Thursday , 25 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

NMB yazipiga jeki shule za Kilosa, Mvomero

  BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya elimu katika shule tano za halmashauri ya wilaya ya Kilosa na Mvomero vikiwa na...

Habari Mchanganyiko

TEF:Serikali imetupa matumaini

  MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema mchakato wa marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya 2016, unakwenda...

Habari Mchanganyiko

Dk. Tax awaasa vijana kuiga falsafa za uongozi wa Nyerere

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax amewaasa vijana kutumia vyema Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation kujifunza,...

Habari Mchanganyiko

Heche awaamsha wananchi ukali gharama za maisha, deni la Taifa

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche, amewataka wananchi wajikite katika kuibadilisha nchi akidai mabadiliko na maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awatunuku kamisheni maafisa JWTZ 724

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatunuku kamisheni maafisa wanafunzi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) 724 waliohitimu mafunzo mbalimbali ndani na...

Habari Mchanganyiko

Waziri acharuka mzabuni ‘aliyelizwa’ Liwale, DC amuita mzabuni ofisini

SAKATA la watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Liwale kutaka kumdhulumu mzabuni aliyepewa kazi ya kutoa vifaa vya ujenzi kukarabati hospitali ya wilaya...

Habari Mchanganyiko

ACT-Wazalendo yataka mchakato marekebisho sheria za habari ushushwe kwa wananchi

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeshauri wananchi wapewe fursa ya kushiriki katika mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari, ili watoe mapendekezo yao...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi wa Raia Mwema ashinda tuzo COSTECH

MWANDISHI Mwandamizi wa Gazeti la Raia Mwema, Selemani Msuya amekomba tuzo za mwandishi bora wa mwaka 2022 zilizotolewa na Tume ya Taifa ya...

Habari Mchanganyiko

Serikali yasaini mkataba kuongeza mapato gesi na mafuta

SERIKALI kupitia Shirika la Mafuta Tanzania (TPDC), imesaini mkataba wa uzalishaji na ugawaji mapato (PSA) kitalu cha Ruvuma-Mtwara utakaoiwezesha kupata zaidi mapato. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Ananilea Nkya: Tunasubiri muswada sheria ya habari utinge bungeni

  ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA), Daktari Ananilea Nkya, amesema wadau wengi wanasubiri Muswada wa Marekebisho ya Sheria...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mkuu ataja mikakati kukabili uhaba wa majengo ya mahakama

  JAJI Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amesema Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, imepanga kujenga majengo ya mahakama katika...

Habari Mchanganyiko

How GGML elevates women in the mining industry and continues to support them

THE struggle for gender equality is ongoing, although in recent years there has been a closer parity in the opportunities that are afforded...

Habari Mchanganyiko

Mwenyekiti mpya Jumuiya ya Wazazi CCM atangaza mapambano Uchaguzi Mkuu 2025

  MWENYEKITI mpya wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Fadhil Maganya, amesema ataiongoza jumuiya hiyo katika mapambano ya kusaka...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mradi wa SGR utakamilika kama ulivyopangwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) na kwamba Serikali itaendelea kuhakikisha mradi...

Habari Mchanganyiko

Watu 11,000 kutajirika Jangwani – Dar

JUMLA ya watu 11,000 waliopo katika kaya 3,800 wakiwamo wapangaji wanatarajiwa kulipwa fidia kuanzia mwaka 2023 kupisha uboreshaji wa Bonde la Msimbazi jijini...

Habari Mchanganyiko

THRDC yazindua mpango mkakati uimarishaji haki, bilioni 46.1 kutumika

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania(THRDC), umezindua mpango mkakati wake wa miaka mitano (2023-2027), unaotarajia kugharimu kiasi cha Sh. 46.1...

Habari Mchanganyiko

Misitu hatarini kutoweka nchini

  MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania (TFCG), Charles Meshack amesema iwapo hakutakuwa na hatua madhubuti katika utunzaji na...

Habari Mchanganyiko

NMB yanyakua tuzo 18 za ubora – kitaifa na kimataifa

BENKI ya NMB imedhibitisha uongozi na sifa yake ya kuwa taasisi kinara wa huduma za kifedha nchini na isiyo kuwa na mpinzani, katika...

Habari Mchanganyiko

UNHCR: Tanzania imefanikiwa kulinda amani

  SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), limesema Serikali ya Tanzania imefanikiwa kulinda amani yake licha ya kuzungukwa na nchi...

Habari Mchanganyiko

Upanuzi wa kiwanja cha ndege cha Tanga wanukia

  SERIKALI imesema iko katika hatua za mwisho za kuanza utekelezaji wa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Tanga kwa kuboresha miundombinu yake...

Habari Mchanganyiko

Tanzania kuzidi kunufaika na miradi ya Shirika la Miliki Bunifu Duniani

  BALOZI na Mwakilishi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa na Mashirika ya Kimataifa Jijini Geneva Uswisi, Balozi Maimuna Tarishi amesema kuwa Tanzania...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mgawo wa umeme kuisha Disemba

  SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema ifikapo mwishoni mwa Disemba 2022, linategemea kupata megawati 65 kupitia Kinyerezi l, megawati 45 na Ubungo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ripoti ya ajali ya ndege Bukoba: Vikosi vya uokoaji vilichelewa kufika

TAARIFA ya awali ya ripoti ya ajali ya ndege ya shirika la Precision iliyotokea katika eneo la Ziwa Victoria Tanzania, imetolewa leo Jumanne...

Habari Mchanganyiko

TFS yakutanisha wadau kujadili urejeshaji uoto wa asili

  WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imekutanisha wadau mbalimbali kujadili mpango wa urejeshaji uoto wa asili barani Afrika (AFRI100) unaolenga kurejesha...

Habari Mchanganyiko

Makamishna wapya, maafisa waandamizi Tume za Uchaguzi SADC wafundwa

  JUKWAA la Tume za Uchaguzi za nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (ECF-SADC) kwa kushirikiana na Taasisi ya International...

Habari Mchanganyiko

Mahakama yawafutia kesi Viongozi Ngorongoro walioshtakiwa kwa mauaji

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imewaacha huru viongozi na wanachi 24 wa Wilaya ya Ngorongoro, waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kupanga njama...

Habari Mchanganyiko

GGML yang’ara tuzo za TRA

  KAMPUNI ya Geita Gold Mining Ltd. (GGML) imetambuliwa kwa mara nyingine tena kama mlipa kodi wa viwango vya juu katika sekta ya...

Habari Mchanganyiko

Mkaa endelevu wafanya mapinduzi Morogoro

  WANANCHI wa vijiji vya Lulongwe kata ya Matuli na kijiji cha Mlilingwa kata ya Tununguo, Wilaya ya Morogoro mkoani humo, wamesema Mradi...

Habari Mchanganyiko

Huawei yapania kuleta mageuzi biashara ya pesa mtandao

  KAMPUNI ya Huawei imezindua toleo la kibunifu la teknolojia ya masuala ya fedha (Fintech 2.0), ambalo linatazamiwa kuleta mapinduzi ya biashara ya...

Habari Mchanganyiko

Mapendekezo marekebisho sheria ya habari kutinga kwa AG

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema mapendekezo yaliyotolewa na wadau kuhusu marekebisho ya Sheria ya Huduma za Vyombo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kocha wa Simba, Cambiasso wafikishwa mahakamani kwa dawa za kulevya

MWALAMI Sultan, aliyekuwa Kocha wa makipa wa Klabu ya Simba na mmiliki wa Kituo cha Soka cha Kambiasso Sports Academy, Kambi Seif na...

Habari Mchanganyiko

Serikali, wadau wakutana kujadili hatua za mwisho maboresho sheria ya habari

  SERIKALI ya Tanzania, imekutana na wadau wa sekta ya habari, kwa ajili ya kufanya mapitio ya mwisho kuhusu mapendekezo ya marekebisho ya...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Nape apiga ‘stop’ bei za bando kupanda

  KAMPUNI za mawasiliano ya simu nchini zimetakiwa kutobadilisha bei za vifurushi hadi pale matokeo ya tathmini kuhusu gharama za utoaji huduma hiyo...

Habari Mchanganyiko

Waziri Ndaki ataka ufugaji wenye tija kwa makundi ya wafugaji

  WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki, ameyataka makundi ya wafugaji nchini kufanya ufugaji wenye tija kwa kutumia ng’ombe aina ya borani...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aguswa na jitihada za NBC ustawishaji sekta ya viwanda

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango ameipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa mchango wake mkubwa...

Habari Mchanganyiko

Exim yaendesha droo ya pili ya kampeni ya “Chanja Kijanja, Kimasta Zaidi’’,

BENKI ya Exim Tanzania imeendesha droo ya pili ya kampeni yake  “Chanja Kijanja, Kimasta Zaidi’’ inayolenga kuhamasisha wateja wa benki ya Exim kutumia kadi...

Habari Mchanganyiko

Dk. Mpango aipa tano NBC kustawisha sekta ya viwanda

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango ameipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa mchango wake mkubwa...

Habari Mchanganyiko

Makamu wa Rais akabidhi tuzo za PMAYA, Tanga Cement waibuka kidedea

  MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango amekabidhi tuzo kwa washindi wa Tuzo za Rais kwa Mzalishaji Bora wa Mwaka (PMAYA) huku akisisitiza...

Habari Mchanganyiko

Mkazi Songea ajishindia bodaboda kupitia NMB MastaBata Kotekote, 75 wazoa milioni 7

BENKI ya NMB imepata mshindi wa pili wa bodaboda, Charles Erasto Mbwilo  kutoka Songea Mkoani Ruvuma kupitia droo ya  shindano la NMB  MastaBata...

Habari Mchanganyiko

Vodacom yazindua promosheni mpya ya “Amsha Ndoto, Amsha Shangwe”

  VODACOM Tanzania PLC imezindua promosheni ya wiki nane katika msimu huu wa siku kuu iitwayo “Amsha Ndoto, Amsha Shangwe” itakayowapa wateja wake...

Habari Mchanganyiko

Klabu za Fema zasherehekea miaka 20 tangu kuanzishwa

FEMINA Hip, kwa kushirikiana na Ubalozi wa Denmark na Sweden nchini Tanzania, wameadhimisha miaka 20 ya Klabu za Fema nchini Tanzania, jana, Novemba...

Habari Mchanganyiko

Washindi Bonge la Mpango wakabidhiwa bodaboda, fedha

BENKI ya NMB Kanda ya Kusini imewazawadia washindi watano kutoka mikoa ya Ruvuma, Mtwara na Lindi Sh 100,000 kila mmoja ikiwa ni droo...

Habari Mchanganyiko

Benki ya NMB yaibuka kinara tuzo za TRA

BENKI ya NMB imeibuka kinara katika tuzo za mlipa kodi mkubwa zinazotolewa na Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Mahakama yafuta kesi za uhamiaji haramu zilizokuwa zinawakabili wakazi 62 Loliondo

  MAHAKAMA ya Wilaya ya Ngorongoro, Mkoa wa Arusha Arusha, imezifuta kesi tisa za kuishi nchini kinyume cha sheria zilizokuwa zinawakabili wakazi 62...

Habari Mchanganyiko

Wazalishaji vifaranga waiangukia Serikali

  WAZALISHAJI, wafugaji na wauzaji wa vifaranga wa kuku wa nyama wameiomba Serikali kupitia Wizara ya Mifugo ya Uvuvi kusitisha uingizaji wa vifaranga...

Habari Mchanganyiko

Wanahabari watakiwa kuibua masuala yanayowainua wanawake katika uongozi

  WAANDISHI wa habari nchini Tanzania, wametakiwa kutumia kalamu zao katika kuibua masuala yanayowainua wanawake katika uongozi wa nyanja mbalimbali serikalini na kwenye...

Habari Mchanganyiko

TMA wataja sababu za ongezeko la joto nchini

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa juu ya uwepo wa ongezeko la joto katika maeneo mbalimbali nchini huku ikieleza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkurugenzi TAA ataja sababu ndege ATCL kushindwa kutua Bukoba

  MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mussa Mbura amesema sababu ya ndege ya ATCL kushindwa kutua katika Uwanja...

Habari Mchanganyiko

Waandishi wa habari watakiwa kutumia sheria kudai haki

  WAANDISHI wa habari nchini Tanzania, wametakiwa kujenga desturi ya kusoma sheria na sera zinazowaongoza ili waweze kuzifahamu kwa lengo la kudai haki...

error: Content is protected !!