Saturday , 20 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

ZIC Yahitimisha Maadhimisho Ya Miaka 53 Kwa Kuzindua “ZIC App’’

SHIRIKA la Bima Zanzibar (ZIC) limehitimisha maadhimisho ya miaka 53 tangu kuanzishwa kwake kwa kuzindua program ya online (Online App) ijulikanayo kama ZIC...

Habari Mchanganyiko

Safari ya NMB kujenga maghala Tanzania yaanza

BENKI ya NMB nchini Tanzania imesaini randama ya makubaliano kati yake na Ofisi ya Mrajisi wa Vyama vya Ushirika wa kujenga maghala kwenye...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia: Tusizalishe ‘panya road’ wanatusumbua!

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wazazi na walezi kuwalea vizuri watoto wao kwani wasipolelewa ipasavyo watazalisha ‘panya road’ wengi, ambao wanaisumbua...

Habari Mchanganyiko

ZIC yatoa msaada wa vifaa tiba hospitali ya Mnazi mmoja Zanzibar

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Fedha na Mipango, Saada Mkuya hii jana tarehe 18 Juni, 2022 amewaongoza maofisa waandamizi pamoja na wafanyakazi...

Habari Mchanganyiko

ACT-Wazalendo yataka mapendekezo kikosi kazi cha Rais yaheshimiwe

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeshauri maoni na mapendekezo yatakayotolewa na Kikosi Kazi kilichoundwa na Rais Samia kwa ajili ya kutafuta muarobaini wa changamoto za...

HabariHabari Mchanganyiko

“Tume huru kwanza” yampeleka ACT-Wazalendo kigogo Chadema

KATIBU wa Chadema mkoani Ruvuma, Tasilo Bathlomew Milinga, leo Jumamosi, ametangaza kujiunga rasmi na Chama cha ACT-Wazalendo, huku akitaja sababu zilizopelekea kuchukua uamuzi...

HabariHabari Mchanganyiko

Mgombea Urais azomewa nyumbani kwake

KIONGOZI wa chama cha Wiper nchini Kenya, Kalonzo Musyoka, amekutana na udhalilishaji akiwa jukwaani baada ya kundi kubwa la wananchi wanaomsikiliza kumzomea akifanya...

Habari Mchanganyiko

Mwanaume achoma kaburi la mama mkwe wake kwa hasira

MWANAUME mmoja raia wa Pakistani ameripotiwa kuchoma moto kaburi la mama mkwe wake aliyefariki miaka 25 iliyopita huko Layyah, jimbo la Punjab. BBC...

Habari Mchanganyiko

NIT yamwagiwa mabilioni ya WB

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia mradi wa EASTRIP imekipatia Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) zaidi ya Sh.49 bilioni kwa ajili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Zumaridi ahofia uhai wake gerezani

MAWAKILI wa upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Mchungaji Diana Bundala, maarufu kama ‘Mfalme Zumaridi’ na wenzake wameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Mwanza...

Habari Mchanganyiko

Vigogo jiji la Arusha kizimbani kwa uhujumu uchumi

  SERIKALI ya Tanzania imewapandisha kizimbani aliyekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Dk. John Pima na wenzake wanne kwa mashitaka kutenda makosa nane...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Sh66.86 Bil. zakusanywa tozo daraja la Kigamboni

  SERIKALI imesema jumla ya Sh66.86 bilioni zimekusanywa tangu kuanza kutoza tozo za kuvuka daraja la Kigamboni mwaka 2016. Anaripti Mwandishi Wetu, Dodoma...

Habari Mchanganyiko

NMB yakabidhi vifaa vya usafi Dodoma, RC Mtaka atoa maagizo

MKUU wa Mkoa wa Dodoma (RC), Anthony Mtaka ameagiza Jiji la Dodoma kuharakisha sheria ndogondogo za mazingira ili kuweka hali ya usafi katikati...

Habari Mchanganyiko

Mr. Eazi aachia ngoma mpya, akimtambulisha mchumba wake

UNAWEZA kusema kwamba Mr Eazi, msanii wa muziki kutoka nchini Nigeria aliyepata umaarufu mkubwa kupitia wimbo wake wa Leg Over, amepiga ndege wawili...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar wamsaka mume aliyemuua mke

  GODBLES Sawe, mkazi wa Kimara jijini Dar es Salaam, anatafutwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma...

Habari Mchanganyiko

Watanzania kuiwakilisha Afrika mashindano ya TEHAMA ya Huawei Duniani

WANAFUNZI kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni miongoni mwa washiriki wa fainali za Mashindano ya kimataifa...

Habari Mchanganyiko

WFP kununua tani 40,000 za mazao

  SHIRIKA la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) linararajia kununua tani 43,000 za mahindi, maharage na mtama kwa wakulima kutoka mikoa mbalimbali. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Balozi Sokoine ateta na ujumbe wa PanAfrican Energy

KATIBU Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine leo tarehe 15 Juni, 2022 amekutana na kufanya...

Habari Mchanganyiko

Waziri Mulamula ziarani nchini Finland

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula jana tarehe 14 Juni, 2022 amewasili nchini Finland kwa ziara...

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa gawio bilioni 30, Dk. Mpango kumfikishia salamu Rais Samia

BENKI ya NMB nchini Tanzania wamekabidhi Sh30.7 bilioni kwa Serikali huku Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango akisema benki hiyo imefanya siku yake...

Habari Mchanganyiko

Masauni alitaka jeshi la uhamiaji kufuata sheria uingiaji, utokaji wageni

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi Hamad Yusufu Masauni ameitaka Idara ya Uhamiaji nchini kusimamia uingiaji na utokaji wa wageni katika...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aagiza mashirika kutoa gawio kwa Serikali

MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Dk. Philip Mpango, ameagiza mashirka yote yanayotakiwa kutoa gawio kwa Serikali kufanya hivyo mara moja. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari Mchanganyiko

RC Mwanza aungana na NBC kuwafunda wafanyabiashara

MKUU wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel hivi karibuni aliungana maofisa waandamizi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kuwafunda wafanyabiashara wakubwa...

Habari Mchanganyiko

Mamilioni ya NMB Bonge la Mpango yaanza kutolewa

MSIMU wa tatu wa Kampeni ya Weka Akiba na Ushinde iitwayo NMB Bonge la Mpango, inayoendeshwa na Benki ya NMB nchini Tanzania, umezinduliwa...

Habari Mchanganyiko

NEMC yatembelea mradi wa SGR

  BODI ya Wakurugenzi wa Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC), imefanya ziara katika mradi wa reli ya kisasa (SGR) na...

Habari Mchanganyiko

Bei nywele bandia kutoka nje kupanda

  BEI za nywele bandia maarufu kama mawigi, zinatarajiwa kupanda ifikapo Julai Mosi mwaka huu, baada ya Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika...

Habari Mchanganyiko

Uamuzi wa shauri la aliyedaiwa kujinyonga kituo cha Polisi lasogezwa mbele

  MAHAKAMA ya Wilaya ya Kinondoni imeahirisha kutoa uamuzi juu ya maombi ya familia ya marehemu Stella Moses (30) aliyedaiwa kujinyonga kwenye kituo...

Habari Mchanganyiko

ACT-Wazalendo yalia na uhaba wa walimu

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeishauri Serikali kuchukua hatua za haraka kupunguza changamoto ya uhaba wa walimu nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu, Ruvuma…(endelea). Ushauri huo umetolewa...

Habari Mchanganyiko

Teleza Kidigitali ya NMB yatua Kahama, Wamachinga waipokea

PROMOSHENI ya teleza kidigitali ya Benki ya NMB nchini Tanzania imeendelea kusambaa nchini humo kwa kufika Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

ZIC yajipanga kuadhimisha miaka 53 Kwa mafanikio

KUELEKEA maadhimisho ya miaka 53 tangu kuanzishwa kwake, Shirika la Bima Zanzibar (ZIC), limeandaa matukio kadhaa ikiwemo kutoa msaada wa vifaa tiba katika...

Habari Mchanganyiko

AG Feleshi: Wanahabari ni vizuri mkawa na bodi yenu

  JAJI Eliezer Feleshi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) nchini Tanzania, amesema wanahabari wanapaswa kuwa na bodi watayoisimamia wenyewe kulinda maadili ya habari....

Habari Mchanganyiko

BRELA yafungua milango kampuni zenye migogoro

  WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), umefungua zoezi la usikilizaji kampuni zenye migogoro na changamoto mbalimbali, kwa ajili ya kutafuta...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaazimia kuongeza uzalishaji kwa kusambaza mbegu bora

  SERIKALI imesema katika kuboresha sekta ya kilimo ikiwemo kuongeza mnyororo wa thamani imeongeza bajeti yake mara mbili zaidi kutoka Sh bilioni 228...

Habari Mchanganyiko

TGNP yawapiga msasa wabunge kuelekea Bajeti Kuu

MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP) umekutana na wadau pamoja na Wabunge wanawake vinara wa jinsia bungeni Dodoma na kuwapa mafunzo ya umuhimu wa ...

Habari Mchanganyiko

Askofu ashauri Bajeti Kuu iinue kipato cha Watanzania

IKIWA imebaki siku moja Serikali kuwasilisha Bajeti Kuu bungeni, Askofu wa Kanda ya kati wa makanisa la Baptist, Antony Mlyashimba ameitaka ametoa wito...

Habari Mchanganyiko

Vigogo NMB wamtembelea katibu mkuu elimu

AFISA Mtendaji Mkuu wa NMB nchini Tanzania, Ruth Zaipuna ameongoza ujumbe wa benki hiyo kumtembelea Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia,...

ElimuHabari Mchanganyiko

Care for Disability inavyorudisha tabasamu kwa wanafunzi wenye ulemavu

  JAMII imetakiwa kuendelea kujitokeza kwa wingi kusaidia kundi la wasichana wenye ulemavu taulo za kike  ili kuwawezesha kujistili kipindi wanapoingia mzunguko wa...

Habari Mchanganyiko

Serikali: Hakuna askari aliyetumwa kuua watu Loliondo

SERIKALI imesema hakuna kikosi cha askari waliokwenda kuua watu au kufukuza watu kutoka katika tarafa ya Loliondo na eneo la Kreta ya Ngorongoro...

Habari Mchanganyiko

Maaskofu: Anayekwepa kuhesabiwa ni mtenda dhambi

  BARAZA la Maaskofu wa Kanisa la Kipentecost Tanzania (CPCT) limesema litawahamasisha waumini wake na kuwapatia elimu juu ya umuhimu wa kujitokeza wakati...

Habari Mchanganyiko

Watanzania watakiwa kutumia mitandao ya kijamii kwa faida

  NAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Emmanuel Chibango amewaomba Watanzania kuitumia mitandao mbalimbali ya mawasiliano kwa lengo la kujiletea maendeleo na kusaidia...

Habari Mchanganyiko

RC Gabriel awaita wakazi Mwanza kuipokea filamu ya Royal Tour

MKUU wa mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel amewataka wakazi wa mkoa huo kuipokea filamu ya Royal tour ambayo inatarajiwa kuonyeshwa tarehe 18...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sakata Ngorongoro, askari auawa kwa mshale Loliondo

  MKUU wa Mkoa wa Arusha, John Mongela leo tarehe 11 Juni, 2022 amethibisha kutokea kwa mapigano katika wilayani Ngorongoro tarafa ya Loliondo...

HabariHabari Mchanganyiko

DC Tandahimba aonya vijana wasitumike kuvuruga amani

MKUU wa wilaya Tandahimba mkoani Mtwara, Kanali Patrick Sawala ametoa wito kwa vijana wakazi wa mikoa na wilaya za mpakani mwa nchi kutokubali...

Habari Mchanganyiko

Balozi Mulamula awasilisha ujumbe maalum wa Rais Samia kwa Rais wa Misri

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amewasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

Habari Mchanganyiko

NMB, Jubilee wazindua kifurushi kipya cha afya

BENKI ya NMB Tanzania jana Ijumaa tarehe 10 Juni 2022 kwa kushirikiana na Kampuni ya Bima ya Jubilee Health wamezindua kifurushi kipya cha...

Habari Mchanganyiko

Mufti ataja chanzo mauaji yaliyokithiri nchini

  KUTOKANA na kuwepo mfululizo wa matukio ya mauaji miongoni mwa jamii nchini, Mufti wa Tanzania, Sheikh Dk. Abubakar Zubeir amesema chanzo ni...

Habari Mchanganyiko

Hali ya dawa za kulevya Tanzania, bangi….

  KATIKA mwaka 2021 tani 22.74 za bangi zilikamatwa ikiwa ni ongezeko la asilimia 72 ya kiasi kilichokamatwa mwaka 2020. Anaripoti Danson Kaijage,...

Habari Mchanganyiko

Samia: Si matumani yetu kuona mifarakano nyumba za Mungu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameonesha kusikitishwa na mifarakano inayotokea katika nyumba za ibada baina ya viongozi wa dini. Anaripoti Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

DAWASA yatangaza mpango kambambe Dar, Pwani

  AFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema Mamlaka hiyo imejipanga...

Habari Mchanganyiko

Wadau wataka sheria makosa mtandaoni iandikwe upya

  WADAU wa tasnia ya habari nchini Tanzania, wameshauri Sheria ya Makosa ya Mtandaoni ya mwaka 2015, ifutwe ili kutoa nafasi ya kutungwa...

error: Content is protected !!