Saturday , 20 April 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Mbunge Halanga apongeza vijana JKT kurejeshwa kambini

  MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Asia Halanga amempongeza Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan na...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Asad: Katiba mpya muhimu, nchi imefunguka

ALIYEKUWA Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini-CAG, Profesa Mussa Assad amesema licha ya kuwa kuna umuhimu wa kuwa na Katiba...

Habari za Siasa

Waliolipia 27,000 kabla ya mabadiliko ya bei kuunganishiwa umeme

SERIKALI ya Tanzania imesema imetoa maelekezo kwa mameneja wote wa mikoa na wilaya kuwaunganishia umeme wale wote waliokuwa wameshalipia Sh 27,000 kabla ya...

HabariHabari za Siasa

Rais Samia atoa maagizo matatu Tabora

RAIS Samia Suluhu Hassan, ametoa maagizo matatu kwa wizara na taasisi za Serikali, yenye lengo la kuchochea maendeleo ya wananchi. Anaripoti Regina Mkonde,...

HabariHabari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi umaliziaji maboma yaliyoanzishwa na wananchi

RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake kupitia Wizara ya Ofisi ya Rais-TAMISEMI, itaandaa mradi wa kumalizia maboma yaliyoanza kujengwa na wananchi, ikiwemo...

Habari za Siasa

Bajeti ya Kilimo yamkuna Mbunge Ditopile, ampongeza Rais Samia

  MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Mariam Ditopile ameimpongeza Serikali inayoongozwa na Rais wa nchi hiyo, Samia...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yapaza sauti uhuru wa Sahara Magharibi

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeishauri Serikali ya Morocco iitishe kura ya maoni ili wananchi wa Sahara Magharibi, waamue kama wanakubali kuwa Taifa huru...

Habari za Siasa

Rais Samia: Tunawasuta kwa utekelezaji miradi ya JPM

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema mafanikio ya utekelezaji wa miradi iliyoanzwa katika serikali ya awamu ya tano, yanawasuta watu wanaosema uongo kwamba...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe atoa kauli kina Mdee kubaki bungeni

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe ameonesha kushangazwa na uamuzi wa Spika wa Bunge, Dk. Tulia...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yawapa nafuu ya wiki Mdee na wenzake

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imesema wabunge 19 wa Chadema (Covid 19) waliovuliwa uanachama wa chama hicho hivi karibuni wataendelea...

Habari za Siasa

Spika afafanua uamuzi wake kutowafukuza Mdee, wenzake bungeni

  Spika wa Bunge la Tanzania Dk.Tulia Akson, ametoa ufafanuzi zaidi kuhusu uamuzi wake wa kutowafukuza bungeni wabunge 19 wa Chadema baada ya...

AfyaHabari za Siasa

1,580 wapoteza maisha wakati wa kujifungua ndani ya mwaka mmoja

  WANAWAKE 1,580 wamepoteza maisha nchini Tanzania wakati wa kujifungua katika kipindi cha mwaka mmoja wa 2021. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)....

HabariHabari za Siasa

Sakata la kina Mdee: Chadema hawajapokea ‘Summons’

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakijapokea wito wa mahakama kuhusu kesi inayodaiwa kufunguliwa na wanachama wake 19 waliofukuzwa hivi karibuni ndani...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Sakata la kina Mdee: Lissu ampinga Spika Tulia “ni uamuzi wa kisiasa”

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara nchini Tanzania, Tundu Lissu ameukosoa vikali uamuzi wa Spika Tulia Ackson kuwabakisha bungeni Halima...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Bunge lagoma kuwang’oa Mdee, wenzake, lasubiri uamuzi wa mahakama

BUNGE la Tanzania limesema wabunge 19 wa viti maalumu waliofukuzwa uanachama wa Chadema, wataendelea kutumikia mhimili huo hadi pale Mahakama Kuu, itakapotoa uamuzi...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waendelea kuchapa kazi bungeni

  LICHA ya Halima Mdee na wenzake 18 kufukuzwa uanachama ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo Jumatatu tarehe 16 Mei...

Habari za Siasa

CCM yanusu hujuma Ma RC, DC kwa Rais Samia

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeshangazwa na ukimya kwa wakuu wa mikoa (RC) na wilaya (DC) katika kuelezea mafanikio...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaongeza kima cha chini mshahara asilimia 23.3

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameridhia mapendekezo ya nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma, ambapo kima cha chini kimeongezwa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yaita watetezi haki za binadamu mapambano katiba mpya

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimetoa wito kwa watetezi wa haki za binadamu Tanzania kuungana na vyama vya siasa vya upinzani katika harakati za...

Habari za Siasa

Mtemvu ahofia ‘kilichomwondoa’ Mnyika Kibamba

  MBUNGE wa Kibamba, Issa Mtemvu ameonesha hofu yake ya kutoendelea kuwa mbunge wa jimbo hilo endapo changamoto ya upatikanaji wa maji haitatatuliwa...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge waliofukzwa Chadema watinga bungeni

  BAADHI ya Wabunge wa Viti Maalum waliofukuzwa uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wametinga bungeni siku moja baada ya Baraza...

Habari za SiasaTangulizi

Barua kuwang’oa kina Mdee yatua bungeni, Chadema yasema…

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema kimesema, kimewasilisha barua kwa Spika wa Bunge kumweleza kuhusu hatima ya rufaa za waliokuwa...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Rufaa za kina Mdee zatupwa, Mbowe asema…

  RUFAA za Halima Mdee na wenzake 18 za kupingwa kufukuzwa uanachama na kamati kuu ya Chadema zimetupiliwa mbali na wajumbe wa Baraza...

Habari za SiasaTangulizi

Rufaa za kina Mdee zilivyosikilizwa

  BARAZA Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) nchini Tanzania limemaliza kusikiliza rufaa za Halima Mdee na wenzake 18 . Anaripoti...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yatoa mapendekezo kuboresha elimu nchini

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeitaka serikali kukabiliana na changamoto ya upungufu wa walimu na kuboresha elimu katika sekta hiyo. Anaripoti Rhoda Kanuti Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Bobi Wine asema alishinda Urais kwa asilimia 53

KIONGOZI wa Harakati za nguvu za umma na Rais wa chama cha National Unit Platform (NUP), Robert Kyagulanyi Ssentamu amesema alishinda urais katika...

HabariHabari za SiasaTangulizi

Babu Duni: Tukishirikiana tutaiondoa CCM 2025

MWENYEKITI wa chama cha ACT-Wazalendo Juma Duni Haji, amesema upinzani ukishirikiana uchaguzi ujao 2025 utaweza kukiondoa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi...

HabariHabari za Siasa

Rungwe aelezea machungu Awamu ya Tano “nimeenda Central mara tatu”

MWENYEKITI wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Hashim Rungwe, amedai misingi ya katiba na sheria haikufuatwa katika uongozi wa Awamu ya Tano,...

HabariHabari za Siasa

Msajili wa vyama aitolea uvivu Chadema

NAIBU Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, amekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kishiriki katika mikutano ya vyama vya siasa, ili...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee: Tuko tayari kwa lolote

  HALIMA Mdee na wenzake 18 wamesema wamefika kusikiliza rufaa zao wakisema “tuko tayari kwa lolote.” Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

LIVE: Baraza Kuu Chadema, kina Mdee

  MKUTANO wa Baraza Kuu la chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema unafanyika leo Jumatano tarehe 11 Mei 2022, katika ukumbi...

Habari za Siasa

Viongozi CCM watakiwa kukubali kupingwa uchaguzi

VIONGOZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliopo madarakani wametakiwa kuruhusu watia nia wa nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho kuchukua fomu hata katika ...

ElimuHabari za Siasa

Prof. Mkumbo ataka maafisa elimu kata wang’olewe kufidia pengo la walimu

  MBUNGE wa Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, ameishauri Serikali ifute kada ya maafisa elimu kata, ili kuziba changamoto ya upungufu wa walimu shuleni....

HabariHabari za Siasa

Ufaransa yaridhishwa na mazingira ya biashara nchini

UFARANSA imeonesha kuridhishwa na hatua zilizochukuliwa na zinazochukuliwa na Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini Tanzania....

HabariHabari za SiasaTangulizi

Sakata la gongo lamuweka mbunge kitanzini, Spika aomba radhi

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amemuonya Mbunge Sengerema, Hamisi Tabasamu (CCM) baada ya kudaiwa kutweza mchango wa Mbunge wa Momba, Condester Sichwale...

Habari za Siasa

Serikali yakopa WB, IMF kukabili mfumuko wa bei

  SERIKALI imesema imeanza mchakato wa kuchukua mkopo kutoka Benki ya Dunia (WB) na Shirika la Fedha Duniani (IMF) kwa ajili ya kuwekaahueni...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yatoa ruzuku ya Bil. 100/- kushusha bei mafuta

  SERIKALI imetopa ruzuku ya Sh 100 bilioni kwa kipindi cha mwezi mmoja kwaajili ya kuleta ahueni katika bei ya nishati ya mafuta....

Habari za Siasa

Bunge laibana Serikali matukio ya moto kwenye masoko

  MFULULIZO wa matukio ya ajali za moto katika masoko mbalimbali nchini yamewaamsha wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia, Mbowe wakutana tena Ikulu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana kwa mara nyingine na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman...

Habari za Siasa

CCM waitaka Serikali itoe ufumbuzi kupanda kwa bei ya mafuta

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeitaka Serikali kutafuta ufumbuzi wa haraka wa namna ya kukabiliana hali ngumu ya maisha kwa Watanzania kutokana na kupanda...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima ashangaa ujenzi wa reli badala ya uchimbaji chuma

  MBUNGE wa Kawe, Askofu Dk. Josephat Gwajima (CCM) leo Jumatatu amesema licha ya kwamba ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) lilikuwa wazo...

Habari za SiasaTangulizi

Nchemba, Shigongo wavutana nchi kurudi uchumi wa chini

  MVUTANO umeibuka bungeni baina ya Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo na Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba kuhusu nchi kuporomoka kutoka...

Habari za Siasa

Mpina ataka uchunguzi Symbion kabla ya kulipwa

  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, ameishauri Serikali ifanye uchunguzi dhidi ya Kampuni ya kuzalisha umeme ya Symbion Power, kabla ya kuilipa zaidi...

Habari za Siasa

Mbunge aitaka Serikali iunde kikosi kazi cha uchumi

  MBUNGE wa Mafinga Mjini, Cosato Chumi, ameitaka Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kuunda kikosi kazi cha masuala ya uchuimi kama ambayo...

Habari za SiasaTangulizi

Bei ya mafuta: Rais Samia aongoza kikao usiku Ikulu, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaagiza viongozi akiwemo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kutafuta suluhisho la haraka katika kukabiliana na tatizo la...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai: Sitagombea ubunge 2025

  MWANASIASA mkongwe na Spika mstaafu nchini Tanzania, Job Ndugai ametangaza kutogombea tena nafasi ya ubunge wa Kongwa mkoani Dodoma katika uchaguzi mkuu...

ElimuHabari za Siasa

CWT yakoshwa na utendaji wa Rais Samia

  CHAMA cha walimu Tanzania(CWT) kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kutokana na namna inavyowajali watumishi nchini wakiwemo walimu. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma …...

Habari za Siasa

Wananchi wapanga kuandamana kumng’oa diwani

  WAKAZI wa Kata ya Nzuguni Jijini Dodoma wamepanga kuandamana hadi kwa Diwani wao, Mzee Aloyce (CCM) ili wamshinikize kujiuzulu kwa kushindwa kutimiza...

Habari za Siasa

Sare, mafunzo askari kutafuna Bil. 34.7/-

  WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imeweka kipaumbele kwa mafunzo na ununuzi wa sare za askari ambapo jumla ya Sh 34.7...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wataka ruzuku iwekwe, tozo ziondolewe kuhimili bei ya mafuta

  WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameishauri Serikali kuondoa tozo zisizo na athari katika miradi muhimu kwa wananchi pamoja...

error: Content is protected !!