WAZIRI wa Habari Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Nape Nnauye amewaonya wanahabari wanaokiuka Sheria zilizopo katika utendaji kazi wao. Anaripoti mwandishi Wetu …...
By Gabriel MushiMay 3, 2022MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, ameziomba Serikali barani Afrika kuziondolea tozo karatasi za kuchapisha magazeti. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea)...
By Gabriel MushiMay 3, 2022TAASISI ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika, Tawi la Tanzania (Misa-Tanzania) limebainisha changamoto tano zinazokwaza tasnia ya habari nchini humo. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMay 3, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewatakia kheri ya Eid El Fitri Waislamu na Watanzania wote huku akiwataka kusherekea kwa amani na...
By Mwandishi WetuMay 3, 2022SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA) limesema baada ya kufanya tafiti linapendekeza kiwango cha chini cha kumwezesha mfanyakazi kuishi kiwe Sh milioni...
By Gabriel MushiMay 1, 2022RAIS Samia Suluhu Hassan ameendelea kutoa matumaini ya nyongeza ya mishahara kwa wafanyakazi nchini baada ya kuwadhibitishia kuwa atapandisha kima cha chini cha...
By Gabriel MushiMay 1, 2022CHAMA cha Waajiri Tanzania (ATE) kimesema mrundikano wa kodi zinazotozwa na taasisi mbalimbali za Serikali, umesababisha waajiri kupunguza wafanyakazi. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea)....
By Gabriel MushiMay 1, 2022WAZIRI wa Nishati, January Makamba, ameagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), liingie zabuni za ununuzi wa nguzo za kusambazia umeme kwa wakandarasi watakaokidhi...
By Gabriel MushiApril 30, 2022MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza viwango vya nauli mpya za daladala na mabasi ya kwenda mikoani. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Viwango...
By Gabriel MushiApril 30, 2022JAJI Mkuu Mstaafu wa Kenya, Willy Mutunga amezindua kitabu chake alichokipa jina la ‘Beacons of Judiciary Transformation’ leo Ijumaa tarehe 29 Aprili...
By Mwandishi WetuApril 29, 2022KAMPUNI ya kidijitali ya Media Convergency kwa kushirikiana na kampuni ya Meta imezindua mpango wa kuwapatia mafunzo ya kidijitali Watanzania 1000 kutoka katika...
By Gabriel MushiApril 28, 2022JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu wawili, kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya madereva wawili kisha...
By Regina MkondeApril 28, 2022KAMPUNI ya Utafiti ya New World Wealth na Henley, inayosaidia watu wenye thamani ya juu kupata makazi ,uraia kupitia uwekezaji, imeasema kuwa...
By Masalu ErastoApril 28, 2022WAISLAMU na wanajamii kwa ujumla wametakiwa kuutumia mwezi Mtukufu wa Ramadhani kubadili tabia kwa kutenda yaliyo mema na kuyaendeleza hata baada ya...
By Mwandishi WetuApril 28, 2022RAIS wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), anayetetea kiti chake, Profesa Edward Hoseah, amesema katika kipindi cha uongozi wake amefanikiwa kuimarisha...
By Mwandishi WetuApril 27, 2022MGOMBEA Urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Harold Sungusia, amesema amejitosa katika kinyang’anyiro hicho, baada ya kuona chama hicho kimeshindwa...
By Mwandishi WetuApril 27, 2022MGOMBEA Urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Jeremiah Mtobesya, ameahidi kuimarisha uhuru wa chama hicho pamoja na kuongeza mapato yake,...
By Mwandishi WetuApril 27, 2022CHANGAMOTO ya upungufu wa fedha inayokikumba Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), imeteka mdahalo wa wagombea urais wa chama hicho, uliofanyika leo...
By Mwandishi WetuApril 27, 2022KUFUATIA matukio ya wizi unaofanwa na vikundi vya vijana wenye umri wa miaka 14 mpaka 21 chanika jijini Dar es salaam, wakipita...
By Mwandishi WetuApril 27, 2022MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amosi Makalla amekemea vikali wizi wa miundombinu ya maji ikiwemo mabomba na mita za maji...
By Mwandishi WetuApril 27, 2022MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongela, ametangaza kufungwa kwa baadhi ya barabara za katikati ya mji huo ili kutoa nafasi kwa wananchi...
By Mwandishi WetuApril 27, 2022IKIWA ni muendelezo wa kutenda mema Kampuni za Smart Africa Group (SAG) imefuturisha watoto yatima na waumini wengine kwenye mfungo wa mwezi...
By Faki SosiApril 27, 2022CHAMA cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (TUICO) tawi la Dar es Salaam Yacht Club kimewafungulia shauri la...
By Gabriel MushiApril 26, 2022KAMPUNI za Smart Africa Group (SAG) imetoa msaada wa vyakula na mafuta kwa ajili ya futari kwa watoto yatima wanaosoma kwenye shule...
By Faki SosiApril 26, 2022KATIKA kuadhimisha miaka 58 ya Muungano wa Tanzania leo tarehe 26 Aprili, 2022, Rais Samia Suluhu Hassan amesamehe wafungwa 3,826. Anaripoti Mwandishi Wetu...
By Gabriel MushiApril 26, 2022MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imeipa Serikali siku tatu kuwasilisha kiapo kinzani katika kesi iliyofunguliwa na watetezi wa...
By Mwandishi WetuApril 25, 2022KAMATI ya kukusanya mapendekezo ya wananchi na wadau juu ya kumaliza mgogoro wa ardhi katika Hifadhi ya Ngorongoro mkoani Arusha, imeiomba Serikali irudishe...
By Gabriel MushiApril 25, 2022BILIONEA wa Nigeria, Aliko Dangote, anatarajiwa kuanza uwekezaji katika sekta ya sukari nchini Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....
By Mwandishi WetuApril 25, 2022KAMPUNI ya Uchimbaji Mkubwa wa Madini ya Dhahabu wa Barrick kupitia mgodi wake wa Barrick North Mara umepigwa faini ya shilingi bilioni moja...
By Gabriel MushiApril 25, 2022KAMPUNI ya ya Mawasiliano ya simu za mikononi ya Vodacom Tanzania pamoja na Smart Lab imezindua mpango maalam wa kuwawezesha wajasiriamali wadogo...
By Faki SosiApril 25, 2022WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka wizara ya maliasili na utalii kuendelea kusimamia kwa ukaribu na kuhakikisha shughuli za ujenzi katika...
By Mwandishi WetuApril 25, 2022SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson ameipongeza Benki ya NMB kwa hafla ya Iftari ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani iliyowaandalia...
By Mwandishi WetuApril 24, 2022SERIKALI imesema Maandalizi ya Sensa ya Watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti mwaka huu yamefikia hatua ya asilimia 80. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma...
By Gabriel MushiApril 24, 2022SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC), linatarajia kuanza majaribio ya mifumo ya umeme wenye ukubwa wa Volti 25,000, kwenye njia ya Reli ya Kisasa...
By Gabriel MushiApril 23, 2022MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu nchini (LHRC), wamefungua kesi ya kuomba...
By Gabriel MushiApril 23, 2022RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, amesema Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alisisitiza umuhimu wa siasa katika kujenga uchumi unaojitegemea na matumizi...
By Gabriel MushiApril 23, 2022KANISA la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Konde, limemtaka Msajili wa Jumuiya za Kiraia nchini, kuacha “kuingilia mambo ya ndani...
By Mwandishi WetuApril 23, 2022MAHAKAMA nchini Rwanda imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wa China kwa mashtaka ya mateso aliyowafanyia wanaume wanne aliokuwa akiwachapa huku wakiwa...
By Gabriel MushiApril 21, 2022FAMILIA ya aliyekuwa Mkuu wa Wamisionari Afrika nchini Tanzania, Padri Francis Kangwa, imesema imepokea kifo chake kwa kuwa ni baraka na kwamba wanasherehekea...
By Gabriel MushiApril 21, 2022SERIKALI imesema watuhumiwa wa kesi 147 za rushwa wameachiwa huru baada ya kutopatikana na hatia katika kipindi cha mwaka mmoja. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuApril 21, 2022TANZANIA imepanda imepanda kwa nafasi 7 katika vipimo vya nchi zenye rushwa kutoka nafasi ya 94 mwaka 2020 hadi nafasi ya 87 mwaka...
By Mwandishi WetuApril 21, 2022ASKOFU Mkuu Yuda Thaddeus Ruwa’ichi, wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, amesema uchunguzi dhidi ya chanzo cha kifo cha aliyekuwa Mkuu...
By Gabriel MushiApril 21, 2022WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es...
By Gabriel MushiApril 21, 2022WADAU wa vyombo vya habari nchini Tanzania wameshauri utafiti ufanyike kuhusu hali ya unyanyasaji wa kingono mahali pa kazi, ili kujua ukubwa wa...
By Regina MkondeApril 20, 2022MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) nchini Tanzania katika ukaguzi wake kwa mwaka 2020/21 amebaini udhaifu wa usimamizi, ufuatiliaji na ukiukwaji...
By Masalu ErastoApril 20, 2022WATU sita (06) wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali iliyohusisha gari Toyota Noah kugongana na lori aina ya scania katika...
By Mwandishi WetuApril 20, 2022MTUHUMIWA wa ujambazi Mayala John (40) mkazi wa Kata ya Ludete, Katolo mkoani ameeleza mbinu ya uchawi wanayotumia kupora. Anaripoti Paul Kayanda,...
By Mwandishi WetuApril 20, 2022OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa ameagiza watu wanaofanya siasa kwa kutumia jina la Chama cha Umoja Party, kuacha kufanya shughuli hizo...
By Gabriel MushiApril 19, 2022SAKATA la kifo cha Padri Francis Kangwa (49) raia wa Zambia aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Yohanne Paul II, iliyoko Mbezi Mshikamano...
By Gabriel MushiApril 19, 2022TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imeunga mkono ubunifu wa gari la umeme la Mwandishi wa habari na mchoraji vibonzo maarufu...
By Gabriel MushiApril 18, 2022