Friday , 19 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Kiboko ‘babu’ aliyeua watu 8, auawa

KIBOKO dume ambaye kwa muda mrefu amekuwa akisumbua wananchi wa kata ya Mabilioni wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro na kukwamisha shughuli za maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Jafo aagiza Dodoma kununua vifaa vya usafi

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, Selemani Jafo ameiagiza Ofisi ya Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kutenga...

Habari Mchanganyiko

Watoto 11,499 watendewa ukatili 2021

  WAZIRI wa Maendeleo ya jamii, Dk. Doroth Gwajima amesema jumla ya watoto 11,499 wamefanyiwa ukatili mwaka jana. Kati yao 5,899 walibakwa na...

Habari Mchanganyiko

NMB yaendelea kuwa kinara Tanzania, faida kabla ya kodi yafikia bilioni 298

BENKI ya NMB imeendeleza ufanisi wake kiutendaji katika kipindi cha nusu ya kwanza ya mwaka 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Faida kabla ya kodi...

Habari Mchanganyiko

Afrika kinara maambukizi ya homa ya ini, Serikali yahadharisha

WAKATI bara la Afrika likiwa kinara kwenye maambukizi ya ugonjwa wa homa ya ini duniani, Serikali ya Tanzania  imetoa tahadhari juu ya maambukizi...

Habari Mchanganyiko

Tume ya madini yakusanya Sh bilioni 623

KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema katika kipindi cha mwezi Julai 2021 hadi Juni, 2022 wamekukusanya kiasi cha Sh...

Habari Mchanganyiko

Wanaotafuta utajiri kwa nguvu za giza waonywa

WATANZANIA wanaotaka kupata utajiri wa haraka wametakiwa kufanya kazi kwa bidii kwa ajili ya kuwaingizia kipato badala ya kufanya matambiko yenye kafara za...

Habari Mchanganyiko

TUCTA yawasilisha mapendekezo ya viwango vya mishahara serikalini

  SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA) limepeleka mapendekezo yake Serikalini ya kutoridhika na nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma iliyoanza...

Habari Mchanganyiko

Wananchi Nkasi waiomba Serikali nishati safi na salama ya kupikia

WANANCHI mbalimbali katika Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa wameiomba Serikali kuwapatia nishati safi na salama ya kupikia ili waweze kufanya shughuli za kuwaingizia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Serikali yapiga ‘stop’ Vumbi la Mkongo linalodaiwa kuongeza nguvu za kiume

WIZARA ya Afya kupitia Baraza la Tiba asili na Tiba mbadala limeifungia dawa ya Hensha ambayo ni maarufu kwa jina la Mkongo yenye...

Habari Mchanganyiko

RC Makalla azindua ‘Mwalimu Spesho’ Dar, atoa ujumbe

KONGAMANO la Siku ya Walimu na Benki ‘NMB Teachers Day’ Mkoa wa Dar es Salaam, limefanyika na kuhudhuriwa na Mkuu wa Mkoa (RC),...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kesi ya Kisena, wenzake yatua Mahakama ya Mafisadi

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoa wa Dar es Salaam – Kisutu imefunga jalada la kesi mbili kati ya tatu za uhujumu uchumi...

Habari Mchanganyiko

Fedha za Uviko-19 kufikisha maji kwa wakazi 40,000 Dodoma

  WAKAZI wa Jiji la Dodoma wapatao 40,000 wanatarajiwa kunufaika kwa kuunganishiwa maji kutokana na fedha za mkopo wa masharti nafuu za UVIKO...

Habari MchanganyikoTangulizi

TUCTA: Kumwongezea mtu Sh. 8,000 ni dhihaka kwa mfanyakazi

RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhokya, amesema kitendo cha kumwongezea mtu Sh. 8,000 licha ya kutoongezewa mshahara...

Habari Mchanganyiko

Kibano mabasi ya mikoani yasiotoa tiketi za kielekroniki

IFIKAPO mwisho wa mwezi Julai mwaka huu mabasi yote yaendayo mikoani na nchi jirani yatalazimika kuingia katika mfumo wa tiketi za kielekroniki vingenevyo...

Habari Mchanganyiko

Watu 10 wafariki wakiwemo wanafunzi wanane ajali basi la shule

  WATU 10 ikiwemo wanafunzi wanane, wamefariki dunia huku 17 wakijeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Mji Mwema, mkoani Mtwara. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Benki yamwaga neema shule 5 Dar

BENKI ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Sh.39 milioni kwa shule tano za Temeke jijini Dar es Salaam huku...

Habari Mchanganyiko

TARSI, Polisi yawapika wanafunzi usalama barabarani Dar

  WAKATI Serikali ikipambana kupunguza vifo vitokanavyo na ajali barabarani Taasisi ya Tanzania Road Safety Initiatives (TARSI) imeunga mkono jitihada hizo kwa kutoa...

Habari Mchanganyiko

Polisi wapigwa msasa kesi za ukatili wa kijinsia, haki za binadamu

  BAADHI ya maafisa wa Jeshi la Polisi na waendesha mashtaka, kutoka mikoa ya Kanda ya Kusini, wamepewa mafunzo juu ya namna ya...

Habari Mchanganyiko

RC Homera aagiza ujenzi mnara wa mashujaa wenye hadhi Mbeya

  HALMASHAURI ya jiji la Mbeya imeagizwa ndani ya miezi mitatu iwe imekamilisha ujenzi wa mnara wenye hadhi na uandikwe majina yote ya...

Habari Mchanganyiko

Sh bilioni 1.1 zakusanywa kampeni GGM Kili Challenge 2022

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Tume ya Kudhibiti Ukimwi nchini (TACAIDS), imeendelea kuweka rekodi utoaji wa huduma za...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Exim yapiga kambi Lindi, Mtwara kuimarisha sekta ya elimu, kilimo

BENKI ya Exim Tanzania imeelezea adhma yake ya kukuza na kuchochea ukuaji wa kiuchumi katika mikoa ya Lindi na Mtwara kwa kukuunga mkono...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Dodoma ni makao makuu, hakuna kurudi nyuma

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuwa Serikali imedhamiria kwa dhati kuendeleza maono ya shujaa Hayati Mwalimu Julius Nyerere kwamba makao makuu ya...

Habari Mchanganyiko

NMB yamwaga vifaa vya ujenzi vya Milioni 150 mikoa 3

KATIKA kuhakikisha inaunga mkono juhudi za serikali za kuboresha huduma za jamii kwa wananchi wake, Benki ya NMB imetoa vifaa mbalimbali kwenye shule...

Habari Mchanganyiko

ACT Wazalendo: Tunafanya kazi kuhakikisha Z’bar inakuwa na uchaguzi bora

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT- Wazalendo Zanzibar Othman Masoud Othman, amesema wanafanya kazi kubwa, ili Zanzibar iwe na mazingira bora ya uchaguzi...

Habari Mchanganyiko

Askofu Mwamalanga amtaka IGP Wambura kuwatimua askari wanaokiuka haki za raia

MWENYEKITI wa Kamati ya Kitaifa ya  Maaskofu na Mashehe ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu  kwa jamii ya Madhehebu  nchini Askofu William...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aonya bodaboda wizi wa ukwapuaji

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka wasafirishaji wanaotumia pikipiki maarufu kama bodaboda nchini humo kuachana na vitendo vya wizi wa ukwapuaji na...

Habari MchanganyikoTangulizi

Nyongeza mishahara kuikutanisha Serikali, TUCTA

SERIKALI inatarajia kukutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) kwa lengo la kuwasikiliza na kutoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara...

Habari Mchanganyiko

ACT-Wazalendo yalia Tanga kudidimia kiuchumi, yaibua changamoto nne

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeitaka Serikali ichukue hatua za haraka kuimarisha uchumi wa Mkoa wa Tanga, ili irejee katika hadhi yake ya kiuchumi iliyokuwa...

Habari Mchanganyiko

Prof. Mkenda awaaga Rais Museveni, Ndayishimiye

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni pamoja na Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye leo tarehe 23 Julai, 2022 kwa nyakati tofauti wameondoka katika uwanja...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi kuchunguza utata vifo vya mapacha Dar

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limeanza uchunguzi wa vifo vya vijana mapacha waliofahamika kwa jina la Khalifu na Khalifa,...

Habari Mchanganyiko

DC Dodoma: Tusisubiri kusukumwa kufanya usafi

MKUU wa wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri amewataka wakazi wa jiji la Dodoma kujenga tabia ya kufanya usafi kila siku badala ya kusubiri...

Habari Mchanganyiko

Sita wajeruhiwa majibizano ya risasi na polisi

  KAMANDA wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, ACP Jumanne Muliro, amesema watu sita kati ya tisa wanaotuhumiwa kwa ujambazi,...

Habari Mchanganyiko

Aweso akutana na kuteta na Waziri wa Maji wa India

  WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Maji wa Jamhuri ya Watu wa India, Gajendra Singh Shekhawat,...

Habari Mchanganyiko

Idadi wanaohama kwa hiari Ngorongoro yaongezeka

  IDADI ya kaya za wananchi waliokubali kuhama kwa hiari katika Hifadhi ya Ngorongoro, imeongezeka kutoka 296 Juni 2022, hadi kufikia 757 Julai,...

Habari Mchanganyiko

Sh. 998 Mil. kuifanya Temeke kuwa ya kijani

  ZAIDI ya zaidi ya Sh.998 milioni zinatarajiwa kutumika kwa ajili ya kuendeleza maeneo ya wazi na upandaji miti 1,927 katika Manispaa ya...

Habari Mchanganyiko

Prof. Mbarawa atoa maagizo kwa bodi ya ushauri ya TBA

  WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa ameitaka Bodi Mpya ya Ushauri ya Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), kuuwezesha Wakala huo...

Habari Mchanganyiko

Bilioni 2/- kuboresha kilimo cha pamba

  SERIKALI ya Tanzania imesaini mkataba wa zaidi ya Sh 2.1 bilioni na nchi ya Brazili kwa ajili ya uboreshaji wa sekta ya...

Habari Mchanganyiko

Museveni ataja fursa Uviko-19, Vita vya Ukraine

    RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, amesema maradhi ya Uviko-19 na Vita vya Ukraine na Urusi ni fursa kwa nchi za Afrika....

Habari Mchanganyiko

Kenyatta: Tuna uhuru wa kisiasa, lakini tunahitaji uhuru wa kiuchumi

  RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amesema nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), zina uhuru wa kisiasa, lakini zinahitaji uhuru wa kiuchumi....

Habari Mchanganyiko

Aweso akaribisha kampuni za India kuwekeza sekta ya maji

  WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amezikaribisha kampuni za India kuja kuwekeza katika kuboresha zaidi miundombinu ambayo itasaidia kukuza uchumi wa Tanzania hususani...

Habari Mchanganyiko

Panya kuokoa waliofukiwa na kifusi

  CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), kimeanza kufundisha panya namna ya kutambua watu waliofukiwa na kifusi cha majengo, machimbo ya migodi...

Habari Mchanganyiko

RITA watakiwa kusaka kiini mwitikio mdogo kuandika wosia

KATIBU Mkuu wa Wizara Katiba na Sheria, Mary Makondo amewataka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kukusanya maoni kwa wananchi ili kutambua...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wambura, Kingai mabosi wapya Polisi, Sirro apelekwa Ubalozi

  RAIS wa Jamhuri, Samia Suluhu Hassan, amemteuwa Camillus Mongoso Wambura, kuwa mkuu mpya wa jeshi la polisi nchini (IGP). Anachukua nafasi ya...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa ataja muarobaini wa ajira nchini

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezitaka Taasisi ya Elimu ya Juu nchini kutoa elimu itakayowezesha wahitimu kukubalika kwenye soko la ajira, anaripoti Faki Sosi...

Habari Mchanganyiko

RC Mtaka atoa siku 65 RUWASA kukabidhi mradi wa maji Mtera

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Antony Mtaka, ametoa siku 65 kwa Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa) kukabidhi...

Habari Mchanganyiko

Waziri Bashungwa awapa neno walimu kuchangamkia fursa NMB

SERIKALI ya Tanzania imewataka walimu kutumia fursa zinazotolewa na Benki ya NMB kujiwekea malengo binafsi na kujiendeleza ilikuboresha Hali ya maisha yao na...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar wamkamata anayetuhumiwa kumuua mke

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Selemani Malima, anayetuhumiwa kwa mauaji ya mke wake, Husna Mjaliwa, kwa sababu ya...

Habari Mchanganyiko

Fedha za Uviko-19 kufikisha maji kwa wananchi milioni moja vijijini

WAKALA wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), umesema kufikia mwishoni mwa mwezi huu miradi maji 172 inayojengwa na fedha za...

Habari Mchanganyiko

Waomba wanahabari wapewe kinga, wawezeshwe kiuchumi

SERIKALI ya Tanzania, imeshauriwa kufanya marekebisho ya sheria zinazosimamia tasnia ya habari, yatakayowezesha wadau wake hususan waandishi wa habari,  kuwa huru kutekeleza majukumu...

error: Content is protected !!