MAKAMU Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzania nchini Tanzania-Chadema, Tundu Lissu, amedai hati yake ya kusafiria (pasipoti), imeibiwa mwezi uliopita akiwa nchini...
By Regina MkondeFebruary 17, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kushughulikia kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wa chama...
By Mwandishi WetuFebruary 17, 2022SAKATA la Hifadhi Ngorongoro limeendelea kuchukua sura mpya baada ya Mbunge wa Monduli (CCM), Mkoa wa Arusha, Fredrick Lowassa kuibuka akisema “Wamasai...
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassa amekutana na kuzungumza na Makamu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo- Chadema, Tundu Lissu....
By Mwandishi WetuFebruary 16, 2022MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imeitupilia mbali kesi ya kupinga marekebisho ya Sheria ya Utekelezaji wa Haki za Msingi...
By Gabriel MushiFebruary 16, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imefunga kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa...
By Mwandishi WetuFebruary 15, 2022SHAHIDI wa 13 wa Jamhuri, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, Tumaini Swila, amedai hakusikia...
By Mwandishi WetuFebruary 15, 2022MPELELEZI wa kesi ya uhujumu uchumi namba 16/2021, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, Inspekta Tumaini Swila, amedai mwanasiasa...
By Mwandishi WetuFebruary 15, 2022MSIBA wa kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Shambe Sagafu, umegeuka jukwaa la wanasiasa kukosoana huku...
By Mwandishi WetuFebruary 15, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imetoa maamuzi juu ya madai yaliyotolewa na Mwenyekiti wa Chadema,...
By Gabriel MushiFebruary 14, 2022MPELELEZI Msaidizi, wa kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Inspekta Tumaini Swila, amedai kuna fedha ambazo mwanasiasa...
By Gabriel MushiFebruary 14, 2022SERIKALI ya Tanzania imefungua ubalozi mdogo (Konseli Kuu) katika Jiji la Lubumbashi, Jimbo la Haut Katanga, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Ofisi za...
By Gabriel MushiFebruary 14, 2022KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe ameibuka malalamiko mahakamani ya kunyimwa chakula kwa zaidi ya miezi mitano kila...
By Masalu ErastoFebruary 14, 2022SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson amesema, atazungumza na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ili...
By Mwandishi WetuFebruary 14, 2022WAKATI hali ya kiafya ya aliyekuwa Mbunge wa Mikumi, mkoani Morogoro, Joseph Haule maarufu ‘Profesa Jay’ haijaimarika, Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
By Mwandishi WetuFebruary 14, 2022PETER Kibatala, Kiongozi wa Jopo la Mawakili wa Utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu,...
By Mwandishi WetuFebruary 14, 2022LEO Jumatatu, tarehe 14 Februari 2022, Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson anazungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa...
By Mwandishi WetuFebruary 14, 2022LEO Jumatatu tarehe 14 Februari 2022 ni siku ya wapendao ‘Valentine Day’ na ndani ya chumba cha Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa...
By Mwandishi WetuFebruary 14, 2022MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema hakuna aliyewahi kuupinga wala kuufuta ujenzi wa bandari ya Bagamoyo chini ya mradi wa Ukanda Maalumu...
By Gabriel MushiFebruary 13, 2022WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza wahandisi wa Wakala wa Barabara Vijijini (TARURA) kusimamia miradi kwa weledi, uadilifu na uaminifu huku wakizingatia ubunifu...
By Mwandishi WetuFebruary 12, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa. Ibrahim Lipumba, amesema nafasi yake iko wazi kwa yeyote atakayetaka kugombea kwenye uchaguzi wa chama...
By Regina MkondeFebruary 12, 2022BUNGE la Tanzania, limeishauri Serikali, kuandaa muongozo wa kitaifa wa usimamizi wa usafishaji mito, ili kutunza mazingira. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Ushauri...
By Mwandishi WetuFebruary 11, 2022MBUNGE wa Ilala (CCM), Mussa Azan Zungu, ametumia Kanuni za Bunge toleo la 2020, kuomba wabunge wamchague katika kiti cha U-Naibu Spika....
By Kelvin MwaipunguFebruary 11, 2022MBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Mariam Ditopile amesema Rais Samia Suluhu Hassan ndani ya muda mfupi tangu aingie madarakani anazidi kuwaumbua wale...
By Mwandishi WetuFebruary 9, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema,...
By Mwandishi WetuFebruary 9, 2022TUMAIN Swila, Shahidi wa 13 wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu amedai wakati...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2022MKAGUZI wa Jeshi la Polisi Tanzania, Tumaini Swila, amedai kesi ya uhujumu uchumi namba 16/2021, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2022MKAGUZI wa Jeshi la Polisi Tanzania, Tumaini Swila, amedai uhamisho wake wa muda kutoka Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi...
By Mwandishi WetuFebruary 8, 2022MKAGUZI wa Jeshi la Polisi Tanzania, Tumaini Swila, amedai Justine Kaaya, aliyekuwa msaidizi wa Lengai Ole Sabaya, akiwa Mkuu wa Wilaya ya...
By Mwandishi WetuFebruary 7, 2022MKOA wa Mkoa wa Mara, Ally Hapi amesema jana tarehe 6 Februari, 2022 yeye pamoja na wasaidizi wake hawakulala kwa lengo la...
By Mwandishi WetuFebruary 7, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 7 Februari 2022 amezuru kaburi la Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere nyumbani kwake Butiama mkoani...
By Mwandishi WetuFebruary 7, 2022MKUU wa Mkoa wa Mara (RC), Ally Hapi amemwomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kufumua wakuu wa idara mkoani humo wanakwamisha...
By Mwandishi WetuFebruary 6, 2022WABUNGE wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameanza kujitosa kuchukua fomu kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea nafasi ya...
By Mwandishi WetuFebruary 5, 2022ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana ya Chama cha Wananchi (JUVICUF), Hamidu Bobali, amejiunga na ACT-Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa...
By Regina MkondeFebruary 5, 2022MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amewaita wanachama wa chama hicho waliokimbilia ACT-Wazalendo, warejee ili waweze kuchukua nafasi za...
By Regina MkondeFebruary 5, 2022KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amewaagiza wenyeviti wa CCM mkoa na wilaya kutenga siku...
By Mwandishi WetuFebruary 5, 2022KATIBU wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Shaka Hamdu Shaka, amesema ndani ya miaka 45 tangu kuzaliwa...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemwagiza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuunda kamati ya kwenda kuchunguza mauaji yaliyotolea mkoani Mtwara yanayodaiwa kufanya...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2022UNAWEZA kusema aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Kuteuliwa na Rais, Humphrey Polepole, ni...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2022MKAGUZI wa Polisi, Tumaini Swila (46), amedai aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Ramadhani Kingai, alimuagiza...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametangaza kutengua uteuzi wa wakurugenzi wanne wa halmashauri (DED) ya Buchosha (Mwanza), Iringa, Mbeya na Singida...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2022WAKILI maarufu Alute Mughwai Lissu, kaka wa kiongozi wa chama cha siasa cha upinzani Tanzania cha Chadema, Tundu Lissu ametambulishwa mahakamani kama...
By Mwandishi WetuFebruary 4, 2022BAADHI ya vigogo na wanachama wa Chama cha ACT-Wazalendo, wanaodaiwa kutoridhika na mchakato wa uchaguzi wa mwenyekiti wa chama hicho, wako mbioni...
By Regina MkondeFebruary 4, 2022BUNGE la Tanzania limetanganza mchakato wa kujanza nafasi ya naibu spika wa Bunge ambapo uchaguzi wake utafanyika tarehe 11 Februari 2022. Anaripoti...
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2022SERIKALI ya Tanzania, imeziagiza kamati za kutokomeza ukatili wa kijinsia zishirikiane na vyombo vya dola, kutokomeza mauaji yanayosababishwa na migogoro ya kifamilia....
By Mwandishi WetuFebruary 3, 2022MWENYEKITI mpya wa Chama cha ACT-Wazalendo, Babu Juma Haji Duni na Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Othman Masoud Othman wametaja vipaumbele 10 ambavyo watavisimamia...
By Seleman MsuyaFebruary 1, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Uledi Abbas Mussa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imeahirisha kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema-Bara nchini Tanzania, Tundu Lissu na Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Arusha, Goodbless Lema, wanadaiwa kwenda kuishi uhamishoni...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022MBUNGE wa Mbeya Mjini, Dk. Tulia Ackson (CCM) ameibuka kidedea katika nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2022