Friday , 19 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Ukatili waishtua TAMWA, yatoa mapendekezo

  CHAMA cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), kimeshauri wadau wa masuala ya ukatili wa kijinsia, kukaa pamoja na kupanga mikakati mipya na madhubuti...

Habari Mchanganyiko

Mgogoro waibuka KKKT, Askofu Shoo ahusishwa

  MGOGORO umeibuka katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Konde mkoani Mbeya wakimshutumu Mkuu wa Kanisa hilo, Askofu Fredrick...

Habari Mchanganyiko

Ajali bodaboda pasua kichwa, 445 hufariki kila mwaka

  RAIS Samia ameliagiza Jeshi la Polisi nchini kutoa kipaumbele cha elimu ya usalama barabarani kwa madereva wa pikipiki maarufu kama bodaboda kwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia: Wananiita ‘Bi Tozo’

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kila anapozungumza kuhusu neno ‘tozo’ huwa linamgusa ndani ya moyo wake kwa sababu sasa mitandaoni wanamuita ‘Bi...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ampa maagizo mazito IGP, askari kukimbilia trafki, bandarani kizungumkuti

  RAIS Samia Suluhu amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro kufuatilia na kumpa majibu kuhusu sababu za askari wengi...

Habari Mchanganyiko

CCM yazibana wizara 3 misitu ya hifadhi

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira, Wizara ya Maliasili na Utalii...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atoa maagizo fedha miradi ya maendeleo

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ametoa fedha nyingi kwa ajili ya ujenzi wa miradi mbalimbali ya...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wa korosho Lindi, Mtwara washauriwa kujiwekea akiba NBC

  MKUU wa Wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga amewashauri wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya Lindi na Mtwara kujiwekea akiba sambamba...

Habari Mchanganyiko

Waziri Aweso aeleza mikakati kumaliza mgawo wa maji Dar

  SERIKALI ya Tanzania, imepanga kutumia zaidi ya Sh.390 bilioni kujenga bwawa la kuhifadhia maji katika Kijiji cha Kidunda wilayani Morogoro vijijini mkoani...

ElimuHabari Mchanganyiko

GGML yamwaga milioni 248 kuwezesha watumishi wake kuhitimu Shahada ya uzamili

  JUMLA ya watumishi waandamizi 18 wa kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wamehitimu Shahada ya Uzamili ya Usimamizi wa Biashara kutoka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Matumaini mapya mgawo wa maji Dar

  MACHUNGU ya mgawo wa maji kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania yaliyodumu kwa takribani wiki tatu, yanaanza kupungua...

Habari Mchanganyiko

Kampeni kuwawezesha wanavyuo wanawake kutumia mitandao yazinduliwa

  WANAWAKE vijana walioko kwenye taasisi za elimu ya juu nchini Tanzania, wametakiwa kumiliki na kutumia vyema mitandao ya kijamii kwa ajili ya...

Habari Mchanganyiko

LEAD Foundation waibuka kinara ustawishaji miti Afrika

  SHIRIKA la LEAD Foundation linalojihusisha na utunzaji wa mazingira mkoani Dodoma limetangazwa miongoni mwa mashirika 20, yanayoongoza katika miradi ya ustawishaji miti...

Habari Mchanganyiko

Wizara ya ardhi yanunua ‘drone’, yapima viwanja milioni 2.7

  WIZARA ya Nyumba na Maendeleo ya Makazi imenunua ndege isiyokuwa na rubani (drone) maalum kwa ajili ya upigaji picha za anga zinazowezesha...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Bwege alazwa Muhimbili

  ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kusini mkoani Lindi, Said Bungara ‘Bwege’, amelazwa katika wodi ya Sewahaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akiugua kwa...

Habari Mchanganyiko

Mbarawa awaweka kikaangoni wasimamizi wa mizani

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amewataka wasimamizi na wafanyakazi wa mizani nchini kujitafakari kuhusu mienendo yao ya utendaji kazi...

Habari Mchanganyiko

Visima 44 vyagundulika kuwa na gesi asilia

  KATIKA kipindi cha miaka 60 ya Uhuru, Tanzania imefanikiwa kuchimba visima 96 vya mafuta na gesi ambapo visima 44 vimegundulika kuwa na...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atoa maagizo kwa Waziri Jafo, bosi NSSF

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Seleman Jafo kukamilisha andiko...

Habari Mchanganyiko

 NBC yazindua Bima ya Kilimo kwa wakulima, wafugaji na wavuvi, Serikali yaunga mkono

  BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na kampuni ya Bima ya Jubilee Insurance wamezindua huduma ya bima maalum ya kilimo...

Habari Mchanganyiko

TCRA, TUZ wakutana Dar

  WAJUMBE wa Bodi, Menejimenti na Wafanyakazi wa Tume ya Utangazaji Zanzibar (TUZ) wametembelea Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jijini Dar es Salaam....

Habari Mchanganyiko

NMB, Selcom zaunganisha nguvu malipo kidijitali

  BENKI ya NMB na Kampuni ya Selcom Tanzania wameanzisha ushirikiano wenye lengo la kusaidia kupunguza matumizi ya fedha taslimu nchini. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mkufunzi DSJ afariki dunia

  JOYCE Mbongo, aliyekuwa mkufunzi katika Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) nchini Tanzania, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaipa H/shauri Hanang usimamizi shamba la ngano

  SERIKALI imeikabidhi Halmashauri ya wilaya ya Hanang usimamizi na uangalizi wa muda wa mali zote zilizopo katika shamba la ngano la Basotu...

Habari Mchanganyiko

Mke aliyeachwa na mumewe achoma nyumba, apandishwa kizimbani

  MWANAMKE mmoja raia wa Kenya amepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba ya mumewe waliyetengana naye na kusababisha hasara ya zaidi...

Habari Mchanganyiko

Samaki aibua hofu, akikung’ata huonani na mkeo miezi 6

  SAMAKI ni kitoweo pendwa kwa watu wengi duniani, hususani wakazi wa maeneo ya pwani na kando ya mito na maziwa. Lakini kwa...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza halmashauri kuvuna maji ya mvua

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selemani Jafo ameziagiza halmashauri zote kuhimiza uvunaji wa maji ya mvua...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene aipongeza LSF kuzindua mpango mkakati mpya 2022/2026

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema Mpango wa Miaka mitano wa Shirika la Huduma za Msaada wa Kisheria (LSF)...

Habari Mchanganyiko

Mgao wa maji Dar, Majaliwa atoa saa 72

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa siku tatu (sawa na saa 72) kuanzia leo Jumatatu tarehe 15 Novemba 2021, kwa wasimamizi...

Habari Mchanganyiko

NBC yaendelea kumwaga zawadi washindi ‘Vuna zaidi na NBC Shambani’

  MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Dastan Kyobya  ameiomba Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kuangalia uwezekano wa kuongeza zaidi matawi yake katika...

Habari Mchanganyiko

Mkazi Dar ajishindia pikipiki ya NMB Bonge la Mpango

  MSHINDI wa Droo ya Nne ya Msimu wa Pili wa Kampeni ya Weka Akiba na Ushinde inayoendeshwa na Benki ya NMB ‘NMB...

Habari Mchanganyiko

NMB yatwaa tuzo ya MasterCard

  BENKI ya NMB imekuwa benki ya kwanza nchini kupata tuzo ya MasterCard kutokana na mafanikio makubwa waliyoyaonesha kwa wateja wao katika matumizi...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mkuu atoa maagizo mazito sekta ya misitu

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameuagiza Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) kuendelea kuwawezesha wajasiriamali wanaowekeza kwenye misitu kwa kuwapatia ruzuku itakayowezesha kunufaika na...

Habari Mchanganyiko

Ma-RC wapigwa msasa anuani za makazi

WIZARA ya Habari Mawasiliano na Teknologia ya Habari imetoa mafunzo ya kuwajengea uwezo wakuu wa mikoa Tanzania juu ya umuhimu wa matumizi na...

Habari Mchanganyiko

Magari matano yagongana Mbezi Kwa Yusufu

  AJALI mbaya imetokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi, tarehe 13 Novemba, 2021 katika maeneo ya Mbezi kwa Yusufu, Dar es Salaam baada...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Vijiji 10,361 vyafikishiwa umeme, bado 1,956

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imeendelea kuimarisha upatikanaji wa umeme hususan maeneo ya vijijini ambapo hadi sasa jumla ya...

Habari Mchanganyiko

Vichwa vya treni vilivyotelekezwa TPA vyapata mwenyewe

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi nchini Tanzania, Profesa Makame Mbarawa amemaliza utata uliodumu kwa zaidi ya miaka mitatu juu ya vichwa 11...

Habari Mchanganyiko

Bima ya majeneza yaanzishwa Tanzania

KWA kile kinachoonekana si jambo la kawaida kutokea katika jamii, kampuni ya huduma za mazishi ya Goodmark imeanzisha huduma ya bima ya majeneza,...

Habari Mchanganyiko

Mtuhumiwa ulawili wa mtoto na kumsababishia kifo mbaroni

  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam nchini Tanzania, linamshikilia mtu mmoja mwenye umri wa miaka 16 kwa tuhuma za...

Habari Mchanganyiko

NGO’s zatoa mapendekezo kuiomba   Tanzania ikubali hoja za UN

  MASHIRIKA yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), yametoa mapendekezo manne ili kuiomba   Serikali ya Tanzania,  iyakubali mapendekezo yaliyotolewa na nchi wanachama wa Umoja wa...

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro apangua makanda wa polisi

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP) wa Tanzania, Simon Sirro amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa polisi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

Takukuru yamnasa ‘kishoka wa umeme’ aliyedaiwa kuwatapeli wanakijiji Songwe

  TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Songwe imemnasa Eliam Fiabo anayedaiwa kuwa mkandarasi kwa tuhuma za kukusanya fedha kwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ziarani Misri

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kesho Jumatano tarehe 10 Novemba 2021, ataondoka nchini kwenda Cairo, nchini Misri kwa ziara ya kiserikali...

Habari Mchanganyiko

Watanzania milioni 47 wapata umeme, mwaka 1961 ilikuwa mikoa 2 tu!

  WIZARA ya Nishati wakati Tanganyika (Tanzania Bara) inapata uhuru mwaka 1961 ni mikoa miwili pekee ndiyo iliyokuwa na nishati ya umeme ikilinganishwa...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Mahakama yatupa pingamizi lingine la kina Mbowe

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, imekubali kupokea hati ya ukamataji mali wa washtakiwa Adam Kasekwa na Mohammed...

Habari Mchanganyiko

NBS: Mfumuko wa bei haujapanda Oktoba

  MFUMKO wa Bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Oktoba, 2021 umebaki kuwa asilimia 4.0 kama ilivyokuwa kwa mwezi Septemba 2021. Anaripoti...

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML yaendeleza udhamini wa upasuaji midomo sungura

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Rafiki Surgical Mission ya Australia kwa mara nyingine mwaka huu imeendeleza udhamini...

Habari Mchanganyiko

Sabaya atoa hoja 10 kupinga kifungo miaka 30 jela

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha nchini Tanzania, imepokea maombi ya rufaa ya aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai...

Habari Mchanganyiko

Utafiti uboreshaji wa usafiri wa reli mijini kuanza jijini Dar

  SHIRIKA la Maendeleo la Kimataifa la Japani (JICA) kwa kushirikiana na Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi na Shirika la Reli Tanzania (TRC)...

Habari Mchanganyiko

Serikali yagongelea msumari sakata la wamachinga

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Ummy Mwalimu, ameziagiza halmashauri kupanga miji upya, ikiwemo kuwaondoa wafanyabiashara wadogo ‘wamachinga’, katika maeneo yasiyo rasmi....

Habari Mchanganyiko

Vijana waitwa mapambano dhidi ya mimba za utotoni, UKIMWI

  TAASISI ya Young and Alive Initiative (YAI), imeanza kusaka Vijana, kwa ajili ya programu maalumu ya kuwajengea uwezo watu wa rika hilo...

error: Content is protected !!