Friday , 19 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Mwandishi ITV afariki ajalini, mwenzake…

  MWANDISHI wa habari wa ITV na Redio One, Mkoa wa Songwe, nchini Tanzania, Gabriel Kandonga amefariki dunia. Anaripoti Mwandishi Wetu, Songwe …...

AfyaHabari Mchanganyiko

Mtambo achangia ujenzi zahanati kijiji Dondo, wananchi…

  MHANDISI Mohamed Mtambo, aliyekuwa mgombea Ubunge wa Mkuranga (ACT-Wazalendo) mkoani Pwani ametoa Sh.500,000 kuchangia ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Dondo. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Kampeni ya ‘Vuna zaidi na NBC Shambani’ yawavutia wakulima wa Korosho Lindi na Mtwara

  CHANGAMOTO ya huduma za kifedha iliyokuwa ikiwakabili wakulima wa korosho mikoa ya Mtwara na Lindi ikiwemo kutopata mikopo kwa wakati na makato...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu aipongeza GGML kuajiri Watanzania 5,000

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameipongeza Kampuni ya Uchimbaji Dhahabu Geita (GGML) kwa kutoa ajira zaidi ya 5000 kwa Watanzania huku asilimia zaidi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

DPP afuta kesi ya Lissu na wenzake

  KESI ya jinai Namb. 208/2016 iliyohusu mashitaka ya uchochezi dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu...

Habari Mchanganyiko

Askari polisi 7 wa Tanzania walioingia Malawi watimuliwa

  ASKARI saba wa Jeshi la Polisi Tanzania wamefukuzwa kazi baada ya kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi kinyume cha utaratibu wa jeshi....

Habari Mchanganyiko

Huawei Yawapiga msasa watalaam 19 wa Tehama kuendana na mabadiliko ya Tehama.

  KAMPUNI ya Huawei Tanzania  kwa kushirikiana na Tume ya Tehama imetoa mafunzo kwa wataalamu 19 wa Tehama kutoka katika sekta ya umma...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sheikh Alhad akerwa na maaskofu wa mitaani

  SHEIKH wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Alhad Mussa Salum amebainisha mambo mawili ambayo dini za Kiislamu na Kikristu zinatofautiana...

Habari Mchanganyiko

Mapadre Mchamungu, Msomba wawekwa wakfu uaskofu Dar

  MAPADRE Stephano Msomba na Henry Mchamungu wamewekwa wakfu wa kuwa maaskofu wasaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam nchini Tanzania....

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Benki ya Exim wafanya usafi ufukwe Ocean Road

Wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha mikopo wa benki hiyo, Zainab Nungu (katikati) wakishiriki zoezi la usafi...

AfyaHabari Mchanganyiko

Vituo chanjo ya Corona vyaongezwa, Msigwa awapa neno wasiochanjwa

  SERIKALI ya Tanzania imeongeza vituo vya utoaji huduma ya chanjo ya ugonjwa wa Corona (UVIKO-19), kutoka 550 hadi 6,784 nchi nzima. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

NBC yazindua kampeni ya NBC Shambani  kwa wakulima wa korosho Mtwara na Lindi

  SEPTEMBA 18, 2021:  Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kampeni maalum kwa wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya Mtwara...

Habari Mchanganyiko

Jaji mstaafu Othuman Chande apewa shavu ICC

  ALIYEKUWA Jaji Mkuu wa Tanzania, Othuman Chande, ameteuliwa na Mwendesha Mashitaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, inayojihusisha na uhalifu dhidi...

Habari Mchanganyiko

Makamu mkuu mstaafu UDSM afariki dunia

  ALIYEKUWA Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) nchini Tanzania, kati ya mwaka 1991-2006, Profesa Matthew Luhanga (73), amefariki...

Habari Mchanganyiko

Bodi ya Wakurugenzi Dawasa yazinduliwa, yapewa kazi

  WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso ameiagiza Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara 45,000 wageukia umachinga Dar

  MEYA wa Manispaa ya Kinondoni, Songoro Mnyonge amesema zaidi ya wafanyabiashara 45,000 waliokuwa kwenye mfumo rasmi mkoani Dar es Salaam wamegeukia umachinga...

Habari Mchanganyiko

Makala atoa mwezi mmoja kwa machinga kupangwa upya

  MKUU wa mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla ametoa muda wa mwezi mmoja kwa madawati ya uwezesha wananchi kiuchumi yaliyopo katika...

Habari Mchanganyiko

Mrema apata pigo

  MWENYEKITI wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema amepatwa na msiba wa mkewe Rose Mrema. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia kuendeleza kilimo Tanzania

  SERIKALI ya awamu ya sita nchini Tanzania inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imedhamiria kundeleza kilimo cha mazao ya chakula na biashara....

Habari Mchanganyiko

150 mbaroni kwa makosa ya jinai

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewatia mbaroni watuhumiwa zaidi ya 150 wa makosa ya jinai, 17 makosa ya...

Habari Mchanganyiko

Benki ya NBC, Manispaa Ilala watoa elimu ya biashara kwa wajasiriamali

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, jijini Dar es Salaam leo tarehe 16 Septemba...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rugemalira aachiwa huru

  MFANYABIASHARA James Rugemalira leo tarehe 16 Septemba, 2021 ameachiwa huru Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP)...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Exim wachangia matibabu mtoto mwenye matatizo ya moyo

  Kaimu Mkurugenzi Idara ya Fedha Benki ya Exim Bw Issa Rajabu (kushoto) akikabidhi msaada wa fedha taslimu kwa Muhasibu wa Taasisi ya...

Habari Mchanganyiko

Aweso atua Bukoba, aagiza milioni 420 za mkandarasi zilipwe

  WAZIRI wa Maji nchini, Jumaa Aweso amejionea hali ya mradi wa maji wa Kemondo-Maruku wilayani Bukoba Mkoa wa Kagera huku akitoa maagizo...

Habari Mchanganyiko

Dk. Kijaji awapa ujumbe watumishi wizara ya habari

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari nchini Tanzania, Dk. Ashatu Kijaji ameitaka menejimenti na watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi...

Habari Mchanganyiko

GGML yatoa mafunzo ya Covid-19 kwa waandishi wa habari 60 

KAMPUNI  ya uchimbaji wa Madini ya Dhahabu mkoani Geita (GGML) kwa kushirikiana na Ofisiya Mkuu wa Mkoa huo, imetoa mafunzo kwa waandishi wa...

Habari Mchanganyiko

Royal tour’ ya Rais Samia yaanza kumiminia watalii, KITS wachangamkia fursa

  WAKATI filamu ya ‘Royal Tour’ ikiwa katika maandalizi kabambe kutangaza vivutio vya utalii Tanzania, Kampuni ya kimataifa inayojihusisha na masuala ya utalii...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ripoti uchunguzi soko la Kariakoo kutua kwa Rais Samia

  RIPOTI ya uchunguzi wa ajali ya moto katika Soko la kimataifa la Kariakoo jijini Dar es Salaam, inatarajiwa kuwasilisha kwa Rais wa...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro atuma salamu kwa magaidi wa Msumbiji waliojificha Dar 

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi Tanzania , IGP Sirro, amesema wanazifanyia kazi taarifa za uwepo wa watuhumiwa wa vitendo vya  ugaidi waliokimbilia nchini, ...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kisa agizo la RC Dar…wamachinga waangua kilio, wamkumbuka JPM

  WAFANYABIASHARA wadogo maarufu kama ‘wamachinga’ wameiomba Serikali kupitia upya uamuzi wake wa kutaka kuwaondoa katika maeneo ya pembezoni mwa barabara katika soko...

Habari Mchanganyiko

Watumishi 174,222 wapandishwa vyeo

  SERIKLI imesema hadi kufikia tarehe 1 Septemba, 2021 jumla ya watumishi wa umma 174,222 wamepandishwa vyeo na kubadilishiwa mishahara yao. Pia imesema...

Habari Mchanganyiko

Aweso atangaza vita na wakandarasi wababaishaji

  WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso ametangazia vita kwa wakandarasi na wahandisi ambao watakwamisha miradi ya maji inayotekelezwa serikali. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

Mapacha waoa mwanamke mmoja… wanatarajia kupata mtoto

  STORI za mapacha kushare au kuvaliana nguo, kusomea taaluma moja, kufanya kazi ya aina moja, kufunga harusi siku moja na wakati mwingine...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya kitaifa kuratibu matumizi mabaya mitandaoni yaundwa

  SERIKALI ya Tanzania imeunda kamati ya Taifa ya kusimamia utatuzi wa matumizi mabaya ya huduma na bidhaa za mawasiliano. Anaripoti Noela Shila,...

Habari Mchanganyiko

Mbunge alilia maslahi askari polisi wanaojeruhiwa, kuuawa

  MBUNGE wa Viti Maalum (CCM) nchini Tanzania, Fakharia Shomr Khamis ameitaka Serikali kueleza ni maslahi yapi askari polisi anayapata pindi anapopata madhira...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya, wenzake wasomewa mashtaka ya uhujumu uchumi

  ALIYEKUWA Mkuu waWilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita, wamesomewa upya mashtaka matano katika Kesi ya Uhujumu Uchumi...

Habari Mchanganyiko

Tanzania kupunguza gharama za hereni kwa mifugo

  SERIKALI ya Tanzania, imepanga kupunguza gharama za hereni maalum ya utambuzi wa mifugo nchini ili kumpunguzia gharama mfugaji. Kauli hiyo imetolewa leo...

Habari Mchanganyiko

Aliyekuwa Rais Afghanistan aomba msamaha, adai hakunuia kuikimbia nchi

  Wiki chache baada ya wanamgambo wa Taliban kuchukua madarakani na kuunda Serikali yao huko nchini Afghanistan, aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Ashraf...

Habari Mchanganyiko

Bei ya vyakula yashuka, kodi ya pango na ‘guest’ yaongezeka

  BEI ya bidhaa za vyakula kwa mwezi Agosti 2021, ilipungua huku ya bidhaa zisizo za vyakula ikiwemo mavazi, kodi ya pango na...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro atua Rwanda, kushirikiana kukabili ugaidi

  SERIKALI ya Tanzania na Rwanda, zimekubaliana kushirikiana katika kukabiliana na vitendo vya ugaidi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Hayo...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aanzisha mashindano ya utamaduni Tanzania

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametangaza kuanzishwa kwa kombe la mashindano ya utamaduni nchini katika matamasha yajayo yatakayohusisha makabila yote nchni. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Wizara, taasisi zaagizwa kujiunga huduma pamoja

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za Serikali ambazo hazijaanza kutoa huduma kupitia vituo vya huduma pamoja vya Shirika la...

Habari Mchanganyiko

Askofu Shoo alalamikia tozo, akumbuka upinzani bungeni

  MJADALA juu ya tozo mbalimbali zilizoanzishwa na serikali ya Tanzania inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, kwa lengo la kupeleka maendeleo ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yalifungia Raia Mwema siku 30

  SERIKALI ya Tanzania imesitisha leseni ya Gazeti la Raia Mwema, kwa muda wa siku 30 kuanzia kesho tarehe 6 Septemba 2021. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Aweso atoa maagizo kwa watalamu wizara ya maji

  WAZIRI wa Maji nchini Tanzania, Jumaa Aweso amekagua mtambo mkubwa wa kuchuja maji chumvi katika eneo la Serengeti, Wilaya ya Gairo mkoani...

Habari Mchanganyiko

Vijana Tanzania watakiwa kuchangamkia fursa za tehama

  WIZARA ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari nchini Tanzania, imewataka vijana kutumia teknolojia ya habari na mawasiliano kwa maslahi mapana ya nchi...

ElimuHabari Mchanganyiko

Serikali, Huawei Kuwaendeleza Wanawake Sekta Ya TEHAMA

SERIKALI imeahidi  kushirikiana na kuunga mkono  jitihada za kampuni ya Mawasiliano ya Huawei katika kuweka mkazo zaidi  na kuwaendeleza wanawake katika sekta ya...

Habari Mchanganyiko

TRA kutumia uwajibikaji, uadilifu kutimiza malengo 2021/22

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema ili kuhahakikisha inafikia lengo la kukusanya zaidi ya Sh.22.18 trilioni kwa mwaka wa fedha 2021/2022 watazingatia,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ripoti ya Polisi sakata la Hamza, yaibua maswali magumu

  RIPOTI ya awali ya uchunguzi wa tukio la mauaji ya maofisa watatu wa jeshi la Polisi nchini Tanzania, mlinzi mmoja wa kampuni...

Habari Mchanganyiko

Askari magereza mbaroni tuhuma za kubaka, kujiua

  JESHI la Polisi Mkoa wa Ilala, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Said Hassan Said (26) ambaye ni askari Magereza, Mkazi...

error: Content is protected !!