Saturday , 20 April 2024

Habari za Siasa

HabariHabari za SiasaTangulizi

Adhabu mbadala, utaratibu watuhumiwa kujidhamini waja

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro, amesema wizara yake inakwenda kuufumua mfumo wa jinai, ili kuangalia namna ya kupunguza msongamano wa...

HabariHabari za Siasa

Wabunge wakumbushia ahadi za JPM bungeni

WABUNGE wameikumbusha Serikali kuhusu utekelezaji wa ahadi za aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, ya kutoa fedha kwa ajili ya...

Habari za Siasa

Majaliwa akemea utiririshaji maji machafu, atoa maagizo 15

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekemea tabia ya utiririshaji wa maji machafu na majitaka kutoka viwandani na kwenye migodi kwani inachangia...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo waibua hoja sita bodi ya mikopo

  NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT Wazalendo nchini Tanzania imebuka na hoja sita dhidi ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwaikali avuliwa hadhi ya Uaskofu

  KANISA la Kiinjili la Kulutheli Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde imetangaza kumwondolea wakfu wa Uaskofu, Dk. Edward Mwaikali aliyekuwa askofu wa Dayosisi...

Habari za Siasa

Chongolo akemea upendeleo serikalini

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Daniel Chongolo amekemea tabia ya baadhi ya watendaji wa serikali kupanga watumishi wa...

Habari za Siasa

Shaka awakomalia viongozi Mtwara

  KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ameziagiza mamlaka husika kuhakikisha mradi wa maji...

Habari za Siasa

Mbunge Ditopile ampongeza January, amtishwa “mfupa wa LNG”

  MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma (CCM), Mariam Ditopile amemtaka Waziri wa Nishati, January Makamba kuwa makini na Mardi wa Gesi...

Habari za Siasa

Maige ahoji sababu Tanzania kushindwa kugundua mafuta

  MBUNGE wa jimbo la Uyui nchini Tanzania, Almasi Maige, amehoji sababu ya Tanzania kushindwa kupata nishati ya mafuta licha ya kuwa na...

Habari za Siasa

Chongolo ampe maagizo mbunge wake

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amemtaka Mbunge wa Itilima, Njelu Silanga kuwawezesha wakulima wa jimbo hilo kuhakikisha kila...

Habari za Siasa

CCM yatoa siku 30 vigogo maliasili na utalii

  WIZARA ya Maliasili na Utalii nchini Tanzania imepewa mwezi mmoja (siku 30) ihakikishe watendaji wake wa wanaohusika na wanyamapori wawe wamefika Meatu...

Habari za Siasa

Dk. Ndugulile aendelea ‘kulilia’ vivuko Kigamboni

  MBUNGE wa Kigamboni jijini Dar es Salaam kupitia chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Faustine Ndugulile amesema, kilio cha...

Habari za Siasa

Sabaya abubujikwa machozi, amwangukia Rais Samia

  ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania, Lengai Ole Sabaya amebubujikwa machozi mahakamani wakati akimwomba Rais Samia Suluhu...

Habari za Siasa

REA sasa kusambaza gesi asilia vijijini

  KUTOKANA na ukubwa wa gharama za miundombinu ya usambazaji wa gesi asilia, Kampuni ya Mandeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) na Wakala wa...

Habari za Siasa

Mfumo kuzuia upotevu wa mafuta wakati wa upakuaji mbioni

  SERIKALI ipo mbioni kuanza matumizi ya teknolojia ya kisasa katika shughuli za upakuaji mafuta kutoka kwenye meli ili kuepuka udanganyifu na upotevu...

Habari za Siasa

Mradi wa Umeme Rufiji kutumia asilimia 51 ya bajeti nzima ya Nishati

SERIKALI imetenga Sh 1.44 trilioni katika mwaka wa fedha 2022/23 kwaajili ya kutekeleza kazi mbalimbali kwenye mradiMradi wa Kuzalisha Umeme kwa Kutumia Maji...

Habari za Siasa

Mbowe azungumzia Rais Samia kutinga uzinduzi kitabu cha Sugu

  MWENYEKITI wa Chama cha Chadema, Freeman Mboiwe, amesema hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan, kuzindua kitabu cha msanii mkongwe wa muziki wa...

Habari za Siasa

Vipaumbele 12 vya Makamba Wizara ya Nishati

  WAZIRI wa Nishati, Januari Makamba amekuja na vipaumbele 12 katika utekelezaji wa bajeti ya mwkaa 2022/23. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)...

Habari za Siasa

Serikali yaja na waratibu wa umeme vijijini kila jimbo

  KATIKA kuimarisha usimamizi wa miradi ya kupeleka umeme vijini, Serikali imesema inakwenda kuajiri waratibu wa miradi ya umeme vijijini kwa kila jimbo....

Habari za Siasa

Shaka: Rais Samia anairejesha CCM kwenye zama za ujmaa, kujitegemea

  KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan sasa anakirejesha...

Habari za Siasa

Ummy Mwalimu: Marufuku shisha, ugoro inakuja

  WAZIRI wa Afya, Ummy Mwalimu ameiagiza Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kufanya tathmini ya kina kuhusu matumizi ya shisha, ugoro...

Habari za Siasa

Sensa 2022: Majaliwa awapa majukumu wabunge

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka wabunge wawaelimishe na wawahamasishe wananchi wajitokeza na washiriki katika Sensa ya Watu na Makazi ikiwa...

HabariHabari za Siasa

Chongolo awapa ujumbe viongozi wote wa CCM

KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongoloamewataka viongozi ngazi zote nchini kuhakikisha wanashiriki vikao vya mashina ili...

Habari za Siasa

Mbunge ashauri watuhumiwa wa ukatili wasipewe dhamana mahakamani

MBUNGE Viti Maalum, Christine Mzava, ameishauri Serikali iwashughulikie watu wanaofanya ukatili wa kijinsia, kama inavyowashughulikia watuhumiwa wa uhujumu uchumi, kwa kuwanyima dhamana mahakamani,...

Habari za SiasaTangulizi

Katibu Mkuu NCCR Mageuzi amvaa Mbatia, ashusha shutuma nzito

MGOGORO ndani ya Chama cha NCCR Mageuzi umeendelea kufukuta baada ya Katibu Mkuu wa chama hicho, Martha Chiomba kuibua na kudai maisha yake...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chongolo awapa ujumbe wa matumiani wakumila tumbaku

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewataka wananchi wa Mkoa wa Shinyanga na maeneo mengine kuchangamkia kilimo cha tumbaku...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Gwajima: Viongozi wa Serikali wanamchonganisha Rais

  MBUNGE wa Kawe, Askofu Dk. Josephat Gwajima amesema baadhi ya viongozi wa serikali badala ya kutatua migogoro ya ardhi wanachochea migogoro hiyo...

Habari za Siasa

Rais Samia apandisha viwango vya posho

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amepandisha viwango vya posho ya kujikimu katika safari za ndani za watumishi wa umma, pamoja na malipo ya...

HabariHabari za Siasa

Msukuma: Mbowe alipa-miss Ikulu

MBUNGE wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma (CCM) amesema sio wanawake tu wanaofurahia utendaji wa Rais Samia Suluhu Hassan bali hata wanaume wanamfurahia. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge upinzani, CCM waungana kumpongeza Rais Samia

  BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 26 Mei, 2022 limeazimia kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutajwa kuwa miongoni...

Habari za Siasa

Dk. Mollel naye aagizwa kujibu maswali kwa ukamilifu

  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amemuagiza Naibu Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel kujibu tena swali la msingi na maswali ya...

Habari za Siasa

Rais Samia apokea tuzo ya Babacar Ndiaye, amtaja Magufuli

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema tuzo ya Babacar Ndiaye ya 2022, inayotolewa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), kwa ajili ya...

Habari za Siasa

Mbunge Ditopile awapigania wavuvi

  MBUNGE wa Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dodoma (CCM), Mariam Ditopile ameitaka Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuja na mipango...

Habari za SiasaTangulizi

Msajili wa vyama ampiga ‘Stop’ Mbatia NCCR-Mageuzi

  NAIBU Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Sisty Nyahoza, amemtaka aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi na wajumbe wa sekretarieti yake iliyovunjwa,...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yawakaribisha Mdee na wenzake

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimewafungua milango na kuwakaribisha Halima Mdee na wenzake 18 waliotimuliwa katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), watakapowiwa kujiunga na...

ElimuHabari za Siasa

Mbunge ataka nafuu wanafunzi wanaochanganyikiwa mtihani kidato cha nne

  MBUNGE Viti Maalumu, Sophia Mwakagenda, ameishauri Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, itumie matokeo ya nyuma ya wanafunzi katika kuamua ufaulu wa...

HabariHabari za Siasa

Haya hapa mapendekezo ya CUF kuhusu katiba, tume huru

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeshauri mchakato wa katiba mpya uanze mara moja, kikishauri muundo wa Serikali upewe kipaumbele katika kupitiwa upya pamoja na...

HabariHabari za Siasa

CUF yawasilisha mapendekezo kikosi kazi cha Rais kwa shingo upande

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimewasilisha kwa shingo upande maoni na mapendekezo yake katika Kikosi Kazi kilichoundwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kwa ajili...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Aeshi awaonya mawaziri, ‘alilia’ meli Ziwa Tanganyika

  MBUNGE wa Sumbawanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Aeshi Hilaly amewaomba mawaziri kutokutumia kinga ya Rais kukweka kuelezwa udhaifu...

Habari za Siasa

Abiria wamkunja nahodha MV Kigamboni

  MBUNGE wa Kigamboni, Dk. Faustine Ndungulile amesema abiria wamelazimika kupigana na nahodha wa kivuko cha MV Kigamboni baada ya kusimamisha kivuko hicho...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yapendekeza hatua nne upatikanaji katiba mpya

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeshauri mchakato wa upatikanaji katiba mpya uanze mara moja, huku kikitoa mapendekezo ya hatua nne za kuchukua kuelekea suala...

Habari za Siasa

Bandari bubu 693 zaitesa Serikali

  HATARI za kiulinzi, kiusalama na upotevu wa mapato ya Serikali zimeetajwa kuwa athari za uwepo wa bandari bubu zipatazo 693 nchini Tanzania....

Habari za SiasaTangulizi

Hizi hapa hoja 10 zinazobeba maridhiano Chadema, CCM

  CHAMA cha Chadema, kimewasilisha kwa Rais Samia Suluhu Hassan, mapendekezo 10 yatakayosaidia kutibu madhila yaliyotokea miaka sita iliyopita. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

CCM kuanika mazungumzo Rais Samia, Mbowe

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka Watanzania kuwa wavumilivu na wastahimilivu katika kusubiri kuelezwa kile alichozungumza Rais Samia Suluhu Hassan na viongozi mbalimbali...

Habari za SiasaTangulizi

Kizaazaa mbunge akiangua kilio, mwingine kupiga sarakasi kisa barabara

BAJETI ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imeibua kizaazaa bungeni baada ya wabunge waliokuwa wakichangia kufanya matukio yasiyo ya kawaida kuonesha kusikitishwa na...

Habari za Siasa

Miradi barabara yasuasua licha ya fedha kutolewa asilimia 96.5

LICHA ya fedha za miradi ya maendeleo katika sekta ya ujenzi kutolewa kwa asilimia 96.48, utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara na...

Habari za Siasa

Bajeti miradi ya maendeleo ujenzi yatekelezwa kwa asilimia 96.5

SERIKALI imetekeleza bajeti ya miradi ya maendeleo sekta ya ujenzi kwa asilimia 96.5 kwa yenye gharama ya Sh. 1.532 trilioni. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Rais Samia kufanya ziara ya siku 3 Ghana

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuondoka nchini leo tarehe 23 Mei, 2022 kuelekea jijini Accra nchini...

Habari za Siasa

Spika akerwa wabunge wanaotangatanga bungeni

  SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amewataka wabunge kuwa na staha wakiwa ndani ya Bunge na kuacha kutangatanga na kupiga kelele. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Hizi hapa sababu za Mbatia kung’olewa NCCR-Mageuzi, Msajili abariki

  HALMASHAURI Kuu ya Chama cha NCCR-Mageuzi, imemsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho Taifa, James Mbatia na Makamu Mwenyekiti wake Bara, Angelina Mtaigwa, kwa...

error: Content is protected !!