Friday , 29 March 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Samia awagomea UWT kusimama na mtu

  RAIS Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM ameutaka Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) kuacha kusimama na mtu badala yake...

Habari za Siasa

CUF yamtaka Rais Samia “atembee kwenye maneno yake kwa vitendo”

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, atimize ahadi yake ya kujenga maridhiano na kuimarisha demokrasia ya vyama vingi, kwa...

Habari za Siasa

Kinana: Wasio tutakia mema wanatutoa kwenye ajenda muhimu

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amesema wasiokitakia mema chama hicho wanawatoa kwenye ajenda muhimu na kujikuta wakijadili mambo...

Habari za SiasaTangulizi

Watunza kumbukumbu za umma sasa kula kiapo

  WATUNZA kumbukumbu na nyaraka za Serikali sasa watalazimika kula kiapo cha maadili ya kazi yao kutokana na kile kilichoelezwa ni unyeti wa...

Habari za Siasa

Rais Samia: Jenista ni jembe, kiraka

  RAIS wa Tanzania, Samia Sulkuhu Hssan amempongeza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Jenister Mhagama kwa kuweza...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu awavaa CCM

  MWENYEKITI wa Kamati ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashekhe ya Maadili Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu ya Dini...

Habari za Siasa

Chadema yataka Serikali za majimbo

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema kitaendelea kupigania upatikanaji wa Serikali ya Majimbo, ili kushusha mamlaka kwa wananchi. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatinga Ulaya kudai katiba mpya, tume huru 

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kinafanya ziara barani Ulaya kwa ajili ya kutafuta uungwaji mkono na Jumuiya za Kimataifa katika msuala...

Habari za Siasa

Spika Tulia: UVCCM msikae kimya

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, ameutaka Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), usikae kimya katika kuwaeleza wananchi maendeleo...

Habari za Siasa

BAVICHA kuongoza vijana wa vyama vya demokrasia Afrika

BARAZA la Vijana la Chama cha Chadema (BAVICHA), litaongoza Umoja wa Vijana wa Afrika kutoka vyama vya kidemokrasia (YDUA), katika kipindi cha mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi huru na haki ni msingi wa demokrasia: Dk. Jingu

  KATIBU Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Dk. John Jingu, amefunga warsha ya siku nne kwa makamishna na maafisa...

Habari za SiasaTangulizi

Waziri Mbarawa atoa ripoti ajali ya ndege hadharani, “mhudumu ndiye aliyefungua mlango”

  SERIKALI ya Tanzania, imetoa taarifa rasmi kuhusu ripoti ya awali ya uchunguzi wa ajali ya ndege ya Precision Air, ikisema ilitumbukia ziwani...

Habari za Siasa

Zitto atilia shaka utekelezaji ripoti kikosi kazi, ataka Serikali itoe ratiba

  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, ameitaka Serikali itoe ratiba ya utekelezaji wa mapendekezo ya Kikosi cha Rais Samia Suluhu...

Habari za Siasa

Rais Samia: TLS ilikuwa chama cha wanaharakati

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema miaka ya nyuma chama cha Sheria Tanganyika (TLS) kilikuwa si chama cha wanasheria bali wanaharakati...

Habari za Siasa

Rais Samia asema mafanikio ya kiuchumi bila haki si endelevu

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kuwa mafanikio ya kiuchumi yanayotokana na mbinu zinakiuka misingi ya haki na utawala bora hayawezi kuwa endelevu....

Habari za Siasa

Prof. Lipumba amng’oa kigogo CUF

  MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje, Bunge na Sera wa chama...

Habari za Siasa

Rais Samia aonya wanasiasa wanaotetea wavamizi wa ardhi kisa kura

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka wanasiasa kuacha kuchochea migogoro ya ardhi kwa kutetea wavamizi wa ardhi kwa malengo ya kisiasa....

Habari za Siasa

Rais Samia ahimiza wananchi kuendeleza juhudi za kilimo

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewahimiza wananchi kuendeleza juhudi katika kilimo kwani Seerikali imechukua hatua za kukuza kilimo nchini. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Bashe: Matokeo ya uwekezeji kilimo hayatokei siku moja

  WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amewataka Watanzania wasidhani kwamba matokeo ya jitihada za Serikali kuboresha sekta ya kilimo yanatokea siku moja bali...

Habari za Siasa

Samia: Wananchi jipindeni kufanya kazi

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Watanzania kujipinda kufanya kazi ili mapato yapatikane kusukuma gurudumu la maendeleo ya Taifa hasa ikizingatiwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Nape apiga ‘stop’ bei za bando kupanda

  KAMPUNI za mawasiliano ya simu nchini zimetakiwa kutobadilisha bei za vifurushi hadi pale matokeo ya tathmini kuhusu gharama za utoaji huduma hiyo...

Habari za SiasaTangulizi

Rushwa yasababisha chaguzi 3 CCM kusimamishwa

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesimamisha chaguzi tatu kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali ikiwemo za rushwa zilizoibuliwa, ili kuchukua hatua kwa ajili ya...

Habari za Siasa

Dk. Rose Rwakatare Mwenyekiti mpya Jumuiya ya Wazazi Morogoro

Dk. Rose Rwakatare ameibuka na ushindi wa kishindo kwenye nafasi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Mkoa wa Morogoro. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awafunda mabalozi, awapa mwelekeo mpya

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi kuangalia vipaumbele vya Taifa ikiwemo kufanya mapitio ya sera ya mambo...

Habari za Siasa

Taasisi za sekta ya ujenzi Bara, Zanzibar zabadilishana uzoefu

  Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa, ameishauri Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi na Wizara ya Ardhi, Maendeleo na Makazi...

Habari za Siasa

Miss Tz 2018 achomoza kinyang’anyiro ujumbe NEC-CCM

  MISS Tanzania 2018 – Queenelizabeth Makune ameteuliwa na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kugombea nafasi ya Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM...

Habari za Siasa

Rais Dk. Mwinyi ateua viongozi

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, leo Jumatano, tarehe 16 Novemba 2022, amefanya uteuzi wa viongozi wawili, akiwemo Dk. Sharifa Omar Salim,...

Habari za SiasaTangulizi

ACT hatarini kujiondoa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar

  KAMATI maalum ya Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo upande wa Zanzibar, imeagiza Sekretarieti ya chama hicho kuratibu vikao vya viongozi na wanachama kwa...

Habari za Siasa

Kilango aanzisha miradi kusaka kura Serikali za mitaa

  MBUNGE wa Same Mashariki, Anne Kilango (CCM) ameazisha miradi ya viti vya kukodisha kwa ajili ya biashara kwenye kata 14 katika jimbo...

Habari za SiasaTangulizi

Baraza la Mawaziri latoa maelekezo ajali ya Precision

BARAZA la Mawaziri nchini Tanzania limeelekeza vitengo vyote vinavyohusika na kukabiliana na majanga viimarishwe ili kuongeza uwezo wa kukabiliana na majanga. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia, Dk. Mwinyi kukutana na mabalozi 45 wa Tanzania

    JUMLA ya mabalozi 45 wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani wanatarajiwa kukutana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia...

Habari za Siasa

Tanzania kupokea bilioni 121 kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Selemani Jafo amesema mwaka huu Tanzania inatarajia kupokea mgawo wa Dola...

Habari za Siasa

Bilioni 60 zatengwa kuchangamkia fursa ya mabondo ya samaki China

KATIKA kuchangamkia fursa ya soko la mabondo ya samaki nchini China, Serikali imeongeza bajeti ya kiasi cha Sh bilioni 60 katika sekta ya...

Habari za Siasa

Rais Samia awataka wananchi wazoee tozo “ile kitu bure kidogokidogo itaondoka”

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wazoee tozo zinazotozwa katika baadhi ya huduma za usafirishaji, kwa kuwa barabara za kulipiwa zitajengwa nyingi...

Habari za Siasa

Wabunge wamchangia Majaliwa Sh. 5 Mil, Spika amtaka awakumbuke waliomwokoa

  MAJALIWA Jackson, mvuvi aliyesaidia zoezi la kuwaokoa manusura wa ajali ya ndege ya Kampuni ya Precision Air mkoani Kagera, amechangiwa pesa kiasi...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo wapinga uteuzi wa Mkurugenzi wa ZEC

  CHAMA cha ACT-Wazalendo kupitia Ofisi ya Katibu Mkuu Taifa, kimeinga uteuzi wa Mkurugenzi mpya wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Thabit Idarous...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema waigomea Tume ya marekebisho ya Sheria, wataja sababu saba

CHAMA cha Demokrasis na Maendelea (Chadema) kimewaagiza viongozi wake ngazi kanda, mikoa na majimbo kutoshiriki vikao vinavyotarajiwa kuanza kesho na kuratibwa na Tume...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Tudai uwajibikaji ajali ya ndege Bukoba

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)- Bara, Tundu Lissu amesema kutokana na ajali ya ndege ya Precision Air iliyotokea Novemba...

Habari za SiasaTangulizi

Profesa Muhongo:Tumeshuka kutoka uchumi wa kati

MBUNGE wa Musoma Vijijini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema Tanzania haipo tena miongoni mwa nchi za uchumi wa kati kwa vigezo vilivyotolewa na Benki...

Habari za Siasa

Pareso aiambia mahakama alihofia usalama wake wito Chadema

  MBUNGE Viti Maalum, Cecilia Pareso, amedai alishindwa kufika katika kikao cha Kamati Kuu ya Chadema, cha tarehe 27 Novemba 2020, kujibu tuhuma...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waendelea kuing’ang’ania Chadema mahakamani

  BAADHI ya wabunge viti maalum wameendelea kudai katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu jijini Dar es Salaam, kwamba Chama cha Chadema kiliwateua kushika...

Habari za SiasaTangulizi

Aliyefariki kwenye foleni ya mbolea azua zogo bungeni

  TAARIFA za mwananchi aliyedaiwa kupoteza maisha akiwa kwenye foleni ya mbolea wilayani Songea mkoani Ruvuma, zimeibua mvutano mkali bungeni baada ya Mbunge...

Habari za Siasa

Msilalamike, tunadhibiti uhalifu – Mwinyi

  MALALAMIKO yaliyojaa mitaani yakihusu mfumo wa kukabiliana na kukua kwa kiwango cha uhalifu Zanzibar hayajamsukuma Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi...

Habari za SiasaTangulizi

Shigongo ataka wasio waadilifu wachapwe viboko

  MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo (CCM) amependekeza watumishi wa umma wasio waadilifu wachapwe viboko ili kukomesha ubadhirifu wa fedha za umma pamoja...

Habari za Siasa

Mwenzake Mdee adai Chadema iliwapa mashtaka mapya

  MBUNGE Viti Maalum, Nusrat Hanje, amedai Chama Cha Chadema, kiliwafanyia umafia katika mchakato wa kuwavua uanachama. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Hanje apasua ‘jipu’ Mahakamani, awataja Mnyika na Mbowe uteuzi wake

  MBUNGE Viti Maalum, Nusrat Hanje, ameshauri suala lao la kupinga kuvuliwa uanachama wa Chadema, lirudishwe ndani ya chama hicho, kwani kuendelea kuwepo...

Habari za SiasaTangulizi

Nusrat Hanje ashangaa Chadema kumteua mbunge kisha kumkataa hadharani

  MBUNGE Viti Maalum, Nusrat Hanje, amedai alikosa nafasi ya kujitetea kwa mdomo katika Baraza Kuu la Chadema, Ili kueleza viongozi wake waliomteua...

Habari za Siasa

Bunge laibana Serikali mkataba wa KADCO

  BUNGE la Tanzania limeitaka Serikali kutoa ufafanuzi wa kwanini mkataba wa Kampuni ya Uendeshaji wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro...

Habari za Siasa

Mongela: Hakuna baba anayetaka mwanamke anayenuka moshi, tukomboke!

  MWANASIASA mkongwe na mwanaharakati wa masuala ya wanawake, Balozi Getrude Mongella ametoa wito kwa wanawake kujikomboa kutoka kwenye matumizi ya nishati chafu...

Habari za SiasaTangulizi

Mvutano waibuka mwenzake Mdee akihojiwa mahakamani, adai Wakili alimpania

  MVUTANO mkali umeibuka kati ya Wakili wa Chadema, Peter Kibatala na mleta maombi namba 11, Hawa Mwaifunga, kuhusu ajenda za kikao Cha...

error: Content is protected !!