BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya elimu katika shule tano za halmashauri ya wilaya ya Kilosa na Mvomero vikiwa na...
By Mwandishi WetuNovember 28, 2022MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema mchakato wa marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya 2016, unakwenda...
By Mwandishi WetuNovember 27, 2022WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax amewaasa vijana kutumia vyema Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation kujifunza,...
By Gabriel MushiNovember 26, 2022MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche, amewataka wananchi wajikite katika kuibadilisha nchi akidai mabadiliko na maendeleo...
By Gabriel MushiNovember 26, 2022RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatunuku kamisheni maafisa wanafunzi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) 724 waliohitimu mafunzo mbalimbali ndani na...
By Gabriel MushiNovember 26, 2022SAKATA la watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Liwale kutaka kumdhulumu mzabuni aliyepewa kazi ya kutoa vifaa vya ujenzi kukarabati hospitali ya wilaya...
By Gabriel MushiNovember 26, 2022CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeshauri wananchi wapewe fursa ya kushiriki katika mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari, ili watoe mapendekezo yao...
By Gabriel MushiNovember 26, 2022MWANDISHI Mwandamizi wa Gazeti la Raia Mwema, Selemani Msuya amekomba tuzo za mwandishi bora wa mwaka 2022 zilizotolewa na Tume ya Taifa ya...
By Gabriel MushiNovember 25, 2022SERIKALI kupitia Shirika la Mafuta Tanzania (TPDC), imesaini mkataba wa uzalishaji na ugawaji mapato (PSA) kitalu cha Ruvuma-Mtwara utakaoiwezesha kupata zaidi mapato. Anaripoti...
By Gabriel MushiNovember 25, 2022ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA), Daktari Ananilea Nkya, amesema wadau wengi wanasubiri Muswada wa Marekebisho ya Sheria...
By Regina MkondeNovember 25, 2022JAJI Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amesema Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, imepanga kujenga majengo ya mahakama katika...
By Mwandishi WetuNovember 25, 2022THE struggle for gender equality is ongoing, although in recent years there has been a closer parity in the opportunities that are afforded...
By Gabriel MushiNovember 25, 2022MWENYEKITI mpya wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Fadhil Maganya, amesema ataiongoza jumuiya hiyo katika mapambano ya kusaka...
By Regina MkondeNovember 25, 2022WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maendeleo ya mradi wa ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) na kwamba Serikali itaendelea kuhakikisha mradi...
By Mwandishi WetuNovember 24, 2022JUMLA ya watu 11,000 waliopo katika kaya 3,800 wakiwamo wapangaji wanatarajiwa kulipwa fidia kuanzia mwaka 2023 kupisha uboreshaji wa Bonde la Msimbazi jijini...
By Gabriel MushiNovember 24, 2022MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania(THRDC), umezindua mpango mkakati wake wa miaka mitano (2023-2027), unaotarajia kugharimu kiasi cha Sh. 46.1...
By Regina MkondeNovember 24, 2022MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania (TFCG), Charles Meshack amesema iwapo hakutakuwa na hatua madhubuti katika utunzaji na...
By Faki SosiNovember 24, 2022BENKI ya NMB imedhibitisha uongozi na sifa yake ya kuwa taasisi kinara wa huduma za kifedha nchini na isiyo kuwa na mpinzani, katika...
By Gabriel MushiNovember 24, 2022SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), limesema Serikali ya Tanzania imefanikiwa kulinda amani yake licha ya kuzungukwa na nchi...
By Mwandishi WetuNovember 23, 2022SERIKALI imesema iko katika hatua za mwisho za kuanza utekelezaji wa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Tanga kwa kuboresha miundombinu yake...
By Mwandishi WetuNovember 23, 2022BALOZI na Mwakilishi wa Kudumu wa Umoja wa Mataifa na Mashirika ya Kimataifa Jijini Geneva Uswisi, Balozi Maimuna Tarishi amesema kuwa Tanzania...
By Mwandishi WetuNovember 23, 2022SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema ifikapo mwishoni mwa Disemba 2022, linategemea kupata megawati 65 kupitia Kinyerezi l, megawati 45 na Ubungo...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2022TAARIFA ya awali ya ripoti ya ajali ya ndege ya shirika la Precision iliyotokea katika eneo la Ziwa Victoria Tanzania, imetolewa leo Jumanne...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2022WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) imekutanisha wadau mbalimbali kujadili mpango wa urejeshaji uoto wa asili barani Afrika (AFRI100) unaolenga kurejesha...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2022JUKWAA la Tume za Uchaguzi za nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (ECF-SADC) kwa kushirikiana na Taasisi ya International...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2022MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha, imewaacha huru viongozi na wanachi 24 wa Wilaya ya Ngorongoro, waliokuwa wanakabiliwa na kesi ya kupanga njama...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2022KAMPUNI ya Geita Gold Mining Ltd. (GGML) imetambuliwa kwa mara nyingine tena kama mlipa kodi wa viwango vya juu katika sekta ya...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2022WANANCHI wa vijiji vya Lulongwe kata ya Matuli na kijiji cha Mlilingwa kata ya Tununguo, Wilaya ya Morogoro mkoani humo, wamesema Mradi...
By Faki SosiNovember 22, 2022KAMPUNI ya Huawei imezindua toleo la kibunifu la teknolojia ya masuala ya fedha (Fintech 2.0), ambalo linatazamiwa kuleta mapinduzi ya biashara ya...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2022WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema mapendekezo yaliyotolewa na wadau kuhusu marekebisho ya Sheria ya Huduma za Vyombo...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2022MWALAMI Sultan, aliyekuwa Kocha wa makipa wa Klabu ya Simba na mmiliki wa Kituo cha Soka cha Kambiasso Sports Academy, Kambi Seif na...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2022SERIKALI ya Tanzania, imekutana na wadau wa sekta ya habari, kwa ajili ya kufanya mapitio ya mwisho kuhusu mapendekezo ya marekebisho ya...
By Regina MkondeNovember 21, 2022KAMPUNI za mawasiliano ya simu nchini zimetakiwa kutobadilisha bei za vifurushi hadi pale matokeo ya tathmini kuhusu gharama za utoaji huduma hiyo...
By Regina MkondeNovember 21, 2022WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki, ameyataka makundi ya wafugaji nchini kufanya ufugaji wenye tija kwa kutumia ng’ombe aina ya borani...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2022MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango ameipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa mchango wake mkubwa...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2022BENKI ya Exim Tanzania imeendesha droo ya pili ya kampeni yake “Chanja Kijanja, Kimasta Zaidi’’ inayolenga kuhamasisha wateja wa benki ya Exim kutumia kadi...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2022MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango ameipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa mchango wake mkubwa...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2022MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango amekabidhi tuzo kwa washindi wa Tuzo za Rais kwa Mzalishaji Bora wa Mwaka (PMAYA) huku akisisitiza...
By Mwandishi WetuNovember 19, 2022BENKI ya NMB imepata mshindi wa pili wa bodaboda, Charles Erasto Mbwilo kutoka Songea Mkoani Ruvuma kupitia droo ya shindano la NMB MastaBata...
By Gabriel MushiNovember 19, 2022VODACOM Tanzania PLC imezindua promosheni ya wiki nane katika msimu huu wa siku kuu iitwayo “Amsha Ndoto, Amsha Shangwe” itakayowapa wateja wake...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2022FEMINA Hip, kwa kushirikiana na Ubalozi wa Denmark na Sweden nchini Tanzania, wameadhimisha miaka 20 ya Klabu za Fema nchini Tanzania, jana, Novemba...
By Gabriel MushiNovember 18, 2022BENKI ya NMB Kanda ya Kusini imewazawadia washindi watano kutoka mikoa ya Ruvuma, Mtwara na Lindi Sh 100,000 kila mmoja ikiwa ni droo...
By Gabriel MushiNovember 18, 2022BENKI ya NMB imeibuka kinara katika tuzo za mlipa kodi mkubwa zinazotolewa na Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea)....
By Gabriel MushiNovember 18, 2022MAHAKAMA ya Wilaya ya Ngorongoro, Mkoa wa Arusha Arusha, imezifuta kesi tisa za kuishi nchini kinyume cha sheria zilizokuwa zinawakabili wakazi 62...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2022WAZALISHAJI, wafugaji na wauzaji wa vifaranga wa kuku wa nyama wameiomba Serikali kupitia Wizara ya Mifugo ya Uvuvi kusitisha uingizaji wa vifaranga...
By Seleman MsuyaNovember 18, 2022WAANDISHI wa habari nchini Tanzania, wametakiwa kutumia kalamu zao katika kuibua masuala yanayowainua wanawake katika uongozi wa nyanja mbalimbali serikalini na kwenye...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2022MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa juu ya uwepo wa ongezeko la joto katika maeneo mbalimbali nchini huku ikieleza...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2022MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mussa Mbura amesema sababu ya ndege ya ATCL kushindwa kutua katika Uwanja...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2022WAANDISHI wa habari nchini Tanzania, wametakiwa kujenga desturi ya kusoma sheria na sera zinazowaongoza ili waweze kuzifahamu kwa lengo la kudai haki...
By Regina MkondeNovember 17, 2022