Friday , 26 April 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya azidi kung’ang’aniwa

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imeelezwa upelelezi kesi ya jinai ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole...

Habari za Siasa

LAAC yabaini ‘madudu’ Chemba na Chamwino, yampa rungu CAG

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), imeishauri Ofisi ya Mthibiti na Mgamuzi Mkuu wa Hesabu za...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na mjenzi bwana la Nyerere

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Ijumaa tarehe 13 Agosti, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais na Mtendaji Mkuu wa...

Habari za Siasa

Msajili wa vyama aitwanga barua Chadema

  OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa Tanzania, imekiandikia barua Chama Kikuu cha Upinzani nchini humo, Chadema, ikikitaka kijieleze juu ya kauli...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe waigeuzia kibao Serikali, Hakimu atoa agizo

  KIONGOZI wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya kina Mbowe kusikilizwa kimtandao

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo Ijumaa tarehe 13 Agosti 2021, inasikiliza kesi ya kiongozi wa chama kikuu...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yawanyooshea kidole Polepole, Askofu Gwajima “subirini matokeo”

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, kimeanza taratibu za kuwachukulia hatua makada wake wanaokwenda kinyume na misimamo ya chama...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaonya gazeti lake Uhuru kisa uchaguzi 2025

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema, kitachukua hatua kali dhidi ya watumishi wa gazeti la Uhuru kwa kuandika habari...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Sabaya: Shahidi amng’akia Wakili wa Sabaya

  MAHAKAMA ya Arusha imeelezwa jinsi mshitakiwa wa tatu, Daniel Bura kwenye kesi ya unyang’anyi inayomkabili, pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya...

Habari za Siasa

CCM yalia miradi ya maendeleo kukwama, yatoa siku 14

  Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimezipa siku 14 kamati za siasa za mikoa na wilaya, kuwasilisha taarifa za ukaguzi wa miradi ya maendeleo...

Habari za Siasa

Mnyika: Rais Samia amepotoshwa

  KATIBU Mkuu wa Chama Kikuu cha Upinzania Tanzania, John Mnyika, amedai kwamba, Rais Samia Suluhu Hassan, amepotoshwa kuhusu sheria inayoruhusu vyama vya...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: NCCR-Mageuzi wamshangaa Rais Samia

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi kimeshangazwa na kauli ya Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan kuhusu mashtaka...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumlalamikia Rais Samia mahakamani

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimedai kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan, dhidi ya mashtaka ya kula njama za...

Habari za Siasa

Rais Samia asema hataki siasa za fujo, awapa masharti wapinzani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka wanasiasa nchini humo kufanya siasa za maendeleo, badala ya kufanya siasa za fujo na vurugu....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ajitosa sakata la Mbowe ‘mahakama itaamua’

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaomba Watanzania na ulimwengu kwa ujumla, kusubiri maamuzi ya mahakama dhidi ya mashtaka yanayomkabili kiongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole, Askofu Gwajima njiapanda CCM

  WAKATI chanjo ya kinga ya ugonjwa wa korona (Uviko-19) ikiendelea kutolewa nchini Tanzanioa, wabunge wawili wa chama tawala- Chama Cha Mapinduzi (CCM),...

Habari za Siasa

Maombi ya kutafuta uhuru wa Mbowe yashika kasi Chadema

  WANACHAMA na wafuasi wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, wameendelea kufanya maombi maalum, ya kumsihi  Mungu aingilie kati kwenye kesi inayomkabili...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yaonyesha njia mapambano dhidi ya Korona

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeishauri Serikali ya Tanzania, iwasilishe  bungeni mpango maalumu wa kunusuru sekta zilizoathirika kiuchumi, kutokana na janga la Ugonjwa wa Korona...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuwafikisha kortini OCD Dodoma, Kigoma

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, kimepanga kiwafikisha mahakamani kwa majina yao, Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) wa Dodoma...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo, Athumani Mbuttuka kuwa Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali. Anaripoti...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe: Hakimu amkunjulia makucha DPP

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imeitaka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kuharakisha taratibu za...

Habari za Siasa

Walinzi wa Mbowe wasomewa mashtaka kumiliki silaha, sare za jeshi

  HALFAN Bwire Hassan, mlinzi wa Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, amesomewa shtaka la kumiliki sare na jeshi kinyume cha sheria....

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yajitosa kesi ya Mbowe, kutuma mawakili 5

  CHAMA cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi, kimesema kitatuma mawakili wake watano waandamizi wakiongozwa na Boniface Mwambukusi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wasomewa mashtaka upya, DPP hajakamilisha taratibu

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzania nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamesomewa upya mashtaka katika kesi ya ugaidi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe afikishwa Kisutu, ulinzi waimalishwa

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini...

Habari za SiasaTangulizi

EU, Marekani, Canada, Uswisi zajitosa kesi ya Mbowe

  JUMUIYA za Kimataifa zimejitosa katika kesi ya ugaidi, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi yawakamata wafuasi wa Chadema Kisutu

  BAADHI ya wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekamatwa na Polisi Tanzania nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Mtandao wakwamisha kesi ya Mbowe, Hakimu atoa maagizo

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imetoa amri ya kufikishwa mahakamani hapo kesho Ijumaa tarehe 6 Agosti 2021, saa...

Habari za Siasa

Diwani CCM Dar afariki dunia, kuzikwa Kisarawe

  DIWANI wa Buyuni (CCM), Wilaya ya Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam, Karimu Madenge amefariki dunia jana Jumatano, tarehe 4 Agosti 2021,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe kusikilizwa kimtandao akiwa gerezani

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, inasikiliza kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema,...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua TCAA

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua, Mtumwa Khatib Ameir kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania...

Habari za Siasa

NEC : Jimbo la Konde liko wazi

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza Jimbo la Konde visiwani Zanzibar, liko wazi baada ya mbunge wake mteule kupitia Chama Cha...

Habari za Siasa

Bunge: Wabunge Tanzania wanalipa kodi

  OFISI ya Bunge la Tanzania imesema, wabunge kama ilivyo kwa watumishi wengine wa umma na viongozi wa kisiasa nchini humo, wanakatwa kodi...

Habari za SiasaTangulizi

Bavicha wamjibu IGP Sirro kwa hoja

  BARAZA la Vijana la chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Chadema (Bavicha), limedai kauli ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Sirro,...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo watoa neno kujiuzulu Mbunge wa CCM

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema kinasubiri taarifa rasmi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kuhusu kujiuzulu kwa Mbunge mteule wa Konde, visiwani...

Habari za SiasaTangulizi

IGP Sirro azungumzia tuhuma za Mbowe, atoa onyo

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania (IGP), Simon Sirro amekitaka chama kikuu cha upinzani nchini humo, Chadema na wadau wengine, kuiachia mahakamana...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM atangaza kujizulu

  SHEHA Mpemba Faki, Mbunge mteule wa Konde Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amejiuzulu nafasi hiyo ikiwa ni siku 15, tangu alipotangazwa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ateua Ma- DED

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Jiji, Manispaa,Miji na Wilaya. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Mapendekezo mapya tozo za simu yamfikia Majaliwa

  HATIMA ya kufutwa au kupunguzwa kwa tozo ya miaka ya mitandao ya simu itajulikana wakati wowote kuanzia sasa, baada ya kamati iliyoundwa...

Habari za Siasa

Rais Samia ziarani Rwanda

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kesho Jumatatu tarehe 2 Agosti, 2021, anafanya ziara ya rasmi ya Kiserikali ya siku mbili nchini...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo njia panda Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimedai kwamba Serikali ya Zanzibar, chini ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , inakwenda kinyume na maridhiano yao ya kuanzisha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamuomba Rais Samia amfutie mashtaka ya ugaidi Mbowe

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, amuagize Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu, amuondolee mashtaka ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mambo matano yanayotajwa kuporomosha umaarufu wa Rais Samia

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano, Samia Suluhu Hassan, anakabiliwa na kibarua kigumu cha kujisafisha kwenye mioyo ya wananchi na jumuiya ya kimataifa,...

Habari za SiasaTangulizi

Madeni yaitesa ATCL

  SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL), limesema changamoto ya mrundikano wa madeni inaathiri utendaji wake na kusababisha lijiendeshe kwa hasraa. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua mrithi wa Mfugale Tanroads

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amemteua Rogatus Hussein Mativila, kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), akichukua mikoba ya Mhandisi Patrick...

Habari za Siasa

Samia aendelea kupanga safu ya uongozi CCM

  MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameendelea kupanga safu ya uongozi wa chama hicho, tangu alipokabidhiwa wadhifa huo, mwishoni...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi ateua makatibu wakuu wannne

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameteua makatibu wakuu wanne, wa wizara na taasisi mbalimbali visiwani humo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati Kuu CCM yaagiza watovu wa nidhamu washughulikiwe

  KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imeelekeza makada wake wanaokiuka mienendo na maadili ya chama hicho, wachukuliwe hatua za kinidhamu. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Mbowe latua Marekani, Tume ya AU yatoa tamko

  BARAZA la Wanawake la Chadema (Bawacha), limeiandikia barua Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania, likiitaka uingilie kati tukio la kushikiliwa kwa Mwenyekiti wa...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi awaita wadau katika mapambano ukatili wa kijinsia

  RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameziomba Asasi za Kiraia  na Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), ziunge mkono...

error: Content is protected !!