Friday , 19 April 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Wassira, Butiku wanavyomkumbuka Mwalimu Nyerere

  MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Stephen Wasira amemuelezea Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere alikuwa kiongozi...

Habari za Siasa

Mzee Mangula ahimiza vikao kufanya maamuzi

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapiduzi (CCM), Mzee Phillip Mangula, amesema vikao ni muhimu katika kutafuta makubaliano na kujenga umoja. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba akemea ubaguzi wa kivyama, ataka amani isiingiliwe 

  MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Jaji Joseph Sinde Warioba, amekemea watu wanaotaka kuleta ubaguzi katika ukabila, udini, ukanda na uvyama, akisema wanahatarisha amani...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamtega Msajili wa vyama

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitashiriki vikao vya majadiliano ya wadau wa vyama vya siasa, vilivyoitishwa na Msajili wa Vyama...

Habari za SiasaTangulizi

Nape: Tumuongezee muda Rais Samia hadi 2030

  MBUNGE wa Mtama mkoani Lindi, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amempigia chapuo Rais Samia Suluhu Hassan, akitaka aongezewe muda wa kuiongoza Tanzania...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: Muda alioomba Rais Samia unatosha, sasa katiba mpya

  CHAMA cha siasa nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo kimesema, muda ulioombwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuachwa ili kuijenga nchi kiuchumi umetosha na...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yatoa sababu kushiriki chaguzi

  BAADA ya chama cha siasa nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo kuibuka washindi wa Jimbo la Konde-Pemba visiwani Zanzibar, chama hicho kimetosa sababu kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Ukilikoroga nakutumbua bila kutazama kabila, Ma-RC miungu watu dawa yachemka

  RAIS SAMIA Suluhu Hassan ameonya watumishi aliowateua kuacha kueneza sumu ya ukabila pindi wanapokosea na kutumbuliwa kwa sababu hateui kwa kuzingatia ukabila....

Habari za Siasa

Jaji Siyani aapishwa, akabidhiwa majukumu

  JAJI Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapha Siyani, amekabidhiwa rasmi majukumu yake mapya baada ya kuapishwa na Rais Samia Suluhu Hassan,...

Habari za Siasa

Rais Samia awaapisha RC Shinyanga, Jaji kiongozi, Jaji Mahakama ya rufani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaapisha viongozi watatu aliowateua tarehe 8 Oktoba 2021. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za Siasa

Waziri Mchengerwa aonya mavazi yasiyo rasmi, matumizi ya simu ofisini

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora nchini Tanzania, Mohamed Mchengerwa amewataka watumishi wa umma...

Habari za Siasa

Waliotemwa uwaziri, wapangiwa kamati za Bunge, Polepole ‘avuliwa’ uongozi

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amefanya mabadiliko madogo ya wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge huku akiwapangia kamati waliokuwa...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua RC, Jaji kesi ya kina Mbowe

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Jaji Mustapha Siyani kuwa Jaji Kiongozi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Dk. Mwinyi atoboa siri ndege za ATCL kupokewa Zanzibar

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Visiwani humo, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema uamuzi wa mapokezi ya ndege mbili...

Habari za Siasa

Uchaguzi mdogo: NEC yapiga marufuku wapiga kura kubaki vituoni

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imewataka wapiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge na udiwani, unaotarajiwa kufanyika kesho Jumamosi, kutofanya mikusanyiko...

Habari za Siasa

Dk. Mpango ampa mitihani minne Profesa Kitila

  Makamu wa Rais, Dk. Philip Mpango amemuagiza Waziri ya viwanda na biashara, Prof. Kitila Mkumbo pamoja na Shirikisho la wenye Viwanda nchini...

Habari za Siasa

Msajili awalima barua TCD, waahirisha kongamano

  KONGAMANO la haki, amani na maridhiano lililokuwa lifanyike tarehe 21-23 Oktoba 2021, ambalo linaandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) limeahirishwa. Anaripoti...

Habari za Siasa

Majaliwa agoma kufungua barabara Liwale, atoa maagizo

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekataa kufungua barabara ya lami yenye urefu wa kilomita 1.2 iliyoko katika halmashauri ya wilaya ya...

Habari za Siasa

Spika Ndugai: Nilitaka kuwa hakimu, headmaster alinifukuza

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema alikuwa na ndoto ya kuwa hakimu kama alivyokuwa baba yake...

AfyaHabari za Siasa

Majaliwa awatolea uvivu watumishi wazembe

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, haitawavumilia watumishi wa umma...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza majaji kushughulikia ubora maamuzi mahakama za mwanzo

  RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Jaji Mkuu na Kaimu Jaji Kiongozi kutupia jicho vizuri usimamizi wa ubora wa maamuzi kwenye mahakama za...

Habari za Siasa

Profesa Assad awananga viongozi ‘mazuzu’

  PROFESA Mussa Assad, aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Tanzania (CAG) amekerwa na viongozi wenye uwezo wa...

Habari za SiasaTangulizi

Profesa Assad: Niliondolewa CAG bila utaratibu

  PROFESA Mussa Assad, aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Tanzania (CAG) amesema, aliondolewa katika wadhifa wa U...

Habari za SiasaTangulizi

Membe amfagilia Rais Samia, ampa ujumbe Majaliwa

  ALIYEWAHI kuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, Bernard Membe amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi jasiri na mahiri, anatosha...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na bosi wa BADEA

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Kiarabu ya Maendeleo ya Uchumi Afrika (BADEA),...

Habari za Siasa

Chadema watinga kwa msajili wafuasi wake kukamatwa, ajibu

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Pwani nchini Tanzania, kimemuomba Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, aingilie...

Habari za Siasa

Majaliwa aziagiza wizara, halmashauri ziimarishe mazingira uchumi shirikishi

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameziagiza wizara, halmashauri na taasisi za Serikali na binafsi, ziimarishe mazingira ya uchumi shirikishi ili kukuza kipato cha...

Habari za Siasa

Kisa wafuasi wao kushikiliwa, Chadema watinga mahakamani

  WANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamewasilisha maombi katika Mahakama Kuu ya Tanzania, kuiomba itoe amri ili wafuasi wake wanaoshikiliwa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto ampa ujumbe Jaji Mutungi ‘busara itumike’

  MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Zitto Kabwe amemshauri Msajili wa vyama vya siasa nchini humo, Jaji Francis Mutungi kutoingilia ratiba...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awaahidi neema Skauti, awapa ujumbe

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema katika kipindi chake cha uongozi, atahakikisha anaimarisha chama cha Skauti nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Wazee ACT-Wazalendo waomba kuonana na Rais Samia

  NGOME ya Wazee wa Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, imeomba kuonana na Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, ili kuzungumza changamoto...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Taasisi ya Mwalimu Nyerere yapewa zigo kuponya Taifa, wanasiasa watoa nyongo

  TAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) nchini Tanzania, imeombwa kuandaa kikao cha mariadhiano ambacho kitawakutananisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa nchini ili...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa asimulia Ole Nasha alivyofikwa na mauti

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema kifo cha aliyekuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, William Tate Ole Nasha, kilichotokea...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya kusuka, kunyoa kesho

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania, kesho Ijumaa tarehe 1 Oktoba 2021, itatoa hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha,...

Habari za Siasa

Serikali yakamilisha muongozo wa misamaha ya kodi kwa NGO’s

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeshakamilisha kitini kinachotoa muongozo wa namna mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO’s) yatanufaika na misamaha ya kodi....

Habari za Siasa

Rais Samia atoa mitihani mitano kwa NGO’s

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa mitihani mitano kwa mashirika yasiyo ya kiserikali nchini ikiwamo kuoanisha mipango yao na vipaumbele na mipango ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wezake: Mke wa mshtakiwa ‘tuliwatafuta waume zetu hadi mochwari hatukuwaona’

  LILIAN Furaha Kibona, mke wa mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumi Uchumi, Dar...

Habari za Siasa

Rais Samia akutana tena na Tony Blair

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu wa Uingereza, Tony Blair. Anaripoti Wiston Josia, TUDARCo...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri ilivyomhoji mke wa mshtakiwa kuhusu Mbowe

  LILIAN Furaha Kibona, mke wa mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa, kwenye kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi kesi ndogo Mbowe, wenzake 19 Oktoba

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha usikilizwa wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wenzake; Mke wa mshtakiwa aanza kutoa ushahidi, walivunja mlango!

  MKE wa mshtakiwa Adam Kasekwa ambaye ni shahidi wa tatu wa utetezi, Lilian Kibona, ameanza kutoa ushahidi wake katika Mahakama ya Uhujumu...

Habari za Siasa

Rais Samia: Mwanamke sio mtu wa daraja la pili

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameliomba Kanisa la Anglikana Tanzania kuunga mkono dhamira ya Serikali katika kuwainua wanawake kijamii, kiuchumi, kisiasa na kupambana...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wenzake yaibua mapya

  KESI ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, imechukua sura mpya baada ya taarifa za washtakuwa wawili kukinzana...

Habari za SiasaTangulizi

Naibu waziri afariki dunia, Rais Samia amlilia

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia, Bunge na wananchi kufuatia kifo cha William Tate Ole Nasha. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua viongozi watatu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wajumbe watatu kujaza nafasi katika Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC). Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Mshtakiwa alivyomaliza kujitetea kesi ya Mbowe, wenzake

  ADAM Kasekwa, mshtakiwa wa pili katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake,...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Wanaosema huyu mama hamna kitu, nitaongea nao kwa kalamu

  KWA mara ya pili Rais Samia Suluhu Hassan amewakemea watumishi wanaodhani kuwa yeye ni mpole na kurudia kusisitiza kuwa ataongea nao kwa...

AfyaElimuHabari za Siasa

Serikali kujenga madarasa 15,000, vituo vya afya 250

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kuna fedha ambayo ameipata na sasa anatarajia kushirikiana na halmashauri zenye uwezo kifedha kujenga madarasa 15,000 nchi...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi kina Mbowe: Mshtakiwa apata kigugumizi

  ADAM Kasekwa, mshtakiwa wa pili katika kesi ndogo ya kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, amepata...

Habari za Siasa

Rais Samia atua Dodoma, apewa zawadi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili Jijini Dodoma akitokea mkoani Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Rais Samia...

error: Content is protected !!