Friday , 29 March 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Mgao wa maji, umeme Tanzania: Ni mwendo wa matamko

  MJADALA juu ya mgawo wa umeme na uhaba wa maji, umeiweka Serikali ya Tanzania njia panda, baada ya baadhi ya viongozi wake...

Habari za Siasa

Rais Samia asisitiza utafiti chanzo kanda ya ziwa kuongoza kwa saratani

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee, Watoto na Walemavu kushirikiana na Hospitali ya Kanda ya...

Habari za Siasa

Rais Samia: Chanzo uhaba maji ni uhujumu wa makusudi

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema mojawapo ya chanzo cha uhaba wa maji jijini Dar es Salaam ni watu kujenga blocks ‘vizuizi’ kwenye...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yaahirishwa hadi J3, Jaji asema…

  JOACHIM Tiganga, Jaji anayesikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, ameiahirisha hadi Jumatatu, tarehe 22 Novemba...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe wanavyochuana kortini

  MAWAKILI wa pande mbili katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wanachuana katika pingamizi la utetezi...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wapewa ‘diary’ ya shahidi, kesi yaendelea

  UPANDE wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umepewa ‘diary’ aliyokutwa nayo kizimbani shahidi...

Habari za SiasaTangulizi

Pingamizi 7 kina Mbowe latupwa, shahidi aliyekutwa na diary apeta

  PINGAMIZI la utetezi dhidi ya kumkataa shahidi wa Jamhuri katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, limetupiliwa mbali...

Habari za Siasa

Mvutano wa hoja za mawakili waahirisha uamuzi kesi kina Mbowe

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi iliyopo Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imeahirisha kutoa uamuzi madogo katika kesi...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe: Hatima shahidi aliyekuwa na ‘diary’ leo

MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, leo Jumanne, tarehe 16 Novemba 2021, itatoa uamuzo mdogo...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa Mbowe, jamhuri wavutana kuenguliwa shahidi

  MAWAKILI wa utetezi na jamhuri katika kesi ya makosa ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wameonesha umwamba wa...

Habari za Siasa

Rais Samia ataka vita dhidi ya ugaidi kuwekewa mkazo

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka makamanda wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kuijadili changamoto ya ugaidi na kuzidi kuimarisha weledi katika mapambano...

Habari za SiasaTangulizi

Pingamizi jingine la kina Mbowe latupwa

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imekubali kupokea barua inayomthibitisha Askari Mpelelezi, Ricardo Msemwa, kuwa...

Habari za Siasa

CUF kwazidi kufukuta, kufikishana kortini

  JUMUIYA ya Wanawake ya chama cha upinzani nchini Tanzania- Chama cha Wananchi (JUKECUF), imekiomba chama kuwafungulia kesi wanachama waliofukuzwa kwa madai ya...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda kufikishwa kortini

  ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Paul Christian Makonda, anatarajiwa kufikishwa mahakamani, wakati wowote kuanzia sasa. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

LIVE- Rais Samia anazindua Chuo cha Ulinzi

AMIRI Jeshi Mkuu wa Majenzi ya Ulinzi na Usalama nchini Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumapili, tarehe 14 Novemba 2021, anazindua Chuo...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua 8, yumo bosi wa zamani SSRA

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi nane akiwemo bosi wa zamani wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya...

Habari za Siasa

Kilichomkuta Maalim Seif CUF, chamnyemelea Prof. Lipumba

  WALIOKUWA wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi (CUF), wanatarajia kuwasilisha barua ya kukataa rufaa kupinga kutimuliwa, kwa Msajili wa Vyama...

Habari za SiasaTangulizi

MIAKA 60 UHURU: Shibuda atema nyongo hali ya kisiasa Tanzania

  ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania, John Shibuda amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aimarishe hali ya kisiasa na kidemokrasia...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia aitaka Serikali itoke mafichoni mgawo wa maji, wamachinga

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ameiomba Serikali itoke hadharani, ili itoe majibu dhidi ya changamoto za mgawo maji na sakata...

Habari za Siasa

Rais Samia arejea Tanzania

  SAMIA Suluhu Hassan, Rais wa Tanzania amemaliza ziara yake ya siku tatu nchini Misri na kurejea nchini mwake leo Ijumaa, tarehe 12...

Habari za Siasa

Bajeti 2022/23 ya Tanzania, watendaji wapewa maagizo 6

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa maagizo sita muhimu ambayo yanatakiwa kuzingatiwa kikamilifu na viongozi na watendaji wote wa Serikali wakati...

Habari za Siasa

Tanzania yazitengea benki trilioni 1 zishushe riba

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga Sh.1 trilioni kwa ajili ya mikopo kwa mabenki na taasisi za fedha kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa Mbowe wamkataa shahidi, waweka pingamizi tena

  MAWAKILI wa utetezi katika mashtaka ya ugaidi yanayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamepinga kupokelewa kwa barua inayomthibitisha askari...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa Mbowe wamkataa shahidi, waweka pingamizi tena

  MAWAKILI wa utetezi katika mashtaka ya ugaidi yanayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamepinga kupokelewa kwa barua inayomthibitisha askari...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Askari Msemwa aeleza alivyowapokea Kasekwa, Ling’wenya

  ASKARI Mpelelezi (Detective Constable-DC), Ricardo Msemwa, shahidi wa Jamhuri, katika kesi ndogo ya kupinga maelezo ya onyo ya mshtakiwa wa tatu, Mohammed...

Habari za Siasa

Miezi tisa: Watoto 6,168 wafanyiwa ukatili Tanzania

  WIZARA ya Mambo ya Ndani nchini Tanzania, imesema kuanzia Januari hadi Septemba 2021, takwimu ya vitendo vya ukatili kwa watoto vilivyoripotiwa vituo...

Habari za Siasa

Waziri Makamba azungumzia uhaba dizeli, petroli

  WAZIRI wa Nishati nchini Tanzania, January Makamba amesema, mafuta ya dizeli yaliyopo kwenye matenki yanatosheleza kwa siku 24 huku petrol ikiwa ya...

Habari za Siasa

Dk. Nchemba: Tanzania haitoacha kukopa

  WAZIRI wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba  amesema serikali haiwezi kukwepa kukopa fedha kutoka nje ya nchi kwa kuwa bado inaendelea na...

Habari za Siasa

Mbunge ambana Majaliwa mpango kuwainua wanaume kiuchumi

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali haijafikiria kuanzisha mifuko ya kuwainua wanaume kiuchumi kwa kuwa wigo wa kupata mikopo upo lakini Serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yaelezwa sababu mwenzake Mbowe kuhamishiwa Kituo cha Polisi Mbweni

  MKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wilayani Arumeru, Arusha, SP Jumanne Malangahe, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe washinda pingamizi la pili

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imekataa kupokea kitabu cha kumbumbuku za mahabusu,...

Habari za SiasaTangulizi

Kitabu cha mahabusu chaahirisha kesi ya Mbowe

  KITABU cha mahabusu cha Kituo kikuu cha Polisi cha Dar es Salaam, kinachoonesha taarifa za Mohammed Abdillah Ling’wenya, kuwekwa katika mahabusu ya...

Habari za Siasa

Aweso: Fedha, mabadiliko tabianchi kikwazo sekta ya maji

  WAZIRI wa Maji, Jumaa Awesso amesema licha ya kwamba wizara hiyo imepiga hatua kubwa tanguTanganyika ipate uhuru mwaka 1961, changamoto ya ukosefu...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee aibana Serikali takwimu za Corona, Dk. Mollel ampa makavu

  MBUNGE wa Viti Maalum, Halima Mdee ameitaka Serikali kutoa takwimu sahihi kuhusu Watanzania waliofariki kutokana na maambukizi ya homa ya mapafu COVID-...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wapinga kitabu cha mahabusu

  MAWAKILI wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wameweka pingamizi dhidi ya kitabu cha...

Habari za SiasaTangulizi

Waliofukuzwa CUF watema nyongo

  SIKU moja baada ya Baraza Kuu la Chama Cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, kuwafukuza wanachama wake nane kwa tuhuma mbalimbali, wahusika wamepanga...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ndogo ya Mbowe yaanza, Jamhuri kutumia mashahidi sita na vielelezo 4

  KESI ndogo ndani ya kesi ya msingi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, imeanza kusikilizwa, Mahakama Kuu, Divisheni...

Habari za Siasa

Rais Samia aondoka Tanzania kwenda Misri

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini humo kwenda Cairo, Misri kwa ajili ya ziara ya kiserikali ya siku tatu. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mapingamizi yatawala kesi ya Mbowe, wenzake

  MAPINGAMIZI yametawala katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, tangu ilipoanza kusikilizwa katika Mahakama Kuu, Divisheni...

Habari za Siasa

Mahakama yaelezwa Mbowe alivyogoma kuandika maelezo polisi

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi, Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imeelezwa namna Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe,...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Mahakama yatupa pingamizi lingine la kina Mbowe

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, imekubali kupokea hati ya ukamataji mali wa washtakiwa Adam Kasekwa na Mohammed...

Habari za SiasaTangulizi

Hati ya ukamatiji yaibu mvutano kesi ya Mbowe, yaahirishwa

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, imeahirisha usililizwaji wa kesi inayomkabili, Mwenyekiti wa Chadema,...

Habari za Siasa

Watanzania wanaoishi nje watumia trilioni 3.2, wanunua nyumba 135

  SERIKALI imesema idadi ya Watanzania wapatao milioni 1.2 wanaoishi nje ya nchi kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita, wametuma nchini kupitia mifumo...

Habari za Siasa

CCM yapangua makatibu mikoa, wilaya

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi kimeendelea kujisuka upya kiuongozi baada ya kupanga-pangua makatibu wa mikoa na wilaya nchi nzima. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyewapekua wenzake Mbowe afunguka mahakamani

  AFISA wa Polisi nchini Tanzania, Jumanne Malangahe, ametoa ushahidi wake katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wapinga hati ya ukamataji, Jaji aahirisha kesi

  UPANDE wa utetezi, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wameipinga hati ya kukamatwa watuhumiwa wawili...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Zitto achokonoa upya sheria za madini

  MAJUZI, Waziri wa Madini nchini Tanzania, Dotto Biteko ameainisha uwekezaji wa miradi mipya mikubwa mitatu inayoanza kufanyiwa uwekezaji nchini. Anaandika Zitto Kabwe,...

Habari za Siasa

Msajili ailima barua NCCR-Mageuzi, yamjibu na kusema…

  MVUTANO kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania na Chama cha NCCR-Mageuzi umeanza upya, hivyo ndivyo unaweza kusema....

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mkuu wa upelelezi Arumeru anaeleza alichoshuhudia

  AFISA wa Polisi nchini Tanzania, Jumanne Malangahe, ameanza kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa...

Habari za Siasa

Kamati Kuu maalum CCM yakutaka Ikulu

  KAMATI kuu maalum ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), imekutana leo Jumapili, tarehe 7 Novemba 2021, Ikulu ya Chamwino...

error: Content is protected !!