JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amevunja ukimya kuhusu taratibu za uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufaa na Mahakama Kuu...
By Mwandishi WetuMay 17, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Majaji saba wa Mahakama ya Rufaa na 21 ya Mahakama Kuu ya Tanzania, kwenda kutenda...
By Regina MkondeMay 17, 2021LICHA ya kelele kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa upinzani na wanaharakati nchini Tanzania, kupinga uteuzi wa Biswalo Mganga, kuwa Jaji wa...
By Mwandishi WetuMay 17, 2021LEO Jumatatu, tarehe 17 Mei 2021, Kamati iliyoundwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kufanya tathimini ya ugonjwa wa corona (COVID-19),...
By Masalu ErastoMay 17, 2021WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Uwekezaji nchini Tanzania, Geoffrey Mwambe, amesema wizara yake iko hatua za mwisho kurekebisha Sheria ya Uwekezaji...
By Regina MkondeMay 17, 2021CHAMA cha Alliance For Democratic Change (ADC), kimepongeza hatua ya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kumteua Naibu Katibu Mkuu wao, Queen...
By Regina MkondeMay 17, 2021SUSAN Kiwanga na wenzake wawili, wameshindwa kurithi nafasi ya Halima Mdee ya Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na...
By Regina MkondeMay 17, 2021MBUNGE wa Konde, Zanzibar (ACT-Wazalendo), Khatibu Said Haji, amehoji Serikali inachukua hatua gani, kuwadhibiti manabii wa uongo na waganga wapiga ramli chonganishi...
By Regina MkondeMay 17, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kutetea majimbo ya Buhigwe na Muhambwe mkoani Kigoma, baada ya kushinda kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika jana Jumapili,...
By Mwandishi WetuMay 17, 2021LICHA ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kutotangaza matokeo rasmi ya chaguzi mdogo wa Ubunge wa Buhigwe na Muhambwe, mkoani Kigoma,...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021CHAMA Kikuu cha Upizania nchini Tanzania cha Chadema, kimemshauri Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kutomwapisha Biswalo Mganga, kuwa Jaji wa...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa 26 ya Tanzania Bara. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021ANNA Elisha Mghwira, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro (RC),nchini Tanzania, amewashukuru wananchi wa mkoa huo akisema “nitawakumbuka daima.” Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Mwandishi WetuMay 16, 2021BAADHI ya Wananchi wa Jimbo la Njombe Mjini, wamelazimika kuweka kikao na Mbunge wao, Deo Mwanyika, kujadili namna ya kumaliza changamoto sugu...
By Hamisi MgutaMay 15, 2021SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, ameanza kutimiza ahadi yake ya kuteua wapinzani serikalini, baada ya kumteua Queen Cuthbert Sendiga, kuwa Mkuu...
By Regina MkondeMay 15, 2021KAMATI Tendaji ya Baraza la Wanawake la Chadema (BAWACHA), tarehe 18 Mei 2021, itafanya uchaguzi kujaza nafasi za viongozi wa baraza hilo,...
By Regina MkondeMay 15, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) na Bunge...
By Regina MkondeMay 15, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Jumamosi, tarehe 15 Mei 2021, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na watendaji wakuu wa...
By Mwandishi WetuMay 15, 2021KATIBU Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, ameungana na Baraza la Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA),...
By Regina MkondeMay 15, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemsimamisha kazi Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya ili kupisha uchunguzi wa...
By Mwandishi WetuMay 13, 2021MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani, Tanzania- Chadema-Bara, Tundu Lissu, amekosoa uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kumteua...
By Mwandishi WetuMay 13, 2021BUNGE la Tanzania, limewathibitisha, Mbunge wa Ilala, Mussa Azan Zungu; Mbunge Viti Maalum, Najma Murtaza Giga na Mbunge wa Mufindi Kusini, David...
By Mwandishi WetuMay 12, 2021KADHIA ya malori kutoshusha wala kuoandisha mizigo kwa siku tano mfululizo, imelisukuma Bunge kuahirishwa kwa dakika 20 ili kujadili mkwamo huo. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMay 12, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekwenda nchini Uganda, kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais mteule wa nchi hiyo, Yoweri Museveni. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 12, 2021MHAZINI wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA), katika jimbo la Kawe, Esther Dafi amesema, amesikitishwa na upotoshaji...
By Masalu ErastoMay 11, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Rufani saba, amemuongezea muda Jaji wa Mahakama ya Rufani...
By Mwandishi WetuMay 11, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, ameishauri Serikali ifanye marekebisho ya Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB),...
By Mwandishi WetuMay 11, 2021MBUNGE asiye na chama, Esther Matiko amelishauri Bunge liunde kamati maalum kwa ajili ya kuchunguza miradi ya maji yenye harufu ya ubadhirifu. Anaripoti...
By Regina MkondeMay 10, 2021PROFSA Abdallah Safari, mmoja wa wananasheria mahiri nchini Tanzania, amesema, hatua ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuendelea kuwakingia kifua wabunge 19,...
By Kelvin MwaipunguMay 10, 2021ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, amewataka wakazi wa Jimbo la Buhigwe, Kigoma wasitishike na watu wanaowashinikiza kuchagua mgombea wa Chama Cha...
By Mwandishi WetuMay 10, 2021BARAZA la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limeishauri Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ifanye marekebisho ya Katiba ili nchi...
By Regina MkondeMay 9, 2021MZEE Ali Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, leo Jumamosi, tarehe 8 Mei 2021, ametimiza miaka 96. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 8, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema katika serikali yake, atateua mtu yeyote mwenye uwezi kutoka chama chochote cha siasa ili kujenga...
By Regina MkondeMay 7, 2021SPIKA wa Bunge, Job Ndugai analazimika kutoa maelezo ya mara kwa mara kutokana na ‘mashambulizi’ yanayoelekezwa katika kiti chake, kuhusu kushindwa kuwatimua...
By Regina MkondeMay 7, 2021SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania, ameongoza kikao cha Baraza la Mawaziri. Anaripoti Nasra Bakari, DMC … (endelea). Kikao hicho, kimefanyika leo...
By Mwandishi WetuMay 6, 2021SERIKALI ya Tanzania imeshauriwa kuwapunguzia mzigo wa kodi wafadhili wa miradi ya maji. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Ushauri...
By Regina MkondeMay 6, 2021LICHA ya Kanuni za Bunge la Tanzania, kutaka kuwepo kwa Wenyeviti wa Bunge, mpaka sasa wenyeviti hao hawapo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...
By Mwandishi WetuMay 6, 2021KWA mara ya kwanza, kipindi cha maswali kwa waziri mkuu bungeni nchini Tanzania, kimekosa maswali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Dk....
By Mwandishi WetuMay 6, 2021FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania- Chadema, amempongeza Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, kwa kauli zenye upatanishi...
By Mwandishi WetuMay 6, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewata watu kutolichonganisha Taifa hilo na Kenya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Rais...
By Mwandishi WetuMay 5, 2021MABUNGE ya Kenya leo Jumatano, tarehe 5 Mei 2021, yametawaliwa na vicheko, furaha wakati Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akihutubia. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 5, 2021SERIKALI ya Tanzania, imetenga zaidi ya Sh.1 bilioni kwa ajili ya kuboresha hospitali ya wilaya Kibondo, mkoani Kigoma, ili kuhakikisha wakazi wa...
By Masalu ErastoMay 5, 2021SERIKALI ya Tanzania, imetenga Sh. 6 Bilioni kwa ajili ya kuanza maandalizi ya ujenzi wa barabara ya Handeni – Kiberashi – Kiteto...
By Masalu ErastoMay 5, 2021FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amesema, Halima Mdee, Zitto Kabwe na Shaibu Akwilombe ni miongoni mwa watu...
By Hamisi MgutaMay 5, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia mazingira mazuri wafanyabiashara wa Kenya na Tanzania, akisema upande mmoja kuna uhuru wa kufanyabiashara na...
By Regina MkondeMay 5, 2021TANZANIA imeahidi kuingia kwa miguu miwili katika uwekezaji nchini Kenya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kauli hiyo imetolewa na Rais Samia Suluhu...
By Mwandishi WetuMay 4, 2021RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta amesema, ana matumaini kwa taifa lake na Tanzania kufika mbali kutokana na kuimarika ushirikiano. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Mwandishi WetuMay 4, 2021MAKAKATI umeanza kusukwa ili kuhakikisha Halima Mdee na wenzake 18, wanang’olewa bungeni. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Mkakati huo...
By Regina MkondeMay 4, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewasili salama nchini Kenya. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Ndege ya Shirika la Ndege ya Tanzania...
By Mwandishi WetuMay 4, 2021SHIRIKA lisilo la kiserikali linalotoa msaada wa kisheria (Legal Services Facility-LSF), limeiomba Serikali ya Tanzania, kuondoa sheria zinazokandamiza uhuru wa vyombo vya...
By Hamisi MgutaMay 3, 2021