CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Taifa kimeitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuweka mfumo utakaotumika na kufanya msamaha wa Kodi kutokuwa kikwazo na...
By Christina HauleFebruary 1, 2023KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amesema vigingi vilivyowekwa kwenye misamaha ya kodi ndio kikwazo kikubwa kinachosababisha kuchelewa kukamilika...
By Christina HauleFebruary 1, 2023HUENDA Serikali nchini Tanzania ikaja na utaratibu mpya wa kupanga shule bora na zile za nafasi za mwisho baada ya kufutilia mbali...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2023RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema ni vyema utaratibu wa usuluhushi upewe kipaumbele katika utatuzi wa migogoro...
By Mwandishi WetuFebruary 1, 2023WAZIRI wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, ameiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kuzichukuliwa hatua kampuni za mawasiliano ya simu...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023MBUNGE wa Kisesa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luhaga Mpina, ameliomba Bunge kuitisha mchakato wote wa manunuzi wa mkataba wa mkandarasi wa...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, ameitaka Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kuwasilisha bungeni taarifa ya watu wanaodaiwa kuwapa ujauzito wanafunzi...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amesema muitikio mkubwa wa wanachama wa chama hicho katika mikutano ya hadhara,...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, ameitaka tume aliyoiunda kuangalia jinsi ya kuboresha taasisi za haki jinai nchini, kukamilisha kazi hiyo ndani ya miezi...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023MBUNGE wa kuteuliwa na Rais, Dk. Bashiru Ally, ameitaka Serikali kuja na mikakati ya kutatua changamoto ya mfumuko wa bei za vyakula huku...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeutaka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), iwachukulie hatua za kisheria wapangaji wake wanaodaiwa malimbikizo ya...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imelitaka Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), kuajiri watangazaji au wasanii wenye vipaji badala ya kuajiri wenye...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Daktari Hussein Mwinyi, amewataka wafanyabiashara visiwani humo, kupunguza bei za bidhaa hususan vyakula, ili kuwasaidia wananchi wasiokuwa...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023KATIBU mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ameisisitiza Wakala wa barabara Tanzania (TANROADS) kumsimamia kikamilifu mkandarasi anaye jenga kwa kiwango cha...
By Christina HauleJanuary 31, 2023MBUNGE wa Arusha Mjini (CCM), Mrisho Gambo, amekataa kupokea taarifa ya Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, iliyoeleza kwamba mfumuko...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, ameitaka Tume ya kuangalia namna ya kuboresha taasisi za haki jinai, ikapitie mchakato kisheria wa makubaliano ya kukiri...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema hapo awali alikuwa anaogopa kuingia katika majengo ya mahakama na polisi, akieleza kuwa alihisi huenda akageuziwa kibao...
By Mwandishi WetuJanuary 31, 2023KATIBU mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema Chama hicho hakiko tayari kuacha kuhoji na kufuatilia kwa Ukaribu Miradi mbalimbali...
By Christina HauleJanuary 30, 2023KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Daniel Chongolo amempa siku 7 Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kufika katika Kijiji Cha Mvumi...
By Christina HauleJanuary 30, 2023MWENYEKITI wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Juma Duni Haji amesema chama chake kitaitumia mikutano yahadhara kuisema Serikali kuhusu yale wanayopaswa kuyafanya kwa...
By Mwandishi WetuJanuary 30, 2023KATIBU mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Daniel Chongolo amesema ipo haja ya Waziri wa Kilimo Hussein Bashe kutembelea na kutatua mgogoro...
By Christina HauleJanuary 29, 2023JESHI la Polisi nchini limeombwa kufanya uchunguzi wa kina utakaosaidia kupatikana kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Vijana wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Jovine Clinton,...
By Mwandishi WetuJanuary 28, 2023MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa kesi iliyofunguliwa na wajumbe wa zamani wa Bodi ya Wadhamini...
By Mwandishi WetuJanuary 26, 2023MAKAMU mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema Bara, Tundu Lissu, amesema amekuja na “dawa” ya kupanda kwa bei za vitu kulikosababisha...
By Jonas MushiJanuary 25, 2023MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-Chadema, Tundu Lissu, amesema safari ya miaka 30 ya vyama vingi nchini Tanzania ilikuwa haikuwa...
By Mwandishi WetuJanuary 25, 2023MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) – Bara, Tundu Lissu amewasili rasmi nchini Tanzania leo Jumatano tarehe 25 Januari 2023...
By Mwandishi WetuJanuary 25, 2023BAADA ya takribani miaka mitano nje ya nchi, hatimaye mwanasiasa wa upinzani, mbunge wa zamani wa Singida Mashariki na mwanasheria nguli, Makamu Mwenyekiti...
By Mwandishi WetuJanuary 25, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan ameteua wakuu wa wilaya wapya 37, kuwahamisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 48 na wengine 55 kubakia kwenye...
By Mwandishi WetuJanuary 25, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan ameteua wakuu wa wilaya wapya 37, kuwahamisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 48 na wengine 55 kubakia kwenye...
By Mwandishi WetuJanuary 25, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan ameteua wakuu wa wilaya wapya 37, kuwahamisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 48 na wengine 55 kubakia kwenye...
By Mwandishi WetuJanuary 25, 2023WAJUMBE wa zamani wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha NCCR-Mageuzi, wameendelea kupambana mahakamani kupinga uteuzi wa wajumbe wapya, wakidai ulifanyika kinyume...
By Mwandishi WetuJanuary 24, 2023KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Danieli Chongolo, amewatahadharisha wanachama wa chama hicho ambao walipata dhamana ya uongozi wa Serikali za...
By Danson KaijageJanuary 24, 2023MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu, anatarajia kurejea nchini kesho tarehe 25 Januari, 2023 saa saba na...
By Mwandishi WetuJanuary 24, 2023UPANDE wa wajibu maombi katika kesi Na. 570/2023, iliyofunguliwa na wajumbe wa zamani wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha NCCR- Mageuzi,...
By Regina MkondeJanuary 24, 2023MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewaomba radhi wanawake kwa kuwaita mademu wakati anahutubia mkutano wa hadhara uliofanyika...
By Mwandishi WetuJanuary 23, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeitaka Serikali itoe ripoti ya mapato na matumizi ya fedha zilizotokana na madini yaliyochimbwa katika kipindi...
By Mwandishi WetuJanuary 23, 2023ALIYEKUWA Mbunge wa Tarime Mjini kupitia Chama cha Chadema, John Heche, amesema Askari Polisi wameona madhara ya kukosekana wabunge wa upinzani bungeni...
By Mwandishi WetuJanuary 23, 2023MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, kesho Jumanne, tarehe 24 Januari 2023, itaanza kusikiliza kesi Na. 570/2022, iliyofunguliwa na...
By Mwandishi WetuJanuary 23, 2023MBUNGE wa Igunga mkoani Tabora, Nicholas Ngassa (CCM), anatarajia kutumia kiasi cha Sh milioni 480 kwa ajili ujenzi wa ofisi za kata...
By Mwandishi WetuJanuary 23, 2023MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amesema uamuzi wa kuzuia mikutano ya hadhara kwa kipindi cha miaka saba cha uongozi wa Rais Dk. John...
By Mwandishi WetuJanuary 22, 2023ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu, amesema umefika wakati kila raia amiliki ardhi yake badala ya Rais kupewa mamlaka...
By Mwandishi WetuJanuary 22, 2023KAMATI Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo imeitaka Seriakali kutoa ratiba ya mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya na ule wa kupata Tume...
By Mwandishi WetuJanuary 22, 2023MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amesema anatambua kuwa ni vigumu kuwaeleza Watanzania na dunia kwamba anampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kukubali...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2023MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe leo Jumamosi amesema kashfa ya kutuhumiwa kuwa amekula rushwa au amelamba asali ili kushiriki maridhiano ya kitaifa...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2023MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chadema, John Heche amemtaka Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kuacha kulazimisha watu kujiunga na mpango wa bima...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2023ALIYEKUWA kuwa Mbunge wa Mbeya mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amempongeza Rais Samia Suluhu...
By Mwandishi WetuJanuary 21, 2023KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Sophia Mjema, ametoa wiki moja kwa Wizara ya Elimu, Sayansi na...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2023MWITIKIO wa wanachama na Watanzania wanaojitokeza kuchangia gharama za mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu, umezidi kuongezeka ambapo hadi...
By Mwandishi WetuJanuary 20, 2023MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango amezitaka Mamlaka za Maji pamoja na wadau wengine wa sekta hiyo kuongeza weledi katika usimamizi wa...
By Mwandishi WetuJanuary 19, 2023WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, George Simbachawene amewataka watumishi wa ofisi yake kufanya kazi zenye ufanisi...
By Danson KaijageJanuary 19, 2023