Wednesday , 24 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Z’bar ‘yawabana’ watalii kulinda utamaduni

  SERIKIALI ya Mapinduzi Zanzibar imewataka watalii kuzingatia miiko na maadaili ya Mzanzibari hasa katika mavazi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Taarifa...

Habari za SiasaTangulizi

Pigo CCM, Mzee Seif Khatibu afariki

  DAKTARI Mohmmed Seif Katibu, aliyewahi kuwa Mkuu wa Oganizesheni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na waziri katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano...

Habari za Siasa

Mwili wa Nditiye waagwa bungeni

  MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi Atashasta Nditiye (52), umeagwa bungeni jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

Habari za Siasa

Magufuli amlilia mbunge Nditiye

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Spika wa Bunge, Job Ndugai kufuatia kifo cha Mbunge wa Muhambwe (CCM), mkoani...

Habari za SiasaTangulizi

Mwanasiasa mkongwe Bakari Mwapachu afariki dunia

  HARITH Bakari Mwapachu (81), waziri mwandamizi wa zamani amefariki dunia alfajiri ya kuamkia leo Ijumaa tarehe 12 Februari 2021, Hospitali ya Taifa...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli amsulubu hadharani mbunge Abood

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameeleza kutamani mfanyabiashara Rostam Azizi kugombea Jimbo la Morogoro Mjini, ili kumng’oa Abdul-Aziz Abood, mbunge wa jimbo...

Habari za Siasa

Mbunge CCM aliyenusurika kifo kwa ajali, afariki kwa ajali

  MBUNGE wa Muhambwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Kigoma, Mhandisi Atashasta Nditiye, amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa tarehe 12 Februari...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi ang’oa vigogo ZRB, PBZ

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), Joseph Meza na Mkurugenzi Mwendeshaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee ‘apindua’ kauli ya Rais Magufuli

  WAKATI Rais wa Tanzania, John Magufuli akisisitiza kwa wananchi ataendelea kutoa elimu bure, Halim Mdee ambaye ni mbunge asiye na chama baada...

Habari za SiasaTangulizi

Katibu CCM asimamishwa kwa rushwa, Magufuli asema…

  KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamidu Shaka, amesimamishwa kazi na chama hicho, kupisha uchunguzi wa tuhuma za...

Habari za Siasa

Spika Ndugai: CCM ilitaabika uchaguzi mkuu 2020

  JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amelieleza Bunge, katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020, Chama Cha Mapinduzi (CCM), ‘kilitoka...

Habari za SiasaTangulizi

Kisasi cha TRA: Gambo ahoji hatma St. Jude, Spika ataka majibu

  SAKATA la Shule ya St. Jude, iliyoko jijini Arusha, kukabiliwa na ukata uliosababishwa na fedha zake kuzuiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania...

Habari za Siasa

Mbunge ataka elimu bure kidato tano na sita, serikali yamjibu

  BONIFACE Mwita Getere, Bunda Vijijini (CCM), ameitaka serikali kueleza, kwamba ina mpango gani wa kukamilisha dhana ya elimu bure. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

ElimuHabari za Siasa

Waraka wa corona wamponza Prof. Bisanda wa Chuo Kikuu

WARAKA kuhusu tahadhari ya maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19), uliotolewa na Profesa Elifas Bisanda, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo ‘wamtesti’ Dk. Mwinyi

  CHAMA cha ACT- Wazalendo, kimemshauri Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi kuunda “tume ya maridhiano” ili kutibu vidonda vya uchaguzi mkuu uliyopita,...

Habari za SiasaTangulizi

Wapinzani washangaa wabunge CCM kujipendekeza kwa Magufuli

KASI ya “kujipendekeza” ya baadhi ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa Rais wa Tanzania, John Magufuli, imeshangaza waengi, wakiwamo viongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Simulizi ya mwanasiasa mkongwe wa upinzani, Anthony Komu

  ANTHONY Calist Komu, mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania amesema, ndoto zake zilikuwa awe padre, lakini akajikuta anakuwa mwanasiasa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

Ahadi ya Kikwete abebeshwa Rais Magufuli

  MBUNGE wa Same Magharibi, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), David Mathayo David, amehoji ni lini Serikali ya awamu ya tano inayongozwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Arcado Ntangazwa afariki dunia

  WAZIRI wa zamani katika serikali za awamu ya Kwanza, Pili na Tatu, Arcado Ntagazwa (75) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi akwepa kumzungumzia Maalim Seif

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amekwepa kuzungumzia hali ya makamu wake wa kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar...

Habari za Siasa

Kifo cha Loya, Zitto amlilia

  MTENDAJI Mkuu wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Daniel Loya amefariki dunia asubuhi ya leo Jumatano, katika Hospitali ya Lugalo alikokuwa anapatiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee aivuruga serikali, waziri amvaa

  HALIMA Mdee, mbunge asiye na chama bungeni, amekosoa Mpango wa Maendeleo wa Serikali, kwamba ‘hakuna kitu.’ Anaripoti Mwandshi Wetu, Dodoma…(endelea). Akichangia mpango huo...

Habari za Siasa

Siku 100 za Dk. Mwinyi madarakani

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amesema katika siku 100 za uongozi wake, amefanikiwa kuimarisha umoja wa Wazanzibari na kuongeza ukusanyaji mapato....

Habari za Siasa

Nape: Biashara zinafungwa, kodi kubwa

  KIWANGO kikubwa cha kodi kwa wafanyabiashara, kimesababisha biasharanyingi kufungwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo imetolewa na Nape Nnauye, Mbunge...

Habari za SiasaTangulizi

Moto Katiba Mpya wachipuka upinzani

  KASI ya kutaka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi mkuu 2025, imevisukuma vyama vya upinzani kutaka kuungana. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Ajenda 5 zimewapeleka ACT-Wazalendo bungeni

  CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema, kimewapeleka wanachama wake wanne bungeni ili wakasimamie ajenda tano za chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za Siasa

Polepole: JPM hatoongeza muda, itabaki hivyo

HUMPHREY Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema mwenyekiti wake Rais John Magufuli hatoongeza...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Mdee, wenzake: Prof. Safari, Lissu watofautiana

  WAKATI Tundu Lissu, Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akieleza chama hicho ‘kujivuwa’ kuwapeleka mahakamani Halima Mdee na wenzake,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwinyi atumia mbinu ya JPM kuwabana mafisadi Z’bar

  HATUA iliyochukuliwa na Rais John Magufuli kuanzisha Mahakama ya Mafisadi mwaka 2016, mahakama hiyo sasa inaanzishwa visiwani Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ‘aichana’ serikali

JOSEPH Msukuma, Mbunge wa Shinyanga Vijijini amesema, serikali imekuwa ikiwekeza mabilioni ya fedha katika miradi ambayo haina faida kwa Taifa. Anaripoti Mwamdishi Wetu,...

Habari za Siasa

Mbunge CCM akumbushia ahadi ya Magufuli bungeni

AHADI aliyoitoa Rais wa Tanzania, John Magufuli wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2020, Itigi mkoani Singida, kwamba atajenga barabara za...

Habari za Siasa

Mrithi wa Umbulla aapishwa bungeni

YUSTINA Rahhi, Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), ameapishwa leo Jumatatu tarehe 8 Februari 2021, kuchukuna nafasi ya Martha Jecha Umbulla aliyefariki dunia tarehe...

Habari za SiasaTangulizi

Mjadala JPM kuongezewa muda uachwe huru – Butiku

  JOSEPH Butiku, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, ametaka mjadala wa Rais John Magufuli kuongezewa muda wa kutawala, uachwe huru. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Bunge lazidi kuwakingia kifua waliofukuzwa Chadema

  TUHUMA kwamba Bunge la Tanzania nidhaifu zilizotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), zimepingwa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Katiba Mpya, Tume Huru,Masheikh Uamsho, vyatikisa Bunge

MALALAMIKO kuhusu katiba mpya, tume huru ya uchaguzi, muungano na masheikh wa Uamsho viliibuka bungeni wakati wa mjadala wa Hotuba ya Rais John...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu abadili mbinu kumng’oa Mdee, wenzake bungeni

  TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amebadili mbinu ya kuwakabili Halima Mdee na wenzake 18 kuwazuia kuhudhuria...

Habari za SiasaTangulizi

Lema arusha dongo bungeni

  LICHA ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa na wabunge kutoka upinzani, Godbless Lemba ambaye alikuwa Mbunge wa Arusha Mjini...

Habari za Siasa

Miaka 44 ya CCM: Dk. Bashiru ‘hatujapotea’

DAKTARI Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametetea chama chake kwamba hakijapetea katika misingi ya demokrasia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai aeleza kinachowaangusha wabunge kurejea bungeni

  JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, ametahadharisha wabunge, wasikae kimya vinginevyo watashindwa kurudi bungeni mwaka 2025. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

AfyaHabari za Siasa

Ndugai ashtushwa gharama mashine za upumuaji

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameshtushwa na gharama kubwa za mashine za kusaidia upumuaji kwa watu wenye tatizo hilo, zinazotolewa...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Safari afurahia Kiswahili kutumika mahakamani, atahadharisha

  PROF.  Abdallah Safari, wakili wa Mahakama Kuu nchini Tanzania na gwiji wa sheria za jinai katika Afrika Mashariki anasema, ni uamuzi sahihi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kupangua wakurugenzi makao makuu

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimefanyia mabadiliko makubwa muundo wake wa sektarieti ya Kamati Kuu (CC), kwa lengo la kujipanga ili...

Habari za Siasa

Mdee, wenzake wamchokonoa Lissu

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tanzania Bara, Tundu Antipas Lissu, amekosoa hatua ya Spika wa Bunge, Job Ndugai,...

Habari za Siasa

Rais Magufuli akerwa na wizara ya Dk. Mwigulu

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameonesha kukerwa na hatua ya Wizara ya Katiba na Sheria, inayoongozwa na Waziri, Dk. Mwigulu Nchemba kwa...

Habari za Siasa

Safari matumizi ya Kiswahili mahakamani yaanza

  WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Mwigulu Nchemba amesema, wizara yake imezungumza na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kwa ajili...

Habari za Siasa

Ni mbwembwe, ‘wabunge wa Chadema’ wakitinga bungeni

  WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamewakaribisha wabunge kutoka Chama cha ACT-Wazalendo na wale waliotimuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya North Mara: Kiswahili champandisha cheo Jaji

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli amempandisha cheo Jaji Zepharine Galeba, Jaji wa Mahakama Kuu, Kanda ya Musoma kuwa Jaji wa Mahakama ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba aibua mjadala Katiba mpya mbele ya Magufuli

  PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), amemkumbusa Rais wa Tanzania, John Magufuli kutekeleza ahadi yake aliyoitoa Mwaka 2015 ya...

Habari za SiasaTangulizi

Makamo wa  Kwanza wa Rais Zanzibar, athibitika kuugua Corona

  MAKAMO wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amepata maambukizi ya virusi hatari vya Corona (Covid 19). Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Serikali: JPM atakuwa mkali zaidi

  WATUMISHI wa serikali na wale wanaopewa kazi na serikali, wametakiwa kuzifanya kwa ufanisi mkubwa kwa kuwa, Rais John Magufuli atakuwa mkali zaidi...

error: Content is protected !!