Tuesday , 23 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari MchanganyikoTangulizi

Dk. Shoo amaliza mgogoro Konde, uchaguzi wafanyika, aliyeng’olewa agoma

MKUTANO Mkuu wa dharura ulioitishwa na kiongozi Mkuu wa kanisa la Kiinjiri la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo umemuondoa kwenye nafasi yake...

Habari Mchanganyiko

EWURA yaanika mamlaka za maji zisizofanya vizuri, wizara yatoa maagizo

MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), imetaja Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira, zisizofanya vizuri katika utekelezaji majukumu yake, hasa...

Habari Mchanganyiko

EWURA yazindua miongozo ya kudhibiti ‘bili’ hewa, upotevu wa maji

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imezindua miongozo ya utendaji kazi wa mamlaka za maji safi na usafi wa...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi UDSM, UDOM Wang’ara mashindano ya TEHAMA ya Huawei Afrika

WANAFUNZI wa Kitanzania wa TEHAMA kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Chuo Kikuu cha Dodoma waliibuka miongoni mwa wanafunzi bora zaidi...

Habari Mchanganyiko

Kamishna Uhifadhi TANAPA awavisha vyeo makamishna wapya

  KAMISHNA wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) William Mwakilema leo Jumatano tarehe 23 Machi 2022 amewavisha vyeo Makamishna...

Habari Mchanganyiko

PAC yaridhishwa na uwekezaji Bandari Dar

  KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) nchini Tanzania, imesema uwekezaji wa zaidi ya Sh.1 trilioni uliofanywa na Mamlaka...

Habari Mchanganyiko

Serikali yakabidhi rasmi kiwanda cha chai Mponde kwa WCF, PSSSF

  BAADA ya kushindwa kufanya kazi kwa takribani miaka kumi kutokana na sababu mbalimbali, hatimaye Serikali ya Tanzania kupitia Ofisi ya Msajili wa...

Habari Mchanganyiko

Lowassa atunukiwa tuzo, mwanae asema…

  WAZIRI Mkuu wa zamani wa Tanzania, Edward Lowasa, ametunukiwa Tuzo ya Baraza la Mawaziri wa Maji Afrika (AMCOW). Anaripoti Mwandishi Wetu, Senegal...

Habari Mchanganyiko

NMB yawapa mchongo wafanyabiashara Temeke

  WANACHAMA wa Klabu ya Wafanyabiashara wanaohudumiwa na Benki ya NMB, Wilaya ya Temeke (NMB Business Club) jijini Dar es Salaam, kutumia fursa...

Habari Mchanganyiko

Umoja wa Ulaya: Afrika iungane na dunia yote kuipinga Urusi

  UMOJA wa Ulaya (EU) umetoa tamko la kuendelea kulaani kitendo cha Urusi kuivamia Ukraine na kushawishi mataifa mbalimbali zikiwemo nchi za Afrika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ripoti ya uchunguzi sakata la Mto Mara yapingwa

SERIKALI ya Tanzania imeombwa kufanya upya uchunguzi upya ili kubaini chanzo cha kuchafuka kwa maji ya Mto Mara na kufa kwa samaki mtoni...

Habari Mchanganyiko

THRDC: Mchakato Katiba Mpya usiwe wa kisiasa

WAKATI mjadala wa upatikanaji katiba mpya ukiendelea kushika kasi nchini, Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umetaka usiendeshwe kisiasa kwani...

Habari Mchanganyiko

Serikali yakabidhi rasmi kiwanda cha chai Mponde kwa WCF, PSSSF

BAADA ya kushindwa kufanya kazi kwa takribani miaka 10 kutokana na sababu mbalimbali, hatimaye Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina imekabidhi Kiwanda...

Habari MchanganyikoTangulizi

DPP amng’ang’ania Abdul Nondo

MAHAKAMA ya Rufaa ya Tanzania, Kanda ya Iringa, kesho Jumatano, tarehe 23 Machi 2022, inatarajia kusikiliza rufaa ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP)...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa akutana na waziri mkuu wa Qatar

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Khalid bin Khalifa bin Abdulaziz Al Thani ambapo wamekubaliana...

Habari Mchanganyiko

COSTECH yawafungulia milango wabunifu

TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imetoa fursa kwa wanafunzi wabunifu kujiunga na Kumbi mama ya bunifu Buni Hub ambayo inaendesha...

Habari Mchanganyiko

Mrisho Mpoto amkosha Rais Samia

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameonesha kufurahishwa na utendaji kazi wa balozi wa maji nchini ambaye ni msaani maarufu wa mziki wa kughani...

Habari Mchanganyiko

LHRC yaunga mkono upatikanaji katiba mpya baada ya 2025

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimesema kinaunga mkono mapendekezo ya Kikosi Kazi cha Kuratibu Maoni ya Wadau wa Demokrasia...

Habari Mchanganyiko

Dar es Salaam ina upungufu maji lita Mil. 157

  AFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam, Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema eneo linalohudmiwa na...

Habari Mchanganyiko

Shekhe aonya wafanyabiashara kutopandisha bei za bidhaa Ramadhani

  SHEKHE wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Rajabu amewataka wafanyabiashara kutougeuza mwezi Mtukufu wa Ramadhani kuwa wa kujitajirisha kwa kupandisha bei za bidhaa...

Habari Mchanganyiko

Tanzania, EU zakutana kujadili EPA

Serikali ya Tanzania imekutana na Umoja wa Ulaya (EU) kujadili masuala mbalimbali yanayohusu Mkataba wa Ushirikiano wa Kiuchumi (EPA) kati ya Umoja huo...

Habari Mchanganyiko

Faru Rajabu mwenye miaka 43 afariki Tanzania

  SHIRIKA la Hifadhi za Taifa (Tanapa), leo Jumatatu tarehe 21 Machi 2022 limetangaza kifo cha Faru Rajabu mwenye umri wa miaka 43....

Habari Mchanganyiko

Nida kupunguza utitiri wa vitambulisho

  MAMLAKA ya Uzalishaji wa Vitambulisho vya Taifa (Nida) nchini Tanzania, imeanza kushughulikia tatizo la kupunguza utitiri wa vitambulisho kwa kuongeza thamani ya...

Habari Mchanganyiko

NMB yampongeza Rais Samia kuimarisha sekta ya benki, kuifungua nchi

  UTAWALA wa mwaka mmoja wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan umeelezwa kuchangia kuimarika kwa sekta za kibenki kwani imekuwa imara, salama,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata la Ngorongoro bado sana, asasi 20 atoa tamko

MGOGORO wa Ngorongoro umechukua sura mpya baada ya mashirika 20 ya kutetea wafugaji wa asili kutoa tamko wakilaani udhalilishwaji unaofanywa na watu wenye...

Habari Mchanganyiko

Dk. Tulia: Asilimia 60 ya fedha za bajeti zimetolewa

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amesema Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan imetoa asilimia 60.5 ya fedha zilizotengwa katika...

Habari Mchanganyiko

Washereheshaji wawakumbuka watoto yatima, wafungwa

MARAFIKI wa Mshehereshaji (MC) Mwangata Fomma wametoa msaada kwa kuwalipia kadi za bima ya afya kwa watoto nane wa Kituo cha kulelea watoto...

Habari Mchanganyiko

Ukatili dhidi ya watoto mtandaoni wapatiwa ufumbuzi

NAIBU Waziri Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mwanaidi Ali Khamis ameitaka jamii kuwaepusha watoto dhidi ya madhara ya matumizi mabaya...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya Bunge yampongeza Rais Samia

KAMATI ya Bunge ya Miundombinu imempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu kwa kuendelea kutoa fedha kwa ajili ya kuendeleza...

Habari Mchanganyiko

Prof. Mbarawa aipa mitihani mitano bodi mpya ya TPA

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa ameipa maelekezo matano Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), huku akisisitiza...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi Fastjet wamuangukia Rais Samia, wadai Bil.5

WAFANYAKAZI 105 wa Shirika la Ndege ya Fastjet Tanzania wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuzuia ndege aina ya Embraer 190 (5H-FJH) ya shirika...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ajali yaua 22 Morogoro, Rais Samia awalilia

  WATU 22 wamefariki dunia huku zaidi ya 30 wakijeruhiwa katika ajali ya barabarani ikihusisha basi lenye namba za usajili T 732 ATH...

Habari Mchanganyiko

Mama Janeth Magufuli atoa misaada kwa wahitaji

  MAMA Janeth, Mjane wa aliyekuwa Rais wa wa Tanzania, John Pombe Magufuli amesema, ataendeleza utamaduni waliyojiwekea yeye na marehemu mume wake wa...

Habari Mchanganyiko

NGO’s kanda Magharibi zalia ukata, vitisho

  MASHIRIKA yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), yanayojishughulisha na masuala ya utetezi wa haki za binadamu, yameomba msaada wa kifedha kwa ajili ya kutekeleza...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaahidi kushirikiana na TNCPG kudhibiti migogoro

SERIKALI imesema itashirikiana na Kamati ya Kitaifa ya Udhibiti na Kuzuia Mauji ya Kimbari (TNCPG), ili kuhakikisha migogoro na matukio yoyote ambayo yanaweza...

Habari Mchanganyiko

Askofu Bagonza ajitosa mgogoro Konde

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe Dk. Benson Bagonza ametaka tofauti zilizopo baina ya Askofu wa Doyosisi...

Habari Mchanganyiko

Maneno ya mjane wa Magufuli kwa Rais Samia

JANETH Magufuli, mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, amemheshimu kwa kukubali wito wake...

Habari Mchanganyiko

Waliosambaza video za Prof. Jay akiwa ICU mbaroni

  JESHI la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linamshikilia Mkurugenzi wa Mtandao wa U-Turn, Allen Samwel Mhina na wenzake 13, kwa...

Habari Mchanganyiko

Walemavu watinga kwa RC Dar, watulizwa

MADEREVA wa bajaji wenye ulemavu, wamefika katika Ofisi ya Mkuu wa Dar es Salaam, Amos Makalla, kufikisha kilio chao kinachodai wanafanyiwa vurugu na...

Habari Mchanganyiko

Watumishi 190,781 wapandishwa vyeo, madaraja

SERIKALI imesema ndani ya mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu jumla ya watumishi wa umma 190,781 wamepandishwa vyeo baada ya kusubiri kwa muda...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maswali tata mauaji yaliyofanywa na askari Kigoma

  MAUAJI ya raia mmoja yaliyofanywa na askari wa jeshi la polisi nchini, pamoja na kujeruhiwa kwa raia wawili, katika uwanja wa michezo...

Habari Mchanganyiko

ACT Wazalendo yatoa mapendekezo bei ya mbolea

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeomba Serikali itoe ruzuku kwa ajili ya ununuzi wa mbolea ili kushusha bei yake iliyopanda maradufu hivi karibuni. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Wasanii watakiwa kwenda kuchukua mirahaba yao

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa, amewataka wasanii ambao bado hawajachukua fedha za mirabaha yao, wakamilishe taratibu katika Chama cha Hakimili...

Habari Mchanganyiko

Watanzania 300 waondolewa Ukraine, waziri awapa maagizo waishio ughaibuni

  WATANZANIA takribani 300, wamefanikiwa kuondoka salama nchini Ukraine, kufuatia vita iliyoibuka nchini humo baada ya kuvamiwa na Urusi, tarehe 24 Februari 2022....

Habari Mchanganyiko

Kundi la Thelathini kwa Thelathini laanzishwa Kagera

  KIKUNDI cha Thelathini kwa Thelathini/ Gashatu Omu Gashatu wamejipanga kubadili maisha ya wananchi wa Kagera kwa kumwezesha kitaalam kuujua mparachichi. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

RC Arusha ataka ushahidi ‘majina feki’ waliokubali kuhama Ngorongoro

  MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongella amewataka watu wanaodai kuna majina ya kughushi katika orodha ya wananchi waliokubali kuhama kwenye Hifadhi...

Habari Mchanganyiko

Vichanga pacha vyatupwa jalalani, mtupaji asakwa

JESHI la Polisi Mkoani wa Shinyanga nchini Tanzania, linachunguza ili kumkamata mwanamke anayetuhumiwa kujifungua watoto pacha kisha kuwatupa jalalani eneo la Kambarage mjini...

Habari Mchanganyiko

Polisi wafunguka aliyeuawa na askari, ACT-Wazalendo wataka uchunguzi huru

JESHI la Polisi Mkoa wa Kigoma, limesema linawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kuanzisha vurugu zilizopelekea raia, Juma Ramadhani kupigwa risasi na Polisi...

Habari Mchanganyiko

Muarobani uuzwaji mafuta kwenye vidumu vijijini waja

NAIBU Waziri wa Nishati, Stephen Byabato amesema marekebisho ya kanuni za utengenezaji na uwekaji vituo vya mafuta katika maeneo ya vijijini, yanatarajiwa kukamilika...

Habari Mchanganyiko

THRDC yawanoa watetezi wa haki za binadamu Zanzibar

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umewapa mafunzo ya namna kufuatilia na kuripoti matukio ya ukiukwaji wa haki za binadamu,...

error: Content is protected !!