Tuesday , 23 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Jeshi la Uhamiaji: Tumejipanga kuelekea 2022

  JESHI la Uhamiaji nchini Tanzania, limesema limejipanga kutoa huduma bora kwa wananchi, pamoja na kudhibiti matukio ya uhamiaji kinyume cha sheria, katika...

Habari MchanganyikoTangulizi

TRC yazungumzia gharama ujenzi reli ya kisasa

  SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC), limesema gharama inayotumika kujenga reli ya kisasa (SGR), ni ndogo ikilinganishwa na za nchi nyingine. Anaripoti Regina...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tutaendelea kukopa, tumalize miradi yote

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema, Serikali anayoingoza itaendelea kukopa mikopo ya masharti nafuu ili kuendeleza na kuanzisha miradi mingine mipya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Mwingira kikaangoni, apewa saa 24

  JESHI la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeagiza Askofu wa Kanisa la Efatha, Josephat Mwingira, ahojiwe ndani ya saa 24...

Habari Mchanganyiko

Huawei’s multi-prong approach to cybersecurity

  In prioritising the safety of its customers, Huawei takes several approaches to keeping customers protected from cybersecurity threats – including AI, tech...

Habari Mchanganyiko

Training to enhance awareness and skills for cybersecurity

  While cybersecurity certainly requires sophisticated technology interventions, staff training is equally important in protecting client information. Conscious of this, Huawei conducts regular...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia asamehe wafungwa 5,704

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa msamaha kwa wafungwa 5,704, katika kuadhimisha miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara. Anaripoti Regina...

Habari MchanganyikoTangulizi

RPC Dar apewa rungu kumsaka, kumhoji Askofu Mwingira

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene ameliagiza Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kumtafuta na kumhoji...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia amlilia Askofu Mwenisongole, kuzikwa Desemba 30

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa salamu za pole kufutia kifo cha Askofu Mkuu mstaafu wa Tanzania Assemblies of God (TAG),...

Habari Mchanganyiko

Vurugu za familia chanzo watoto wa mitaani, Tunu Pinda atoa neno

  MWENYEKITI wa kamati ya Dorcas iliyopo katika Kanisa la Upendo Revival Christian Center TAG, jijini Dodoma, Annie Maugo, amesema matatizo makubwa ya...

Habari Mchanganyiko

Askofu awapa somo viongozi, agusia suala la machinga

  MAKAMU Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dk. Dickson Chilongani amewataka viongozi wa ngazi mbalimbali kushuka chini kwa wananchi kujua matatizo...

Habari Mchanganyiko

34 wazaliwa mkesha Krismasi Dodoma

  WATOTO 34 wamezaliwa mkesha wa kuamkia Sikukuu ya Krismasi katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, leo Jumamosi tarehe 25 Desemba 2021. Anaripoti...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Rais Samia atoa salamu za Krismasi, Mwaka Mpya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa salamu za Krismasi na Mwaka Mpya 2022 huku akiwataka wananchi kufanya kazi kwa weledi na...

Habari Mchanganyiko

ACT-Wazalendo yataka hifadhi ya jamii kwa wakulima

  CHAMA cha siasa cha upinzani ACT-Wazalendo, kimeitaka Serikali ya Tanzania ianzishe skimu ya hifadhi ya jamii kwa wakulima, ili kudhibiti changamoto ya...

Habari Mchanganyiko

Akina mama wajasiriamali watakiwa kuchangamkia mikopo

  AKINA mama wajasiriamali wametakiwa kuchangamkia fursa zinazojitokeza badala ya kukaa nyumbani na kuwategemea waume zao kwa kila jambo. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

ACT- Wazalendo yaitaka Serikali kuingilia kati bei ya mbolea

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo, kimeitaka Serikali ya nchi hiyo kuingilia haraka na kudhibiti kupanda kwa kasi isiyo...

Habari Mchanganyiko

Wanaotaka kuuza mahindi nje ruksa

  SERIKALI imesema haitafunga mipaka kuwazuia wakulima na wafanyabiashara wanaotaka kuuza mahindi yao nje ya nchi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea). Hayo...

Habari Mchanganyiko

Kijana mbaroni kwa kumbaka mama yake mzazi

  MATUKIO ya ukosefu wa maadili mkoani Dodoma yamezidi kuutikisa mkoa huo baada ya Jeshi la Polisi mkoani humo kumnasa kijana mmoja mwenye...

Habari Mchanganyiko

RC Mtaka ataka walimu kutawanya Dodoma, kila mwanafunzi apate mti

  MKUU wa Mkoa (RC) wa Dodoma nchini Tanzania, Antony Mtaka ameuagiza uongozi wa ofisi ya mkurugenzi wa jiji na afisa elimu kuhakikisa...

Habari Mchanganyiko

TCRA yaishushia rungu Wasafi TV

  KAMATI ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeipa adhabu Kampuni ya Wasafi Televisheni Limited (Wasafi TV) ya kuomba radhi mara...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Bagonza atoa ujumbe wa Krismasi, akumbusha machungu 2021

  ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kulutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, mkoani Kagera, Dk. Benson Bagonza amesema, mwaka 2021 unaomalizika ,...

Habari Mchanganyiko

TASAF yajenga nyumba ya Mganga wa kijiji cha Kagongo, Kigoma

  MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kupitia mpango wake wa kusaidia kaya maskini umejenga nyumba ya Mganga wa kijiji cha Kagongo kilichopo...

Habari MchanganyikoTangulizi

2021: Ni mwaka wa kipekee

  SAFARI ya siku 365 za mwaka 2021, zitahitimishwa siku kumi zijazo huku wananchi wakiwa na kumbukumbu ya tukio kubwa na la kwanza...

Habari Mchanganyiko

Anusurika kifo kwa kushambuliwa na wanawake waliokuwa wanaondoa mikosi

  KAMANDA wa Jeshi la Polisi mkoani Simiyu, ACP Blasius Chatanda, amesema mwanaume mmoja ambaye hakumtaja jina, amenusurika kifo baada ya kushambuliwa kwa...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji Geita waiangukia Serikali ifungue mgodi wao

  MMILIKI wa shamba lenye machimbo ya madini ya dhahabu, Iddrisa Hussein pamoja na wachimbaji wadogo wa eneo la Mahagi Kijiji cha Izunya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kisa Shule ya Uongozi, Polepole atoa ujumbe

  HUMPHREY Polepole, Mbunge wa Kuteuliwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ametoa ujumbe kuzungumzia adhabu ya kusimamishwa kwa kipindi chake cha Shule ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NBC yaendelea kutoa zawadi kwa washindi ‘Vuna zaidi na NBC shambani’,

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi zawadi mbalimbali ikiwemo baiskeli, pikipiki, guta na trekta kwa washindi wa droo ya sita ya   kampeni...

Habari Mchanganyiko

Makamba aeleza mikakati kusambaza umeme nchi nzima

  WAZIRI wa Nishati nchini Tanzania, January Makamba amesema, Serikali itaendelea kutumia vifaa mbalimbali vya umeme vinavyozalishwa nchini hivyo, wazalishaji wanapaswa kuzingatia ubora...

Habari Mchanganyiko

Karagwe, Misenyi kinara usafi wa mazingira

  IMEELEZWA kuwa Wilaya za Karagwe na Misenyi zilizopo mkoani Kagera ni kati ya wilaya ambazo zimefanya vizuri katika usafi wa mazingira. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Familia za Masheikh 186 wanaosota rumande  kwa ugaidi zamuangukia Rais Samia 

  FAMILIA za Masheikh 186 walioko katika  mahabusu ya Gereza la Ukonga, jijini Dar es Salaam, kwa zaidi ya miaka saba, wakituhumiwa kwa...

Habari Mchanganyiko

NMB bonge la mpango yamwaga zawadi milioni 23

  BENKI ya NMB katika kipindi cha wiki tisa, imetumia Sh.117 milioni katika kampeni ya weka akiba na ushinde inayoitwa ‘NMB Bonge la...

Habari Mchanganyiko

Matokeo ya urais kupingwa mahakamani yakwamisha Tanzania kusaini mkataba AU

  SERIKALI ya Tanzania, imesema imeshindwa kusaini Mkataba wa Umoja wa Afrika (AU) unaohusu masuala ya uchaguzi, demokrasia na utawala bora (ACDEC), kwa...

Habari Mchanganyiko

Miaka 60 ya Uhuru: Fataki kufyatuliwa maeneo matatu Dar leo

  MILIPUKO salama ya fataki inalipuliwa leo Jumatano tarehe 8 Desemba 2021, kuanzia saa 5 usiku, katika maeneo ya Uwanja wa Taifa, Daraja...

Habari Mchanganyiko

Magazeti yaliyofungiwa Tanzania kufunguliwa mwezi huu

  SERIKALI ya Tanzania, imesema mwezi huu wa Desemba 2021, huenda ukawa wa neema, kwa vyombo vya habari vilivyofungiwa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

Miaka 60 ya Uhuru: THRDC yasema hili kosa tulirekebishe

  WAKATI Tanzania Bara kesho Alhamisi, tarehe 9 Desemba 2021, inatimiza miaka 60 ya Uhuru, Watanzania wametakiwa kutorudia kosa la kuwaachia viongozi jukumu...

HabariHabari Mchanganyiko

Mgogoro KKKT: Askofu Munga acharuka, amtuhumu Askofu Mbilu kumchafua

  ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Steven Munga, amewakingia kifua wachungaji sita....

Habari Mchanganyiko

Balozi Kanza aanza kuita wawekezaji kutoka Mexico, Marekani

Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Elsie Kanza amekutana kwa mazungumzo  na Meya wa mji wa Dallas, Meya Eric Johsnon pamoja na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Majaliwa atoa maagizo kwa sekta binafsi Tanzania

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka sekta binafsi iweke kipaumbele na kuzingatia usawa wa kijinsia katika utoaji wa ajira hasa wanawake...

Habari Mchanganyiko

Neema yanukia Kilimanjaro, waitaliano waja kuchimba shaba

  Shirika la Taifa la Madini (STAMICO) limesaini mkataba wa makubaliano ya awali na Kampuni ya Suness Limited ya Italia kwa ajili ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Sitakubali gari bovu liangushiwe awamu ya sita

  RAIS Samia amesema kuna makundi yaliyopo ndani ya serikali ambayo yanaendekeza ubadhirifu na kugeuka kusema kwamba ufisadi na mambo ya hovyo yamerudi...

Habari Mchanganyiko

WADAU: Ukatili wa kijinsia kazini, unaathiri hadi familia

  WADAU wa ukatili wa jinsia nchini Tanzania, wameshauri waajiri wote pamoja na Serikali kuchukua hatua madhubuti ya kukomesha vitendo vya ukatili vinavyorejesha...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yaamriwa ilimpe mamilioni Mtanzania iliyomvua uraia

  MAHAKAMA ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR), imeamuru Serikali ya Tanzania, imlipe fidia ya zaidi ya  Sh. 50 milioni,...

Habari Mchanganyiko

TASAF yaombwa kutoa msaada wa mitaji kwa wanufaika

MNUFAIKA wa mpango wa tatu wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), wa awamu ya kwanza Antusa Mchau (38), ameiomba serikali kupitia TASAF...

Habari Mchanganyiko

Waziri mkuu wa zamani wa Lesotho ashitakiwa kwa kumuua mkewe

WAZIRI Mkuu wa zamani wa Lesotho, Thomas Thabane amefikishwa mahakamani anakoshitakiwa kwa mauaji ya mke wake, Lipolelo Thabane, yaliyotokea mwaka 2017. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Askofu Shoo: Umewakosea wenye ulemavu, omba toba

  MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kithuleri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo ametoa wito kwa wadau mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini kuhakikisha...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya Mbowe: Pingamizi la Serikali latupwa

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhumuku Uchumi, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imetupilia mbali pingamizi la jamhuri la...

Habari Mchanganyiko

JWTZ watangaza kiama kwa matapeli ajira jeshini

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limetoa ufafanuzi kuhusu vitendo vya rushwa, ulaghai na utapeli vinavyofanywa na baadhi ya watu wasio...

Habari Mchanganyiko

GGML wamwaga milioni 50 kuelekea Siku ya UKIMWI duniani

  Katika hafla ya hisani iliyofanyika jijini Mbeya chini ya uongozi wa Naibu Spika wa Bunge Mhe. Tulia Ackson kuelekea siku ya Ukimwi...

Habari Mchanganyiko

Wanawake wawaongoza wanaume Chou cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Z’bar

  MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere nchini Tanzania, Stephen Wasira amesema, shabaha ya chuo hicho ni kutoa elimu...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awatoa hofu wanaohoji uamuzi wa kuwarejesha shule waliopata ujauzito

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imeamua kuwarejesha shule watoto wote walioacha shule kwa sababu mbalimbali kama vile, utoro, sababu za kisheria...

error: Content is protected !!