Friday , 19 April 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia atoa milioni 500 ujenzi wa kituo cha afya Narungombe

  Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameshirikiana na wananchi kusafisha eneo ambalo litajengwa kituo cha Afya Katika kata ya Narungombe, Ruangwa mkoani...

Habari za Siasa

Wabunge waibana Serikali ahadi za Magufuli

  SERIKALI imesema itatekeleza ahadi zote zilizotolewa na Rais wa awamu ya tano hayati Dk. John  Magufuli  ikiwemo ujenzi wa miundombinu ya barabara...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yaunguruma Mahakama ya ufisadi 

  KESI ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kula njama za kufanya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, inaendelea kusikilizwa...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima, Silaa na Polepole wafika kuhojiwa CCM

  WABUNGE wa Chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima wa Kawe, Jerry Silaa wa Ukonga na Humphrey Polepole...

Habari za SiasaTangulizi

CCM kuwahoji Askofu Gwajima, Polepole na Silaa

  WABUNGE watatu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), watawekwa ‘kitimoto’ na Kamati ya Maadili ya chama hicho, juu ya...

Habari za Siasa

Mkurugenzi Temeke aanza kiguu na njia mahakamani

  UPELELEZI katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke (DED), mkoani Dar es Salaam, Lusubilo Mwakabibi na Mratibu...

Habari za Siasa

Dk. Samizi akumbusha ahadi ya Hayati Magufuli bungeni

  MBUNGE wa Muhambwe mkoani Kigoma (CCM), Dk. Florence Samizi, ameihoji Serikali lini itatekeleza ahadi ya ujenzi wa Kituo cha Afya, cha Kata...

Habari za Siasa

Mafao ya wastaafu, vitambulisho vya NIDA vyaibuliwa bungeni

  WABUNGE wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), wamehoji mikakati ya Serikali kutokomeza changamoto ya ucheleweshaji wa mafao ya wastaafu...

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee ambana Majaliwa bungeni kuhusu UVIKO-19

  MBUNGE viti maalum (asiye na chama bungeni), Halima Mdee, amehoji mikakati ya ziada ya Serikali katika kukabiliana na Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19)....

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima akwepa swali la Rais Samia

  Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima (CCM) amekwepa kujibu swali la Rais Samia Suluhu Hassan kwamba atachaja au hachanji chajo ya Corona...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na Angela Merkel, aahidi kutoa chanjo ya corona

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo kwa simu na Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe na wenzake, wazidi kuikomalia serikali

KESI ya ugaidi, inayomkabili mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu, imepangwa kusikiliza Ijumaa wiki hii. Anaripoti...

Habari za Siasa

Bilioni 63 zakusanywa tozo miamala ya simu

  SERIKALI imesema tangu tozo za miamala ya simu ianze kukusanywa tayari zimepatikana Sh. 63 bilioni hadi kufiki tarehe 30 Agosti, mwaka huu....

Habari za SiasaTangulizi

Mwigulu: Wamiliki wa nyumba msihamishie mzigo kwa wapangaji

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amewataka wamiliki nyumbaamewataka wasihamishie mzigo wa kodi ya majengo kwa wapangaji na badala yake...

Habari za SiasaTangulizi

Pingamizi la Mbowe, wenzake katika kesi ya ugaidi lagonga mwamba

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano Dar es Salaam,  imetupilia mbali pingamizi la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari za Siasa

Halima Mdee amponza Askofu Gwajima bungeni

  MBUNGE wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu, ameshangazwa na kitendo cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutomchukulia hatua Mbunge wake wa Kawe, Askofu Josephat...

Habari za Siasa

Watumishi walioondolewa kazini kimamkosa walipwa Sh. bilioni 2.6

  SERIKALI ya Tanzania, imelipa madai ya mishahara kiasi cha Sh. 2.6 bilioni, kwa watumishi 1,643, walioondolewa katika orodha ya malipo ya mishahara...

Habari za Siasa

Zitto aomba ushirikiano ukaguzi vitabu vya TCD

  MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Zitto Kabwe amekiomba Kituo cha sheria na Haki za binadamu (LHRC) kusaidia kupata mkaguzi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake waweka pingamizi kesi ya ugaidi

  MAWAKILI wanaomtetea Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, katika kesi ya kula njama za kufanya ugaidi, wameweka pingamizi kwa Mahakama Kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wamkaanga Askofu Gwajima, Silaa

  SAA chache baada ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kutoa azimio la kuwasimamisha mikutano miwili wabunge wa...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lawatia kifungoni Askofu Gwajima, Silaa hadi 2022

  WABUNGE  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima (Kawe) na Jerry Silaa (Ukonga), wamepewa adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili mfululizo  ya...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lamtia hatiani Gwajima

  KAMATI ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, leo tarehe 31 Agosti, 2021, imemtia hatiani Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima (CCM)...

Habari za SiasaTangulizi

Kamati ya Bunge yapendekeza Jerry Silaa avuliwe ubunge wa PAP 

  KAMATI ya Haki,  Maadili na Madaraka ya Bunge, imemkuta na hatia Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa, katika tuhuma za kudharau mhimili...

Habari za Siasa

CAG kutumia maabara kufanya ukaguzi, uchunguzi

  MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) nchini Tanzania ameanza mchakato wa kutumia maabara katika kufanya kaguzi mbalimbali za maendeleo...

Habari za SiasaTangulizi

Hatima tozo miamala ya simu kujulikana leo

  HATIMA ya gharama za tozo ya miamala ya simu kupungua au kubaki kama zilivyo itafahamika leo Jumanne tarehe 31 Agosti 2021. Anaripoti...

Habari za Siasa

Majaliwa azindua ofisi za polisi zenye thamani ya Sh bilioni 1.3

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 30, 2021 amefungua majengo ya Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Singida na Ofisi za Mkuu...

Habari za Siasa

Sh bilioni 1.3 kukamilisha mradi wa maji Dodoma

  SERIKALI imetoa kiasi cha Sh. bilioni 1.3 kukamilisha mradi wa maji kwa wakazi wa Njendengwa, Ihumwa, Nzuguni, Nyumba miatatu, Iyumbu, soko kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Wafuasi Chadema waangua kilio Mbowe akirudishwa rumande

  WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wameangua kilio wakati mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, akirudishwa rumande katika gereza la Ukonga, anakoshikiliwa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaweka mapingamizi kesi ya Mbowe

  SERIKALI ya Tanzania, imeweka mapingamizi manne katika kesi ya kikatiba, iliyofunguliwa na Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akipinga utaratibu uliotumika kumkamata...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama vya upinzani vyavutana ushiriki chaguzi ndogo

  VYAMA vya siasa vya upinzani nchini Tanzania, vimevutana katika kushiriki chaguzi ndogo za ubunge zinazotarajiwa kufanyika tarehe 9 Oktoba 2021, katika majimbo...

Habari za Siasa

Wapinzani wataka IGP Sirro ajiuzulu

  VYAMA vya Upinzani nchini Tanzania, vimelaani kauli ya Inspekta Jenerali wa Polisi nchini humo, IGP Simon Sirro, dhidi ya familia ya Hamza...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyeshindwa ubunge Mkuranga, arudi kushukuru

ALIYEKUWA mgombea Ubunge wa Mkuranga (ACT-Wazalendo), Mkoa wa Pwani, Mhandisi Mohamed Mtambo, amerejea jimboni kuwashukuru wananchi kwa ushirikiano waliompa wakati wa kampeni za...

Habari za Siasa

Serikali ya Tanzania yafikishwa mahakamani

  ASASI za kiraia nchini Tanzania, zimeifikisha katika Mahakama ya Afrika Mashariki serikali ya nchi hiyo kwa kukiuka amri halali ya Mahakama. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia atoa ya moyoni “Rais Samia anahujumiwa”

  MWENYEKITI wa chama cha siasa cha upinzania nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia amemwomba Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan kuwa...

Habari za Siasa

Serikali ya Tanzania: Wananchi 300,000 wamechanjwa

  SERIKALI ya Tanzania imesema, jumla ya wananchi wake 300,000 wamepata chanjo ya kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19). Anaripoti Patricia...

Habari za SiasaTangulizi

Polisi wadaiwa kuzuia kikao cha kamati kuu NCCR-Mageuzi

  JESHI la Polisi Ilala, Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, limezuia kikao cha kamati kuu ya chama cha siasa cha...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi ubunge Konde, Ushetu Oktoba 9

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza uchaguzi wa marudio wa ubunge katika majimbo ya Konde mkoa wa Kaskazini Pemba na Ushetu...

Habari za SiasaTangulizi

Jerry Silaa ataja sababu 3 kuikacha kamati ya Bunge

  MBUNGE wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa ametaja sababu tatu, ikiwemo kwenda kwenye mazishi jijini Arusha na kutokuwa sawa kiafya, zilizomfanya jana Alhamisi,...

Habari za Siasa

Majaliwa maagizo kambi ya wakimbizi Tanganyika

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wakazi wanaoishi katika makazi ya wakimbizi ya Mishamo Wilayani Tanganyika kuimarisha ulinzi na usalama katika...

Habari za Siasa

Jerry Silaa aingia mitini, kamati yataka Polisi wamkamate

  KAMATI ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge, imeomba kibali kutoka kwa Spika Job Ndugai, cha kumkamata Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza uchunguzi tukio mauaji Dar

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameliagiza Jeshi la Polisi nchini humo, lifanye uchunguzi wa kina kuhusu tukio la mauaji ya watu...

Habari za SiasaTangulizi

Askou Gwajima agoma kukaa, ahojiwa akiwa amesimama wima

  MBUNGE wa Kawe, mkoani Dar es Salaam (CCM), Josephat Gwajima, ameendeleza mgomo wake wa kutotumia viti alivyopangiwa kutumia, wakati akihojiwa na Kamati...

Habari za Siasa

Aibu mtuhumiwa kufia mikononi mwa polisi- Rais Samia

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kuacha kutumia nguvu kubwa katika utekelezaji wa majukumu yake ili kuondoka na aibu...

Habari za Siasa

Polisi shirikianeni na wananchi kubaini magaidi – Rais Samia

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameliagiza Jeshi la Polisi, lishirikiane na raia katika kuwabaini watu wanaojihusisha na vitendo vya ugaidi. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aagiza kesi zisizo na ushahidi zifutwe

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi nchini humo kurekebisha sheria ya kuweka mtu mahabusu pamoja na kufuta kesi ambazo...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi mkuu 2025: Tume ya taifa ya uchaguzi Tanzania kufumuliwa

  MUUNDO wa sasa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), uko mbioni kufanyiwa marekebisho makubwa ya kisheria, baada ya kuibuka malalamiko kutoka...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yamshangaza Askofu Shoo, akumbushia maandamano Ukuta

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Frederick Shoo, ameziomba mamlaka nchini Tanzania zitende haki katika kesi ya uhujumu...

Habari za SiasaTangulizi

Hukumu ya Sabaya, wenzake Oktoba mosi

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imepanga tarehe 1 Oktoba 2021, kutoa hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha, Na. 105/2021, inayomkabili...

Habari za Siasa

Askofu Gwajima atoa mpya bungeni

  MBUNGE wa Kawe,kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima, amegoma kutumia kiti na kipaza sauti, vilivyopangwa kwa ajili ya kutumia akihojiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima, Jerry Silaa waondolewa kwenye kamati

  ASKOFU Josephat Gwajima ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kawe na Jerry Silaa wa Jimbo la Ukonga mkoani Dar es Salaam kupitia...

error: Content is protected !!