Saturday , 20 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Shibuda: Kuna ombwe la siasa za utaifa, uzalendo

  MWENYEKITI wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini Tanzania, John Shibuda, amesema, kuna ombwe la makada wa kuendeleza siasa za utaifa na...

Habari za Siasa

Fedha za sherehe za Muungano kugawanywa

  RAIS wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, ameagiza fedha zilizopangwa kufanya sherehe za maadhimisho ya miaka 57 ya Muungano wa Tanganyika...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Sitovumilia atayebeza Muungano

  MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Phillip Mpango, amewaonya watu wanaobeza muungano wa Tanganyika na Zanzibar, ulioasisiwa tarehe 26 Aprili 1964. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mama Mongella: Msimtilie shaka Rais Samia

  MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Getrude Mongella, amewataka Watanzania kutokuwa na wasiwasi juu ya uongozi wa Rais wa Awamu ya Sita wa Tanzania,...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu kurejea nchini muda si mrefu

  ALIYEKUWA mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ametaka kuhakikishiwa usalama wake na serikali, ili aweze kurejea nchini....

Habari za SiasaTangulizi

DED Temeke, Sumbawanga wasimamishwa kazi

  LUSUBILO Mwakabibi, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke na Nyangi Msemakweli, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga, wamesimamishwa kazi. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mnyika: Rais Samia amejibu barua ya Mbowe

  JOHN Mnyika, Katibu Mkuu wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania- Chadema amesema, Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, amekubali wito wa...

Habari za SiasaTangulizi

Nape ashauri Mdee na wenzake wafukuzwe bungeni

  MBUNGE wa Mtama (CCM), Nape Nnauye, ameshauri wabunge viti maalum 19, waliovuliwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), waondolewe bungeni....

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aichambua hotuba ya Rais Samia, aibua hoja

TUNDU Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, amesema alitarajia kuona Rais Samia Suluhu Hassan, anatumia muda mrefu kuzungumzia...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la kufukuzwa Chadema: Kishoa ajichanganya bungeni

  JESCA Kishoa, mbunge wa Viti Maalumu (asiyekuwa na chama), ameuthibitishia ulimwengu, kuwa kuwako kwake bungeni, ni kinyume na amefutwa uanachama katika Chama...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ataka sheria kandamizi zirejeshwe bungeni kufanyiwa marekebisho

MBUNGE wa Mahonda, Unguja, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdullah Mwinyi, ameshauri sheria zinazokandamizi misingi ya demokrasia na utawala bora, zirudishwe bungeni kwa...

Habari za Siasa

Waziri Aweso awatumia salamu wahandisi, wakandarasi

  WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso amewataka wahandisi na wakandarasi kujiandaa na mabadiliko yatakayofanyika yenye lengo la kuboresha ufanisi. Anaripoti Jemima Samwel, DMC...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi wawili

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Dk. Hedwiga Swai kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti Ukimwi Tanzania. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Nape awapigania walimu bungeni, ataka tume iundwe

  MBUNGE wa Mtama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, ameitaka Serikali ya Tanzania, iunde tume maalum ya kuchunguza madai na stahiki...

Habari za Siasa

Rais Samia aendelea kuteua viongozi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea). Uteuzi huo, umetangazwa jana Alhamisi,...

Habari za Siasa

Rais Samia aonya wanaotumia mitandao ya kijamii kuchonganisha

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ameonya Watanzania wanaotumia mitandao ya kijamii kuchonganisha watu. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Kiongozi huyo wa Tanzania...

Habari za Siasa

Ikosoeni serikali – Rais Samia

  MAMA Samia Suluhu Hassan, Rais wa Awamu ya Sita wa Tanzania, amewataka wabunge kuikosoa serikali yake, pale inapofanya vibaya. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

Rais Samia: Mwendo ni ule ule

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, wale wanaodhani usimamizi wa rasilimali za nchi, ukwepaji kodi, rushwa vimekwenda na Hayati John Magufuli,...

Habari za Siasa

Rais Samia kukutana na wapinzani

  RAIS wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, amesema anapanga kukutana na viongozi wa vyama vya siasa, ili kujadili namna ya kuiendesha...

Habari za Siasa

Rais Samia amsifu Dk. Magufuli, amtaja Dk. Kikwete, Karume

  RAIS WA Tanzania, Samia Suluhu Hassa, amesifu uongozi wa kutukuka wa mtangulizi wake, Hayati John Magufuli huku akimtaja Rais Mstaafu wa Zanzibar,...

Habari za Siasa

Rais Samia kung’oa vikwazo vya uwekezaji

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameahidi kufanya marekebisho kadhaa katika sera na sheria sambamba na kuondoa vikwazo katika kukuza uwekezaji. Anaripoti...

Habari za Siasa

Viongozi 150 kuchukuliwa hatua

  TAKRIBANI viongozi 150 hatarini kuchukuliwa hatua kali kwa tuhuma za ukiukwaji wa maadili. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Viongozi hao wanadaiwa kushindwa kurejesha fomu...

Habari za Siasa

Rais Samia anahutubia Bunge

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, leo Alhamisi kuanzia saa 10:00 jioni, atalihutubia Bunge la nchi hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Rais...

Habari za Siasa

Mbunge CCM aomba hospitali, serikali yamjibu

  JAFARI Chege, Mbunge wa Rorya (CCM), mkoani Mara, amehoji serikali lini itakipandisha hadhi kituo cha afya Kinesi kinachohudumia vijiji 27 ili kiwe...

Habari za Siasa

Bunge latengua kanuni

  BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limetengua kanuni kanuni ya 160 (1) ili kuruhusu wasio wabunge kuingia ukumbini. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Wabunge wapigwa ‘stop’ kuvaa tai nyekundu

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewataka wabunge kutovaa tai nyekundu, bungeni jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Ni...

Habari za SiasaTangulizi

Katiba mpya: Askofu Shoo, Dk. Lwaitama wamkingia kifua Rais Samia

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo na Dk. Azaveli Lwaitama, wamewaomba Watanzania wampe muda Rais Samia...

Habari za Siasa

Mjadala katiba mpya wapamba moto

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), kimeendesha mdahalo wa wazi kujadili ufufuaji wa mchakato wa katiba mpya. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mbunge Mnzava ahoji wahitimu kutoajiriwa

  MBUNGE wa Viti Maalumu (CCM), Christine Mnzava, ameihoji serikali juu ya kutokuwatumia vizuri wanafunzi wanaohitimu shahada ya sayansi ya menejimenti ya uhandisi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi 6

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi sita wa taasisi mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uteuzi huo umetangazwa leo Jumatano,...

Habari za Siasa

Mdee, wenzake wachongewa kwa Rais Samia

  UONGOZI wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), umemuomba Rais Samia Suluhu Hasani kuwafukuza wabunge waliopo bungeni bila...

Habari za Siasa

Rais Samia awahakikishia China mazingira mazuri ya biashara

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wafanyabiashara wa China kuandaa mazingira mazuri ya biashara nchini. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea)....

AfyaHabari za Siasa

Bil 14 kujenga hospitali 28

  SERIKALI imetenga Sh. 14 Bilioni kwa ajili ya kuanza ujenzi wa hospitali mpya 28, ikiwepo Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga...

Habari za SiasaTangulizi

‘Kikwete, Kinana, Ndugai wamewakosea nini?’

  TABIA ya kusemwa vibaya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete; Spika wa Bunge, Job Ndugai; Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye, Mbunge wa Mtama kumemkera...

Habari za Siasa

Bunge lina ugeni mzito – Spika Ndugai

  JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri amewaeleza wabunge wa bunge hilo kwamba, kesho Alhamis tarehe 22 Aprili 2021, kutakuwa na ugeni...

Habari za Siasa

Hatma wateja FBME bado njia panda

  WATEJA wa Benki ya Biashara ya FBME, wameshindwa kulipwa fedha zao kwa haraka kutokana na kutokukamilika kwa taratibu za kisheria. Anaripoti Jemima...

Habari za Siasa

Barabara za Ikungi kuwekwa lami

  SERIKALI imepanga kufanya usanifu na thathmini ya gharama za ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami katika Mji wa Ikungi. Anaripoti Jemima...

Habari za Siasa

Takukuru yamkamata kigogo bandari akiwa mafichoni

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza, imemkamata aliyekuwa Mhasibu wa Mamlaka ya Bandari Kigoma, Madaraka Robert Madaraka...

Habari za Siasa

Barabara Kibena – Lupembe yatengewa Bil 5.96

  SERIKALI ya Tanzania imetenga jumla ya Sh. 5.96 Bilioni, kwa ajili ya kuanza ujenzi wa barabara ya Kibena –Lupembe, mkoani Njombe. Anaripoti...

AfyaHabari za Siasa

Tamisemi: Hospitali Biharamulo ilitengewa Mil 500

  HALIMASHAURI ya Wilaya ya Biharamulo, Kagera ilipatiwa kiasi cha Sh. 500 Milioni katika mwaka wa fedha 2019\20 kwa ajili ya kuanza ujenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia, Spika Ndugai wateta Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Spika wa Bunge la nchi hiyo, Job Ndugai. Anaripoti Matilda Peter, Dodoma …...

Habari za Siasa

DED Sengerema asimamishwa kazi

  MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema, Magesa Mafuru, amesimamishwa kazi ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu wa fedha za miradi...

Habari za SiasaTangulizi

Natamani kurudi nyumbani – Lema

  GODBLESS Lema, aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) ambaye kwa sasa anaishi uhamishoni Canada amesema, anatamani kurejea nyumbani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Natamani kurudi nyumbani – Lema

  GODBLESS Lema, aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema) ambaye kwa sasa anaishi uhamishoni Canada amesema, anatamani kurejea nyumbani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi nane

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali nane. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi...

Habari za Siasa

Rais Samia aiomba benki ya dunia…

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, ameiomba Benki ya Dunia (WB), kuendelea kushirikiana katika kujenga uchumi utakaogusa makundi yote ya jamii ili...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kuhutubia Bunge Alhamisi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan atahutubia Bunge la nchi hiyo, Alhamisi jioni ya tarehe 22 Aprili 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Rais Samia amwapisha Mdolwa kuwa Balozi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Yusuf Tindi Mndolwa kuwa Balozi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Mdolwa, ameapishwa leo Jumatatu, tarehe...

Habari za Siasa

Bilioni 42 kulipa fidia wananchi Chalinze

  SERIKALI ya Tanzania imesema, Sh.42.3 bilioni zimetengwa ili kulipa fidia kwa wananchi waliopisha miradi wa kusafirisha umeme kutoka Kinyerezi na Bwawa la...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aonya wabunge “jadilini bajeti”

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewaonya wabunge wanaojikita kumlinganisha yeye na aliyekuwa Rais John Pombe Magufuli, akiwataka kufanya kazi ya kibunge...

error: Content is protected !!