Kawe

MRISHO Gambo, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, amechukua fomu kuwania Ubunge Arusha Mjini ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Lema: Hata mkiniletea CCM wote Arusha, nitashinda

GODBLESS Lema, Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini na Mbunge wa Arusha Mjini anayemaliza muda wake, amesema sheria ingeruhusu, angetaka wagombea wote wa CCM...

Habari za Siasa

Hiki ni kiburi au dharau Chadema kwa waandishi wa habari?

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM), kikiwakumbatia waandishi wa habari, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Pwani kinawapuuza. Anaandika Mwandishi Wetu…(endelea). Jana Jumatatu...

Habari za Siasa

Ubunge CCM: Askofu Gwajima, Abbas Tarimba wachukua fomu

MAKADA zaidi ya 10 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwemo Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, wamechukua fomu ya kuomba...

Habari za Siasa

Agnesta awaongoza wanaume Segerea

AGNESTA Lambert, Mratibu wa Uhamasishaji wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha) ameshinda kura za maoni za mgombea ubunge...

Habari za Siasa

Chadema Pwani: Ni zamu ya CCM kudondosha chozi

CHAMA cha Demokraia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani kimesema, ni zamu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kudondosha chozi. Anaripoti Hamisi Mguta, Dar...

Habari za Siasa

Susan Lyimo aibuka mshindi Kinondoni

SUSAN Lyimo, Mbunge Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ameshinda kura za maoni za kuwania kupitishwa kugombea Ubunge Kinondoni jijini...

Habari za Siasa

Polepole: Mikutano kura za maoni iwe wazi, waandishi wa habari…

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humprey Polepole ameitaka mikutano ya majimbo na wilaya ya kura za maoni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yapiga ‘stop’ michango holela fomu za ubunge, udiwani

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania kimesema, mwanachama wa chama hicho anayetaka kuwania udiwani, ubunge au uwakilishi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2020 asilazimishwe...

Habari za Siasa

Wanne Chadema wachuana ubunge Kinondoni

WANACHAMA wanne wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamejitosa katika kinyang’anyiro cha kugombea Ubunge Kinondoni jijini Dar es Salaam katika Uchaguzi Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

Wahariri Tanzania wataka uwazi wa CCM uhamie NEC, Mahakama na Bunge

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limetoa pongezi kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuruhusu kurushwa moja kwa moja (live) kwenye vyombo vya habari,...

Habari za Siasa

Timu Maalim Seif ‘wafurahia’ uteuzi wa Dk. Mwinyi Z’bar

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeeleza ‘kufurahishwa’ na wepesi uliofanya na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ngazi ya urais Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Akizungumza na MwanaHALISI...

Habari za SiasaTangulizi

Yametimia: Membe kuelekea ACT- Wazalendo

SASA ni dhahiri kuwa Bernard Kamilius Membe, waziri wa zamani wa mambo ya nje na uhusiano wa kimataifa nchini Tanzania, yuko mbioni kujiunga...

Habari za Siasa

Susan Lymo: Napigania Jimbo la Kinondoni 2020

SUSAN Lymo, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ni miongoni mwa wanasiasa wanaonyatia Jimbo la Kinondoni. Anaripoti...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ateua bosi TIC

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Dk. Maduhu Isaac Kazi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania...

Habari za Siasa

JPM akemea ubaguzi Z’bar, awatumia salamu wapinzani

RAIS John Pombe Magufuli, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametuma salamu kwa vyama vya siasa vya upinzani, kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...

Habari za Siasa

Rais Magufuli awashukia watoto wa vigogo

RAIS John Pombe Magufuli, ameonesha kukerwa na tabia ya baadhi ya watoto wa viongozi wa ngazi za juu ‘wakubwa’ wanaojikweza kutokana na nyazifa...

Habari za Siasa

Magufuli amchagua tena Samia mgombea mweza

RAIS John Pombe Magufuli amemchagua Samia Suluhu Hassan, kuwa mgombea mweza katika Uchaguzi wa Urais wa Tanzania, Oktoba 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea)....

Habari za Siasa

Mkutano Mkuu CCM warekebisha katiba

MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), umepitisha marekebisho ya katiba ya chama hicho, ili iendane na Sheria mpya ya vyama vya siasa,...

Habari za Siasa

Magari 10 yamfanya Dk. Mathayo wa CCM kuhojiwa Takukuru

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro imemhoji Mbunge wa Same Magharibi (CCM), Dk.Mathayo David Mathayo kwa tuhuma za...

Habari za Siasa

Kinana awaonya CCM, asema hakuna uchaguzi mwepesi

ABDULRAHMAN Kinana, Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amewataka wanachama wa chama hicho, kushikamana katika kumtafutia kura za ushindi Rais John...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi: Nitakuja na staili ya Rais Magufuli

DAKTARI Hussein Ali Mwinyi, Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Uchaguzi Mkuu wa Rais wa Zanzibar,  Oktoba 2020, ameahidi kufuata nyayo...

Habari za Siasa

Mwinyi ataka Rais Magufuli aongezewe muda, yeye apinga

ALI Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa awamu ya pili, ameshauri matumizi ya Katiba ya Tanzania yasitishwe kwa muda ili kumpa nafasi Rais John...

Habari za SiasaTangulizi

Lowassa amtaka Rais Magufuli aendelee kufinya

EDWARD Lowassa, Waziri Mkuu wa zamani, amemtaka Rais John Pombe Magufuli aendelee kufinya katika uongozi wake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Lowassa ametoa kauli...

Habari za Siasa

Mkutano mkuu CCM: Profesa Lipumba asema furaha kwa Watanzania inawezekana

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amemuomba Rais wa Tanzania, John Pombe Magufuli, ahakikishe mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba...

Habari za Siasa

Vigogo wamiminika mkutano mkuu CCM, Profesa Lipumba na Mrema ndani

MKUTANO Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania umeanza leo Jumamosi tarehe 11 Julai 2020 ukiwa na agenda mbalimbali ikiwemo kuwathibitisha wagombea...

Habari za SiasaTangulizi

Huyu ndiye Dk. Hussein Ali Mwinyi

WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo Ijumaa tarehe 10 Julai 2020, wameonesha kwa kiwango kikubwa jinsi wanavyomuamini Dk. Hussein...

Habari za Siasa

Mjumbe NEC ahoji wanaohamia CCM ‘kupewa shavu’, JPM amjibu 

MALALAMIKO ya wanasiasa wa upinzani wanaohamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwazidi kete ‘wazawa’ katika fursa za uteuzi, yameibuliwa katika Mkutano wa Halmashauri Kuu...

Habari za Siasa

Dk. Hussein: Kupata ushindi Z’bar ni ngumu

KAZI ya kuutafuta ushindi kwenye uchaguzi mkuu visiwani Zanzibar ni ngumu. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea). Hiyo ni kauli ya Dk. Hussein Mwinyi, mgombea...

Habari za Siasa

CCM yabariki Membe kufukuzwa, yamsamehe Kinana

HALMASHAURI Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), imeridhia uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kumfukuza uanachama Bernard Membe. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Urais Z’bar: CCM yampitisha Dk. Mwinyi

DAKTARI Hussein Ali Mwinyi amechaguliwa kwa asilimia 78 za wajumbe wa Halmashauri Mkuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais wa Zanzibar...

Habari za Siasa

Urais Z’Bar: Rais Magufuli, Dk. Shein watoa kauli nzito

UPIGAJI kura wa kumchagua mgombea urais wa Zanzibar katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020 unaofanywa na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha...

Habari za Siasa

Kada wa tano achukua fomu ya urais Chadema

WAKILI Simba Richmomd Akaro Neo, amechukua fomu ya kugombea Urais wa Tanzania, kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

Zitto amharibia JPM Kigoma

ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amemchomea utambi Rais John Magufuli kwamba, amewatupa watu wa Kigoma. Anaripoti Faki...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yapitisha watatu kugombea Urais Z’bar

Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imepitisha majina matatu yatakayopigiwa kura na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ili kumpata mgombea mmoja...

Habari za Siasa

CCM kutangaza ‘hasimu’ wa Maalim Seif urais Z’bar

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), leo tarehe 10 Julai 2020, kinatarajia kumtangaza mgombea urais wake visiwani Zanzibar. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ateua wakili mkuu wa Serikali, Naibu wake

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Gabriel Pascal Malata kuwa Wakili Mkuu wa Serikali (Solicitor General). Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Vijana ACT-Wazalendo, wamuomba Membe kujiunga nao

NGOME ya vijana ya chama cha ACT- Wazalendo, kimemuomba aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bernard Kamilius  Membe, kujiunga na chama hicho. Anaripoti...

Habari za Siasa

Sheikh Ponda ataja sifa za wagombea uchaguzi mkuu

SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, ametaja sifa za wagombea katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Kelvin...

Habari za Siasa

Mbunge CCM ahojiwa kwa ‘kugawa’ rushwa

TAASISI ya Kuzia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imemuhoji Lingstone Lusinde, aliyekuwa Mbunge wa Mtera (CCM) kwa tuhuma za kugwa rushwa. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Sasa hivi wathubutu waone – Zitto

WIZI wa kura unaolalamikiwa wakati wa uchaguzi mkuu, sasa hautatokea kwa namna Chama cha ACT-Wazalendo kilivyojipanga Bara na Visiwani. Anaripoti Faki Sosi, Kasulu Kigoma...

Habari za Siasa

‘Maalim Seif, majimbo 34 tunachukua Z’bar’

MAALIM Seif Sharif Hamad atashinda urais wa Zanzibar na tuna uhakika wa kushinda majimbo 34 ya uchaguzi visiwani humo. Anaripoti Faki Sosi, Kigoma …...

Habari za Siasa

Isaya Mwita: Aliyeng’olewa Umeya wa Jiji, ageukia urais

MIEZI sita baada ya kung’olewa Umeya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama cha Demokrasia...

Habari za Siasa

Dk. Bashiru amzungumzia Maalim Seif Urais Z’bar

MAALIM Seif Sharif Hamad, Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo, yupo mdomoni mwa Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mgombea urais Z’bar anatoka bara? Dk. Bashiru afafanua

HOJA kwamba, mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) visiwani Zanzibar, anachaguliwa Tanzania Bara imepingwa na Dk. Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa chama...

Habari za Siasa

Nassari, Qambalo wajiunga CCM, wajikomba 

JOSHUA Nassari, aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki mkoani Arusha na Willy Qambalo, aliyekuwa Mbunge wa Karatu, wote kutoka Chadema, wametimkia CCM. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Msitu wa wanaCCM Nkenge haunitishi – ‘mgombea’ Chadema

JIMBO la Nkenge lililopo katika Wilaya ya Misenye, Kagera linawindwa na makada 19 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mmoja kutoka Chama cha...

error: Content is protected !!