Friday , 19 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Mahakama yaiamuru Serikali kuwalipa mamilioni wakazi Loliondo kwa kutaifisha mifugo yao

SERIKALI imeamriwa kuwalipa kiasi cha Sh. 169.2 milioni, baadhi ya wakazi wa Loliondo  mkoani Arusha, kama fidia ya kutaifisha mifugo yao kinyume cha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujumbe wa Kwaresma: TEC walia na malezi katika familia, viongozi wasiowaadilifu

BARAZA la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limetoa waraka wa kipindi cha Kwaresma, huku likihimiza mifumo ya uongozi ya kifamilia na kisiasa iimarishwe ili...

Habari Mchanganyiko

Askofu aonya jamii kutokwepa kuwahudumia walemavu

Wito umetolewa kwa jamii ya Watanzania kutokwepa wajibu wa kuwahudumia watu wanaoishi na ulemavu sambamba na kuhakikisha kuwa kundi hilo linapata mahitaji mbalimbali...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx Gas yatimiza ombi la Dk. Mwinyi, yagawa mitungi 1,000 Z’bar

KAMPUNI ya gesi ya Orxy imetekeleza maombi ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi kwa kupeleka mitungi ya gesi...

Habari Mchanganyiko

Bodi mpya NEEC yapewa ujumbe mzito

NAIBU Waziri  wa  Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Ummy Nderiananga amewataka wajumbe wa Bodi ya Saba ya Baraza la...

Habari Mchanganyiko

Kiwanda cha sukari cha Mkulazi yaingiza shehena za sukari mtaani

  KIWANDA kipya cha Sukari cha Mkulazi kilichopo wilayani Kilosa, Morogoro kimeingiza rasmi sheheza za bidhaa ya sukari kwa matumizi ya majumbani kwa...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Ujenzi kituo cha kupoza umeme GGML wafikia 95%

JITIHADA za Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuanza kutumia umeme wa gridi ya Taifa kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), zimezidi...

Habari Mchanganyiko

Ujenzi wa bwawa la Kidunda wafikia 15%

Utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa bwawa la maji Kidunda mkoani Morogoro, unaotekelezwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara...

Habari Mchanganyiko

Hifadhi ya Wanyamapori ya Burunge (WMA)

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Babati Anna Mbogo amewahamasisha viongozi wa vikundi 10 vilivyomo katika eneo la Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kigogo Bakwata akatwa mkono, mtuhumiwa auawa

KATIBU wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Wilaya ya Bukoba Mjini, Hamza Zacharia Abdallah, amenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga yaliyomsababishia kupoteza...

Habari Mchanganyiko

Polisi wachunguza kifo mkuu wa kituo aliyedaiwa kuuawa na polisi

Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limetangaza kuendelea kufanya uchunguzl wa tuklo la mauaji ya Mkuu wa kituo kidogo cha Polisi Chiungutwa Wilaya ya...

Habari Mchanganyiko

Ulanga wapigwa msasa kuhusu elimu ya sheria

KATIKA kuadhimisha wiki ya sheria nchini, Mahakama ya Wilaya Ulanga imetoa elimu ya sheria kwa wadau mbalimbali kwa lengo la kuwaelimisha kuhusu masuala...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mwigulu: Ushirikiano mzuri umestawisha sekta ya madini Tz

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema mahusiano mazuri yaliyopo kati ya Serikali na Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML)...

Habari Mchanganyiko

Mwalimu, mkewe mbaroni kwa kumficha mtoto (8)

JESHI la polisi mkoani Songwe linamshikilia Mwalimu Baraka Mwashihuya mkazi wa kitongoji cha Tazara – Mamlaka ya mji mdogo wa Mlowo wilayani Mbozi...

AfyaHabari Mchanganyiko

Madaktari wazawa watenganisha watoto mapacha walioungana

Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa mara nyingine imeandika historia kwa kufanya upasuaji mkubwa wa kuwatengenisha watoto mapacha waliokuwa wameungana sehemu ya tumbo na...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yaweka historia mpya, faida yapaa hadi bil. 775

BENKI ya NMB imeweka rekodi mpya ya ufanisi kiutendaji kwa kutengeza faida kabla ya kodi ya TZS bilioni 775 na kupata mafanikio mengine...

Habari Mchanganyiko

Oryx Gas yakabidhi mitungi 700 kwa waziri Jafo

KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania kwa kushirikiana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Dk. Selemani Jafo wamekabidhi ...

Habari Mchanganyiko

Bihimba atoa msaada ujenzi wa madrasa

MWANAHARAKATI huru, Bihimba Mpaya ametoa msaada wa mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa madrasa iliyopo katika msikiti wa Aisha, Kivule jijini...

Habari Mchanganyiko

Watalii 534,065 waingiza bil. 123 Ngorongoro

Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Richard Kiiza amesema kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan imeongeza kasi...

Habari Mchanganyiko

PAC: OSHA itumike kuainisha viwango vya usalama, afya katika ununuzi

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeishauri serikali kuutumia Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) kuainisha...

Habari Mchanganyiko

NMB yaandika historia kukuza uchumi wa Taifa kidijitali

BENKI ya NMB imeingia makubaliano na Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kushirikiana katika uundaji na uboreshaji wa mifumo ya Tehama...

Habari Mchanganyiko

Ushirikiano NMB Foundation, NGO’s kunufaisha Watanzania

NMB Foundation imesaini makubaliano ya kushirikiana na asasi mbili kubwa za kiraia nchini yenye lengo la kuendeleza ustawi wa jamii na kutekeleza mipango...

Habari Mchanganyiko

EBN yatoa gari Burunge WMA kusaidia kupambana na ujangili

KAMPUNI ya Uwindaji wa Kitalii ya EBN Hunting Safari Ltd ambayo inafanya shughuli zake katika kitalu cha uwindaji cha Hifadhi ya Jamii ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Shule za serikali zang’ara matokeo kidato cha nne, 102 wafutiwa matokeo

BARAZA la Mitihani la Tanzania (NECTA), limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika Novemba 2023, ambapo watahiniwa 484,823 (87.65%) wamefaulu. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Vituo vya huduma kwa jamii vyaanza kutumika Dar

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) imekamilisha ujenzi wa vituo 30 vya huduma kwa jamii (Public Sanitary Service...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi 50 wapatiwa mafunzo kazini, 15 waula mgodini

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imewaaga na kuwapatia vyeti wanafunzi 50 kutoka vyuo vikuu waliokuwa wanafanya kazi katika mgodi huo kupitia...

Habari Mchanganyiko

Mtoto atolewa skrubu iliyokwama kwenye mapafu

Mtoto mwingine ametolewa Skrubu (Screw) kwenye mapafu yake kwa kutumia kifaa chenye kamera kilichokwenda kuinasa na kisha kuitoa. Mtoto huyo anadaiwa alikua akiichezea...

Habari Mchanganyiko

NMB yazipiga jeki shule sita mkoani Ruvuma

BENKI ya NMB imekabidhi madawati yenye thamani ya zaidi ya Sh 25 milioni kwa shule sita mkoani Ruvuma ikiwa ni utekelezaji wa dhamira...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yawatoa hofu wananchi maeneo yaliyoathiriwa na mvua

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA), Kiula Kingu ametembelea na kukagua miundombinu ya...

Habari Mchanganyiko

Mama (53) atolewa ganda la pipi kwenye pafu, aliishi nalo miaka 11

Watalaam wa Magonjwa ya Mfumo wa Mapafu na Upumuaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, leo Jumatatu wamemtoa mama mwenye umri wa miaka 53,...

Habari MchanganyikoTangulizi

TMA yatoa ufafanuzi wa mvua wa kubwa zinazoendelea kunyesha

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inapenda kutoa taarifa ya vipindi vya mvua kubwa vilivyojitokeza katika baadhi ya maeneo nchini. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Mawe, miamba ya barafu yasababisha kipande cha njia Mlima Kilimanjaro kufungwa

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limefunga kipande cha njia cha ‘ARROW GLACIER” ambacho hutumika na baadhi ya wageni wanaopanda mlima Kilimanjaro...

Habari Mchanganyiko

Papa Francis: Starehe ya tendo la ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amesema kwamba furaha ya tendo la ndoa ni zawadi kutoka kwa Mungu ambayo inapaswa kutendwa kwa...

Habari Mchanganyiko

Umeme wa jotoardhi kuzalishwa 2025

SERIKALI imesema inaendelea na utekelezaji wa miradi ya kipaumbele ya umeme itokanayo na nishati jadidifu ya jotoardhi katika maeneo mbalimbali nchini kupitia Kampuni...

Habari Mchanganyiko

TEF yafariji waathirika mafuriko Kilosa

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) leo Alhamisi limekabidhi msaada wa kiutu kwa waathirika wa mafuriko wilayani Kilosa mkoani Morogoro yaliyotokea hivi karibuni. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Kisa kusalimia wanaume, Mwanakwaya daiwa kuua mkewe, anaswa

MWIMBAJI maarufu wa kwaya kwenye kanisa moja la kiroho kijiji cha Ikulu kata ya Ipinda wilayani Kyela mkoani Mbeya, Aliko Mwakalibule (38) aliyekuwa...

Habari Mchanganyiko

Nathwani na Sangita mahakamani kwa kujeruhi jirani

KESI inayowakabili mkazi wa Dar es Salaam, Bharat Nathwani (57), maarufu kwa jina la Chiku na mke wake Sangita Bharat Nathwani (54) inatarajiwa...

Habari Mchanganyiko

Mradi wa Julius Nyerere (JNHPP) wafikia asilimia 95.8

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko ameeleza kuwa Serikali imeamua kuwekeza katika miradi ya nishati ili kuhakikisha upatikanaji umeme...

Habari Mchanganyiko

515 wahama Ngorongoro kwenda Msomera

Kundi lenye kaya 72 za wananchi 515 na mifugo 2,206 limeagwa leo Alhamisi baada ya kujiandikisha na kuamua kuhama kwa hiyari kutoka katika...

Habari MchanganyikoTangulizi

TRC yasitisha kwa muda safari za treni

Shirika la Reli Tanzania-TRC limesitisha kwa muda huduma ya safari za treni kutoka Dar es Salaam kuelekea mikoa ya Morogoro, Dodoma, Singida, Tabora,...

Habari Mchanganyiko

Visima 27 vyakutwa na vimelea vya kipindupindu

Visima 27 vya maji kati ya 34 vilivyopimwa katika wilaya za Kahama na Kishapu mkoani Shinyanga vimebainika kuwa na vimelea vya ugonjwa wa...

Habari Mchanganyiko

ACT waivaa LATRA CCC nauli kupanda, wataka ivunjwe

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kulivunja Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (Latra CCC) kwa kushindwa kusimamia vema...

Habari Mchanganyiko

Kipindupindu champonza bibi afya, RC atoa maagizo

MKUU wa mkoa wa Songwe, Dk. Fransisi Michael amemuagiza Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mbozi, Abdallah Nandonde kumhamisha kituo cha kazi...

Habari Mchanganyiko

Nishati Jadidifu yapawa ajira vijana Afrika

  MATUMIZI ya Nishati jadidifu yatajwa kuwa chanzo kipya cha ajira kwa vijana nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Licha...

Habari Mchanganyiko

Kenya yairuhusu Air Tanzania kusafirisha mizigo yake

  Mamlaka ya anga nchini Kenya imeiruhusu kampuni ya ndege nchini Tanzania Air Tanzania kusafirisha mizigo yake kutoka Kenya hadi mataifa mengine kuanzia...

AfyaHabari Mchanganyiko

Kisa mitihani kuvuja, watahiniwa 1,330 wa uuguzi, ukunga wafutiwa matokeo

Wizara ya Afya imefuta matokeo yote ya mtihani wa usajili na leseni wa wauguzi na wakunga kwa watahiniwa 1,330 wa Stashahada baada ya...

AfyaHabari Mchanganyiko

Shanga yatolewa katika mapafu ya mtoto, wazazi waaswa

Wazazi wameaswa kufuatilia michezo ya watoto kwa karibu zaidi na kuwazuia kuweka vitu mdomoni, puani pamoja na maskioni ili kuwaepusha na madhara mbalimbali...

ElimuHabari Mchanganyiko

CBE yaanza kutoa mafunzo wahudumu wa mabasi

CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimeanza kutoa mafunzo kwa wahudumu wa kwenye mabasi ya abiria ili kuifanya kazi hiyo kuheshimika kama zilivyo...

Habari Mchanganyiko

Mazingira bora ya uwekezaji yanavyozidi kuivutia AngloGold Ashanti kuwekeza Tanzania

KUTOKANA na mazingira mazuri ya uwekezaji yanayoendelea kuboreshwa na Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, Kampuni AngloGold Ashanti imetangaza kuanzisha shughuli za...

Habari Mchanganyiko

RITA yakerwa na upotoshaji vyeti vya ndoa

WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita) umewataka wananchi wapuuze taarifa zilizozagaa katika baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii zinazowataka...

error: Content is protected !!