RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kufungua milango kuwakaribisha wawekezaji kutoka nje, ili...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2022UHURU wa Wananchi kujieleza katika masuala mbalimbali sambamba na kupewa taarifa juu ya masuala muhimu yanayolihusu Taifa, yanatajwa kuwa miongoni mwa masuala muhimu ...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2022MAMLAKA ya Hong Kong, imewaondolea sharti la kukaa karantini wasafiri kutoka nchini Tanzania wanaofanya safari zao mbalimbali nchini humo. Anaripoti Felister Mwaipeta TUDARCo...
By Masalu ErastoSeptember 27, 2022KATIBU wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka amewasisitiza wanachama wa chama hicho kujitokeza kwenye uchaguzi wa ngazi...
By Masalu ErastoSeptember 27, 2022CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefuta chaguzi tano za umoja wa vijana (UVCCM), pamoja na kusimamisha chaguzi tatu za Jumuiya ya Wanawake ya...
By Regina MkondeSeptember 27, 2022IKIWA ni siku moja tangu kupinduliwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, leo amekutana na zengwe jingine baada ya kuzuiwa kufanya...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2022MKUTANO Mkuu wa dharura wa Chama cha NCCR -Mageuzi uliofanyika leo tarehe 24 Septemba, 2022 umemtimua aliyekuwa mwenyekiti wa Chama hicho, James Mbatia...
By Gabriel MushiSeptember 24, 2022MAKAMU Mwenyekiti Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Massoud Othman amewataka wanachama kuimarisha chama chao ili kuwa imara zaidi hatimae kuibuka na ushindi katika...
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2022LICHA ya Mahakama Kuu Masjala ya Dar es Salaam kuweka amri ya zuio la muda la kutofanyika kwa mikutano ya Chama cha...
By Faki SosiSeptember 24, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametakiwa kuingilia kati mgogoro wa kiongozi uliobuka ndani ya Chama cha NCCR-Mageuzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2022SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, ameitaka Serikali iweke utaratibu mzuri wa kusimamia mifuko ya hifadhi ya jamii, ili iwabane waajiri wasiowasilisha michango...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameahirisha shughuli za Bunge hadi tarehe 1 Novemba 2022,zitakaporejea. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Majaliwa ameahirisha...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2022SERIKALI ya Tanzania, imeendelea kusisitiza kuwa, ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), litakalosafirisha nishati hiyo kutoka Hoima nchini Uganda,...
By Regina MkondeSeptember 23, 2022SERIKALI ya Tanzania imewasilisha na kusoma mara ya kwanza miswada ya sheria mbalimbali, ikiwemo Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote na Sheria...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2022SERIKALI ya Tanzania imewasilisha Muswada wa Sheria ya Uwekezaji, uliosomwa kwa mara ya kwanza Bungeni wenye malengo mbalimbali ikiwemo kufuta Sheria ya Uwekezaji...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2022WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema mashauri ya kikodi ya Sh 360 trilioni yalifutwa kufuatia makubaliano ya Serikali na kampuni...
By Jonas MushiSeptember 23, 2022BUNGE la Tanzania limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali za fedha wa 2022, wenye lengo la kurekebisha sheria zinazosimamia kodi na mrabaha,...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amewataka wabunge tisa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), kusimamia maslahi ya Tanzania pamoja na...
By Regina MkondeSeptember 22, 2022MBUNGE wa Geita Mjini, Joseph Kasheku ‘Msukuma’, ameibua vicheko bungeni, huku baadhi ya wabunge wakimtunza fedha, kufuatia hatua yake ya kumuuliza swali Mhandisi...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, ‘ameteka’ uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, kufuatia hotuba yake na...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022MBUNGE wa Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, ameitaka Serikali iwaruhusu wananchi 90 wa Ubungo Kiswani, waendelee na shughuli zao kama kawaida, baada ya kuchelewa...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022MBUNGE wa Liwale, Zubeir Kuchauka (CCM), amesema Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, haina jengo la Kituo cha Polisi kwa muda miaka 47, badala...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, ameibana Serikali bungeni, kuhusu hatma ya kesi 1,097 za malimbikizo ya kodi yenye thamani ya Sh. 360 trilioni...
By Gabriel MushiSeptember 22, 2022CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimesema chama chochote cha cha siasa chenye shauku ya kuvunja Muungano au viongozi wake wakipania kuligawa Taifa huo si ushujaa...
By Mwandishi WetuSeptember 21, 2022MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Rukwa, Rainer Lukala, anadaiwa kumtwanga ngumi Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM)...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge ya Sheria ndogo, Jasson Rweikiza amesema baadhi ya kanuni za sheria ndogo zilizotungwa na kutumiwa Mamlaka ya Udhibiti...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022BAADA ya kufanikiwa kuishawishi Serikali kwa hoja yake ya kutaka kuwepo kwa tozo za miamala ili kuongeza mapato, Naibu Spika na Mbunge wa...
By Gabriel MushiSeptember 21, 2022BAADA ya kilio cha zaidi ya mwaka mmoja kutoka kwa Watanzania na wadau mbalimbali, hatimaye Serikali imefuta tozo kwenye miamala ya kielektroniki uamuazi...
By Gabriel MushiSeptember 20, 2022SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson ameiagiza serikali kuchukua hatua za haraka kudhibiti uhalifu unaoendelea kufanywa na vijana katika mikoa ya Dar...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2022SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, ameshauri mauaji yanayosababishwa na watu wanaojichukulia sheria mkononi kutokana na sababu sambalimbali ikiwemo imani...
By Regina MkondeSeptember 14, 2022KAMATI ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashehe ya Maadili Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu Dini nchini imemshauri Rais Samia...
By Mwandishi WetuSeptember 13, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemuahidi Rais mpya wa Tano wa Kenya, Dk. William Ruto kufanya kazi kwa kushirikiana kwa karibu katika...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022SAA chache kabla ya kuapishwa kuwa Rais wa tano wa Kenya, Dk. William Ruto ameteta na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ambaye...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Akson leo tarehe 13 Septemba, 2022 amemuapisha Tamima Haji Abass kuwa mbunge...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022MACHO yote leo tarehe 13 Septemba, 2022 yanaelekezwa katika uwanja wa Kimataifa wa Moi, Kasarani Nairobi ambapo ndipo Dk. William Ruto ataapishwa kuwa...
By Gabriel MushiSeptember 13, 2022CHAMA cha ACT Wazalendo, kimeitaka Serikali kupitia Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali kufanya ukaguzi maalumu wa matumizi ya fedha za tozo ya...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022WAGOMBEA Ubunge wa Afrika Mashariki kupitia Chama cha Wananchi CUF wamedaiwa kuchezeana rafu baada ya baadhi yao kujipenyeza kwenye makundi ya wabunge na...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022MWENYEKITI wa Chama Cha CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amemteua Rashid Sudi Khamis, kuwa Naibu Mkurugenzi wa Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma wa...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2022WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana wamewachagua wagombea nane kati ya 26 watakaokwenda kugombea Ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) tarehe...
By Gabriel MushiSeptember 11, 2022WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), leo tarehe 10 Septemba, 2022 wanatarajiwa kufanya uchaguzi wa ndani wa wagombea wa ubunge wa Bunge...
By Masalu ErastoSeptember 10, 2022SEKRETARIETI ya chama cha TLP imemchagua aliyekuwa Makamu Mwenyekiti Zanzibar, Hamadi Mkadamu kuwa kaimu mwenyekiti taifa wa chama hicho kufuatia kifo cha...
By Masalu ErastoSeptember 9, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha aliyekuwa kiongozi wa kimila nchini Uingereza, Malkia Elizabeth II....
By Regina MkondeSeptember 9, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ametaka mkazo zaidi uwekewe kwenye kufundisha na kueneza sera mpya ya R-Nne inayohusu upatanishi, kuvumiliana, kuishi pamoja na...
By Masalu ErastoSeptember 8, 2022KAMATI Kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM imeiagiza serikali kusikiliza maoni na ushauri wa wananchi kuhusu utekezaji wa bajeti ya...
By Masalu ErastoSeptember 8, 2022OFISI ya Waziri Mkuu Kivuli ya Chama Cha ACT Wazalendo, imefanya mabadiliko ya Baraza Kivuli la Mawaziri ikiwa ni mara ya kwanza...
By Masalu ErastoSeptember 8, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo kimemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, awawajibishe viongozi wanaochochea migogoro ya wakulima na wafugaji Kwa kushindwa kusimamia vyema matumizi ya...
By Mwandishi WetuSeptember 8, 2022MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imewazuia “viongozi” tisa wa NCCR- Mageuzi, kutojihusisha na uendeshaji wa shughuli ndani ya chama hicho. Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 7, 2022MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeanza kusikiliza ombi namba 150 la mwaka 2022 lilifunguliwa na wanachama wawili wa Chama cha NCCR-Mageuzi...
By Gabriel MushiSeptember 7, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan amempongeza Liz Truss kwa kuchaguliwa kuwa waziri mkuu mpya wa Uingereza na kuchukua nafasi ya Boris Johnson. Anaripoti Apaikunda...
By Gabriel MushiSeptember 7, 2022MAKAMU Rais Dk. Philip Mpango leo tarehe 5 Septemba, 2022, amewasili Kigali nchini Rwanda Kumwakilisha Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania...
By Masalu ErastoSeptember 5, 2022