MWENYEKITI wa chama cha upinzani Tanzania- NCCR-Mageuzi, James Mbatia anazungumza na waandishi wa habari kuhusu masuala mbalimbali ikiwemo kujiuzulu kwa Job Ndugai...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022MWENYEKITI wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan anashiriki kilele cha matembezi ya miaka 58 ya...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022JUMUIYA ya Wazazi CCM – Mkoa wa Dodoma imelaani ‘genge’ la watu wachache ambao wamepanga njama za kugombea urais katika uchaguzi mkuu...
By Danson KaijageJanuary 7, 2022KATIBU wa Bunge la Tanzania, Nenelwa Mwihambi ametangaza kusitisha shughuli zote za Bunge ikiwemo kamati za Bunge zilizokuwa zikutane kuanzia tarehe 10...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania- Chadema, Tundu Lissu anazungumza na umma kwa njia ya mtandao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJanuary 7, 2022JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amejizulu nafasi hiyo leo Alhamisi 6 Januari 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Ndugai...
By Mwandishi WetuJanuary 6, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa agizo la kufutwa kwa kiasi cha awali cha Sh.27,000, kilichokuwa kinatozwa na Shirika la Umeme...
By Mwandishi WetuJanuary 5, 2022WAKATI joto la kuachia madaraka kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai likiendelea kushika kasi, Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Juni...
By Mwandishi WetuJanuary 5, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kutokana na ‘stress’ za madeni ya nchi siku moja Waziri wa Fedha na Uchumi, Dk. Mwigulu Nchemba...
By Mwandishi WetuJanuary 4, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ameutangazia umma wa Watanzania kuwa hivi karibuni atafanya mabadiliko ya nafasi za viongozi mbalimbali wa Serikali anayoiongoza kuanzia...
By Mwandishi WetuJanuary 4, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewapongeza wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kusimama kutetea mkopo wa Sh.1.3 trilioni. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJanuary 4, 2022KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Daniel Chongolo amesema, hakuna Taifa ulimwenguni limeendelea pasina kukopa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJanuary 4, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi watatu akiwemo Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA), Dk....
By Mwandishi WetuJanuary 4, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anaweza muda wowote kuanzia sasa, akafanyika mabadiliko makubwa ndani ya Baraza lake la Mawaziri. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuJanuary 3, 2022SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amemwomba radhi, Rais Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote waliokwazika kutokana na kauli aliyoitoa kuhusu...
By Danson KaijageJanuary 3, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzani, Kassim Majaliwa amewapongeza wakuu wote wa mikoa (RC) na wakuu wote wa Wilaya (DC) nchini kwa kazi nzuri...
By Mwandishi WetuJanuary 2, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka watu wanaotengeneza migogoro dhidi ya viongozi wa Serikali, waache mara moja. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuJanuary 2, 2022MJADALA kuhusu kauli ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, iliyodai iko siku nchi itapigwa mnada kutokana na kuelemewa na madeni, umezidi kushika kasi,...
By Regina MkondeJanuary 2, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu na Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kaskazini, Gobless Lema, wanatarajia kurudi nchini Tanzania kati...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2021MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amemshauri Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, aipige chini miradi ya...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2021MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amedai kuwa, Spika wa Bunge, Job Ndugai, alikosea kusema kuna siku...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2021RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, amewaomba Wazanzibar wanaoishi nje ya nchi ‘Diaspora’, washirikiane na Serikali yake katika kuimarisha uchumi wa visiwa...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2021MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe, amesema mwaka 2021 unaisha pasina kilio cha wananchi juu ya upatikanaji katiba...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2021UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), umehoji kwa nini makelele juu ya Serikali kukopa fedha za utekelezaji miradi ya maendeleo,...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Mwanza, kimesema kauli iliyotolewa na Spika wa Bunge, Spika Job Ndugai, ya kuwa kuna siku nchi...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2021MAKAMU mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Tundu Lissu, leo Ijumaa tarehe 31 Desemba 2021, anatarajiwa kuhutubia Taifa,...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2021NAFASI ya Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kuendelea kukalia kiti hicho Bungeni iko shakani. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2021MALALAMIKO dhidi ya Hakimu Mkazi wa Mahakama za Kinondoni na Kisutu, kugoma kufungua shauri la jinai dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa...
By Mwandishi WetuDecember 31, 2021SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameendelea kukaliwa ‘koo’ na chama chake baada ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Singida...
By Mwandishi WetuDecember 30, 2021MAKAMU mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Tundu Lissu, ataitaja mikakati ya chama hicho kuelekea 2022, kesho tarehe...
By Mwandishi WetuDecember 30, 2021WALIOKUWA wajumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Wananchi (CUF), wamehoji ukimya wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, juu ya...
By Kelvin MwaipunguDecember 29, 2021ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kulutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza amezungumzia kauli za viongozi wawili,...
By Mwandishi WetuDecember 29, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameridhishwa na hatua iliyofikiwa kwenye ujenzi wa madarasa yanayotokana na fedha za maendeleo mkoani Lindi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuDecember 29, 2021MBUNGE wa zamani wa Kigoma Kaskazini (CCM), Peter Serukamba amemtaka Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kuacha kupotisha umma kuhusu mkopo...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2021MWENYEKITI wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Samia Suluhu Hassan, ameelekeza kutatuliwa kwa changamoto zinazoikabili Bendi ya Tanzania...
By Mwandishi WetuDecember 28, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameteua viongozi mbalimbali, akiwemo Jaji Jacob Casthom Mwambegele, aliyemteua kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2021CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemuomba Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohamed Mchengerwa, kufuatilia kwa...
By Mwandishi WetuDecember 27, 2021BAADA ya Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kukosa idadi kubwa ya wabunge wa upinzani, Chama cha ACT-Wazalendo, kinatarajia...
By Mwandishi WetuDecember 25, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa salamu za Krismasi na Mwaka Mpya 2022 huku akiwataka wananchi kufanya kazi kwa weledi na...
By Masalu ErastoDecember 25, 2021MBUNGE wa Kuteuliwa (CCM), Humphrey Polepole amewaonya wale wote wanaoghushi mitandaoni na kuwaomba wananchi kwa mwaka 2022 “kazi moja ni kukataa wahuni...
By Mwandishi WetuDecember 24, 2021KESI ya jinai iliyopangwa kufunguliwa dhidi ya aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda, imetinga kwa Jaji Mfawidhi,...
By Mwandishi WetuDecember 24, 2021WANACHAMA zaidi ya 200 wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika kijiji cha Njinjo, Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa...
By Mwandishi WetuDecember 24, 2021Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali na kutengua uteuzi wa Dk. Fenella Mukangara, aliyewahi kuwa waziri wa...
By Mwandishi WetuDecember 23, 2021MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi ameteua kikosi kazi cha watu 23 kinachojumuisha makundi mbalimbali ya wanasiasa, wanazuoni,...
By Mwandishi WetuDecember 23, 2021KIBAO kimegeuka juu chini! Ndivyo unavyoweza kuelezea mapito waliyokumbana nayo wanasiasa machachari nchini katika kipindi cha mwaka huu baada ya kuenguliwa katika...
By Gabriel MushiDecember 23, 2021KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo nchini Tanzania, Ado Shaibu, amesema chama chake kinataka kujitofautisha na vyama vingine, hivyo hakitakubali kuendeshwa...
By Mwandishi WetuDecember 22, 2021SAKATA la zabuni za ujenzi wa meli mpya tano, iliyotolewa na Serikali ya Tanzania kwa kampuni mbili kutoka nchini Uturuki, limeanza kuchukua...
By Mwandishi WetuDecember 22, 2021WAZIRI wa zamani wa Maliasili na Utalii nchini Tanzania, Balozi Khamis Kagasheki amezungumzia kile kinachoendelea kwa Mbunge wa Kuteuliwa, Humphrey Polepole na...
By Mwandishi WetuDecember 22, 2021KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, watasherekea sikuu ya Krismasi na mwaka mpya...
By Mwandishi WetuDecember 20, 2021UNAWEZA kusema Mbunge wa Kawe (CCM), Askofu Josephat Gwajima, ana roho ngumu au ya paka, kwani licha ya chama chake, kumweka kiporo,...
By Mwandishi WetuDecember 20, 2021