Friday , 29 March 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yasema uamuzi kesi ya kina Mdee haujakamilika

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa uamuzi dhidi ya maombi yaliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, wakiongozwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Mbivu, mbichi kesi ya kina Mdee kujulikana leo

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa uamuzi dhidi ya maombi yaliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19,...

Habari za Siasa

Tunafuatilia miradi hatufanyi mikutano ya hadhara:CCM

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekanusha madai ya kwamba chenyewe kinafanya mikutano ya hadhara huku vyama vya upinzani vikizuiwa, kikisema mkutano inayofanya na...

Habari za SiasaTangulizi

Shaka: CCM hakuna mpasuko

  KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka, amesema ndani ya chama hicho hakuna mpasuko, kama inavyovumishwa...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri yakwamisha kesi ya Chadema dhidi ya Jeshi la Polisi

  MAHAKAMA Kuu, Masjala ya Dodoma, imeahirisha usikilizwaji wa kesi ya Chadema dhidi ya Jeshi la Polisi baada ya Mawakili wa Jamhuri kutofika...

Habari za Siasa

Sh54 Bil. kugharamia mradi wa maji Chiuwe

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetoa Sh54 bilioni kwa ajili ya kugharamia mradi wa maji wa Chiuwe utakaohudumia wilaya za Ruangwa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yapewa neno ununuzi treni zilizotumika

  SERIKALI ya Tanzania imeshauriwa kufikiria upya mpango wake wa kununua vifaa vya treni ya umeme vilivyotumika, maarufu kama mitumba, ili kujua kama...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi aukataa msamaha wa Mzee Shamte

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, amegoma kumsamehe mwanasiasa mkongwe visiwani humo, Mzee Baraka Shamte, akisema hakuomba vizuri msamaha huo, kulingana na...

Habari za Siasa

Majaliwa ammwagia manoti aliyekuwa mraibu dawa za kulevya

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametoa kiasi cha Sh milioni tano kwa Amina Mshana aliyekuwa mraibu wa dawa za kulevya kwa muda wa...

Habari za Siasa

Butiku ataka nguvu ielekezwe kwenye maendeleo ya wananchi kuliko vyama

  MKURUGENZI wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Mzee Joseph Butiku, ameishauri Serikali na jamii, kujikita katika mipango ya maendeleo ya wananchi, badala ya...

Habari za Siasa

Kigogo Bavicha mbaroni kwa tuhuma za makosa mtandao

  MRATIBU wa uhamasishaji wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), Twaha Mwaipaya, anadaiwa kukamatwa na Jeshi la Polisi mkoani Morogoro, kwa tuhuma...

Habari za Siasa

Tanzania itafanya sensa ya mfano kwa nchi zingine: Abdulla

  MAKAMU wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema Tanzania itafanya sensa ya aina yake na...

Habari za Siasa

Wasimamizi, makarani sensa watakiwa kuwa wazalendo

  WASIMAMIZI na makarani wote wa sensa yam waka 2022 nchini Tanzania, wametakiwa kutanguliza uzalendo mbele kabla ya mambo mengine. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za Siasa

Maeneo yote Tanzania sasa kupatikana kiganjani

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene, amesema zoezi la uwekezaji anuani za makazi limefikia asilimia...

Habari za SiasaTangulizi

Miaka 30 ya Vyama Vingi: Changamoto na Mustakabali kusonga mbele

LEO Tanzania inatimiza miaka 30 tangu turejee rasmi katika siasa za mfumo wa vyama vingi. Katika kipindi hicho, taifa letu limepitia katika kipindi...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu aipiga ‘stop’ Wizara upandishaji hadhi Loliondo

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kutoanza kazi ya upandishaji hadhi mapori tengefu ikiwemo Loliondo hadi pale itakapokutana...

Habari za Siasa

Mambo yatakayotumika kuwapima Wakurugenzi, wakuu wa Idara

  SERIKALI nchini Tanzania imesema inakusudia kupima utendaji wa Wakurugenzi na Wakuu wa Idara kwa kutumia viashiria muhimu hususan usimamizi wa mapato na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ampeleka Jenerali Mabeyo Ngorongoro

  HATIMAYE Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Tanzania mstaafu Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa Chadema wapinga hoja tano za kina Mdee

  MAWAKILI wa pande mbili (waleta maombi na wajibu maombi) katika kesi ya Halima Mdee na wenzake 18 wameibua mvutano Mahakamani ikiwa kama...

Habari za Siasa

Rais Samia amng’ang’ania Jenerali Mabeyo

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema bado ataendelea kumpa majukumu Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Venance Mabeyo kwakuwa bado ana nguvu....

Habari za SiasaTangulizi

Mpina amlipua Waziri Bashe nje ya Bunge

  MBUNGE wa jimbo la Kisesa nchini Tanzania, Luhaga Mpina amesema Waziri wa Kilimo Hussein Bashe alilidanganya bunge kwa kutoa takwimu mbili tofaui...

Habari za Siasa

Majaliwa aagiza utoaji anwani za makazi kuwa endelevu

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza Wizara zote, Sekretarieti za mikoa na Serikali za mitaa kuhakikisha zoezi la utoaji anwani za makazi linakuwa...

ElimuHabari za Siasa

Watakao kwamisha mradi wa kuboresha Elimu Sekondari kukiona

  NAIBU Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Davidi Silinde,amesema kwa uzembe wowote utakaofanyika kwa na kukwamisha mradi wa kuboresha Elimu ya Sekondari...

ElimuHabari za Siasa

Fomu kujiunga shule za umma zieleze hakuna michango: Majaliwa

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kuanzia sasa fomu za kujiunga na sghule za umma sharti zipitiwe na makatibu Tawala wa Mikoa na...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuanza kuwajibu kina Mdee mahakamani

  MAOMBI ya kuomba kibali cha kufungua kesi ya madai kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema, yaliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, wakiongozwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amteua Mkuu mpya wa majeshi

  RAIS Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Meja Jenerali Jacob Mkunda kuwa Jenerali na kumteua kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi(CDF). Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya kina Mdee kusikilizwa siku 14 mfululizo

  HATIMA ya endapo Halima Mdee na wenzake 18 wataendelea kusalia kuwa wabunge itajulikana ndani ya siku 14 za usikilizaji wa shauri namba...

Habari za Siasa

Dk. Tulia awataka Watanzania kuachana na imani potovu kuhusu sensa

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amewataka watanzania kuachana na kauli za baadhi ya watu ambao...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Kina Mdee: Chadema yaondoa mapingamizi, shauri kuanza kusikilizwa

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imekubali ombi la Wakili wa Chadema, Peter Kibatala, la kuondoa mapingamizi yao dhidi ya kesi...

Habari za Siasa

Mikopo ya Halmashauri kutolewa kwa mtu mmoja mmoja

  SERIKALI ya Tanzania imesema inafanya tathimini ya kuangalia uwezekano wa kutoa mikopo ya Halmashauri kwa mtu mmoja mmoja. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari za Siasa

Serikali yaja na mifumo mipya kupima utendaji kazi wa watumishi

  SERIKALI imesema mara baada ya kukamilisha mifumo mipya ya kupima utendaji kazi wa watumishi wa umma, itapeleka bungeni Muswada wa Sheria uweze...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yaweka zuio kina Mdee kutoswa bungeni

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa zuio la muda la kutofanyika chocholate kwenye ubunge wa Halima Mdee na wenzake 18 mpaka...

Habari za Siasa

Rais Samia atoboa siri Mama Mkapa alivyomuingiza kwenye siasa

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Mwenyekiti wa Mfuko wa Fursa Sawa kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa ndiye aliyemjengea uwezo na kumshika...

Habari za SiasaTangulizi

Mama Mkapa awezesha wanawake kupata Sh trilioni 11

  MWENYEKITI wa Mfuko wa Fursa sawa kwa Wote (EOTF), Mama Anna Mkapa ambaye pia ni mke wa Hayati Rais Benjamin Mkapa amesema...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waendelea kutinga, Dk. Tulia awaruhusu kuuliza maswali

  WABUNGE wa viti maalum nchini Tanzania, Halima Mdee na wenzake 18 wasio na chama bungeni, leo Jumatatu tarehe 27 Juni 2022 wameendelea...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamng’ang’ania Spika Tulia ajiuzulu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo Jumapili kimemtaka Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ajiuzulu nafasi hiyo kwa kushindwa kuwatimua bungeni wabunge...

Habari za Siasa

Viongozi CHASO wataja sababu za kuikacha kuhamia ACT-Wazalendo

  BAADHI ya waliokuwa viongozi na wanachama wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati wa Chadema (CHASO), wametaja sababu...

Habari za Siasa

LHRC yataja mwarobaini changamoto mchakato wa katiba kuvurugwa na wanasiasa

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetoa mapendekezo manne juu ya namna bora ya ufufuaji mchakato wa upatikanaji katiba mpya...

Habari za SiasaTangulizi

Kura ya Bajeti: Kina Mdee washindwa kuamua

  BAADHI ya wabunge wa viti maalum wasio na chama katika Bunge la Tanzania, Halima Mdee na wenzake 18 wameshindwa kuamua juu ya...

Habari za Siasa

Serikali yatoa ufafanuzi watumishi kukopeshwa magari, wanaotumbuliwa

  SERIKALI ya Tanzania, imetoa ufafanuzi kuhusu pendekezo lake la kuwakopesha magari watumishi wa umma, pamoja na kusitisha mishahara ya wanaovuliwa nyadhifa zao...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yataja sababu ongezeko la deni la taifa

  SERIKALI ya Tanzania, imesema ongezeko la deni la taifa linatokana na hatua yake ya kukopa fedha, kwa ajili ya kutekeleza miradi ya...

Habari za Siasa

Serikali yataja sababu za kuondoa kikokotoo cha mafao 50%

  SERIKALI ya Tanzania, imesema haitarudisha kikokotoo cha zamani cha mafao ya wastaafu cha asilimia 50, kwa kuwa hakileti usawa katika ugawaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waendelea kutinga bungeni, wauliza maswali

  SIKU mbili kupita tangu Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kuyaondoa maombi Halima Mdee na wenzake 18 ya kuomba...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yapongeza ufufuaji mchakato Katiba Mpya

  CHAMA cha ACT Wazalendo kimepokea taarifa iliyotolewa na Chama Cha Mapinduzi CCM baada ya Kumalizika Kikao Cha Halmashauri Kuu kilichofanyika jana Dodoma,...

Habari za SiasaTangulizi

CHADEMA yamkumbusha Spika kuwaondoa bungeni wabunge 19

  CHAMA cha Chadema, kimemwandikia barua Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, kumkumbusha kuhusu utekelezaji wa barua yake ya tarehe 12 Mei 2022,...

Habari za Siasa

Wabunge waijia juu Toyota Tanzania, Spika aomba majibu

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Akson, ameitaka Serikali kutoa majibu hoja ya suala la Serikali kushindwa kuagiza magari moja kwa...

Habari za Siasa

Majaliwa awatangazia neema wakazi Ngorongoro wanaohamia Msomera

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewahakikishia wakazi wanaohama kwa hiari yao kutoka katika eneo la hifadhi ya Ngorongoro kwenda Kijiji cha...

Habari za Siasa

Spika afuta maneno ya Waziri kwenye kumbukumbu za Bunge

  SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson ameagiza maneno ya Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee watinga bungeni, Spika awaruhusu kuuliza maswali

  LICHA ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kuyaondoa maombi Halima Mdee na wenzake 18 ya kuomba kufungua kesi...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yakubali kufufua mchakato Katiba mpya, kesi za kisiasa…

  KIKAO cha Halmashauri Kuu ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeishauri Serikali kuona namna bora ya kufufua, kukwamua na...

error: Content is protected !!