Thursday , 25 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari MchanganyikoTangulizi

Silaa asimamisha matumizi ya kituo cha mafuta cha Barrel Dar

  WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amesimamisha matumizi ya Kituo cha Mafuta cha Barrel Petrol Energy cha Mikocheni...

Habari Mchanganyiko

Bihimba atoa msaada wagonjwa Kivule, aomba ukarabati barabara

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya, ametoa msaada wa fedha kwa Taasisi ya Jamiiyatul Akhlaaqul Islaam (JAI), kwa ajili ya kuhudumia chakula wagonjwa wanaohitaji msaada...

Habari Mchanganyiko

NBC yafikisha huduma ya miamala kupitia Mashine ya POS katika Mlima Kilimanjaro

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo Ijumaa imewapokea wafanyakazi wake na wadau mbalimbali wa utalii wakiwemo waandishi wa habari mkoani Kilimanjaro ambao...

Habari Mchanganyiko

Waumini wamefanya maombi kulaani vibaka

Waumini wa makanisa, mtaa wa Sanare kata ya Daraja mbili Jijini Arusha, wameungana na kufanya maombi ya pamoja kulaani vibaka wanaosumbua mtaani hapo...

Habari Mchanganyiko

Mkoa wa Njombe watumia fedha za TASAF bil 29 kuokoa kaya maskini

  MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) Mkoa wa Njombe umesemaimetumia Sh. 29 bilioni kwa ajili ya kusaidia kaya maskini kupata mahitaji muhimu...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar wadaka watuhumiwa usambazaji picha za ngono

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wawili wanaotuhumiwa kuwapa dawa za kulevya wanawake bila kujijua kisha kuwapiga picha...

Habari Mchanganyiko

RC Dodoma atangaza vita kwa madereva wanaotupa taka hovyo

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rossemary Senyamule ametangaza kiama kwa waendesha magari yaendayo mikoani ambao watatupa takataka pembezoni mwa barabara zote zilizopo katika...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aikabidhi NBC tuzo ya heshima kwa kukuza sekta ya viwanda

Rais Samia Suluhu Hassan amekabidhi tuzo ya heshima  kwa benki ya Taifa ya Biashara (NBC) ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa benki...

Habari Mchanganyiko

SUKITA yatumia michezo kufikisha elimu ukatili kwa jamii

SHIRIKA la Usawa wa Kijinsia Tanzania (SUKITA), limeamua kutumia michezo kama mbinu ya kufikisha elimu ya kupambana na ukatili wa kijinsia kwa jamii....

Habari Mchanganyiko

Tuzo za PMYA zamfurahisha Rais Samia

RAIS Samia Suluhu Hassan, amelipongeza Shirikisho la Wenye Viwanda nchini (CTI) kwa namna namna linavyokuwa mwaka hadi mwaka na kuboresha tuzo za wenye...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yapongezwa kurejesha amani DRC, ICGLR

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepongezwa kwa kuendelea kuwa mstari wa mbele kurejesha amani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na...

Habari Mchanganyiko

Serikali yawarejesha waathirika 460, bilioni 4.7 zakusanywa kuwafariji

SERIKALI imesema imewarejesha kwa ndugu zao waathirika 460 kati ya 500, wa maporomoko ya udongo yaliyotokea hivi karibuni kwenye Mji Mdogo wa Katesh,...

Habari Mchanganyiko

MSCL kujenga meli ya mizigo, abiria kwenda visiwa vya Comoro na Shelisheli

  KAMPUNI ya Huduma za Meli (MSCL) imesema kuwa ipo katika mipango ya kukarabati Meli 13 na Kujenga Meli mpya tisa (9) ifikapo...

Habari Mchanganyiko

Watumishi wa ardhi watakiwa kutatua migogoro ya ardhi

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Geophrey Pinda amekutana na kuzungumza na watumishi wa Wizara hiyo pamoja na watumishi wa...

Habari Mchanganyiko

Wahitimu NCT watakiwa kuleta mageuzi kwa watalii

Wahitimu wa Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT)  wametakiwa kuleta mageuzi katika utoaji huduma bora kwa watalii na wageni wanaotembelea hifadhi na vivutio...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya mauaji Kakonko kutajwa Desemba 28

KESI ya mauaji inayowakabili maofisa uhamiaji  watatu wilayani Kakonko waliofikishwa kizimbani kwa tuhuma za kumuua Enos Elias itatajwa tarehe 28 Desemba mwaka huu....

BiasharaHabari Mchanganyiko

Hati Fungani ya NMB jamii yaandika historia kwa kukusanya bilioni 400

Historia imeandikwa katika Masoko ya Mitaji Afrika Mashariki, baada ya Hati Fungani ya NMB Jamii kukusanya Sh 400 bilioni ikiwa ni zaidi ya...

Habari Mchanganyiko

NBC yatoa msaada wa mil. 20 kwa waathirika mafuriko Hanang

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) sambamba na wafanyakazi wa benki hiyo leo wamekabidhi msaada wa fedha taslimu kiasi cha Sh milioni 10,...

Habari Mchanganyiko

Polisi wadaka mirungi kwenye basi la Extra Luxury

Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro limekamata shehena ya dawa za kulevya aina ya mirungi ndani ya basi la Extra Luxury lenye namba za...

Habari Mchanganyiko

Oryx yaungana na jamii kuwafariji waathirika maporomoko Hanang

KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imeungana na Watanzania kutoa pole kwa wananchi wa Hanang waliofikwa na maafa ya mafuriko yaliyosababisha vifo na majeruhi...

Habari Mchanganyiko

Amsons Group watoa milioni 100 waathirika maafa Hanang

KAMPUNI ya Amsons Group kupitia kampuni zake za Camel Oil na Camel Cement zimekabidhi hundi ya Sh.milioni 100 kwa Serikali kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya mfanyakazi wa CRDB itaendelea J’tatu

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam inatarajia kuendelea kusikiliza kesi ya tuhuma za shambulio la mwili Jumatatu inayomkabili mfanyakazi wa...

Habari Mchanganyiko

Mawasiliano Dar – Bagamoyo yarejea

MAWASILIANO ya barabara ya Mkoa wa Pwani na Dar es Salaam, kupitia Bagamoyo, yaliyokuwa yamefungwa baada ya sehemu ya Daraja la Mto Mpiji...

Habari Mchanganyiko

Tanesco: Mvua chanzo kukatika umeme leo

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limedai kuwa hitilafu iliyojitokeza katika Gridi Taifa leo tarehe 8 Disemba 2023 majira ya saa 04:14 asubuhi, ndiyo...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Zara tours yajivunia kupandisha wageni 228 Mlima Kilimanjaro

Kampuni ya utalii ya Zara tours ya mjini Moshi mkoani Kilimanjaro kwa mara nyingine imeingia katika historia mpya kupandisha wageni wengi katika mlima...

AfyaHabari Mchanganyiko

NBC, Taasisi ya Benjamini Mkapa wazindua ufadhili mafunzo ya ukunga kwa wauguzi 50

Benki ya NBC kwa kushirikiana na taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation wamezidua rasmi utekelezaji wa mpango wa ufadhili wa masomo ya ukunga kwa...

Habari Mchanganyiko

Mitandao ya simu, Benki wapewa mbinu kupambana na ujangili

WADAU wa maliasili wamekutana kujadili namna ya kudhibiti mianya ya upitishaji miamala ya fedha kwa njia mitindao na benki inayolenga kufadhili biashara ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu aliburuza kanisa la Kakobe mahakamani

BARAZA la Usuluhishi wa Migogoro ya Ardhi Kata ya Bahi mkoani Dodoma limeahirisha kesi ya malalamiko ya ardhi iliyofunguliwa na Askofu mkuu wa...

Habari Mchanganyiko

Viongozi wa kimila wamuahidi RPC Songwe kutokomeza ukatili, uhalifu

UONGOZI wa wazee wa mila mkoani Songwe  wamejitokeza kumuunga mkono Kamanda wa polisi mkoa huo, Theopista Mallya katika harakati za kuendeleza mapambano dhidi...

Habari Mchanganyiko

“Huduma ziwafikie walengwa maporomoko yaliyoua 69 Hanang”

MTANDAO wa Asasi za Kiraia za Sekta ya Maji na Usafi wa Mazingira (TAWASANET) umetoa wito kwa serikali na wadau wengine kudumisha ushirikiano...

Habari Mchanganyiko

Mawakili vijana kufanya matembezi kupinga wenzao kufungiwa

CHAMA cha Mawakili Vijana kutoka Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS), kimepanga kufanya matembezi ya amani ili kupinga tabia ya wanataaluma hao kufungiwa...

Habari Mchanganyiko

OSHA yaongeza maeneo ya kazi kufikia 30,309

WAKALA wa Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA), umesema kwa kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wa Rais Samia Suluhu wamepata mafanikio...

BiasharaHabari Mchanganyiko

‘BetPawa Dream Maker’ kutimiza ndoto miradi 20 ya kijamii

Jumla ya miradi 20 inayohusu masuala ya afya, usafi wa mazingira, maji, ujasiriamali na ubunifu imechaguliwa katika awamu ya pili ya kampeni ya...

Habari Mchanganyiko

Shura ya Maimamu kukata rufaa kupinga Sheikh kufungwa miaka 7

SHURA ya Maimamu Tanzania, inakusudia kukata rufaa dhidi ya hukumu ya kwenda jela miaka saba, aliyohukumiwa Sheikh Dua Said Linyama, baada ya kukutwa...

Habari Mchanganyiko

TMA yaagizwa kutangaza mafanikio yao kikanda, kimataifa

  KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara ameiagiza Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kutangaza mafanikio ya taasisi yanayopatikana kikanda,...

Habari Mchanganyiko

NMB yasaidia waathirika wa mafuriko, maporomoko Hanang

Waathirika wa maporomoko ya tope Wilayani Hanang, mkoani Manyara, waliopoteza ndugu zao, makazi, pamoja na mali, wamepatiwa misaada ya kibinadamu na Benki ya...

Habari Mchanganyiko

TPF-NET Arusha yaonya jamii ya wafugaji zinazoendeleza ukatili wa watoto na wanawake

  MTANDAO wa Polisi wanawake wa Arusha kuelekea siku 12 za kupinga ukatili umeendelea na kutoa elimu kwa makundi mbalimbali ambapo wametoa elimu...

Habari Mchanganyiko

Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Greyhorse zasaini mkataba wa bil.7.4

TAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) imesaini mkataba wa miaka 10 wa dola za Marekani milioni tatu (Sh bilioni 7.4) na Kampuni ya Greyhorse...

Habari Mchanganyiko

RPC Songwe awafunda trafki kuzingatia uadilifu

ASKARI wa kikosi cha usalama barabarani mkoani Songwe wametakiwa kuendelea kufanyakazi kwa kuzingatia haki, weledi na uadilifu hatua ambayo itachangia kudhibiti vitendo vya...

Habari Mchanganyiko

Mchimba madini jela maisha kwa kubaka, alihonga Sh 500

Mahakama ya wilaya ya Songwe imemtia hatiani na kumhukumu kifungo cha maisha gerezani mshtakiwa Dickson Mbadame (32) – mchimbaji wa madini kwa kosa...

Habari Mchanganyiko

Mlima wa Moto wazindua kongamano la SHILO kumuenzi Rwakatare

KANISA la Mlima wa Moto Mikocheni jijini Dar es Salaam, limezindua kongamano liitwalo SHILO kama sehemu ya kumuenzi mwanzilishi wa Kanisa hilo, Hayati...

Habari MchanganyikoTangulizi

20 wafariki dunia kwa mafuriko Manyara

MVUA za vuli zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimeleta madhara katika mkoa wa Manyara baada ya kuripotiwa vifo 20 vilivyosababishwa na mafuriko katika...

ElimuHabari Mchanganyiko

CEO NMB awataka vijana kunoa ujuzi wao

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, amewashauri vijana nchini Tanzania kunoa ujuzi wao wa karne ya 21 ili kufanikiwa katika...

Habari Mchanganyiko

TARURA kujenga madaraja 189 kwa teknolojia ya mawe

Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imejipanga kujenga madaraja 189 kwa kutumia teknolojia ya mawe katika mikoa yote 26 nchi nzima...

AfyaHabari Mchanganyiko

Majaliwa aipongeza GGML mapambano dhidi ya Ukimwi

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) pamoja na wadau wengine kwa kuiunga mkono Serikali kwa mchango wa...

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML waungana na Biteko kuanika mbinu za mapambano dhidi ya Ukimwi

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewataka wadau mbalimbali wanaohusika na mapambano dhidi ya UKIMWI nchini kwa kushirikiana na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwalimu jela miaka mitatu kwa rushwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi, wilaya ya Igunga, mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha miaka mitatu gerezani, Jesca Jones Yegera (60) baada ya kupatikana na...

Habari Mchanganyiko

Waziri Bashungwa aagiza wahandisi kujengewa uwezo

WAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameiagiza Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) kushirikiana na Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET) kuweka utaratibu endelevu wa...

Habari Mchanganyiko

Heche ataka mawakili vijana kuamka sakata Mpoki

MWENYEKITI wa Mawakili Vijana Tanzania kutoka Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS), Edward Heche, amewataka wanachama wake kuchukua hatua pindi watakapoona sekta ya...

error: Content is protected !!