Wednesday , 17 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

THRDC yazindua mtandao wa kuhifadhi data na kushirikisha taarifa

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umezindua mtandao wake wa usajili, ufuatiliaji na usimamizi wa wanachama wake zaidi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia ataka Sheria ya kulinda uwekezaji iangaliwe upya

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameonesha kutoridhika na masharti ya sheria ya kulinda uwekezaji inayoweka ulazima wa mzozo baina ya mwekezaji...

Habari Mchanganyiko

NMB yaalika wachimbaji wadogo, kati kuchangamkia mikopo ya mitambo

KATIKA kuunga mkono juhudi za Serikali za kuwainua wachimbaji wadogo na wa kati kwenye sekta ya madini, Benki ya NMB imetoa wito kwa...

Habari Mchanganyiko

Tume ya Madini yataka wachimbaji wadogo kuzingatia sheria ya Mazingira

TUME ya Madini imewataka wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu mkoani Geita kuzingatia sheria ya mazingira na afya migodini. Pia imetoa wito kwa...

Habari Mchanganyiko

Wakulima wa korosho Lindi, Mtwara kuchanua na “Vuna Zaidi na NBC Shambani”

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua msimu wa pili wa kampeni yake  maalum kwa wakulima wa zao la korosho katika mikoa ya...

Habari Mchanganyiko

Ambao hawatajisajili chama cha mawakili wa Serikali kupoteza kazi zao

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema mawakili wa Serikali ambao hawatajisajili katika Chama cha Mawakili wa Serikali katika...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mkuu, Chenge wawafunda mawakili wa Serikali kuhusu chama chao

MAWAKILI wa Serikali, wametakiwa kutumia chama chao kuhakikisha viongozi wa Serikali wanazingatia matakwa ya katiba na sheria za nchi, katika utekelezaji wa majukumu...

Habari Mchanganyiko

Stamico wataja faida za mkaa mbadala, unatumika mara 3 ya mkaa wa kuni

SHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limesema mkaa mbadala wa kupikia unaojulikana kama ‘Rafiki Coal Briquettes’ unaotokana na makaa ya mawe una uwezo...

Habari Mchanganyiko

‘Jukumu la wizara ya madini ni kuunda, kuisimamia sera ya madini’

IMEELEZWA kuwa jukumu la Wizara ya Madini ni kuunda sera na kusimamia sheria ya sekta ya madini sambamba na utoaji wa mafunzo ya...

Habari Mchanganyiko

Mbibo: Wananchi tembeleeni Tume ya Madini kupata elimu ya madini

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo ametoa wito kwa Watanzania, wananchi wa mkoa wa Geita, mikoa jirani na wachimbaji wadogo...

Habari Mchanganyiko

Shehena ya sigara bandia za Bil. 1.8/- kutoka DRC yakamatwa Shinyanga

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa tiba (TMDA), Kanda ya Ziwa Magharibi imekamata shehena ya sigara bandia zenye thamani ya Sh 1.8 Bilioni katika...

Habari Mchanganyiko

Tume ya madini yawanoa wachimbaji wa madini kwenye maonesho ya madini Geita

WATAALAM kutoka Tume ya Madini wameendelea kutoa elimu kwa wachimbaji wa madini kutoka katika mkoa wa Geita na mikoa ya jirani katika Maonesho...

Habari Mchanganyiko

Bashungwa awasimamisha kazi maofisa watano Mbulu

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Innocent Bashungwa amewasimamisha kazi maofisa watano wa Halmashauri...

Habari Mchanganyiko

Kibano chaja kwa waagizaji magari ‘used’ watakaokwepa ukaguzi Japan

  SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limewataka waagizaji wa magari yaliyotumika kutoka Japan, mawakala wa forodha na wananchi wote kwa ujumla kuhakikisha wanakagua...

Habari Mchanganyiko

Wachimbaji wadogo waitwa maonesho madini Geita, kampuni 600 zashiriki

KATIBU Mkuu Wizara ya Madini, Adolf Ndunguru ametoa wito kwa wachimbaji wadogo wa madini nchini kushiriki Maonesho ya 5 ya Teknolojia ya Madini...

Habari Mchanganyiko

Upelelezi wakwamisha kesi ya madiwani wa Loliondo

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imeahirisha kesi ya mauaji inayowakabili baadhi ya viongozi wa Loliondo, mkoani Arusha, hadi tarehe 11 Oktoba 2022,...

Habari Mchanganyiko

Wataka mjadala kupata mwarobaini  ukata vyombo vya habari

  WADAU wa tasnia ya habari, wameshauri uitishwe mjadala wa kitaifa, kujadili namna ya kutatua changamoto ya kifedha katika vyombo vya habari. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

TPA, bandari ya Antwerp kuongeza ushirikiano

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) pamoja na Bandari Antwerp ya Ubelgiji zimeahidi kuongeza ushirikiano ili kuongeza ufanisi katika shughuli za bandari...

Habari Mchanganyiko

Watoa huduma za afya ‘wanaolala’ wikiendi kikaangoni

WIZARA ya Afya imeanzisha kamati za kusimamia uadilifu ili kupunguza malalamiko ya wateja kwenye Hospitali ya Taifa, Hospitali Maalumu, hospitali za rufaa, za...

Habari Mchanganyiko

Mwongozo wafungwa Zanzibar kutoa malalamiko waja

CHUO cha Mafunzo Zanzibar, pamoja na wadau mbalimbali ikiwemo na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), kimekamilisha mchakato wa kupokea...

Habari MchanganyikoTangulizi

Padri kizimbani tuhuma udhalilishaji watoto kingono

PADRI wa Kanisa Katoliki Parokia Teule ya Mtakatifu Deonis Aropagita, Jimbo la Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, Sostenes Bahati Soka amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

Habari Mchanganyiko

Mgodi mkubwa wa dhahabu kuanzishwa Sengerema

MKUU wa mkoa wa Mwanza, Adam Malima, amesema Serikali imeingia kwenye makubaliano na kampuni ya OA Coal ambayo itajenga mgodi wa pili kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bibi wa miaka 85, ahofiwa kudhulumiwa ardhi yake 

BIBI wa miaka 85 Tumu Haji Mbonde, anahofia kuporwa ardhi yake ya hekari tano iliyoko kijiji cha Mgomba Kaskazini, wilayani Ikwiriri mkoa wa...

Habari Mchanganyiko

NMB yashinda tena Tuzo ya Benki Bora wateja binafsi Tanzania

  Kwa mwaka wa pili mfululizo, Benki ya NMB imeshinda tuzo ya benki kiongozi wa kuwahudumia wateja binafsi nchini kutokana na ubora wa...

Habari Mchanganyiko

167 mbaroni kwa tuhuma za kuvunja nyumba, kuiba

  JESHI la Polisi nchini, limewakamata watu 167 kwa tuhuma mbalimbali, ikiwemo kuvunja nyumba za raia, kujeruhi na kuiba mali. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari Mchanganyiko

Wadhamini NMB Marathon watambulishwa rasmi

WIKI moja kabla ya kufanyika ya mbio za hisani za NMB Marathon ‘Mwendo wa Upendo,’ Benki ya NMB inayoandaa mbio hizo imetangaza wadhamini...

Habari Mchanganyiko

Kigogo UTPC ateta na THRDC

MKURUGENZI mpya wa Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC), Keneth Weston, amefanya mazungumzo na Mtandao wa Watetezi wa Haki za...

Habari Mchanganyiko

Wavunaji mkaa watakiwa kufuata sheria, kanuni na taratibu

SERIKALI imewataka wananchi wanaofanya biashara ya mkaa kufuata sheria, kanuni na taratibu kwa kuwa kumekuwepo na wimbi la uvunaji wa mazao ya misitu,...

Habari Mchanganyiko

Akamatwa akisafirisha kilo 158 za mirungi Arusha

JESHI la Polisi mkoani Arusha limemkamata, Benson Emmanuel (28), akisafirisha  shehena ya madawa ya kulevya aina ya mirungu yenye uzito wa kilo 158.5...

Habari Mchanganyiko

Vikawe wamuangukia Aweso utata mradi wa maji

BAADHI ya wananchi wa Mtaa wa Vikawe Shule, Kata ya Pangani, Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani wamemuomba Waziri wa Maji, Jumaa Aweso kuingilia...

Habari Mchanganyiko

Chama cha Mawakili wa Umma mbioni kuanzishwa

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Eliezer Feleshi, amesema mwaka huu wataanzisha chama cha mawakili wa umma Tanzania (public bar association) ili kukuza kiwango na...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachukua tahadhari mlipuko wa Ebola Uganda

KUFUATIA mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchi jirani ya Uganda, Serikali ya Tanzania imewaondoa hofu wananchi wake kwa kueleza kuwa hakuna kisa hata...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia, Nyusi wakubaliana kuongeza ushirikiano usalama, ulinzi

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na mwenzake wa Msumbiji, Filipe Nyusi wamekubaliana kushirikiana katika eneo la ulinzi na usalama ili kuondokana na...

Habari Mchanganyiko

GGML, RC Geita wazindua mpango wa upandaji miti

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita na Halmashauri ya Mji wa Geita...

Habari Mchanganyiko

Msigwa: Mchakato marekebisho ya sheria unakwenda vizuri

MSEMAJI Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari nchini, unaendelea na kwamba umefikia...

Habari Mchanganyiko

Benki NBC yakabidhi matenki ya maji sekondari Mbeya

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC)  imekabidhi msaada wa matenki ya maji manne ya ujazo wa lita 40,000 yenye thamani ya zaidi ya...

Habari Mchanganyiko

Benki ya NBC yakutana na wateja wake wakubwa wa Arusha

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wakubwa (Corporates) wa jijini Arusha ili kujadili fursa za biashara, kutambulisha huduma mpya...

Habari Mchanganyiko

Maji chini ya ardhi ndio tegemeo – Mwinyi

  WAKATI mataifa kadhaa yanatumia raslimalifedha kubadilisha maji ya chumvi ili kupata maji ya matumizi ya nyumbani, Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aipongeza NMB, aipa maagizo

SERIKALI inaridhishwa na jinsi Benki ya NMB inavyozihudumia tawala za mikoa na serikali za mitaa pamoja na taifa kwa ujumla. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari Mchanganyiko

Meena: Hukumu kwa vyombo vya habari zisiwe za kukomoa

  MJUMBE wa Kamati ya Utendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Nevile Meena, ameishauri Serikali ikamilishe mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia...

Habari Mchanganyiko

Watu 116 mbaroni tuhuma za uvunjaji nyumba Dar

  WATU 116 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kwa tuhuma za kuvunja nyumba na uporaji wa mali...

Habari Mchanganyiko

Askofu mwingine Anglikana afariki dunia, Dk. Mwinyi amlilia

  ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, John Ackland Ramadhani amefariki dunia jana tarehe 12 Septemba, 2022 katika Hospitali ya Taifa...

Habari Mchanganyiko

Mbunge ataka shule zitumie madereva wanawake kudhibiti ukatili

KUFUATIA wimbi la vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi katika vyombo vya usafiri, Mbunge wa Hai (CCM), Saashisha Mafuwe, ameishauri Serikali iweke...

Habari Mchanganyiko

Serikali yabanwa bungeni mfumuko bei za vyakula

BAADHI ya wabunge wameihoji Serikali bungeni, kuhusu mikakati yake ya kudhibiti mfumuko wa bei nchini hususa za vyakula. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Maswali...

Habari Mchanganyiko

Wabunge walilia haki ya faragha kwa wafungwa

SERIKALI ya Tanzania imeombwa kuweka mazingira yatakayowezesha wafungwa na mahabusu kupata haki ya faragha na wenzao wao, ili kutokomeza tabia ya baadhi yao...

Habari Mchanganyiko

Dk. Kijaji awataka vijana, wanawake kutoa mapendekezo itifaki ya biashara

WAZIRI wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dk. Ashatu Kijaji ametoa wito kwa wanawake na vijana kutumia Kongamano la Wanawake na Vijana wa Eneo...

Habari Mchanganyiko

Wito nchi za Afrika kuondoa vikwazo visivyo vya kiushuru

ILI kuongeza wigo wa biashara miongoni mwa nchi za Afrika, wito umetolewa kwa nchi hizo kuondoa vikwazo visivyo vya kiushuru (NTB’s). Anaripoti Jonas...

Habari Mchanganyiko

Maarifa ya asili yasaidia uhifadhi wa misitu

MAARIFA ya asili katika uhifadhi wa misitu, vyanzo vya maji na mazingira yamesaidia jamii ya wafugaji kata ya Enguserosambu wilayani Longido mkoani Arusha...

Habari Mchanganyiko

Samia ataka msukumo sayansi, teknolojia kwa vijana 

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema kuna haja ya vijana wa Afrika kuweka msukumo zaidi katika matumizi ya...

Habari Mchanganyiko

Wafanyakazi wanawake GGML wawafunda kitaaluma wanafunzi wa kike Geita

KATIKA jitihada za kuhakikisha jamii inanufaika kutokana na shughuli za uchimbaji dhahabu nchini, wafanyakazi wanawake wa Kampuni ya Geita Gold Mine Limited (GGML)...

error: Content is protected !!