Tuesday , 23 April 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

GGML yawaaga wahitimu wa mafunzo tarajali

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imewaaga wahitimu 26 wa mafunzo tarajali waliokuwa wakifanya mafunzo katika kampuni hiyo kwa mwaka 2021/2022. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Jamii yatakiwa kuamini mazao ya kijenetiki kwani hayaleti mzigo wowote

JAMII imetakiwa kuamini na kutumia vyakula vinavyotokana na mazao ya kijenetiki (GMO) sababu hayaathiri chochote kwenye mwili wa binadamu ikiwemo kuwapa ugonjwa wa...

Habari Mchanganyiko

Kuku choma festival kurindima kesho Msasani Beach Club

LILE Tamasha la Kuku choma litafanyika kesho Msasani Beach Club jijini Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza...

Habari MchanganyikoTangulizi

Forbes yamtaja tena Dk. Samia miongoni mwa wanawake 100 wenye uwezo mkubwa duniani

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametajwa na jarida la Forbes kwa mwaka wa pili mfululizo kuwa miongoni mwa wanawake 100 wenye ushawishi, nguvu...

Habari Mchanganyiko

TCRS, Serikali watoa elimu kuelekea siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia

KUELEKEA siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Serikali kwa kushirikiana na Shirika la kikristo la kuhudumia wakimbizi nchini (TCRS) wametoa mafunzo ya...

Habari Mchanganyiko

UNHCR yaadhimisha miaka 30 ya DAFI, wakimbizi 22,500 wanufaika

  SHIRIKA la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), limefanya maadhimisho ya miaka 30 ya Taasisi inayotoa ufadhili wa masomo kwa wakimbizi,...

Habari Mchanganyiko

Watetezi wa haki za binadamu kupigwa msasa

  SHIRIKA linalosimamia haki za watetezi wa haki za binadamu Afrika (Defend Defenders), Kwa kushirikiana na Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu...

Habari Mchanganyiko

Serikali yaombwa kuharakisha marekebisho Sheria kandamizi

  SERIKALI ya Tanzania, imeombwa kuharakisha mchakato wa marekebisho dhidi ya vifungu vya sheria zinazokandamiza haki za binadamu, hususan uhuru wa kujieleza na...

Habari Mchanganyiko

Muswada mabadiliko Sheria ya habari waiva

  SERIKALI ya Tanzania, inajiandaa kuwasilisha bungeni jijini Dodoma, mabadiliko ya Sheria ya Huduma za Habari ya 2016, Ili kuondoa vifungu vinavyominya uhuru...

Habari Mchanganyiko

DCEA yakamata kilo 16.643 za dawa za kulevya, washirika wa Cambiaso ndani

  MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata jumla ya kilo 16.643 za dawa ya kulevya zikijumuisha kilo 15.19...

Habari Mchanganyiko

Wahitimu watakiwa kuwa waadilifu

  WAHITIMU wa elimu ya dini wa Chuo cha Jamiah Ahmadiyya kilichopo Kihonda Maghorofani katika manispaa ya Morogoro wametakiwa kuwa waadilifu na mfano...

Habari Mchanganyiko

DC Songwe akana kumtwanga ngumi binti, Polisi waanza uchunguzi

  JESHI la Polisi Mkoa wa Songwe, limeanza uchunguzi wa madai ya Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga, kumshambulia kwa kumpiga ngumi...

Habari Mchanganyiko

NBC yamwaga zawadi washindi wa ‘Vuna zaidi na NBC shambani’

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) imeendelea kugawa zawadi kwa washindi mbalimbali wa kampeni yake ya ‘Vuna zaidi na NBC Shambani’ msimu wa...

Habari Mchanganyiko

Mambo matano yatajwa kukwamisha wanawake kwenye uongozi

  LICHA ya matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya 2022 kuonyesha idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume, mambo matano yametajwa...

Habari Mchanganyiko

UNCDF, Infinix zahamasisha ukuaji wa Fintech ili kukuza ukuaji wa Ikolojia

  KAMPUNI ya Infinix Tanzania ikishirikiana na Ubalozi wa Umoja wa Ulaya na Swideshi (UNCDF) wameandaa mdahalo wa FinTech ambao umelenga kuwakutanisha wadau...

HabariHabari Mchanganyiko

Kanisa la Mlima wa Moto wazindua kongamano la SHILO, Ni Maalum kumuenzi Hayati Dk. Getrude Rwakatare

KANISA la Mlima wa Moto Mikocheni jijini Dar es Salaam, limezindua kongamano liitwalo SHILO kama sehemu ya kumuenzi mwanzilishi wa Kanisa hilo, Hayati...

Habari Mchanganyiko

Dk. Samia aagiza milioni 960 za uhuru kujenga mabweni

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameagiza fedha kiasi cha Sh. 960 milioni, zilizotengwa kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 61 ya uhuru...

Habari Mchanganyiko

Dk. Kigwangalla adai kuna ubadhirifu ununuzi mabehewa SGR, TRC yamjibu

  MBUNGE wa Nzega Vijijini Dk. Hamis Kigwangalla (CCM) amedai kuna ubadhirifu katika ununuzi wa mabehewa ya treni ya reli ya kisasa (SGR),...

Habari Mchanganyiko

NMB yaongoza tuzo za mwajiri bora, yafikisha 22

BENKI ya NMB imetangazwa kuwa Mwajiri bora wa mwaka 2022 katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE)...

Habari Mchanganyiko

Kicheko! Mishahara sekta binafsi ikipaa

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na wenye ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako kupitia tangazo la Serikali namba 697 la...

Habari Mchanganyiko

DC Dodoma ahimiza viongozi wa dini kupinga ukatili wa kijinsia

MKUU wa Wilaya wa Dodoma, Jabiri Shekimweli ametoa wito kwa viongozi wa dini nchini kuhubiri upendo, amani na utulivu pamoja na kupinga ukatili...

Habari Mchanganyiko

Uingizaji holela vifaranga, chakula vyatesa wauza kuku

UINGIZAJI holela vifaranga kutoka nje ya nchi na kupanda kwa bei ya chakula zimetajwa kukwamisha wazalishaji na wafugaji wa kuku wazawa, hivyo kusitisha...

Habari Mchanganyiko

Waliobomelewa nyumba Morogoro wamuangukia Samia, wamtaja Magufuli

WAKAZI wa Mtaa wa CCT mkoani Morogoro wameangua vilio baada ya serikali wilayani Mvomero kutumia jeshi la polisi, magereza pamoja na jeshi la...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Exim yang’ara tuzo za mwajiri bora

BENKI ya Exim Tanzania imeendelea kutamba kwenye tuzo za mwajiri bora mwaka 2022 (EYA 2022) baada ya kuibuka kinara kwenye kipengele cha Mwajiri...

Habari Mchanganyiko

TARURA yazitaka Serikali za Mitaa kutenga bajeti ya barabara

MTENDAJI Mkuu wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA), Mhandisi Victor Seif ameziomba Mamlaka za Serikali za Mitaa mkoani Tabora  kuendelea...

Habari Mchanganyiko

11 waliomuua Wayne Lotter wahukumumiwa kunyongwa

  MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam leo tarehe 2 Disemba, 2022 imewahukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa watu 11 waliokutwa na...

Habari Mchanganyiko

Wananchi Musoma Vijiji waanza kupata maji waliyosubiri toka 2013

  WANANCHI wa vijiji vya Chitare na Makojo vilivyoko katika Jimbo la Musoma Vijijini wameanza kupata huduma ya maji safi na salama, baada...

Habari Mchanganyiko

Waliovamia Msitu wa Morogoro kupangwa

  ZAIDI ya makazi 1214 ya watu waliovamia Msitu wa Morogoro uliopo chini ya Wakala wa Huduma za Misitu maarufu msitu wa kuni,...

Habari Mchanganyiko

TFS yaweka mpaka Msitu wa Kuni Morogoro

  WAKALA wa Hifadhi ya Misitu Tanzania (TFS) imeanza zoezi la kuweka mpaka katika Msitu wa Morogoro maarufu Msitu wa Kuni uliopo Wilayani...

Habari Mchanganyiko

Serikali, wadau wakutana kuandaa mpango kazi kutokomeza ukatili wa kijinsia

  SERIKALI kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo nchini imekuwa mstari wa mbele kuunganisha nguvu katika kutokomeza ukatili wa kijinsia pamoja na...

Habari Mchanganyiko

Rais Dk. Samia aipa cheti GGML mapambano ya Ukimwi

  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama, Mazingira na Mafunzo wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML),...

Habari Mchanganyiko

Katambi: Program ya Umajumui wa Mwalimu Nyerere iendelezwe

  TAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF), imeshauriwa kuendeleza Program ya Ufadhili wa Umajumui wa Mwalimu Nyerere kwa Viongozi Vijana Afrika (Mwalimu Nyerere Pan-Africa...

Habari Mchanganyiko

Mshindi wa Promosheni ya NMB MastaBata KoteKote akabidhiwa Pikipiki Mwanza

MSIMU wa nne wa promosheni ya NMB MastaBata kwa ajili ya kuchagiza matumizi ya kadi za malipo za kidijitali umezidi kunoga baada ya...

Habari Mchanganyiko

Benki ya Exim Yang’ara Tuzo za NBAA

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Tanzania, Jaffari Matundu  (kulia) akipokea tuzo kwa niaba ya benki hiyo toka kwa Waziri wa Nchi...

Habari Mchanganyiko

Meena: Serikali imepiga hatua kubwa marekebisho sheria ya habari

  MJUMBE wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Nevil Meena, amesema Serikali imepiga hatua kubwa katika mchakato wa marekebisho ya...

Habari Mchanganyiko

GGML yaweka rekodi mapambano dhidi ya VVU/ UKIMWI

WAKATI leo ikiwa ni kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi duniani, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), imesema itaendeleza mapambano dhidi...

Habari Mchanganyiko

Ilemela kusogezewa karibu huduma jumuishi za kisheria

  WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk. Damas Ndumbaro, ameweka jiwe la msingi kwenye jengo jumuishi la taasisi za kisheria linalojengwa eneo la...

Habari Mchanganyiko

TAMWA yapigia chapuo mabadiliko sheria ya habari

  CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kimesema mabadiliko ya sheria ya vyombo vya habari yataakisi maendeleo ya tasnia hiyo pamoja...

Habari Mchanganyiko

Mbolea ya kinyesi cha binadamu kuuzwa kwa wakulima

  SERIKALI ya kaunti ya Vihiga nchini Kenya imezindua mradi ambao utasaidia kutengeneza mbolea ya bei nafuu inayotokana na kinyesi cha binadamu ili...

Habari Mchanganyiko

NMB yazipiga jeki shule za Kilosa, Mvomero

  BENKI ya NMB imetoa msaada wa vifaa vya elimu katika shule tano za halmashauri ya wilaya ya Kilosa na Mvomero vikiwa na...

Habari Mchanganyiko

TEF:Serikali imetupa matumaini

  MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema mchakato wa marekebisho ya Sheria ya Huduma za Habari ya 2016, unakwenda...

Habari Mchanganyiko

Dk. Tax awaasa vijana kuiga falsafa za uongozi wa Nyerere

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax amewaasa vijana kutumia vyema Taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation kujifunza,...

Habari Mchanganyiko

Heche awaamsha wananchi ukali gharama za maisha, deni la Taifa

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche, amewataka wananchi wajikite katika kuibadilisha nchi akidai mabadiliko na maendeleo...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia awatunuku kamisheni maafisa JWTZ 724

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatunuku kamisheni maafisa wanafunzi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) 724 waliohitimu mafunzo mbalimbali ndani na...

Habari Mchanganyiko

Waziri acharuka mzabuni ‘aliyelizwa’ Liwale, DC amuita mzabuni ofisini

SAKATA la watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Liwale kutaka kumdhulumu mzabuni aliyepewa kazi ya kutoa vifaa vya ujenzi kukarabati hospitali ya wilaya...

Habari Mchanganyiko

ACT-Wazalendo yataka mchakato marekebisho sheria za habari ushushwe kwa wananchi

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeshauri wananchi wapewe fursa ya kushiriki katika mchakato wa marekebisho ya sheria zinazosimamia sekta ya habari, ili watoe mapendekezo yao...

Habari Mchanganyiko

Mwandishi wa Raia Mwema ashinda tuzo COSTECH

MWANDISHI Mwandamizi wa Gazeti la Raia Mwema, Selemani Msuya amekomba tuzo za mwandishi bora wa mwaka 2022 zilizotolewa na Tume ya Taifa ya...

Habari Mchanganyiko

Serikali yasaini mkataba kuongeza mapato gesi na mafuta

SERIKALI kupitia Shirika la Mafuta Tanzania (TPDC), imesaini mkataba wa uzalishaji na ugawaji mapato (PSA) kitalu cha Ruvuma-Mtwara utakaoiwezesha kupata zaidi mapato. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Ananilea Nkya: Tunasubiri muswada sheria ya habari utinge bungeni

  ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA), Daktari Ananilea Nkya, amesema wadau wengi wanasubiri Muswada wa Marekebisho ya Sheria...

error: Content is protected !!