Saturday , 20 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Mufti: Sensa ni msingi mkuu wa maendeleo

MUFTI wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, amesema sensa ni msingi mkubwa wa maenndeleo ya mtu na hivyo kutoa wito kwa waislamu wote kushiriki...

Habari MchanganyikoTangulizi

ATCL yarejesha safari za Dar es Salaam-Guangzhou

SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATCL) imerejesha safari za kutoka Dar es Salaam kwenda Guangzhou China kuanzia tarehe 17 Julai, 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atoa wito kudumisha amani wakati wa Eid El Adha

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewasihi waislam nchini waendelee kudumisha amani, upendo, umoja, mshikamano, kuhurumiana, utulivu sambamba na kujiepusha na vitendo vinavyoashiria vurugu, uonevu...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Dodoma ahimiza sensa ya watu na makazi

SHEIKH wa Mkoa wa Dodoma Alhaji Shaban Rajabu amewahimiza waumini wa dini ya Kiislam kuhakikisha wanashiriki katika sensa ya watu na makazi inayotarajiwa...

Habari Mchanganyiko

Wanafunzi washauriwa kutembelea vivutio vya utalii

WANAFUNZI wa ngazi mbalimbali za elimu wametakiwa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini kwa kuwa kufanya hivyo kunawapa fursa ya kutambua uzuri...

Habari Mchanganyiko

Watumishi wahimizwa kutumia TEHAMA

WATUMISHI wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) wamehimizwa kufanya kazi kwa kutumia TEHAMA, ili kufanikisha malengo ya serikali ya kutoa huduma...

Habari Mchanganyiko

PURA wamwaga ajira kwa kila kada ya elimu, wasiosoma

  WANAFUNZI na wadau mbalimbali wametakiwa kuchangamkia fursa ya ajira katika Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwani taasisi hiyo...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia amlilia Bi Hindu

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema amepokea kwa huzuni taarifa ya kifo cha muigizaji mkongwe Chuma Selemani (Bi Hindu). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari Mchanganyiko

Waziri mkuu azindua filamu ya the Royal Tour Ruangwa

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka Halmashauri za Wilaya nchini kuweka mipango ya kuibua fursa za utalii ili zinufaike na idadi kubwa ya...

Habari Mchanganyiko

Sita kortini kwa kukwepa kodi ya Bil. 6.8

  WAFANYABIASHARA sita wakazi wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashitaka ya ukwepaji kodi...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Dodoma akemea ukatili, unyanyasaji

  SHEIKH wa Mkoa wa Dodoma, Alhaji Mustafa Rajabu amekemea vikali vitendo vya kikatili na unyanyasaji ambavyo vinafanywa na baadhi ya watu na...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Dodoma akemea ukatili, unyanyasaji

SHEIKH wa Mkoa wa Dodoma, Alhaji Mustafa Rajabu amekemea vikali vitendo vya kikatili na unyanyasaji ambavyo vinafanywa na baadhi ya watu na kueleza...

Habari Mchanganyiko

NMB yakabidhi hundi ya Sh milioni 10 kwa Chaneta

BENKI ya NMB imekabidhi Sh.10 milioni kwa Chama Cha Netiboli Tanzania (CHANETA) ikiwa na udamini wa Club Bingwa wa Netiboli Ligi Daraja la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Uamuzi kesi ya kina Mdee leo

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa uamuzi dhidi ya maombi yaliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, wakiongozwa...

Habari Mchanganyiko

Mwanafunzi wa Kenya ajiteka nyara na kudai kikombozi

POLISI katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, wamemkamata mwanafunzi wa udaktari anayedaiwa kughushi utekaji nyara wake mwenyewe ili kudai kikombozi kutoka kwa wazazi...

Habari MchanganyikoTangulizi

BREAKING NEWS – Waziri mkuu wa zamani Japan apigwa risasi, afariki

WAZIRI Mkuu wa zamani wa Japan Shinzo Abe (67) amefariki dunia, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa. Anaripoti Mwandishi Wetu kwa...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mkuu awapa ‘mchongo’ mawakili wasio na ajira

JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amewataka mawakili wapya na wale wa zamani ambao hawana ajira, kujikita katika masuala ya usuluhishi kwani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Prof. Hoseah awakabidhi mawakili wapya zigo la migogoro ya wananchi

RAIS wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Profesa Edward Hoseah, amewataka mawakili wapya, kuwasaidia wananchi katika kutatua migogoro inayowakabili.Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

Serikali yawataka mawakili wasikwamishe uendeshaji kesi

NAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Evaristo Longopa, amewataka mawakili kutokuwa chanzo cha kukwamisha uendeshaji mashauri, ili haki itendeke kwa wakati. Anaripoti Regina...

Habari Mchanganyiko

LNG kuanza kutoa gesi 2030

MKURUGENZI Mkuu Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Mhandisi Charles Sangweni amesema iwapo hakutakuwa na vikwazo, uzalishaji wa Mradi wa...

Habari Mchanganyiko

NMB yazindua tawi la 227 Mwanza, yasaidia serikali kukusanya trilioni 8.6

BENKI ya NMB nchini Tanzania imeendelea kujidhatiti kibiashara na kujiimarisha kulihudumia taifa kupitia mtandao wake wa matawi ambao sasa umefikia matawi 227. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango atoa maelekezo saba matumizi ya Kiswahili

  MAKAMU wa Rais Dk. Philip Mpango ametoa maelekezo saba kwa Wizara na taasisi mablimbali nchini katika kuhakikisha Kiswahili kinatumika ipasavyo katika shughuli...

Habari Mchanganyiko

Wadau wa mwani kukutana Zanzibar

  VIONGOZI, taasisi, wakulima na wadau mbalimbali wa zao la mwani wanatarajiwa kushiriki Kongano Bunifu la Mwani Zanzibar (Zasci) kuanzia tarehe 23 Julai...

Habari Mchanganyiko

DUWASA wakata maji Soko la Mavunde, wafanyabiashara walia

  UONGOZI wa Soko la bonanza katika ya kata ya Chamwino umesema kuna uwezekano wa wafanyabiashara na wateja wa soko hilo kukumbwa na...

Habari Mchanganyiko

Mkurugenzi Mkuu UNESCO Duniani atoa ujumbe siku ya Kiswahili duniani

  MKURUGENZI Mkuu wa UNESCO duniani, Audrey Azoulay, ameungana na mataifa yote duniani kuadhimisha siku ya Kiswahili duniani kwa kutuma ujumbe unaosisitiza kutumia...

Habari Mchanganyiko

Simbachawene kuongoza harambee kampeni GGM Kili Challenge 2022

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), George Simbachawene anatarajiwa kuzindua harambee ya Kampeni ya GGM Kili Challenge kwa...

Habari Mchanganyiko

Fahamu vigezo na mchakato Kiswahili kutambulika kimataifa

  TAREHE 7 Julai kila mwaka sasa inatambulika kuwa ni siku ya Kiswahili duniani ambapo leo ndiyo mara ya kwanza siku hiyo kusheherekewa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

CCM yataka viingilio Sabasaba vipunguzwe

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) wametakiwa kuangalia upya...

Habari Mchanganyiko

Kisena wenzake wasomewa mashitaka 25 Kisutu

MKURUGENZI wa Mradi wa Usafirishaji wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (UDART), Robert Kisena na wenzake, wamesomewa mashtaka 25 ikiwemo ya utakatishaji...

Habari Mchanganyiko

Kinana: Kiswahili ni lugha ya ukombozi Afrika

  MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Bara, Abdulrahman Kinana amesema kuna Ushahidi wa kila aina kuwa Kiswahili ndiyo lugha ya ukombozi Afrika. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei ya petroli yapaa, dizeli yashuka

  MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta kwa mwezi Julai ambapo bei ya petroli...

Habari Mchanganyiko

Wananchi watakiwa kukipa ushirikiano kikosi kazi

KATIBU Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Profesa Riziki Shemdoe amewasilisha maoni ya Wizara hiyo kwenye kikosi...

Habari Mchanganyiko

NMB yatoa mikopo ya bilioni 752.7 kwa wajasiriamali wadogo na wa kati

BENKI ya NMB nchini Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuendelea kuwawezesha wanawake wajasiriamali kote nchini ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuhakikisha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Shaka atembelea MwanaHALISI, Raia Mwema

  KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametembelea ofisi za magazeti ya Raia Mwema na MwanaHALISI, ikiwa ni muendelezo...

Habari Mchanganyiko

Barrick ilivyoshiriki katika  kuadhimisha Siku ya Canada

  KAMPUNI ya Barrick nchini Tanzania imekuwa mmoja wa wadau wakuu waliofanikisha maadhimisho ya Siku ya Canada, ambapo baadhi ya wafanyakazi wake walishiriki...

Habari Mchanganyiko

PURA yaanzisha kanzidata

  MAMLAKA ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli nchini Tanzania (PURA), imeanzisha Kanzidata (CQS) ambayo itawezesha kampuni na mtu mmoja mmoja kujisajili...

Habari Mchanganyiko

Branch kufikisha mikopo ya haraka kwa mamilioni ya Watanzania

BRANCH, kampuni inayoongoza duniani kwa utoaji mikopo kwa watu binafsi kwa njia ya simu za mikononi, imeelezea nia yake thabiti ya kuwafikishia huduma...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia amtumbua Mkurugenzi bandari

  RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 4 Julai, 2022 ametengua uteuzi wa mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), Eric...

Habari Mchanganyiko

Sakata la kigogo Bavicha, Chadema watinga mahakama kuu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimewasilisha ombi kwa mahakama kuu, masjala ya Dodoma, kuomba itoe amri kwa Jeshi la Polisi mkoani humo,...

Habari Mchanganyiko

NMB yawataka wananchi wachangamkie mikopo

BENKI ya NMB nchini Tanzania imeendealea kuhamashisha wananchi na wafanyabiashara wa Kanda ya Ziwa kuchangamkia  mikopo mbalimbali ikiwemo ya boti za uvuvi ili...

Habari Mchanganyiko

Vijana washauriwa kujiunga na kozi za uzalishaji wa sukari

VIJANA wametakiwa kujiunga na kozi ya teknolojia ya uzalishaji wa miwa na sukari ili waongeze chachu ya uzalishaji wa sukari na kukidhi mahitaji...

Habari MchanganyikoTangulizi

Siasa, longongo zamchefua Samia utendaji bandari

RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema haridhishwi na kasi ya utendaji wa bandari za Tanzania na kuwataka watendaji waache siasa na longolongo wakati wa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aagiza sheria ya sekta binafsi, manunuzi zirekebishwe

RAIS Samia Suluhu Hassan, amemuagiza Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Eliezer Feleshi kufanya mchakato wa marekebisho ya Sheria ya Ubia kati ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tutanunua vifaa vya treni vipya, mtumba

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali imetoa fedha kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya treni ya kisasa, huku akisema miongoni mwa vifaa...

Habari MchanganyikoTangulizi

BREAKING NEWS-Saba wafariki ajali ya gari, mkokoteni Dodoma

  WATU saba wamefariki dunia na wengine watano kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha gari aina ya Toyota Landcruiser yenye namba za usajili STL 9534...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awapongeza madaktari waliowatenganisha mapacha Muhimbili

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ameipongeza timu ya madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, waliofanikisha upasuaji wa kuwatenganisha mapacha waliokuwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa amgomea Sheikh kuoa mke wa pili

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemueleza Sheikh Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum kwamba dua aliyomuombea ili aoe mke...

Habari Mchanganyiko

Mapato yaongezeka kwa 22.77%, TRA yataja sababu tano

  MAKUSANYO ya mapato ya Tanzania, kwa mwaka wa fedha ulioisha wa 2021/22, yameongezeka kwa kwa asilimia 22.77, kutoka Sh. 18.15 trilioni (2020/21)...

Habari Mchanganyiko

Ajali Tabora yauwa watano, jeruhi 17

  WATU watano wamepoteza maisha mkoani Tabora, huku wengine 17 wakijeruhiwa katika ajali ya basi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Tabora … (endelea). Akitoa taarifa...

Habari Mchanganyiko

Sheikh Mkuu Dar amuombea Majaliwa aongeze mke wa pili

  SHEIKH Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amemuombea Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa aoe mke wa pili ilia pate...

error: Content is protected !!