Saturday , 20 April 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe akumbuka wema wa Mdee, Zitto Chadema

  FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema, Halima Mdee, Zitto Kabwe na Shaibu Akwilombe ni miongoni mwa watu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Kenya kuna Uhuru, Tanzania kuna Suluhu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia mazingira mazuri wafanyabiashara wa Kenya na Tanzania, akisema upande mmoja kuna uhuru wa kufanyabiashara na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Tunakuja kwa miguu yote Kenya

  TANZANIA imeahidi kuingia kwa miguu miwili katika uwekezaji nchini Kenya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kauli hiyo imetolewa na Rais Samia Suluhu...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Kenyatta amwambia Samia ‘safari hii tutafika mbali’

  RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema, ana matumaini kwa taifa lake na Tanzania kufika mbali kutokana na kuimarika ushirikiano. Anaripoti Mwandishi Wetu...

Habari za SiasaTangulizi

Mkakati wasukwa kuwang’oa Mdee, wenzake

  MAKAKATI umeanza kusukwa ili kuhakikisha Halima Mdee na wenzake 18, wanang’olewa bungeni. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Mkakati huo...

Habari za SiasaKimataifa

Rais wa Tanzania Samia atua Kenya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewasili salama nchini Kenya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Ndege ya Shirika la Ndege ya Tanzania...

Habari za Siasa

Uhuru wa Habari: Sheria kandamizi Tanzania ziondolewe

  SHIRIKA lisilo la kiserikali linalotoa msaada wa kisheria (Legal Services Facility-LSF), limeiomba Serikali ya Tanzania, kuondoa sheria zinazokandamiza uhuru wa vyombo vya...

Habari za Siasa

Hivi serikali inatambua madhara ya Zebaki?- Mbunge ahoji

  SERIKALI ya Tanzania, inatambua madhara ya afya kwa binadamu, mimea na mazingira yanayosababishwa na matumizi ya kemikali ya Zebaki katika shughuli za...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai awakumbatia Mdee, wenzake 18, ananga Chadema

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameendelea kuwakingia kifua waliokuwa wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Halima Mdee na...

Habari za Siasa

Kiwanja cha ndege Manyara kujegwa

  SERIKALI nchini Tanzania, inatarajia kuanza ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Mwada, mkoani Manyara. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea). Kauli hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ateta na Rais mstaafu Obasanjo Ikulu Dodoma

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Nigeria, Olusegun Obasanjo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee wamponza Nape bungeni

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amemwonya Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye kuacha kuwasema vibaya, Halima Mdee na wenzake 18,...

Habari za Siasa

Vifungo vya nje vyaokoa bilioni 1.5

  SERIKALI ya Tanzania, imefanikiwa kuokoa kiasi cha Sh. 1.5 bilioni kutokana na kutumika adhabu ya vifungo vya nje kwa Mwaka wa Fedha...

Habari za Siasa

Nyalandu ainanga Chadema

  SIKU mbili baada ya kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lazaro Nyalandu, amesema chama hicho tawala ni imara kuliko Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Nyalandu amnasihi Mbowe

  LAZARO Nyalandu, aliyerejea Chama Cha Mapinduzi (CCM), amemshauri, Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kutoweka masharti magumu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Vyeti feki: Zitto apongeza uamuzi wa Rais Samia

  KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amepongeza hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuagiza watumishi waliostaafishwa kazi ikiwemo walioghushi vyeti, kulipwa...

Habari za Siasa

Wakili amshauri Rais Samia

WAKILI Kuawayawaya Stephen Kuwayawaya, amemshauri Rais Samia Suluhu kuwa makini na watendaji wa ofisi yake. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma…(endelea). Kuwayawaya ametoa ushauri huo...

Habari za SiasaTangulizi

Mei Mosi: Mambo 11 aliyosema Rais Samia

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, amewahutubia kwa mara ya kwanza, wafanyakazi na kutoa ahadi mbalimbali zenye kurejesha tabasamu miongoni mwao. Anaripoti...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza darasa la saba, vyeti feki kulipwa mafao yao

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameagiza watumishi wa umma waliofukuzwa kazi kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo vyeti vya kughushi ‘feki’, walipwe...

Habari za Siasa

Rais Samia atangaza ajira mpya 40,000

  SERIKALI ya Tanzania, ametangaza ajira mpya 40,000 na kupandisha vyeo watumishi 90,000 katika mwaka wa fedha 2021/22. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

Kodi ya mishahara yashushwa 1%

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepunguza Kodi ya Mshahara (PAYE), kutoka asilimia tisa hadi nane. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Nitaongeza mishahara mwakani, 90,000 kupandishwa vyeo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewapa pole wafanyakazi waliokuwa na matarajio ya nyongeza ya mishahara na kuwaahidi kufanya hivyo Mei Mosi...

Habari za Siasa

Katibu mkuu CCM amuomba Rais Samia aongeze mishahara

  KATIBU Mkuu mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aboreshe maslahi ya watumishi wa umma, kama...

Habari za Siasa

Watumishi 99 wadai milioni 300, Silinde atoa maagizo

  NASHON Bidyanguze, Mbunge wa Kigoma Kusini (CCM), amehoji lini watumishi waliohamishiwa halmashauri ya Uvinza kutoka Kigoma Vijijini watalipwa stahiki zao. Anaripoti Jemima...

Habari za SiasaTangulizi

CCM kufumuliwa upya

  SAMIA Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, amesema atashirikiana na viongozi wa chama hicho, kupitia upya sera na miongozo...

HabariHabari za Siasa

Chongolo amrithi Dk. Bashiru CCM, Shaka…

  DANIEL Chongolo, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, mkoani Dar es Salaam, amethibitishwa na Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Habari za Siasa

Samia aota uchaguzi mkuu 2025

  MWENYEKITI mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi na wanachama wa chama hicho, kutekeleza vyema Ilani ya Uchaguzi...

Habari za SiasaTangulizi

Nyalandu, Mathew wajiunga CCM, Rais Samia asema…

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimepata pigo baada ya kuondokewa na wenyeviti wawili wa kanda na kurejea Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti...

HabariHabari za Siasa

Majaliwa ajitosa ukaguzi mgodi Mirerani

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, Serikali imepokea na itayafanyia kazi malalamiko ya wabunge juu ya utaratibu wa ukaguzi unaofanywa kwenye...

Habari za SiasaTangulizi

Samia aweka rekodi mpya CCM

  WAJUMBE wa Mkutano Mkuu Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamemchagua kwa asilimia 100, Rais Samia Suluhu Hassan, kuwa Mwenyekiti wa chama...

Habari za Siasa

Wajumbe asilimia 99 CCM watinga Dodoma

  JUMLA ya wanachama wa 1,862 Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama hicho, wamehudhuria mkutano huo. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Samia kupenya uenyekiti CCM? Mangula apambana

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Mzee Phillip Mangula, amewaomba wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa chama hicho, kumchagua Rais...

Habari za SiasaTangulizi

CCM: JPM amekiacha chama pazuri

  KAIMU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rodrick Mpogolo, amesema aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho, Hayati Dk. John Magufuli, amekiwezesha chama...

Habari za SiasaTangulizi

Samia apitishwa 100% kugombea uenyekiti CCM

  HALMASHAURI Kuu ya chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM), nchini Tanzania, imempitisha kwa asilimia 100, mjumbe wa kamati kuu ambaye ni Rais,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Kigwangalla atiwa matatani tena

  WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Damas Ndumbaro, ametengua uamuzi wa mtangulizi wake, Dk. Hamis Kigwangalla, wa kufuta umiliki wa kitalu cha...

Habari za Siasa

Ripoti ya CAG: Ukwapuzi mabilioni TEITI yadaiwa bungeni

  TAARIFA ya uchunguzi maalumu wa upotevu wa fedha kiasi cha Sh. 90 Bilioni, aliyonayo Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), inadaiwa...

Habari za Siasa

Msukuma amtuhumu RC Geita, wenzake kujilipa posho milioni 600

  MBUNGE wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma amesema, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Robert Gabriel na timu yake wamejilipa Sh.600 milioni, fedha...

Habari za Siasa

Serikali kununua vifaa tiba vya Mil 500 Busega

  SERIKALI imetenga Sh. 500 Milioni kwa ajili ya ununuzi wa vifaa tiba katika Hospitali ya Busega, Simiyu. Anaripoti Jemima Samwel DMC …...

Habari za Siasa

Bunge latuhumu mabaraza ya kata

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, imeshauri Mabaraza ya Kata yaunganishwe kwenye mfumo wa mahakama, ili kudhibiti mianya ya rushwa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Kabudi avunja ukimya sakata Masheikh wa Uamsho

  PROFESA Palamagamba Kabudi, Waziri wa Katiba na Sheria, amewataka Watanzania kutoingilia kati sakata la Masheikh 23 wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara...

Habari za Siasa

Kesi za madai, Serikali ya Tanzania yaokoa bilioni 132

  SERIKALI ya Tanzania, imeokoa Sh.132.24 bilioni, baada ya kushinda kesi mbalimbali za ndani na nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...

Habari za Siasa

Mbunge CCM alia ukata vituo vya Afya Segerea

  BONNA Kamoli, Mbunge wa Segerea, jijini Dar es Salaam (CCM), ameihoji Serikali, lini itaongeza vituo vya afya katika jimbo hilo, ili kuondoa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaanza safari kumpata mrithi wa Magufuli

  SAFARI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kumpata mwenyekiti mpya wa chama hicho, imeanza rasmi jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

Habari za Siasa

Tumieni mbinu mbadala kujilinda na wanyamapori- Serikali

  WIZARA ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania, imewahimiza wananchi walio karibu na hifadhi za wanyamapori, kutumia mbinu mbadala ili kuwadhibiti wasiingie kwenye...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema aibana Serikali bungeni

  AIDA Khenani, Mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amehoji lini Serikali itapeleka fedha jimboni humo, kwa ajili...

Habari za Siasa

Mbunge CCM ahoji ahadi ya Hayati Magufuli, ajibiwa

  SERIKALI imepanga kuendeleza ujenzi na matengenezo ya barabara nchini ikiwemo Moshi Vijijini, mkoani Kilimanjaro, kadri ya upatikanaji wa fedha. anaripoti Jemima Samwel...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba: Tunapima uvumilivu wa Rais Samia

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kitampima Rais Samia Suluhu Hassan, kuhusu ustahimilivu wake katika masuala ya kisiasa, kwa kufanya mikutano ya hadhara....

Habari za Siasa

Wizara Maliasili yabanwa bungeni

  WIZARA ya Maliasili na Utalii, imejikuta katika wakati mgumu baada ya kuhojiwa kwa nini wananchi wanaoingiza mifugo katika hifadhi za wanyama pori,...

Habari za Siasa

Bilioni 8.4 zatengwa ujenzi mifereji ya maji Mbweni

  SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh.8.4 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa mirefeji ya maji katika maeneo ya Mbweni mkoani Dar es Salaam....

Habari za Siasa

Rais Samia asamehe wafungwa 5,001

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa msamaha kwa wafungwa 5,001 waliokuwa wakikabiliwa na adhabu ya vifungo mbalimbali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

error: Content is protected !!